Ukweli wafichuka mchungaji ajaribu kutetea lakini maji yazidi Unga daawah yafika vinzuri
Жүктеу.....
Пікірлер: 145
@samxx4112 ай бұрын
Sheikh salim kwa mkiristo ambae anataka kusoma basi atakuelewa ila kama yupo kiubishiubishi kamwe hatoelewa....njia ya Mungu inaisomesha vizuri.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
@user-ro9ch4jf2m2 ай бұрын
Tunawapenda mashekhe zetu kwa ajili ya Allah ❤ Allah awahifadhi nyote Ameen
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
@isahbarasa2 ай бұрын
Kazi safi walimu 👏 Ali wanifurahisha
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Masha Allah
@aishaally66022 ай бұрын
ALLAHUMA BARIK, ALLAH awazidishie hikma mashekh yetu
@aishahazary40972 ай бұрын
ALLAH awape umri mrefu vipenzi vyetu.Tunawapenda sana hatuchoki kuwaombea duwaa.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
@Sal.0
2 ай бұрын
Ameeen.
@KhamisJuma-ni1vk2 ай бұрын
Masha Allah Masheikh .. Mchungaji Kashaelewa Lakn Kupotezamdatu
@Zainab_salat2 ай бұрын
Masha allah umependeza sheikh wetu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
@mwanaidiissa102 ай бұрын
Pole shekhe Salim huyu mchungaji hajielewi
@sheemaryam2 ай бұрын
Ma sha Allah sheikh kapendeza na kanzu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Alhamdulillah tunashukuru tunakupenda kwa ajili ya Allah
@abdiibrahim99072 ай бұрын
Masha allah ❤❤❤❤❤❤
@F.j842 ай бұрын
MashaAlah ustadh salim leo umependeza.. Allah awalipe kazi zenu na ustadh Ali pia tunakupenda tena unavowachemsha tunafurai.. Allah awape hekma na uvumilivu kw da'wah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
@molee23392 ай бұрын
TabarakAllah Team. Mada Nzuri sana Na Swali la UCHINJO wa WaNyaama, ime jibiwa POA kabisa na Ustad Sal8m! Well done! Huyu WAMBuA ni time Waster sana, na HATAKI, kabisa, ku ELEWA chochote!
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Tumemjua ni time waster
@husseinmwenja43982 ай бұрын
MashAllah MashAllah Mashekhe zetu kazi imekubali ikatii kikamilifu BARRAQALLAHUFIQUM
@HusseinHalfan-ec7ow2 ай бұрын
Kazi nzuri sana walimu wangu
@mbarakadau73452 ай бұрын
Wonderful job brother Salim. Unatumia hikma kubwa na stahamala ya hali ya juu kufikisha ujumbe kwa ndugu zetu hawa. Allah akulipe
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@rizikiyahya95652 ай бұрын
Allaah awalipe kila la kheri kwa kazi yenu nzuri.katika lile suali la kuchinja katika dakika ya 18:36 pale aliposema kuleni na mulishe makafiri Alii aliteleza kibinadamu ila ni mulishe MAFAKIRI badala ya makafiri .Sote binadamu huteleza hasa maneno kama yafanana ndio kabisaa.Allaah awape afya na nguvu ya kuendeleza daawah hii.
@SalumNyanza2 ай бұрын
Asalam alaykum sheh nawapenda Sana Allah awazidishie kila laheri inshaallah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@jumahamad94632 ай бұрын
MCHUNGAJI BAKIA HUKO HUKO MFUTEA SHITANI WAPO WENGI IN SHAA ALLAH WATAKAO SILIMU NAWENGI WANASALIMU MCHUNGAJI KAA HIVYO HIVYO NA UBISHI WAKO NA USHINDANI LAKINI VIZURI SANA SHEIKH SALIM KUMPA MCHUNGAJI USHINDI MCHUNGAJI UMESHINDA KIKOMBE CHA SHABAA
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Huyu mchungaji anaelewa ila ni ubishi tu ako nayo
@jumahamad9463
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 VIZURI SANA ULIVYO FANYA NAKUMPA USHINDI WAKIKUMBE CHA SHABAA ATACHOKUNYEA MAJI MOTONI MADAMU ANAPINGA MWENYEWENZI MUNGU ALLAH MCHUNGAJI AJIJUWE MOTONI TU ULIBASHIRIWA WASHIRIKINA KAMA MCHUNGAJI
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 alikuwa ataka kupoteza wakati tu
@Zainab_salat
2 ай бұрын
Umesahau fungu 10
@fadhilijuma-yo4sh
2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-du2fy5sd5u2 ай бұрын
مشأ الله تبارك الرحمن
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
Ndugu nafikiri ume maanisha hii ماشاء الله تبارك الرحمن
@SwediramadhaniJuma20 күн бұрын
Jazzaqallaaah Khair... Shekh wangu nakupend sana kwaajili ya Allaah, sina uwezo lakni mchango wangu kwako ni dua njema, allaah akunusuru, akujaalie mwisho mwema ww na familia yako kwa huruma na mapenzi yake.
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@yahyaali39512 ай бұрын
Mashallah tunawafutilia vizur sana kutoka zanzibar ❤❤❤❤
@HNs-px8mz2 ай бұрын
Allah amzidishie hekma n elimu n afya mzidi kuwatoa taka maskio y nyoyo zao
@abdallahazizi9992 ай бұрын
Insha Allah Naomba Allah awalinde nawatu wawovu namashetani wabaya naawalinde namarazi ili Muendelee kutufikishia maneno ya Allah Mumewaelemisha wengi kwakutufunza ginzi yakuwajibu makafiri asante
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@janieali55212 ай бұрын
MashaAllah Tabarak Allah Masheikh wetu, asanteni sana kwa mafundisho bora kabisa. Na twashukuru kwa kuwatoa hao wakristo katika giza.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Kazi yetu nikufikisha ujumbe wa Allah
@ahmedmadey79212 ай бұрын
Masha Allah salim mungu akuzidishia Eleza sh Ali achani na wenye wanauliza maswali akwa tu msomaji tu please
@AbuMusa-nc5eb2 ай бұрын
MashaAllah mungu Awalipe janah haswa ustadh salim nakupenda sana.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
@ahmedali2792 ай бұрын
mashaAllah mashaAllah mashaAllah.. Allah awazidishie elimu na hekma,awape na afya njema ya rabbi
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@MohamedAhmed-ns5mi2 ай бұрын
Mashallaha
@mwanamtotosaid7022 ай бұрын
Masha Allah ❤❤
@FauziaKare2 ай бұрын
MashaAllah Allah awape Jannah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin sote
@salimmashjary80282 ай бұрын
Akhui salim somo yangu ndugi yangu jibu lako safi sana.maashaallah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Kazi yetu nikufikisha tu Allah awaongoze waione haki na waifuate
@user-kc6hc6re7t2 ай бұрын
WALAI SALIM WEWE NDIO UKO NA HEKMA YA KUFUNZA HAWA WATU
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Wote walimu Salim ni mwanafunzi bado
@Sai.Mo69
2 ай бұрын
Kweli Kabisa. Lakuni pia ni Teamwork ya WaAlimu Wa tatu, ambao wana research pam9ja as ONE!
@oopsm35742 ай бұрын
Kweli binaadamu, akili za kutu hazi safiki.😂😂
@josemu8702 ай бұрын
Barikiweni
@hamisiomaryi16992 ай бұрын
Allah hakupeni hafya njema mashrkhewetu kwa kuitetea dini ya kweli
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@ibrahimmohd68592 ай бұрын
Kuna jamaa kateleza apo ,nimeirudia rudia 😁😁
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Kuteleza ni kawaida ya mwanadamu
@ibrahimmohd6859
2 ай бұрын
Unakosaje kuanguka tope hizi ?😊
@MOHDNASSOR-zv5cx2 ай бұрын
UCHALAMA ALEYKU ALEYKUM CHALAM VP HALI ZENU HAMJAMBO WAZIMA ACHANTENI BAARAQA ALLAH FIIYKUM ♥️
@sheemaryam
2 ай бұрын
It's Asalam not achalam
@Jingajinga64
2 ай бұрын
Mwacheni huyo msumbufu musimjibu chochote anafanya kusudi kila anavyolekezwa hasikii. Nashuku kama ni mwislamu
@sheemaryam
2 ай бұрын
Kwa hvyo ni kusudi @@Jingajinga64
@xaliimacabdullahi-lb8iz
2 ай бұрын
Kabsa @@Jingajinga64
@molee2339
2 ай бұрын
@@sheemaryam Correct.
@loner_wolf2 ай бұрын
Wananzengo wameona Salim tu kupendeza 😅😅😅. Kwani sikuzingine huwa anachusha ? Acheni kuleta mambo ya nje ya nia na malengo ya daawa❤❤❤
@minaniyasini78342 ай бұрын
Allah awape subra katika kuwalinganiya wasiyo kuwa wa islam
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@samxx4112 ай бұрын
Hao wakristo maradhi yesu tu, wanahisi wanampenda na wanamfata kuliko watu wote...kumbee maskini wanatia huruma sana...ikisha wana imani kuwa mitume na manabii wote sio njia, njia ni yesu tu...
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hawajui na hawajui kama hawajui
@samxx411
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 na hawataki kujuwa
@sahalsharif67402 ай бұрын
Masha'allah tabarakallah ❤
@mwangimuhammad-sx9hb2 ай бұрын
Wa alaykum salaam warahmatullahi wabarakatuhu
@user-il2pj8km7r2 ай бұрын
Nawashukuru sana kwa yale ambayo mnafanya,mimi nilisilimu juzi nikaitwa Riziki,natafuta kusoma dini lakini sijuhi nisomee wapi na kama nitaenda kusoma bali na familia itaishi namna gani
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Uko area gani Kenya
@HNs-px8mz
2 ай бұрын
Karibu ndugu katika imani
@AlhajiSaidi-uo8zl2 ай бұрын
Asante nuru uwisilamu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
@suleimanmosooud9405
2 ай бұрын
Ukosa kidogo yahudi kapewa ruhusa. Sio hao ma zayun.
@everlynechepkoech56492 ай бұрын
Mashaaaaa Allah
@sheemaryam2 ай бұрын
Asalam aleikum watazamaji na masheikh mwenye akona na nafasi ya kazi ya dereva , ( TRUCK DRIVER) Naomba TAFADHALINI
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
Utapata inshaallah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah nitauliza baadhi ya watu
@sheemaryam
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 in sha Allah nitafurahia sanaa imekuwa ngumu na maisha sanaa
@hassadube2252 ай бұрын
Mash Allah
@mansooralaisri52002 ай бұрын
Hakika darasa la leo ni Nur
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Mpaka kieleweke
@abdallasuleiman87852 ай бұрын
Tatizo la wakristo bibilia hawaisomi ndio maana maandiko mengi munapowasomea wanaona ni geni kwao. Wamezoea kulishwa na wachungaji wao.
@aliomar59542 ай бұрын
Asalaamualaikum warahmatullah wabarakaatuh aki sijaona mtu mshindani kama huyo pastor wa Leo weeeh...😢
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ndio kawaida ya wachungaji
@nicholasmainakarangi11432 ай бұрын
Huyu mchungaji haelewi hii maneno
@loner_wolf2 ай бұрын
Huyo mchungaji fukuza hana mpya 😅😅😅
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Inn shaa Allah
@alyumaraos2 ай бұрын
Huyo anajiita mchungaji ila ana westing time hana jipya kwanza yuko na jazba t na yupo kiupingani hayupo kujifunza.
@chiefmkalikibz15032 ай бұрын
Bin Wanyoike, umemueleza na kumjibu kwa ufasaha kabisa. Jaribuni mumtembelee kwake ili mufikishie jamaa Zake pia, maana ni wazi uzito kwake ni mahaba kwao. #jeshiLielekeePalestine #FanyiaKaziMabadiliko #FanyiaKaziAmani #FanyiaKaziKhilafah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Inn shaa Allah tutafanya mpaka huyo wa kumtembelea
@jumamsembe12132 ай бұрын
Kiswahili ndio shida ya hawa watu..pastor anajifanya haelewi na yote ako nayo 😂..anajua ukweli lakn. Aibu ya kukubali
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah
@salimaljahwari1
2 ай бұрын
بارك الله فيكم على هذا العمل يوفقكم الله و الى الجنة الفردوس الأعلى
@ahmednasib84652 ай бұрын
Huyo nimbishi tu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Tena sana
@janieali55212 ай бұрын
THAT GOD INSIDE JESUS IS THE MOST STUPENDOUS THING EVER.
@mohanoor9052 ай бұрын
Haina sauti
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Jaribu kufungua tena sauti iko sawa inn shaa Allah
@nassorsaid3150
2 ай бұрын
Sauti inayo ww ingia kwenye app nyengine ya vidmate
@newtonkavai97962 ай бұрын
nyinyi muokoke mjue yesu muhmendi Ni Nani Mimi najua yesu pekee
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hahaaaaaaa wapi andiko kwa bibilia inasema watu waokoke
@Dullahz2 ай бұрын
Christians must use their common sense smtyms ssa hilo andiko la 'Yesu ndie Njia bila yesu huendi kwa baba' that means watu wenye walikua before yesu hajazaliwa wataenda wapi na hawamjui Yesu😂
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hivyo ndiyo tuliuliza mchungaji
@janieali55212 ай бұрын
NIMEONA WAJINGA LAKINI HUYO NI MJINGA WA MWISHO.
@KibunjaMichael2 ай бұрын
I lost my phone now am back mashallah 🎉
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Welcome brother
@fadhilijuma-yo4sh2 ай бұрын
❤❤❤❤ 😢 g😢o😢 😢😢 😢
@user-my3jz9dj1m2 ай бұрын
huyu hana chochote.very rigid and not ready to learn
@NimoJama-iw6tgАй бұрын
He is mad man
@mkpaul2132 ай бұрын
Mwalimu nipe namba yako. Niko na jambo ningependa tuongelelee
@salimdaawah123
2 ай бұрын
+254 727 431 691
@shabamuhidin6342 ай бұрын
Nimefuatilia mihadhara mingi,ile kitu nimegundua ni Kua Wakristo lugha inawasumbua sana,pia they dont give much attention to the language of revelations in the Bible...yani ni lugha tu imewachukua percentage kubwa katika kuelewa maandiko.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hiyo nayo umesema ukweli
@chiefmkalikibz15032 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@andrewnjuguna688Ай бұрын
Hakuna muslim,ashanijibu, ni wapi Allah,alisema Muhammad is my prophet😂
Пікірлер: 145
Sheikh salim kwa mkiristo ambae anataka kusoma basi atakuelewa ila kama yupo kiubishiubishi kamwe hatoelewa....njia ya Mungu inaisomesha vizuri.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
Tunawapenda mashekhe zetu kwa ajili ya Allah ❤ Allah awahifadhi nyote Ameen
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
Kazi safi walimu 👏 Ali wanifurahisha
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Masha Allah
ALLAHUMA BARIK, ALLAH awazidishie hikma mashekh yetu
ALLAH awape umri mrefu vipenzi vyetu.Tunawapenda sana hatuchoki kuwaombea duwaa.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin tunawapenda sana kwa ajili ya Allah
@Sal.0
2 ай бұрын
Ameeen.
Masha Allah Masheikh .. Mchungaji Kashaelewa Lakn Kupotezamdatu
Masha allah umependeza sheikh wetu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
Pole shekhe Salim huyu mchungaji hajielewi
Ma sha Allah sheikh kapendeza na kanzu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Alhamdulillah tunashukuru tunakupenda kwa ajili ya Allah
Masha allah ❤❤❤❤❤❤
MashaAlah ustadh salim leo umependeza.. Allah awalipe kazi zenu na ustadh Ali pia tunakupenda tena unavowachemsha tunafurai.. Allah awape hekma na uvumilivu kw da'wah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
TabarakAllah Team. Mada Nzuri sana Na Swali la UCHINJO wa WaNyaama, ime jibiwa POA kabisa na Ustad Sal8m! Well done! Huyu WAMBuA ni time Waster sana, na HATAKI, kabisa, ku ELEWA chochote!
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Tumemjua ni time waster
MashAllah MashAllah Mashekhe zetu kazi imekubali ikatii kikamilifu BARRAQALLAHUFIQUM
Kazi nzuri sana walimu wangu
Wonderful job brother Salim. Unatumia hikma kubwa na stahamala ya hali ya juu kufikisha ujumbe kwa ndugu zetu hawa. Allah akulipe
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
Allaah awalipe kila la kheri kwa kazi yenu nzuri.katika lile suali la kuchinja katika dakika ya 18:36 pale aliposema kuleni na mulishe makafiri Alii aliteleza kibinadamu ila ni mulishe MAFAKIRI badala ya makafiri .Sote binadamu huteleza hasa maneno kama yafanana ndio kabisaa.Allaah awape afya na nguvu ya kuendeleza daawah hii.
Asalam alaykum sheh nawapenda Sana Allah awazidishie kila laheri inshaallah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
MCHUNGAJI BAKIA HUKO HUKO MFUTEA SHITANI WAPO WENGI IN SHAA ALLAH WATAKAO SILIMU NAWENGI WANASALIMU MCHUNGAJI KAA HIVYO HIVYO NA UBISHI WAKO NA USHINDANI LAKINI VIZURI SANA SHEIKH SALIM KUMPA MCHUNGAJI USHINDI MCHUNGAJI UMESHINDA KIKOMBE CHA SHABAA
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Huyu mchungaji anaelewa ila ni ubishi tu ako nayo
@jumahamad9463
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 VIZURI SANA ULIVYO FANYA NAKUMPA USHINDI WAKIKUMBE CHA SHABAA ATACHOKUNYEA MAJI MOTONI MADAMU ANAPINGA MWENYEWENZI MUNGU ALLAH MCHUNGAJI AJIJUWE MOTONI TU ULIBASHIRIWA WASHIRIKINA KAMA MCHUNGAJI
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 alikuwa ataka kupoteza wakati tu
@Zainab_salat
2 ай бұрын
Umesahau fungu 10
@fadhilijuma-yo4sh
2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
مشأ الله تبارك الرحمن
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
Ndugu nafikiri ume maanisha hii ماشاء الله تبارك الرحمن
Jazzaqallaaah Khair... Shekh wangu nakupend sana kwaajili ya Allaah, sina uwezo lakni mchango wangu kwako ni dua njema, allaah akunusuru, akujaalie mwisho mwema ww na familia yako kwa huruma na mapenzi yake.
@salimdaawah123
20 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
Mashallah tunawafutilia vizur sana kutoka zanzibar ❤❤❤❤
Allah amzidishie hekma n elimu n afya mzidi kuwatoa taka maskio y nyoyo zao
Insha Allah Naomba Allah awalinde nawatu wawovu namashetani wabaya naawalinde namarazi ili Muendelee kutufikishia maneno ya Allah Mumewaelemisha wengi kwakutufunza ginzi yakuwajibu makafiri asante
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
MashaAllah Tabarak Allah Masheikh wetu, asanteni sana kwa mafundisho bora kabisa. Na twashukuru kwa kuwatoa hao wakristo katika giza.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Kazi yetu nikufikisha ujumbe wa Allah
Masha Allah salim mungu akuzidishia Eleza sh Ali achani na wenye wanauliza maswali akwa tu msomaji tu please
MashaAllah mungu Awalipe janah haswa ustadh salim nakupenda sana.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
mashaAllah mashaAllah mashaAllah.. Allah awazidishie elimu na hekma,awape na afya njema ya rabbi
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
Mashallaha
Masha Allah ❤❤
MashaAllah Allah awape Jannah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin sote
Akhui salim somo yangu ndugi yangu jibu lako safi sana.maashaallah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Kazi yetu nikufikisha tu Allah awaongoze waione haki na waifuate
WALAI SALIM WEWE NDIO UKO NA HEKMA YA KUFUNZA HAWA WATU
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Wote walimu Salim ni mwanafunzi bado
@Sai.Mo69
2 ай бұрын
Kweli Kabisa. Lakuni pia ni Teamwork ya WaAlimu Wa tatu, ambao wana research pam9ja as ONE!
Kweli binaadamu, akili za kutu hazi safiki.😂😂
Barikiweni
Allah hakupeni hafya njema mashrkhewetu kwa kuitetea dini ya kweli
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
Kuna jamaa kateleza apo ,nimeirudia rudia 😁😁
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Kuteleza ni kawaida ya mwanadamu
@ibrahimmohd6859
2 ай бұрын
Unakosaje kuanguka tope hizi ?😊
UCHALAMA ALEYKU ALEYKUM CHALAM VP HALI ZENU HAMJAMBO WAZIMA ACHANTENI BAARAQA ALLAH FIIYKUM ♥️
@sheemaryam
2 ай бұрын
It's Asalam not achalam
@Jingajinga64
2 ай бұрын
Mwacheni huyo msumbufu musimjibu chochote anafanya kusudi kila anavyolekezwa hasikii. Nashuku kama ni mwislamu
@sheemaryam
2 ай бұрын
Kwa hvyo ni kusudi @@Jingajinga64
@xaliimacabdullahi-lb8iz
2 ай бұрын
Kabsa @@Jingajinga64
@molee2339
2 ай бұрын
@@sheemaryam Correct.
Wananzengo wameona Salim tu kupendeza 😅😅😅. Kwani sikuzingine huwa anachusha ? Acheni kuleta mambo ya nje ya nia na malengo ya daawa❤❤❤
Allah awape subra katika kuwalinganiya wasiyo kuwa wa islam
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
Hao wakristo maradhi yesu tu, wanahisi wanampenda na wanamfata kuliko watu wote...kumbee maskini wanatia huruma sana...ikisha wana imani kuwa mitume na manabii wote sio njia, njia ni yesu tu...
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hawajui na hawajui kama hawajui
@samxx411
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 na hawataki kujuwa
Masha'allah tabarakallah ❤
Wa alaykum salaam warahmatullahi wabarakatuhu
Nawashukuru sana kwa yale ambayo mnafanya,mimi nilisilimu juzi nikaitwa Riziki,natafuta kusoma dini lakini sijuhi nisomee wapi na kama nitaenda kusoma bali na familia itaishi namna gani
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Uko area gani Kenya
@HNs-px8mz
2 ай бұрын
Karibu ndugu katika imani
Asante nuru uwisilamu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
@suleimanmosooud9405
2 ай бұрын
Ukosa kidogo yahudi kapewa ruhusa. Sio hao ma zayun.
Mashaaaaa Allah
Asalam aleikum watazamaji na masheikh mwenye akona na nafasi ya kazi ya dereva , ( TRUCK DRIVER) Naomba TAFADHALINI
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
Utapata inshaallah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah nitauliza baadhi ya watu
@sheemaryam
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 in sha Allah nitafurahia sanaa imekuwa ngumu na maisha sanaa
Mash Allah
Hakika darasa la leo ni Nur
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Mpaka kieleweke
Tatizo la wakristo bibilia hawaisomi ndio maana maandiko mengi munapowasomea wanaona ni geni kwao. Wamezoea kulishwa na wachungaji wao.
Asalaamualaikum warahmatullah wabarakaatuh aki sijaona mtu mshindani kama huyo pastor wa Leo weeeh...😢
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ndio kawaida ya wachungaji
Huyu mchungaji haelewi hii maneno
Huyo mchungaji fukuza hana mpya 😅😅😅
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Inn shaa Allah
Huyo anajiita mchungaji ila ana westing time hana jipya kwanza yuko na jazba t na yupo kiupingani hayupo kujifunza.
Bin Wanyoike, umemueleza na kumjibu kwa ufasaha kabisa. Jaribuni mumtembelee kwake ili mufikishie jamaa Zake pia, maana ni wazi uzito kwake ni mahaba kwao. #jeshiLielekeePalestine #FanyiaKaziMabadiliko #FanyiaKaziAmani #FanyiaKaziKhilafah
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Inn shaa Allah tutafanya mpaka huyo wa kumtembelea
Kiswahili ndio shida ya hawa watu..pastor anajifanya haelewi na yote ako nayo 😂..anajua ukweli lakn. Aibu ya kukubali
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Ndio hivyo
سالم ماساءتلله
Waulizeni maswali ili mjue frikra Zao zikoje
Shekh.Salim Hao niwale walio pigwa muhuri hawasiki hawaoni
❤
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu Ustadh Ali. ❤ MashaAllah Ustadh Salim umependeza na io Kanzu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah
@salimaljahwari1
2 ай бұрын
بارك الله فيكم على هذا العمل يوفقكم الله و الى الجنة الفردوس الأعلى
Huyo nimbishi tu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Tena sana
THAT GOD INSIDE JESUS IS THE MOST STUPENDOUS THING EVER.
Haina sauti
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Jaribu kufungua tena sauti iko sawa inn shaa Allah
@nassorsaid3150
2 ай бұрын
Sauti inayo ww ingia kwenye app nyengine ya vidmate
nyinyi muokoke mjue yesu muhmendi Ni Nani Mimi najua yesu pekee
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hahaaaaaaa wapi andiko kwa bibilia inasema watu waokoke
Christians must use their common sense smtyms ssa hilo andiko la 'Yesu ndie Njia bila yesu huendi kwa baba' that means watu wenye walikua before yesu hajazaliwa wataenda wapi na hawamjui Yesu😂
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hivyo ndiyo tuliuliza mchungaji
NIMEONA WAJINGA LAKINI HUYO NI MJINGA WA MWISHO.
I lost my phone now am back mashallah 🎉
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Welcome brother
❤❤❤❤ 😢 g😢o😢 😢😢 😢
huyu hana chochote.very rigid and not ready to learn
He is mad man
Mwalimu nipe namba yako. Niko na jambo ningependa tuongelelee
@salimdaawah123
2 ай бұрын
+254 727 431 691
Nimefuatilia mihadhara mingi,ile kitu nimegundua ni Kua Wakristo lugha inawasumbua sana,pia they dont give much attention to the language of revelations in the Bible...yani ni lugha tu imewachukua percentage kubwa katika kuelewa maandiko.
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Hiyo nayo umesema ukweli
😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna muslim,ashanijibu, ni wapi Allah,alisema Muhammad is my prophet😂
Muslims hamna kiongozi...mnamngoja Imam Mahdi(antichrist) aje awaongoze
@HNs-px8mz
2 ай бұрын
Hiyo ayyah umetoa wap?izo n paukwa pakale
@user-hy5zd5rn6r
2 ай бұрын
@@HNs-px8mz Wewe ni sunni au shia muslim?
Asalaamualaikum warahmatullah wabarakaatuh aki sijaona mtu mshindani kama huyo pastor wa Leo weeeh...😢
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ndio kawaida ya wachungaji
Dah hii kazi ya daawa inataka subra kubwa yaani mtu kila ukimfahamisha kichwa ngumu
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Allah atupe subra
@rahmaali6662
2 ай бұрын
@@salimdaawah123 Aamiin