Msabato ajaribu kupindua maandiko aona moto kimeeleweka leo ni leo moto sana.Feb 11/2024

Пікірлер: 56

  • @samxx411
    @samxx4115 ай бұрын

    Mwl. Salim nakukubali sana

  • @jamaamaalim6781
    @jamaamaalim67815 ай бұрын

    MashaAllah! Ndugu zetu wote wanaofanya dawah Mola awajalie umri mrefu,siha njema na awalinde na matatizo yoyote inshaAllah.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @TabuOdhiamboOmiya
    @TabuOdhiamboOmiya5 ай бұрын

    Allah awajalie masheikh wetu ambao wanatuwakilisha viwanjani na awalipe Jannah Tul Firdaus

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @nancyruguru653

    @nancyruguru653

    4 ай бұрын

    Ameen Ya RABIH

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt7 сағат бұрын

    Walykm.msalam.warahamatu.lhah.wabarakatuh..Tunawaombea.mashekh.wetu.siku.zoote.natunawapenfa...kwaAjiliyaAllah.

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh5 ай бұрын

    Mashallah mafunzo mazuri Asante sana Allah awajarie ma shekh

  • @saudahassan3804
    @saudahassan38045 ай бұрын

    Mashallah Allah awalipe duniani na kesho akhera

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @abumanshurumusa6015
    @abumanshurumusa60154 ай бұрын

    Mashaallah nafrai sana kwa mawaidha yenu haswa ustadh salim unafunza vizur mambo ya dawaa,ila huyo Ali ako na hasira sana Awe na subira inshaallah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24445 ай бұрын

    Yani ustadh Salim akiwa na Mike mkononi nahisi utulivu moyoni,, barakallahu feekum masheikh.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @dulividuli5237
    @dulividuli52375 ай бұрын

    Mie huwa anankera Ally tu kurushiana maneno na watu wa pembeni kwani hamuoni Shekh Salim anapokuw msomaji anakaa kmyaa kaz yke ni kusoma tu na kusklz.

  • @hanifa9153
    @hanifa91535 ай бұрын

    Mashaallah masheikh zetu allahumma bariki💞💞💞

  • @shurlaally1686
    @shurlaally16865 ай бұрын

    Maashallah sheikh umefundisha vizri

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed61455 ай бұрын

    Barakallahu Feek

  • @aminayunis7545
    @aminayunis75455 ай бұрын

    Waleikum mslm warahmatullahi wabarakt sheikh Salim mungu awabariki ww na sheikh wenzako .Ali na Hassan kwa kueneza dini yetu Allah awaongoze

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @user-ro9ch4jf2m
    @user-ro9ch4jf2m5 ай бұрын

    Allah awabarik mashekhe zetu

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid23565 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 ALLAHU AKBAR najibamba tu na maandiko hustadhi Salim watukip bizi umetufanya tumekuw adikted na maandiko Yani mm nikikosa kusikiza Sina Raha nasema nimalize kazi haraka nije ni sikize maandiko ALLAH awalinde walimu wetu kwakila shari

  • @guyogalora2736
    @guyogalora27365 ай бұрын

    Waleikum salam warhamatul wabaraqatu sheikh salim

  • @RashidChidi-pl5ie
    @RashidChidi-pl5ie5 ай бұрын

    Adhana ni kelele na fujo kwa wagonjwa na wazima wasojua utukufu wa Allah, lkn ni furaha na faraja kwa wtt wagonjwa na wazima wanaomjua Allah.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Ukweli kabisa

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk5 ай бұрын

    Alhamdulillah ❤

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga645 ай бұрын

    @12:27 anasema "Ukituma pesa kimakosa nitakula". Hana haya wala aibu. Kisha ameokoka. Hao mimi naona wamepotoka. Angalieni wanaweza kuwachomolea simu zenu. Alhamdulillah kwa neema ya uislamu.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar6775 ай бұрын

    Asalam aleikum warahmatulahi wabarakatuh

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga645 ай бұрын

    Assalamu Alaykum. Alhamdulillah,, wabihii nastainu.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert79825 ай бұрын

    Huyu jamaa ni mnafiki yaa watu wa Allah kuita haqi, ni vibaya kweli, ati watoto wamelala😂😂

  • @hanifa9153

    @hanifa9153

    5 ай бұрын

    Waajabu sana kwanza kasema hana dini na ako tu kuongela yesu masaa yote na hana dini😂😂😂

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l5 ай бұрын

    Allah amfanyie wepesi walim ngu ampe afya njema elimu n hekm mzidi kueneza dini ya haki

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @aishaally6602
    @aishaally66025 ай бұрын

    ALLAH ajekumuongoa huyu mkorino aje aione haki anaonekana kuna ukweli unamuuingia kidogo

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin

  • @gakobwaadija7949
    @gakobwaadija79495 ай бұрын

    ماشاءالله تبارك الله

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42725 ай бұрын

    Ali anashekesha sana .ukimwambiakitu anasemanawatuwaije.sheikh wetu. Asalam alaykum.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    7 сағат бұрын

    MashaAllah.atamim Nampenda.kwaAjili.YaAllah.Na.Mtume.wake.na.nawapenda.mashekhe.wote.utupatia.Elim.natunafarijika.saana.Naunifurahishaga.saana. Shekh.Salm.anaposemaga.Eti.alitaka.kuwa.Fatha...walah..nacheka..mie

  • @oopsm3574
    @oopsm35745 ай бұрын

    Ali anataka awe format na update software mpya , hiyo ya zamani inaleta matatizo.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Hahaaaaaaa

  • @SalimHumud
    @SalimHumud2 ай бұрын

    Hao kichwa ngumu hawaelewi

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    2 ай бұрын

    Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6344 ай бұрын

    kama kuzungumzia kuhusu kelele,uyo mzee awache kabsaa kuuliza swali ilo,ivi ninacomment hapa,leo ni friday ata watu wamestuka roho zao manake leo kuna ibada ya Wakristo usiku wa leo,ile mziki inapigwa usiku kucha ata wakisto wenyewe majirani zetu wanacomplain,ivi ninaongea kesi ipo kwa chief na waliopeleka kesi ni wakristo wenyewe,watu wanapiga mziki mpaka saa nane usiku

  • @samxx411
    @samxx4115 ай бұрын

    Huyo sheikh Ali muwe mnamshituashitua ni mwepesi kureact..anaonekana mwepesi kukasirika, dini ni hekma.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Inn shaa Allah tutafanya hivyo

  • @samxx411
    @samxx4115 ай бұрын

    Mie nahisi hao wanaosema hawana dini wakristo ila wameona ukweli ila kuikubali haki pia hawataki

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Ndio maanake yani bado kindogo tu wasilimu

  • @sheemaryam
    @sheemaryam5 ай бұрын

    Sheikh nawaomba mumtafutie huyo mukurino quran naona akiishika anaisoma tu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Inn shaa Allah tutatafuta

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi12558 күн бұрын

    Funny hana dini Naa. Ana chukia wa islamu. Ni maini yangu ville Ana ongea lakin Allah. A baite hidaya

  • @sheemaryam
    @sheemaryam5 ай бұрын

    Ukiskia sina dini juwa yeye ni mkristo 😂😂😂 wanaunjanja hawa watu Alfu kama yesu alitumwa kwa wengine basi ya Israeli ni uwongo ama inafaa kesho umuulize uyo msabato juu yaonekana ya yesu ni uwongo

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    5 ай бұрын

    Yeah siku hizi wameficha na kusema hawana dini lakini ni wakristo

Келесі