Mashallah mafunzo mazuri Asante sana Allah awajarie ma shekh
@saudahassan38045 ай бұрын
Mashallah Allah awalipe duniani na kesho akhera
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@abumanshurumusa60154 ай бұрын
Mashaallah nafrai sana kwa mawaidha yenu haswa ustadh salim unafunza vizur mambo ya dawaa,ila huyo Ali ako na hasira sana Awe na subira inshaallah
@jamilaomari24445 ай бұрын
Yani ustadh Salim akiwa na Mike mkononi nahisi utulivu moyoni,, barakallahu feekum masheikh.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Alhamdulillah
@dulividuli52375 ай бұрын
Mie huwa anankera Ally tu kurushiana maneno na watu wa pembeni kwani hamuoni Shekh Salim anapokuw msomaji anakaa kmyaa kaz yke ni kusoma tu na kusklz.
@hanifa91535 ай бұрын
Mashaallah masheikh zetu allahumma bariki💞💞💞
@shurlaally16865 ай бұрын
Maashallah sheikh umefundisha vizri
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Alhamdulillah
@jasminmohamed61455 ай бұрын
Barakallahu Feek
@aminayunis75455 ай бұрын
Waleikum mslm warahmatullahi wabarakt sheikh Salim mungu awabariki ww na sheikh wenzako .Ali na Hassan kwa kueneza dini yetu Allah awaongoze
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@user-ro9ch4jf2m5 ай бұрын
Allah awabarik mashekhe zetu
@fatimahrashid23565 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ALLAHU AKBAR najibamba tu na maandiko hustadhi Salim watukip bizi umetufanya tumekuw adikted na maandiko Yani mm nikikosa kusikiza Sina Raha nasema nimalize kazi haraka nije ni sikize maandiko ALLAH awalinde walimu wetu kwakila shari
@guyogalora27365 ай бұрын
Waleikum salam warhamatul wabaraqatu sheikh salim
@RashidChidi-pl5ie5 ай бұрын
Adhana ni kelele na fujo kwa wagonjwa na wazima wasojua utukufu wa Allah, lkn ni furaha na faraja kwa wtt wagonjwa na wazima wanaomjua Allah.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Ukweli kabisa
@Noorein-ws8wk5 ай бұрын
Alhamdulillah ❤
@Jingajinga645 ай бұрын
@12:27 anasema "Ukituma pesa kimakosa nitakula". Hana haya wala aibu. Kisha ameokoka. Hao mimi naona wamepotoka. Angalieni wanaweza kuwachomolea simu zenu. Alhamdulillah kwa neema ya uislamu.
Ali anataka awe format na update software mpya , hiyo ya zamani inaleta matatizo.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Hahaaaaaaa
@SalimHumud2 ай бұрын
Hao kichwa ngumu hawaelewi
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
@shabamuhidin6344 ай бұрын
kama kuzungumzia kuhusu kelele,uyo mzee awache kabsaa kuuliza swali ilo,ivi ninacomment hapa,leo ni friday ata watu wamestuka roho zao manake leo kuna ibada ya Wakristo usiku wa leo,ile mziki inapigwa usiku kucha ata wakisto wenyewe majirani zetu wanacomplain,ivi ninaongea kesi ipo kwa chief na waliopeleka kesi ni wakristo wenyewe,watu wanapiga mziki mpaka saa nane usiku
@samxx4115 ай бұрын
Huyo sheikh Ali muwe mnamshituashitua ni mwepesi kureact..anaonekana mwepesi kukasirika, dini ni hekma.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Inn shaa Allah tutafanya hivyo
@samxx4115 ай бұрын
Mie nahisi hao wanaosema hawana dini wakristo ila wameona ukweli ila kuikubali haki pia hawataki
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Ndio maanake yani bado kindogo tu wasilimu
@sheemaryam5 ай бұрын
Sheikh nawaomba mumtafutie huyo mukurino quran naona akiishika anaisoma tu
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Inn shaa Allah tutatafuta
@adrisshagi12558 күн бұрын
Funny hana dini Naa. Ana chukia wa islamu. Ni maini yangu ville Ana ongea lakin Allah. A baite hidaya
@sheemaryam5 ай бұрын
Ukiskia sina dini juwa yeye ni mkristo 😂😂😂 wanaunjanja hawa watu Alfu kama yesu alitumwa kwa wengine basi ya Israeli ni uwongo ama inafaa kesho umuulize uyo msabato juu yaonekana ya yesu ni uwongo
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Yeah siku hizi wameficha na kusema hawana dini lakini ni wakristo
Пікірлер: 56
Mwl. Salim nakukubali sana
MashaAllah! Ndugu zetu wote wanaofanya dawah Mola awajalie umri mrefu,siha njema na awalinde na matatizo yoyote inshaAllah.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
Allah awajalie masheikh wetu ambao wanatuwakilisha viwanjani na awalipe Jannah Tul Firdaus
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@nancyruguru653
4 ай бұрын
Ameen Ya RABIH
Walykm.msalam.warahamatu.lhah.wabarakatuh..Tunawaombea.mashekh.wetu.siku.zoote.natunawapenfa...kwaAjiliyaAllah.
Mashallah mafunzo mazuri Asante sana Allah awajarie ma shekh
Mashallah Allah awalipe duniani na kesho akhera
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
Mashaallah nafrai sana kwa mawaidha yenu haswa ustadh salim unafunza vizur mambo ya dawaa,ila huyo Ali ako na hasira sana Awe na subira inshaallah
Yani ustadh Salim akiwa na Mike mkononi nahisi utulivu moyoni,, barakallahu feekum masheikh.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Alhamdulillah
Mie huwa anankera Ally tu kurushiana maneno na watu wa pembeni kwani hamuoni Shekh Salim anapokuw msomaji anakaa kmyaa kaz yke ni kusoma tu na kusklz.
Mashaallah masheikh zetu allahumma bariki💞💞💞
Maashallah sheikh umefundisha vizri
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Alhamdulillah
Barakallahu Feek
Waleikum mslm warahmatullahi wabarakt sheikh Salim mungu awabariki ww na sheikh wenzako .Ali na Hassan kwa kueneza dini yetu Allah awaongoze
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
Allah awabarik mashekhe zetu
😂😂😂😂😂 ALLAHU AKBAR najibamba tu na maandiko hustadhi Salim watukip bizi umetufanya tumekuw adikted na maandiko Yani mm nikikosa kusikiza Sina Raha nasema nimalize kazi haraka nije ni sikize maandiko ALLAH awalinde walimu wetu kwakila shari
Waleikum salam warhamatul wabaraqatu sheikh salim
Adhana ni kelele na fujo kwa wagonjwa na wazima wasojua utukufu wa Allah, lkn ni furaha na faraja kwa wtt wagonjwa na wazima wanaomjua Allah.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Ukweli kabisa
Alhamdulillah ❤
@12:27 anasema "Ukituma pesa kimakosa nitakula". Hana haya wala aibu. Kisha ameokoka. Hao mimi naona wamepotoka. Angalieni wanaweza kuwachomolea simu zenu. Alhamdulillah kwa neema ya uislamu.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Alhamdulillah
Asalam aleikum warahmatulahi wabarakatuh
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Assalamu Alaykum. Alhamdulillah,, wabihii nastainu.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Huyu jamaa ni mnafiki yaa watu wa Allah kuita haqi, ni vibaya kweli, ati watoto wamelala😂😂
@hanifa9153
5 ай бұрын
Waajabu sana kwanza kasema hana dini na ako tu kuongela yesu masaa yote na hana dini😂😂😂
Allah amfanyie wepesi walim ngu ampe afya njema elimu n hekm mzidi kueneza dini ya haki
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
ALLAH ajekumuongoa huyu mkorino aje aione haki anaonekana kuna ukweli unamuuingia kidogo
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
ماشاءالله تبارك الله
Ali anashekesha sana .ukimwambiakitu anasemanawatuwaije.sheikh wetu. Asalam alaykum.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@SalmanMughal-lq5lt
7 сағат бұрын
MashaAllah.atamim Nampenda.kwaAjili.YaAllah.Na.Mtume.wake.na.nawapenda.mashekhe.wote.utupatia.Elim.natunafarijika.saana.Naunifurahishaga.saana. Shekh.Salm.anaposemaga.Eti.alitaka.kuwa.Fatha...walah..nacheka..mie
Ali anataka awe format na update software mpya , hiyo ya zamani inaleta matatizo.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Hahaaaaaaa
Hao kichwa ngumu hawaelewi
@salimdaawah123
2 ай бұрын
Allah awaongoze waione haki na waifuate
kama kuzungumzia kuhusu kelele,uyo mzee awache kabsaa kuuliza swali ilo,ivi ninacomment hapa,leo ni friday ata watu wamestuka roho zao manake leo kuna ibada ya Wakristo usiku wa leo,ile mziki inapigwa usiku kucha ata wakisto wenyewe majirani zetu wanacomplain,ivi ninaongea kesi ipo kwa chief na waliopeleka kesi ni wakristo wenyewe,watu wanapiga mziki mpaka saa nane usiku
Huyo sheikh Ali muwe mnamshituashitua ni mwepesi kureact..anaonekana mwepesi kukasirika, dini ni hekma.
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Inn shaa Allah tutafanya hivyo
Mie nahisi hao wanaosema hawana dini wakristo ila wameona ukweli ila kuikubali haki pia hawataki
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Ndio maanake yani bado kindogo tu wasilimu
Sheikh nawaomba mumtafutie huyo mukurino quran naona akiishika anaisoma tu
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Inn shaa Allah tutatafuta
Funny hana dini Naa. Ana chukia wa islamu. Ni maini yangu ville Ana ongea lakin Allah. A baite hidaya
Ukiskia sina dini juwa yeye ni mkristo 😂😂😂 wanaunjanja hawa watu Alfu kama yesu alitumwa kwa wengine basi ya Israeli ni uwongo ama inafaa kesho umuulize uyo msabato juu yaonekana ya yesu ni uwongo
@salimdaawah123
5 ай бұрын
Yeah siku hizi wameficha na kusema hawana dini lakini ni wakristo