Majini wako wanzuri na wa mbaya au wote ni wa mbaya maswali ya ulizwa viwanjani leo

Пікірлер: 69

  • @aishahazary4097
    @aishahazary409725 күн бұрын

    Maasha Allah.ALLAH awalinde wahadhir wetu vipenz.Niliwafikiria sana na kuwaombea duwaa kutokana na kinachoendelea Kenya....ALLAH KARIM

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Aameen ameen ameen alhamdulillah tuko salama shukuran kwa duaa

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh604225 күн бұрын

    Alhamdulillah ala salama. Tumefurahi kuwaona tena Mashekhe wetu. Mungu Awahifadhi

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Aameen ameen ameen

  • @daawaonestreetassociation.5702
    @daawaonestreetassociation.570225 күн бұрын

    Assalam alykum warramatullah wabarakatuh hali zenu MashaAllah Allah awafanyihe wepesi katika kazi ya daawah. Kijana MashaAllah anajitaidi sana

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh walimu wa kesho hawa inn shaa Allah yuko sawa sana

  • @loner_wolf
    @loner_wolf25 күн бұрын

    Maandamano yamekwisha au mmeingia viwanjani kibabe😅😅😅😅? Kwako Sheikh Salim

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Kumetulia kiasi alhamdulillah

  • @rizikiali328
    @rizikiali32825 күн бұрын

    Mashallah masheikh Allah awahifadhi na awalipe kila kheri sheikh Salim umesema kwel kuna wanao sema majiniwanaweza kukusaidia na ati wanajiita waislamu hasa watu wanaotumia falaki hawa wanauhdalilisha uislamu Allah awaongoze awaonyeshe haki

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed614520 күн бұрын

    SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek

  • @twasckozedon9237
    @twasckozedon923718 күн бұрын

    Mashaallah hao wanaelewa ila majeuri to ! Mungu awalipe inshaallah

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u25 күн бұрын

    مشأ الله تبارك الله

  • @mohagurey2214
    @mohagurey221425 күн бұрын

    Mmegoma viwanjani siku hizi

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Kenya kulikuwa moto hatungeweza kuenda viwanjani

  • @Adm9464
    @Adm946425 күн бұрын

    I feel sorry for our Christian brothers and sisters. This are the kind of pastors they listen to and they themselves don’t know and understand the scripture. Very sad

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Yeah the pastor is also confused

  • @mifunga3414
    @mifunga341424 күн бұрын

    Alhamdulillah ❤ proud I'm a Muslim .

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    24 күн бұрын

    Masha Allah

  • @user-eg4lc7dd5z
    @user-eg4lc7dd5z25 күн бұрын

    Aslc.

  • @user-eg4lc7dd5z
    @user-eg4lc7dd5z25 күн бұрын

    Allaahu Akbar

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bg25 күн бұрын

    Alhamdulillah kuliwaka moto kwenye viwanja vya daawah

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Yani mpaka kieleweke inn shaa Allah

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame386324 күн бұрын

    Mashalla ustaz salimo wanhugue

  • @abdirizakali6223
    @abdirizakali622325 күн бұрын

    Ma Sha Allah mashee wetu we miss you Hlfu kwa catholiki baba anaeza iita mwanawe baba kma mwanawe ni pastor uko😂 kidogo inachanganya akili😂 Al-Isra' 17:81 وَقُلْ جَآءَ ٱلْحَقُّ وَزَهَقَ ٱلْبَٰطِلُۚ إِنَّ ٱلْبَٰطِلَ كَانَ زَهُوقًا And say, "Truth has come, and falsehood has departed. Indeed is falsehood, [by nature], ever bound to depart."

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Ukweli ukifika uongo lazima utoweke

  • @spinicahakama4500
    @spinicahakama450025 күн бұрын

    Welcome back our Sheikh asanti kwa elimu nzuri 🙏🙏🙏🙏

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Alhamdulillah tuko salama

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed881225 күн бұрын

    Mash ALLAH alhamdulilah Neema❤❤❤

  • @bausifarouk1798
    @bausifarouk179825 күн бұрын

    Welcome dr salim ngugi without you KZread imepoa doctor

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Alhamdulillah tuko tunashukuru

  • @Adm9464
    @Adm946425 күн бұрын

    This pastor will never come back because he already knows he lost mjadala

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    We will wait for him and see if he will come back

  • @samxx411
    @samxx41125 күн бұрын

    Maskini huyo mchungaji ndo anawafundisha watu hali hiyo.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Yeah hawa ndio wachungaji kama hali yao iko ivi wafuasi watakua vipi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf13 күн бұрын

    Salim , kunaneno "KAMA".... Anasema utukufu KAMA ule wa mwana ......... KAMA imetumika kufananisha UTUKUFU waliouona na ule wa yule mwana wanaosema😅😅😅😅

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    13 күн бұрын

    Kabisa yani hiyo ni point

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l25 күн бұрын

    Allah ampe amani wakenya.nimefrai kuwaona tena alhamdulillah

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Aameen ameen ameen

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk25 күн бұрын

    Assalam alahykum warahmatullah Wabarakatuh. Alhamdhulilah. Nafurai Kwa Kuwaona Tena

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh alhamdulillah tuko salama

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z17 күн бұрын

    Huwa hakuna mwimbaji kwaya yeyote, aliye soma Biblia kwa makini. Kwani kila waimbacho, ni tofauti na kilichoandikwa ktk .Biblia. (Kupotea ni kupotea tu, jamani, tena ukiwa mbishi, hiyo ndiyo hatari kabisaa)

  • @samxx411
    @samxx41125 күн бұрын

    Ikisha wakristo wengi mawazo yao yamefanana ya kumpinga yesu lkn huhisi kama wanampenda sana. Ikisha wabishiiii

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Wengi wao hawajui na hawajui kama hawajui

  • @samxx411

    @samxx411

    25 күн бұрын

    @@salimdaawah123 wallahi ni kweli ila Allah akupe taufiq, Wallah unafanya kazi kubwa hata baadhi ya mitume walishindwa. Inshallah akupe nguvu na akulipe firdaus ya daraja la juu kabisa.

  • @josemu870
    @josemu87025 күн бұрын

    Allahamdhulla barikiweni sana

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Aameen ameen ameen

  • @josemu870

    @josemu870

    25 күн бұрын

    To be a Muslim is a massive from Allah

  • @josemu870

    @josemu870

    25 күн бұрын

    Nasoma dini pole pole online nakuja kuslim Allah do anajua

  • @nassirmwangi3351
    @nassirmwangi335121 күн бұрын

    Ustadh ujaribu next time kubeba Panadol extra

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    21 күн бұрын

    Hahaaaaaaa 😂🤣😂😂😂

  • @faridbashuu
    @faridbashuu25 күн бұрын

    Maskini Pastor 😂😂 Huyo sijui kama Atarudi tena... Maskini Biblia imewachanganya completely 😪

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Tena kabisa ila kitaeleweka tu

  • @faridbashuu

    @faridbashuu

    25 күн бұрын

    @@salimdaawah123 insha'Allah

  • @HassanAli-wf2hm
    @HassanAli-wf2hm23 күн бұрын

    Naomba Kujua Mtume Amosi ni mtume gani

  • @MrRavini

    @MrRavini

    23 күн бұрын

    Wa kwenye bibulia

  • @rizikiali328
    @rizikiali32825 күн бұрын

    Alhamdulillah nimeelimika

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Karibu sana Allah akuhifadhi

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl25 күн бұрын

    ❤❤❤❤tz

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin63424 күн бұрын

    ikiwa yeye Mkristo anajiita Muisrael sasa mtu wa Mataifa atakua nani? Wanajua wazi ila tu

  • @MrflashMobile
    @MrflashMobile25 күн бұрын

    Nina swali Suleiman mazinge yuko wapi jamani ?🙏

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Yuko ako mzima wa afya

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen670025 күн бұрын

    Kusema wewe ni mu israeli kiimani ni kama kusema wewe ni mkenya lakini mchina kiimani. Wakristo mna matatizo.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Hahaaaaaaa kweli hiyo😂🤣😂😂😂

  • @zakirfeysal4025
    @zakirfeysal402525 күн бұрын

    Sheikh ningependa. Kukija msikiti yenu iko karibu na wapi na inaitwaje? jazakallah

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Mkuru kwa Ruben kijijini karibu na police station ya mkuru kwa Ruben utatupata inn shaa Allah

  • @zakirfeysal4025

    @zakirfeysal4025

    24 күн бұрын

    @@salimdaawah123 jazakallah sheikh nitakuja karibuni inshallah

  • @attainingallroundexcellenc6992
    @attainingallroundexcellenc699225 күн бұрын

    Ali Muhsin Al-Barwani Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka. Sahih International Cursed were those who disbelieved among the Children of Israel by the tongue of David and of Jesus, the son of Mary. That was because they disobeyed and [habitually] transgressed. Ali Muhsin Al-Barwani Walikuwa hawakatazani maovu waliyo kuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu yalioje mambo waliyo kuwa wakiyafanya! Sahih International They used not to prevent one another from wrongdoing that they did. How wretched was that which they were doing. QURAN CHAPTER 5 VERSE 78 and 79.

  • @Elybwayz
    @Elybwayz25 күн бұрын

    Jimefurah kuwaona tena ❤

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    25 күн бұрын

    Masha Allah

Келесі