Na utekelezaji wa Mwenye Enzi Mungu juu ya maneno ya mtumishi wake na uwe haraka 😭😭😭
@user-vr8vv5gm4s
9 күн бұрын
Mungu atusaidie
@georgempogomi732910 күн бұрын
Mwigulu ni jambazi la Taifa viongozi wetu wanaongozwa na uchawi,uganga na wizi na uchawa wa mama hawana huruma hata siku Moja nawashangaa wanawaombea wabarikiwe waombeeni waache wizi na dhuluma nyinyi mitume na manabii
@salmajafari6838
9 күн бұрын
Tunaruhusiwa pia kuwaombe wafe kabisa
@Leeeeeeee-9610 күн бұрын
mtumidhi sisi tuko pamoja na wewe mungu akutunze na azidi kukuinua 🎉🎉🎉
@user-pn5gv7ix3g4 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu..barikiwa kwa nguvu ya upako na maono kwa wanakondoo. Nikuombe na watumishi wa kweli mfanye maombi maalumu ya kutuondolea Watanganyika upofu na uoga wa kinafiki yanapojitokeza masuala na maamuzi kandamizi dhidi ya maslahi ya nchi. Watanganyika kwa ujumla tuweze kujua maamuzi magumu juu ya nchi hii hayaletwa na Watumishi, viongozi wa vyama vya siasa au majasiri wachache! Tuamke kutoka uzuzu!!!! Amina
@migerajacob58110 күн бұрын
Mwigulu bongox2 ndogo,,hakustahi kuwa hata naibu waziri,,
@NdelemaPosta-bi5zc10 күн бұрын
Yaan kazi sana kasomea kuiba na uchawi ndio pingo za mawazili wa Tz ila muda ukifika tutaelewana tu maana miladi Yao tunaijua na mabass Yao yanajulikana
@MeridaChawe-kd9is9 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi, unafungua wengi kifkira.
@user-wl8ns6hh8l5 күн бұрын
NimekuewA sana mchungaji mfano mzuri wa kimungu umetufungua vizuri sana
@user-iy8mq9ii8t10 күн бұрын
Kwani Jpm kipindi alipokuwwpo alisemaje kuhusu mwingul?
@clarencehilary55889 күн бұрын
Hongera yako chura kumbe tuna kiongozi chura
@user-iy8mq9ii8t10 күн бұрын
Usipoipenda haki utakuwa chukizo mbele za Mungu na utadidimiza taifa.Mungu habadilishi misimamo yake hata usipoikubali.viongozi iweni na hofu ya Mungu mtatenda vyema na kuwahurmia wengine na kodi iwe ndogo iwe rafiki na mlipaji isimuumize.
@leokamil628410 күн бұрын
Hongera Mchungaji Mungu akulinde na mabaya nchi hii haitaki watu kama wewe
@salummohamed268910 күн бұрын
Huyu mama amesemwa sana, kujitathini kunamhusu!
@corrolesscps
9 күн бұрын
Magufuri alimtoa Huyu Mama kamrudisha tena
@eliasamsonofficialtz660010 күн бұрын
Tatizo la nchi yetu watumishi wa Mungu ni waoga kukemea viongoz wa serikali,maana wao ndio wangekemea uovu unao endelea ktk Taifa letu na wange sikilizwa sana,ila sasa mmmh😭😭
@sylvestercameo6263
9 күн бұрын
Usiwasingizie viongozi wa dini au watumishi wa Mungu, tatizo ni letu wenyewe tunaoshindwa kutambua haki zetu kwa kupigania Katiba mpya na utawala wa sheria. Hivi waziri mmoja anayelalamikiwa na wananchi walio wengi inashindikana nini kubadilishwa naamlaka ya uteuzi? Sasa kätika Hali hiyo watumishi wa Mungu wafanyeje, wakamng'oe ofisini?
@karimmveyange28010 күн бұрын
SAWA MWALIMU,MUNGU YUPO,WATU WAKICHAGUA SHETANI AWE NDIYE KIONGOZI,MACHUNGU WATAKULA
@user-ig6pg6oz9i9 күн бұрын
Mungu ibariki tanzania kwa kutupa upofu kenya madume
@kaaakwakutuliaa51799 күн бұрын
Mama samia mtoe waziri wa fedha itakugarimu
@UswegeJohn-ov3ym10 күн бұрын
Mwigulu ni tatizo kubwa sana kwa Taifa lletu.Wizi wake umevuka mpaka.
@musajoseph789610 күн бұрын
Dawa ni kuyatiya moto majumba Yao, biashara zao na magali yao
@pirminmatumizi5464
9 күн бұрын
Kama Kenya
@MirajiMbolile
5 күн бұрын
Mali ya wizi huwa haidumu @@pirminmatumizi5464
@asteriashios185210 күн бұрын
Yaani mwigulu hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi hiyo secter haimfai kabisa kana hekima busara Hana kabisa alafu ni jambazi no Moja sijui kwanini anapigiwa kelele alafu rais Samia amemwacha kuwa waziri wa fedha
@pirminmatumizi5464
9 күн бұрын
Ndege wafananao huruka pamoja.
@SalimKombo-xo4pq9 күн бұрын
Sawa sawa kaka maneno yako ni ya kweli
@natafutamatatizo438210 күн бұрын
MWIGULU NI MLEMAVU WA AKILI JAMANI. HUYU HANA MBINU ZA UCHUMI KAZI YAKE NI TOZO TU
@joycmsokile922010 күн бұрын
Mwigulu hafai
@eliassabbath24804 күн бұрын
Mnaponishangaza watumishi wa. Dini hua hamkemei ushoga na madawa ya kulevyaa lakini makini kuingilia siasa 😂😂
@salummohamed268910 күн бұрын
Mwigulu anajitosa mwenyewe anataka kutufanya sisi ni familia yake
@user-jx5ze9wz8e9 күн бұрын
Mungu akubariki san baba
@kazinaimwishehe-ec3xu10 күн бұрын
Kazi ipo maisha ya viongozi si sawa na raia wao maisha mazuri mishahara mizuri nyumba nzur magari mazur posho nzur
@user-dy5fn6qj1q8 күн бұрын
Tatizo sio mawziri tatizo. Wabunge wetu tuombe mungu awajalie hekima busara uchaji kipawa waflme oneni ajira hakuna kopeni. Mkishakopa wekezen kwenye viwanda vingi viwanda vitoe vitu vya kitengeneza hizo reli madawa nguo vfaa vya kuchimba madini :N;K tuliowasomesha wapate ajira hukoooo tunasomesha wengi wametundika. Mavyeti ukutani mainjinia madocta waalimu wapooo tuuuuu tatizo wabunge wetu kuto kujitambua tulizaliwa watupu na tunazikwa watupu mali ni rasimali watu wakitumika kwa haki stapokea na wala sitatoa rushwa ni adui wa haki nitajielimisha kwa uwezo wangu kwa manufa ya uma taifa. Langu binadamu wote ni sawa na Afrika wote ni ndugu asanteee mkuuuu tupo safarini tuu Duniani tunapita tuu safarini
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Walizi wa fedha hi nchi ni ya watanzaia wote.wote tunaitaji maisha mazuri.kwaiyo kuwa makini na unacho kiongoza
@DaurdCharles9 күн бұрын
Inauma sana kama kiongozi anashindwa kuwa nahuruma nawatu wake sasaivi mitaani wamachinga wote mitaji imeisha kwaajiri ya vitu kupanda bei tutaishije Bora watuuwe2 viongozi wote wametutenga hawana huruma hata tone mafuta yakula yamepanda bei sabuni zimepanda bei Kila k2 ovyo kabisa watu tunateseka madeni yamejaa mitaani Iko siku mungu atawaacha pia napenyewe
@charlesrweyemamu835210 күн бұрын
Madini yanatusaidiaje jamani. Si tuuze tanzanite tujenge miradi!
@ThomasEkama3 күн бұрын
mwigulu ni mjinga sana halafu huwa anahasira sana
@SANGOSAIDY10 күн бұрын
Upo sahihi sana mwiguru hafai hatakidogo ila sikumoja watatambua
@gowekogoweko58039 күн бұрын
WELL SAID MCHUNGAJI
@janengaga292810 күн бұрын
Tuombee sana nchi yetu Tanzania.Mungu ibariki Tanzania.
@yordanyona12349 күн бұрын
Mwalimu mzuri sana ...KIkubwa Mungu atusaidie
@lameckbalekere1962
9 күн бұрын
Kama mzuri mpe mkeo amshugulikie
@yordanyona12349 күн бұрын
Hiyo kampuni ya Easter Ina Tirion 4 serikali inashindwa kumake kupitia mirad mbalimbali
@abubakarimussa91317 күн бұрын
Huyu mama mwenyewe atupishe tu aeende kizim kazi akatulie
@yahayaramadhani641810 күн бұрын
Ukweli mwigulu hafai Hata Kwa kuumangia nikatiri sana, nahiyo nafasi aliyonayo nihuruma ya mama tu.
@johnmalembo646410 күн бұрын
Pointing kubwa ni kweli ....kama watu wanataka ubaya wao wapatie...kwa sababu ndiyo wanaoutaka wao.....wape watu kile wanataka..
@user-jl5un4wf3u10 күн бұрын
Kwahiyo huyomwigulutangu lini awena akili au elimu kuliko watanzania wanaomuona ni boyalinaloelea bilamerikubu...
@msafiriomary8932 күн бұрын
Mwizi
@saadune9 күн бұрын
Point❤
@hassanmitayo18759 күн бұрын
Ukitaka kujua kama watanzania ni vigeugeu wao na dini zao chunguza miamala yao ya kibenki na kwenye simu na kila mmoja atoe maelezo ya fedha alizonazo na Dini nazo zitoe maelezo ya kipato, utagundua kuwa wezi wanalalamika kuwa mlinzi hafanyi kazi vizuri
@user-qm2ve7tx3s10 күн бұрын
Nchi hii inahitaji lakupata viongozi wanao simamia lasilimali kwa kujitowa sio hawa wanao ogopa kuwa na maadui wakati maadui haohao ndio wanao pokonya lasilimali za nchi
@ramadhaniathumani10259 күн бұрын
Asili ya viongozi wetu ni chini huko kuzimu na kuzimu huwa haishibi mapato!kama asili yao ingukua juu mawinguni huko mvua itokapo na mapato yangekua mengi!!! Tumuombe Mungu abadili asili ya viongozi wetu tutapona!!
@MauBonde10 күн бұрын
Huyu jamaa kaniudhi kuhusu kauli ya mikopo ,huwezi kuwa tajiri wakati matajiri duniani wanakopesha watu,pumba ndani ya bunge tukufu.......
@TitoRufizi-xb2ub10 күн бұрын
Nakuelewa sana mtumishi ila Mungu atatenda tu
@SalimKombo-xo4pq9 күн бұрын
Ni kweli huyo mwingulu amewekwa. Hata kuongea hawezi
@user-bf7sr1cv1g10 күн бұрын
Haya
@chrismassawe29399 күн бұрын
Mtumishi cha kufanya ni Toba ili matengenezo yatokee lakini ukiwa mlalamikaji hamna namna Mungu atakusaidia MUNGU anaweza lakini tumwendee yeye sio kulalamika wakati tepewa mamlaka nanYesu ya kufunga na kufungua😊
@victorrobert77978 күн бұрын
Akili zao ni tozo tu
@SANGOSAIDY10 күн бұрын
Hiyo PhD ya mwiguru ni PhD uchura sio PhD yafaida kwataifa bali kwa familia yake tu
@kwasmokweka9598
9 күн бұрын
Eee MUNGU wetu, toa watumishi wako wanaokuogopa, wanaotaka haki, uwasimamishe wakutetee, na watee watu wako.Ukiwaruhusu 100 tuu wanatosha kudhiirisha ukuu wako.
@AbrahamMjema-di1li10 күн бұрын
Ni kweli hii hali inayoendelea kati ya wafanyabiashara na serikali itaumiza wananchi
@desiderihugo57048 күн бұрын
Huyu chura kiziwi hatafika juu aache kujifariji hatafika juu kwa jinsi hii atadondoka tuu . Asikilize wananchi
@user-oy2gp3nq4j9 күн бұрын
Mzee wa mabasi ya Ester hana huruma
@PcgtMsalato8 күн бұрын
Kuna haja ya kubadili Kiongozi 2025
@King_Of_Everything10 күн бұрын
👊👍✌️.
@NicksonAlphacapitalGroup9 күн бұрын
Ni kweli ni hatariiiiiii sana kuwa mpiga deal wizara ya fedha
@jesaminzo6 күн бұрын
Ukweli mtupu!
@msafiriomary8932 күн бұрын
Wezi wamefrahi baraaa
@kaaakwakutuliaa51799 күн бұрын
mtumishi piga kelele tutakuunga mkono
@mindicarrashid313110 күн бұрын
Wakanda,dola yamangi meza, ndio tatizo
@user-xx8fb4ed5u10 күн бұрын
Mwizi huyo
@oscarwasenga13339 күн бұрын
We unajua sana
@evelynmwaimu-vd9jo4 күн бұрын
Mbunge ni yeye pekee wengine wooote ni waganga kienyeji
@JohnMiligwa-vj2ji4 күн бұрын
Mwingulu amehalibu Kila kitu
@salummohamed268910 күн бұрын
Jamani heeee!
@fabianmainchanyangachika50179 күн бұрын
Ndio maana uncle magu alimpiga chini Kila sehemu
@Leeeeeeee-9610 күн бұрын
nchemba ana scrow tablet ya kodi ya wananchi amna shida kuleni nchi bwana
@coolsinare882410 күн бұрын
tatizo la Tanzania ni giza nene..viongozi hawajui hatari yakuongoza watu..dhamana utayoipasa uilipe wewe na jamaa yako..ni hatari sana kuwa kiongozi kwa sababu unamulikwa kwa karibu sana na utalipwa
@angelsgabriely35759 күн бұрын
Huyu ni mpga dili tu chumia tumbo lake,.Mwigulu-Chemba cha Choo,..mchumia tumbo,..hufai kuwa wazri wa fedha
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv7 күн бұрын
MMI NACHO AMINI MUNGU NI WA WOTE ACHA TULIE IPO SIKU MUNGU ATATUFUTA MACHOZI
@camilomassao89719 күн бұрын
Mwigulu hakustahili kuwa waziri wa fedha,
@christinenyagiro66629 күн бұрын
Sasa kiongozi akisema ameziba sikio sasa watu wamueleze nani? Kwa nini uendelee kuongoza wakati hutaki kuwasikiliza hao watu kweli ni sawa? Mwalimu huyo akitaka kuwa chura wanafunzi wataenda wapi? Basi raisi tuwekee mtu wa kueleza shida zetu ambaye siyo chura ili watu wamkimbilie kueleza matatizo yao.
@lameckbalekere19629 күн бұрын
Mwigulu siyo muzalendo anahalibu uchumi wetu
@StevenMtambo9 күн бұрын
Tz tupate watumishi kama huyu mtumishi tutafika kaanani
@ezrommkambati1554
9 күн бұрын
Atapotezwa sasa na machawa hujui
@joellongidare82809 күн бұрын
Uyu ndie anasambambisha vtu kumbanda kila siku
@joycmsokile922010 күн бұрын
Mwigulu ni muongo
@oswardjaphal-cd6np4 күн бұрын
Watanzania. Muna furahisha. Tatizo lenu kujifanya munajuwa sana. Subili chamoto bola uishi na muchawi kuliko kuishi na muongo uongo ndo unataka kuharibu inchi yenu kusema. UKweli. Nishida sana Kuna. Story fulani. ,ya mufanya biashara. Jina lake Ntunzwe kazurumia. Na. TRA. Muchana kweupe. Uongoooooo tu mpaka kaamua kujipiga risasi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi8 күн бұрын
Huyu ndo anataka twende Gurundi ? Aangalie kauli zake,asije kuwa anajitabiria yeye ndo akaenda Burundi
@user-jl5un4wf3u10 күн бұрын
Wenye akili nchihii hufedheheshwa nakudhalilishwa kinyume chake ni wenye hekima kama mwigulu anayetusi hatawananchi.
@PcgtMsalato8 күн бұрын
Chura aondoshwe 2025. Tunaongozwaje na Chura ?
@shaimamabrouk993710 күн бұрын
ipo siku amabayo Haina jina Watanzania watachoka na hawata, ogopa Tena ndipo atajua kumbe uziwi wake kuto kuwapa sikio Watanzania Sasa atazibuka hapo watapo amua kufanya watakayo yafanya soon as possible Tumechoka sanaa
@saivellybrutally2994
9 күн бұрын
Hatuna umoja sisi tukubali ni wapumbavu TU
@kiliantereba65029 күн бұрын
Uko sahihi kiongozi
@kwasmokweka95989 күн бұрын
Msomee na Isaya 10:1-5.
@joycmsokile922010 күн бұрын
Alitoa ahadi ya kujengwa kwa Barabara ya Tabora hadi Mbeya yaani mpaka Leo hamna utekelezaji
@mwambaimara19509 күн бұрын
Kama hivyo ndivyo tozo zinatekeleza miradi, je mwigulu mikopo mnayokopa ni za nini?? MNATUTESA SANA RAIA, hadi kujifananisha na CHURA!! kweli inatisha!!
@NicksonAlphacapitalGroup9 күн бұрын
Huyu mama nae alitakuwa kuwa msimamiaji wa mamlaka zinazohusika na uaandaji wa walimbwende ndo KAZI angeiweza. .
@AbdulazizMohammed-wi8qz9 күн бұрын
Kwani huyu anampa nini mama kwanin hamtumbui maana jamaa hata maneno yake hayana maana yoyote hafai kuwa waziri
@MichaelKilinga9 күн бұрын
TUKO NA WEWE MPAKA UTAKAPO FUNGIWA KANISA 😂
@user-hq5qx1hu2x9 күн бұрын
Shule gani amesoma, chura chura
@enockmwantyala2819 күн бұрын
Kumbe kumbe kumbe
@exseviangaeje11589 күн бұрын
Yeye kasema ni chura asikii ya mtu hawa ndio wafalme atuna cha kuwafanya tupige magoti tuombe
@jumanyassy80629 күн бұрын
Je wazokopa zinaenda wapi Kama Kodi zinaenda kwenye miradi Mkubwa!!?
@NanaMaembe9 күн бұрын
MAMA NDO ANAMPA KIBURI..... KWA SABABU KUNA KITU AMBACHO WANAFURAISHANA WAO WAWILI KWA FAIDA ZAO WAWILI....... WANAWASAAU WANAINCH WALIYOWAWEKA PALE JUU.
@knight67579 күн бұрын
🐸
@hildandumbalo582710 күн бұрын
Kenya wameiona wanajisahau viongozi
@christinenyagiro66629 күн бұрын
Kumbe ndiyo sababu unajiita chura. Basi endelea kuwa chura ili ujaze warabu kila kona lakini ukitoka Uraisi utajichimbia chini kwenye mashimo kama chura? Wewe utakuja kuishi na hawa masikini. Watakuwa wanakugasi kuomba hata chakula utakuwa unawapa makombo yanayo baki unapo maliza wewe kula. Utakuwa unafurahi watu kuingia au kuzunguka mpaka malangoni kuomba je itakufurahisha?
Пікірлер: 174
Na utekelezaji wa Mwenye Enzi Mungu juu ya maneno ya mtumishi wake na uwe haraka 😭😭😭
@user-vr8vv5gm4s
9 күн бұрын
Mungu atusaidie
Mwigulu ni jambazi la Taifa viongozi wetu wanaongozwa na uchawi,uganga na wizi na uchawa wa mama hawana huruma hata siku Moja nawashangaa wanawaombea wabarikiwe waombeeni waache wizi na dhuluma nyinyi mitume na manabii
@salmajafari6838
9 күн бұрын
Tunaruhusiwa pia kuwaombe wafe kabisa
mtumidhi sisi tuko pamoja na wewe mungu akutunze na azidi kukuinua 🎉🎉🎉
Mtumishi wa Mungu..barikiwa kwa nguvu ya upako na maono kwa wanakondoo. Nikuombe na watumishi wa kweli mfanye maombi maalumu ya kutuondolea Watanganyika upofu na uoga wa kinafiki yanapojitokeza masuala na maamuzi kandamizi dhidi ya maslahi ya nchi. Watanganyika kwa ujumla tuweze kujua maamuzi magumu juu ya nchi hii hayaletwa na Watumishi, viongozi wa vyama vya siasa au majasiri wachache! Tuamke kutoka uzuzu!!!! Amina
Mwigulu bongox2 ndogo,,hakustahi kuwa hata naibu waziri,,
Yaan kazi sana kasomea kuiba na uchawi ndio pingo za mawazili wa Tz ila muda ukifika tutaelewana tu maana miladi Yao tunaijua na mabass Yao yanajulikana
Ubarikiwe mtumishi, unafungua wengi kifkira.
NimekuewA sana mchungaji mfano mzuri wa kimungu umetufungua vizuri sana
Kwani Jpm kipindi alipokuwwpo alisemaje kuhusu mwingul?
Hongera yako chura kumbe tuna kiongozi chura
Usipoipenda haki utakuwa chukizo mbele za Mungu na utadidimiza taifa.Mungu habadilishi misimamo yake hata usipoikubali.viongozi iweni na hofu ya Mungu mtatenda vyema na kuwahurmia wengine na kodi iwe ndogo iwe rafiki na mlipaji isimuumize.
Hongera Mchungaji Mungu akulinde na mabaya nchi hii haitaki watu kama wewe
Huyu mama amesemwa sana, kujitathini kunamhusu!
@corrolesscps
9 күн бұрын
Magufuri alimtoa Huyu Mama kamrudisha tena
Tatizo la nchi yetu watumishi wa Mungu ni waoga kukemea viongoz wa serikali,maana wao ndio wangekemea uovu unao endelea ktk Taifa letu na wange sikilizwa sana,ila sasa mmmh😭😭
@sylvestercameo6263
9 күн бұрын
Usiwasingizie viongozi wa dini au watumishi wa Mungu, tatizo ni letu wenyewe tunaoshindwa kutambua haki zetu kwa kupigania Katiba mpya na utawala wa sheria. Hivi waziri mmoja anayelalamikiwa na wananchi walio wengi inashindikana nini kubadilishwa naamlaka ya uteuzi? Sasa kätika Hali hiyo watumishi wa Mungu wafanyeje, wakamng'oe ofisini?
SAWA MWALIMU,MUNGU YUPO,WATU WAKICHAGUA SHETANI AWE NDIYE KIONGOZI,MACHUNGU WATAKULA
Mungu ibariki tanzania kwa kutupa upofu kenya madume
Mama samia mtoe waziri wa fedha itakugarimu
Mwigulu ni tatizo kubwa sana kwa Taifa lletu.Wizi wake umevuka mpaka.
Dawa ni kuyatiya moto majumba Yao, biashara zao na magali yao
@pirminmatumizi5464
9 күн бұрын
Kama Kenya
@MirajiMbolile
5 күн бұрын
Mali ya wizi huwa haidumu @@pirminmatumizi5464
Yaani mwigulu hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi hiyo secter haimfai kabisa kana hekima busara Hana kabisa alafu ni jambazi no Moja sijui kwanini anapigiwa kelele alafu rais Samia amemwacha kuwa waziri wa fedha
@pirminmatumizi5464
9 күн бұрын
Ndege wafananao huruka pamoja.
Sawa sawa kaka maneno yako ni ya kweli
MWIGULU NI MLEMAVU WA AKILI JAMANI. HUYU HANA MBINU ZA UCHUMI KAZI YAKE NI TOZO TU
Mwigulu hafai
Mnaponishangaza watumishi wa. Dini hua hamkemei ushoga na madawa ya kulevyaa lakini makini kuingilia siasa 😂😂
Mwigulu anajitosa mwenyewe anataka kutufanya sisi ni familia yake
Mungu akubariki san baba
Kazi ipo maisha ya viongozi si sawa na raia wao maisha mazuri mishahara mizuri nyumba nzur magari mazur posho nzur
Tatizo sio mawziri tatizo. Wabunge wetu tuombe mungu awajalie hekima busara uchaji kipawa waflme oneni ajira hakuna kopeni. Mkishakopa wekezen kwenye viwanda vingi viwanda vitoe vitu vya kitengeneza hizo reli madawa nguo vfaa vya kuchimba madini :N;K tuliowasomesha wapate ajira hukoooo tunasomesha wengi wametundika. Mavyeti ukutani mainjinia madocta waalimu wapooo tuuuuu tatizo wabunge wetu kuto kujitambua tulizaliwa watupu na tunazikwa watupu mali ni rasimali watu wakitumika kwa haki stapokea na wala sitatoa rushwa ni adui wa haki nitajielimisha kwa uwezo wangu kwa manufa ya uma taifa. Langu binadamu wote ni sawa na Afrika wote ni ndugu asanteee mkuuuu tupo safarini tuu Duniani tunapita tuu safarini
Walizi wa fedha hi nchi ni ya watanzaia wote.wote tunaitaji maisha mazuri.kwaiyo kuwa makini na unacho kiongoza
Inauma sana kama kiongozi anashindwa kuwa nahuruma nawatu wake sasaivi mitaani wamachinga wote mitaji imeisha kwaajiri ya vitu kupanda bei tutaishije Bora watuuwe2 viongozi wote wametutenga hawana huruma hata tone mafuta yakula yamepanda bei sabuni zimepanda bei Kila k2 ovyo kabisa watu tunateseka madeni yamejaa mitaani Iko siku mungu atawaacha pia napenyewe
Madini yanatusaidiaje jamani. Si tuuze tanzanite tujenge miradi!
mwigulu ni mjinga sana halafu huwa anahasira sana
Upo sahihi sana mwiguru hafai hatakidogo ila sikumoja watatambua
WELL SAID MCHUNGAJI
Tuombee sana nchi yetu Tanzania.Mungu ibariki Tanzania.
Mwalimu mzuri sana ...KIkubwa Mungu atusaidie
@lameckbalekere1962
9 күн бұрын
Kama mzuri mpe mkeo amshugulikie
Hiyo kampuni ya Easter Ina Tirion 4 serikali inashindwa kumake kupitia mirad mbalimbali
Huyu mama mwenyewe atupishe tu aeende kizim kazi akatulie
Ukweli mwigulu hafai Hata Kwa kuumangia nikatiri sana, nahiyo nafasi aliyonayo nihuruma ya mama tu.
Pointing kubwa ni kweli ....kama watu wanataka ubaya wao wapatie...kwa sababu ndiyo wanaoutaka wao.....wape watu kile wanataka..
Kwahiyo huyomwigulutangu lini awena akili au elimu kuliko watanzania wanaomuona ni boyalinaloelea bilamerikubu...
Mwizi
Point❤
Ukitaka kujua kama watanzania ni vigeugeu wao na dini zao chunguza miamala yao ya kibenki na kwenye simu na kila mmoja atoe maelezo ya fedha alizonazo na Dini nazo zitoe maelezo ya kipato, utagundua kuwa wezi wanalalamika kuwa mlinzi hafanyi kazi vizuri
Nchi hii inahitaji lakupata viongozi wanao simamia lasilimali kwa kujitowa sio hawa wanao ogopa kuwa na maadui wakati maadui haohao ndio wanao pokonya lasilimali za nchi
Asili ya viongozi wetu ni chini huko kuzimu na kuzimu huwa haishibi mapato!kama asili yao ingukua juu mawinguni huko mvua itokapo na mapato yangekua mengi!!! Tumuombe Mungu abadili asili ya viongozi wetu tutapona!!
Huyu jamaa kaniudhi kuhusu kauli ya mikopo ,huwezi kuwa tajiri wakati matajiri duniani wanakopesha watu,pumba ndani ya bunge tukufu.......
Nakuelewa sana mtumishi ila Mungu atatenda tu
Ni kweli huyo mwingulu amewekwa. Hata kuongea hawezi
Haya
Mtumishi cha kufanya ni Toba ili matengenezo yatokee lakini ukiwa mlalamikaji hamna namna Mungu atakusaidia MUNGU anaweza lakini tumwendee yeye sio kulalamika wakati tepewa mamlaka nanYesu ya kufunga na kufungua😊
Akili zao ni tozo tu
Hiyo PhD ya mwiguru ni PhD uchura sio PhD yafaida kwataifa bali kwa familia yake tu
@kwasmokweka9598
9 күн бұрын
Eee MUNGU wetu, toa watumishi wako wanaokuogopa, wanaotaka haki, uwasimamishe wakutetee, na watee watu wako.Ukiwaruhusu 100 tuu wanatosha kudhiirisha ukuu wako.
Ni kweli hii hali inayoendelea kati ya wafanyabiashara na serikali itaumiza wananchi
Huyu chura kiziwi hatafika juu aache kujifariji hatafika juu kwa jinsi hii atadondoka tuu . Asikilize wananchi
Mzee wa mabasi ya Ester hana huruma
Kuna haja ya kubadili Kiongozi 2025
👊👍✌️.
Ni kweli ni hatariiiiiii sana kuwa mpiga deal wizara ya fedha
Ukweli mtupu!
Wezi wamefrahi baraaa
mtumishi piga kelele tutakuunga mkono
Wakanda,dola yamangi meza, ndio tatizo
Mwizi huyo
We unajua sana
Mbunge ni yeye pekee wengine wooote ni waganga kienyeji
Mwingulu amehalibu Kila kitu
Jamani heeee!
Ndio maana uncle magu alimpiga chini Kila sehemu
nchemba ana scrow tablet ya kodi ya wananchi amna shida kuleni nchi bwana
tatizo la Tanzania ni giza nene..viongozi hawajui hatari yakuongoza watu..dhamana utayoipasa uilipe wewe na jamaa yako..ni hatari sana kuwa kiongozi kwa sababu unamulikwa kwa karibu sana na utalipwa
Huyu ni mpga dili tu chumia tumbo lake,.Mwigulu-Chemba cha Choo,..mchumia tumbo,..hufai kuwa wazri wa fedha
MMI NACHO AMINI MUNGU NI WA WOTE ACHA TULIE IPO SIKU MUNGU ATATUFUTA MACHOZI
Mwigulu hakustahili kuwa waziri wa fedha,
Sasa kiongozi akisema ameziba sikio sasa watu wamueleze nani? Kwa nini uendelee kuongoza wakati hutaki kuwasikiliza hao watu kweli ni sawa? Mwalimu huyo akitaka kuwa chura wanafunzi wataenda wapi? Basi raisi tuwekee mtu wa kueleza shida zetu ambaye siyo chura ili watu wamkimbilie kueleza matatizo yao.
Mwigulu siyo muzalendo anahalibu uchumi wetu
Tz tupate watumishi kama huyu mtumishi tutafika kaanani
@ezrommkambati1554
9 күн бұрын
Atapotezwa sasa na machawa hujui
Uyu ndie anasambambisha vtu kumbanda kila siku
Mwigulu ni muongo
Watanzania. Muna furahisha. Tatizo lenu kujifanya munajuwa sana. Subili chamoto bola uishi na muchawi kuliko kuishi na muongo uongo ndo unataka kuharibu inchi yenu kusema. UKweli. Nishida sana Kuna. Story fulani. ,ya mufanya biashara. Jina lake Ntunzwe kazurumia. Na. TRA. Muchana kweupe. Uongoooooo tu mpaka kaamua kujipiga risasi
Huyu ndo anataka twende Gurundi ? Aangalie kauli zake,asije kuwa anajitabiria yeye ndo akaenda Burundi
Wenye akili nchihii hufedheheshwa nakudhalilishwa kinyume chake ni wenye hekima kama mwigulu anayetusi hatawananchi.
Chura aondoshwe 2025. Tunaongozwaje na Chura ?
ipo siku amabayo Haina jina Watanzania watachoka na hawata, ogopa Tena ndipo atajua kumbe uziwi wake kuto kuwapa sikio Watanzania Sasa atazibuka hapo watapo amua kufanya watakayo yafanya soon as possible Tumechoka sanaa
@saivellybrutally2994
9 күн бұрын
Hatuna umoja sisi tukubali ni wapumbavu TU
Uko sahihi kiongozi
Msomee na Isaya 10:1-5.
Alitoa ahadi ya kujengwa kwa Barabara ya Tabora hadi Mbeya yaani mpaka Leo hamna utekelezaji
Kama hivyo ndivyo tozo zinatekeleza miradi, je mwigulu mikopo mnayokopa ni za nini?? MNATUTESA SANA RAIA, hadi kujifananisha na CHURA!! kweli inatisha!!
Huyu mama nae alitakuwa kuwa msimamiaji wa mamlaka zinazohusika na uaandaji wa walimbwende ndo KAZI angeiweza. .
Kwani huyu anampa nini mama kwanin hamtumbui maana jamaa hata maneno yake hayana maana yoyote hafai kuwa waziri
TUKO NA WEWE MPAKA UTAKAPO FUNGIWA KANISA 😂
Shule gani amesoma, chura chura
Kumbe kumbe kumbe
Yeye kasema ni chura asikii ya mtu hawa ndio wafalme atuna cha kuwafanya tupige magoti tuombe
Je wazokopa zinaenda wapi Kama Kodi zinaenda kwenye miradi Mkubwa!!?
MAMA NDO ANAMPA KIBURI..... KWA SABABU KUNA KITU AMBACHO WANAFURAISHANA WAO WAWILI KWA FAIDA ZAO WAWILI....... WANAWASAAU WANAINCH WALIYOWAWEKA PALE JUU.
🐸
Kenya wameiona wanajisahau viongozi
Kumbe ndiyo sababu unajiita chura. Basi endelea kuwa chura ili ujaze warabu kila kona lakini ukitoka Uraisi utajichimbia chini kwenye mashimo kama chura? Wewe utakuja kuishi na hawa masikini. Watakuwa wanakugasi kuomba hata chakula utakuwa unawapa makombo yanayo baki unapo maliza wewe kula. Utakuwa unafurahi watu kuingia au kuzunguka mpaka malangoni kuomba je itakufurahisha?
Siomda Kenya itahamia apa wanatuona mazuzu