TOP 2: RAUNDI ya MWISHO ya FAINALI BSS, MESHACK na LEONARD...
Ойын-сауық
TOP 2: RAUNDI ya MWISHO ya FAINALI BSS, MESHACK na LEONARD...
Hii ni raundi ya tatu katika fainali za Bongo Star Search zilizofanyika usiku wa Desemba 24, katika ukumbi wa Next Door Arena ambapo Katika raundi hii ya Tatu washiriki wanaochuana ni, Leonard Sunday na Meshack Fukuta.
GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?li
Пікірлер: 102
Leonard me nampendaa saanaa anavoimbaa🙌🙌🙌
Leonard sunday 😭😭😭 u ar already a star
Mm wangu n leonard tyu 🙌🙌🙌
bss wangefanya sheria kama za michezo mingine pangekuwepo na penart maana hawa madogo wote wanawezana wangetengewa penart au ingerushwa hata shilingi maana wametoshana uwezo!!!!!!!
Ningekuwa chief judge basi mshindi wa Bss angekuwa hawa vijana wote wawili...japo meshack ni fighter mkali but kwa ii round ya mwisho Leonard umeonyesha bidii Kali ulipozenguliwa na band
Leonard alifanya vizuri kuliko meshack
Congrats Meshack and leornad
Nani ana amini Hakuna msanii wa kike anaimba Kama....... Ruby
@juliusedward5808
4 жыл бұрын
Exactly
@judithsolanus5852
4 жыл бұрын
@@juliusedward5808 noma sanaaaa
@rajablugeje9190
4 жыл бұрын
Judith Solanus yap
Meshack ni noma jamani, ila hawa wakitoka hapa wafanye collaboration wanajua sana
@balbcheng1815
4 жыл бұрын
Alafu iwe gospel
@pilikasimu1593
4 жыл бұрын
Balb Cheng Yeah itanoga
Hongera meshack ,lkn nilitamani sana ashinde leonard ,aliimba vizuri sana macomfidence kibao.
@rehemaothman8891
4 жыл бұрын
Mm pia
Léonard wwe umeniliza sana 😭😭🤔
Leonard nakupenda mpaka bas
Hongera meshack
meshack nakubali
Ana style msim huu mlizingua kwa Mariam tu yule Dada alikua shida
Meshach fire 🔥 of the BSS 2019
Nakubali xn meshack...
naomba tena leonard arud mwaka huu 2020
Ameshack fukuta moto sanaa 🔥🔥🔥🔥amestahiri
@nakubegelwayasini871
4 жыл бұрын
Kiukweliiiii Kauimba kizazi sanaaa aseee Meshack
@anastaziaquenberth9443
4 жыл бұрын
Kwa kwel jaman
Meshack alistahili kushinda yupo sawa nilitabiri mapema sana na sasa kawa mshindi hongera sana lkn Leonard asikate tamaa ni mwimbaji mzuri mshindi lazima awe mmoja
hmmm jmanii nashindwa kuchaguaa...mambo ni fire😄
Fikiria hapo Meshack anaumwa lkn anaimba hivyo 😢
@letisiamakonda3873
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Kipaji
@rosenginai5523
4 жыл бұрын
Balaa na nusu😍😍😍😍
asante kk
Leonard ni nouma bhana
Jamani hao Mashabiki wawekwegwe mbali na jukwaa Mbona Makelele
Patrick 🔥🔥🔥
Hakuna kama Ebenezer Faraja
Shikamoooo meshack fukutaaaaa🔥🔥🔥👏👏
Meshack wamoto sanaa
Kweli fukutaaaaaaaaaaa!!!!!.ni 🔥 🔥 🔥
Hii bss ilitakiwa washindi wawe wawili coz hawa jamaa wote wakali hakuna mbabe
Aaaargh Leonard mkali sana, anachoimba kinasikika, mechack ni mkali lakn hajanipendeza, kura kwangu kwa Leonard
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Skypa Kevo Fact nafrank anaimba maneono yanasikika
@lonewalker1821
4 жыл бұрын
@@veronicadaniel1122 thats true,,, lakn washafanya uamuzi wao
Kelele tu hatusikii
Huu wimbo aliomba meshack aliimba nani na unaitwaje,ameutendea haki sana dogo!
@witnessnestory1766
4 жыл бұрын
Unaitwa love don't care kaimba simi
@ligmmohd8112
4 жыл бұрын
Dah shukran sana
@savcute114
4 жыл бұрын
Wa simi kamshirikisha fally ipupa na kundi la sautisol
@ligmmohd8112
4 жыл бұрын
@@witnessnestory1766 kumbe ndio yule dada aliimba JOROMI dah dogo ameupatia kumshinda mwenyew.
@suzymaphy5834
4 жыл бұрын
Saidi Amiri aloimba ni simi wimbo inaitwa love don't care
Meshack je ungekuwa mzima ingekuwaje
Fire
jamoooni wote wakalii ila wangu Patrick Alsina 🙌
Hogera
Watu wa sound wamezingua sana sauti haijatulia kabisa
Mbona beat kubwa husikii anachoimba🤔
Fainal kali ni Bbs 2015 Kayumba
me nataka nijuee alie shindaaa
@abbynimel-kindy5107
4 жыл бұрын
Ku aloimba reggae kutoka mbeya
@kenjipressident8630
4 жыл бұрын
bless ma blood
Meshaki anajua kuimba
Huyu aliyechomekea dancer , sio mwimbaji
Umeimba nyimbo ya domodomo ndio mana ujashinda
@hawasaid484
4 жыл бұрын
😂😂😂
@jameskilasa759
4 жыл бұрын
We timu kiba temu no ubunifu
@dianamsangawale9925
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa
@ruthmwaikeke9662
4 жыл бұрын
Jeremiah Mwaslock mkorofi we hahahahaha
Hayo mabendi Sijui yanakuwagaje 🤔🤔🤔au me mshamba
Meshaki unalitia comments uone watu wanavyokupenda
Naona zogo tuu wala hufaham kitu final ya mwaka huu co bomba
duh ataree
Exhima kwak mexhak
Kelele zimezd ht hapaelewek
Zogo ata sisikii
Mbn wap wawili ht celew nan mahind mweny njano au kaki
Dully aliwaona hawa wawili kuwa ni washindi.kiukwel wanadeserve
@rashidally5730
4 жыл бұрын
Anasut kama ya barnaba huyo ndo mshind
Nilijua jamaa atashinda
Jmn lkn hii haikua kar km ya mwak jn
Wote wanajua wangepewa pasu kwa pasu
My sierew at a wanaimba nn
Radha ya Mbeya hiyo hakuna wa kupinga wewe Ni mshindi tu!.
Yaan sauti inaboa kama club😎
@magangamagembe774
4 жыл бұрын
Noma sana
Burazaaaa
Sauti hazisikiki vizuri mbona
Show inatia haibu, kerere kibao,,
Meshack funding kaka
Mshindi ni hamisi tu
@chibudangote4457
4 жыл бұрын
Hahaha
@linahalberth3236
4 жыл бұрын
Kabisa
Dah inapendeza sanaaa ila angelikuwepo khamis ingependeza kabisa
@fatumaramadhan3258
4 жыл бұрын
Meshaki hongera sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umefunika kaka
@sarahstima1285
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Samahani nani kashinda bss meshack ao
@khadijaanafi4876
4 жыл бұрын
meshack