Tigo Fiesta 2017 Mwanza Cypher Ft Fid Q, Adam Mchomvu & Mwanza Rising MC's
Tigo kwa mara nyingine inajivunia kuwa mdhamini mkuu wa Tamasha la Tigo Fiesta 2017 itayoanzia Arusha. Fiesta ni Tamasha la burudani litaloendelea kwa wiki 9 likiwahusisha wasanii wakubwa nchini Tanzania. Nunua Tiketi yako kwa TigoPesa upate punguzo la 10% na bonasi za SMS 100, MB 100 pamoja na punguzo la bei za smartphone katika maduka ya Tigo msimu huu wa Fiesta pale Tamasha likiwa mkoa karibu nawe.
Пікірлер: 169
Nmemuelewa uyo dogo aliyefungua Cypher. After Mchovu Kimwonekano ni kama mshamba fulani iv bt anakitu kikubwa sana ndan ake
...."Ukiwa huna kosa utakuwa umekosa kukosa kosa"...hahahahaha....this guy anachezea maneno vzuri...big up mwanza.
@raymondtsumah6410
2 жыл бұрын
Sure
Category kauwaaaa👊👊👍👍
category shidaahhh hahahahahaaaaa
CATEGORY, YOU KILLED IT BRUV !!
Natokea Arusha Naona Mwanza mwnz ni more fire arif, Razima tuwe wakweli Mmetisha sana.
@shozylamparboom8393
5 жыл бұрын
Kwa style yako ya uandishi Chuga hatunaga hiyo moko dingii umefeelii
category katisha ..flow yake iko gud mno 3:01
Maaaan, nimeangalia hii video mara zaidi ya 20, zote namcheck Category.. He's so hot aseeeee!
Listen to dis little boy edu boy ana madini flani Amazing tisha Sana mwana wa fareed
category 🔥🔥🔥🔥
Oyooooooo Mwanza ndo Kunako hifadhiwa daftari LA tamaduni
@franciskaswamila3357
6 жыл бұрын
Zahd Al yoh kuna category na bwana rudo mc nawajua but i never meet them sema hawajatoboa tuu ila nawajua wako kundi moja na mshkaji wangu
@mwafrikabarz4507
6 жыл бұрын
francis kaswamila Hisabati milele
@mwafrikabarz4507
6 жыл бұрын
francis kaswamila nooma sana
Tuendelea kucheki mbaka mwisho wa 2019 gona like
category kaua kinoma oyoooo mwanza mwanza stand up
I love home...rock city
@deviddeanang7605
6 жыл бұрын
Ngumu xana
kama watashindanisha mikoa yote...HAITATOKEA CYPHER KAMA HII...NOOOOOMAAAAA...wameaua mwaaaanzaaaaaaa...thumb up
this is what we call HIPHOP cypher shout to adam mchomvu
Nakubali sana wanangu wa TIGO Fiesta Rocy City Gateway Jr Apa A Boy From Gas City Masasi Mtwara
Wanangu wa Mwanza rapers Mumetisha nawakubali sana by gateway Jr A boy from gas City Mtwara
asee huyo alovaa kitamba cheupe kichwan noma
@daxcice5579
5 жыл бұрын
Zondo Mkali uyo daxsise
Huyo mshkaji aliyefuata baada ya edu boy katisha sana mpaka mchomvu kashangilia ni shiiiidah
Hii Ndo Cypher Sasa Ile Ya Arusha Ni Uozo
Oyah😂 wahuni wameua Mwanza sio poah khaa wamefunika Cypers zote nashindwa nichague nan 😂daah🙌
Tigo kujeni mombasa kenya
Category ndo mchizi ndo niliemwelewa hapa binge Moja la flow
Naona Mwanza wanapressure ya kutoka. Ara one time Kaloleni St.
Binafsi nimekuelewa sana COYO...jamaa anajua sana...sijui kama naweza kupata ngoma za huyo mwamba anywhere...COYO master...
tisha sana yaaan
Damn the second one ameuwa so talented
@engchazzbidya5106
6 жыл бұрын
Category kauwaaaaaaa
listening from Nairobi Kenya tunasema ni dope
Noma sana cypher
huyo jamaa aliingia baada ya edu boy n baraaaaaa
@godsson5954
6 жыл бұрын
Sure
@franciskaswamila3357
6 жыл бұрын
Category anajua
@calistamtu513
6 жыл бұрын
categoriiiiii huyu mhuni fundii
Ngoma kali kinyamaaaa ! Inafaa kuwa hitsong rap qal beat qal mzuka kama woteeee !!!!
Much respect Mwanza HP imetulia
Kosa kubwa sana.......big up ADAM & Fid Q
Sema dj miyeyusho..
Hapo katikati huyo kaka, mzuka wa Riddim kwenye Hiphop. 🇰🇪
Category ur the Best
mmetisha sn wana ,mwnz .good ire mbaya
Our TZ brothers🔥🔥 shout out from Kenya
COYO kauwa aiseeeeee salute kwako kaka mkubwaaaa
mwanza wamewafunika arushaaa
huyoooooo category 1 ametishaaaaaaa
Edu boy vizuri pamoja na coyo, mko powa
hatareèee saaanaa
kwel hip hop ni mwanza sio arusha
@juvenalymnyama735
6 жыл бұрын
Julius Shaban mwongo wewe
@adolfmathew8576
6 жыл бұрын
Julius Shaban hip hop ipo. R Chuga acha umandazi...
@thelatestvideos6266
4 жыл бұрын
Arusha ni hip hop Mwanza ni HIP HOP
KING SWAJAAAA Mjamaica nuff respec to yah umetisha man.
Ila AR noma wazee
Tuliopo hapaa june 2 tujuanee
Tuwape battle hawa jamaa,s.u.a ,na kilinge mh moto utawaka io day haya majamaa ya rockcity ni hatari
Dah hii shida sasa mwanza on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nairobi listening dope good intro adam💯
coyo edu boy ni hatari
Team ganda la ndizii
Category ni NYOOOOOOOKO 💪💪💪
Mwanza mwanzaaaa 🔥 🔥 🔥 🔥
Jamaa wa pili toka mwisho yuko vizuri sana, Ila mwanza hip hop wanaweza sana
Walojiamini wametusua
category, edu watu wabad
Rock city stand up mmetisha
Huyo jamaa baada ya edu boy ni shidaaaa kwikwiiii
Mwanza Nomaaaaaa sana
It was nice
Rock City hip-hop ndo zetu
Still now 🙌🙌🙌
Ebhana mizuka mingi wazazi show liko mpango mzima... Gwara wala kwa wana
Ma home boy mmetisha sana
Oyaah nan yupo hapa 2020 tena
Wakubwaa.......
Huyo jamaa alyechana baada ya edu boy kaumiza sana,,, rock city stand up
@lakezoniainc.279
5 жыл бұрын
Msikize vizuri hapa www.djmwanga.com/2018/07/lakezonia-kizambuli.html?m=1
asanteni
edu boy kazngua👅👅👅👅
Wakubwaaaaaaa....
We ucxeme kw maneno omben iandaliw cypher y kmashndano nd mtajua mwanza n chuga wap kna hp hop..
cypher mwanza ....tumewasoma
wakali h boy nomaaaaa
ama kwel hip hop ni mwanza ndo kwao
Huyu jamaa wa "makosa kukosea kosa" idea yake heavy sana huwezi kufatishs🔥🔥🙌
Mwanza hewa sema kwasabu Arusha walizingua ok
Kitu inafanya Fiesta
washikaji wapo poa sana, huyo aliechana kabla ya fid anaitwa nani? bwana harusiiii na aliepiga dance hall
@innocentmziba1572
6 жыл бұрын
king Dadu huyo wa dancehall anaitwa KING SWAJA From YAKKERS RUNNERS.
Nakuona swajaaaaa
Sanaaaa lyk it
Electronic Kitambo sana Veta
coyo hataari
asante COYO master
@tracejeezy8917
6 жыл бұрын
musirdanfordTV once umeonaaaaaa eeeeehh namkubali kinoma COOOOOYOOOOO
@musirtv8706
6 жыл бұрын
namuerewa sana hy mwamba ni tishio linalowapa homa marapa
Category katisha sana
nishidaaaa hip hop michano
fid q tunakuzimia jibaba
Talent iko hapa
bonge katisha
Fid Q we ni Fundi
Mwanza wanajua
Hip hop ni ya wahuni tupu cheki woote waliofanya yao hapo maisha yamewakaza kitaa wamefanya mauninja ninja kitaa na sasa wanafyeka marylics vibaya mnoo🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂
@mashashpastory7467
6 жыл бұрын
watoto wa malaya kama wwe utaelewa nn kama sio ajali ya kondomu?
Kosaaaaa
Category kaua 🥊🦶🏽
jamaa baada ya edu boy ametisha sana
@lakezoniainc.279
5 жыл бұрын
www.djmwanga.com/2018/07/lakezonia-kizambuli.html?m=1
team shetta team kupewa gari #bars
mkwach katishaaa
Hip hop boys in rock city Team magufuli hahahaha Pesa sio makalio kila mtu anayo hahaha Miss call zako baby kweli nimeziona na message ulizo tuma pia nimeziona. dah ananata na beats sio mchezo Yangu simu haina dollar nimechokaa
Team #politeBoy