Fid Q Mwanza Mwanza

Музыка

#FIDQ #Mwanza #GOAT

Пікірлер: 45

  • @OmaryAmdy-vv9fz
    @OmaryAmdy-vv9fz2 ай бұрын

    Asiye mpendaa ndugu yakee anaemwona basi awezi kumpenda munguu asiye mwona

  • @frankmachoka3718
    @frankmachoka37188 ай бұрын

    when bongo was bongo, when hip hop was hip hop

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Жыл бұрын

    Ati sikujui Ati FIDDY alikua kwa ngoma… hii ngoma … ilipotoka, ndani ya Kenya niliona kwa cyber café Really liked it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸👽👽👽👽 rhymes were dope!! Can’t remember the year.. enzi hizo, kina Mangeear pia wanavuma na ule chali mitikasi achana Dudubaya.. lake l imefika na Jay Proffe

  • @gideonaringo9551
    @gideonaringo9551 Жыл бұрын

    This is dope. Started listening to this way back in school. Hip hop forever

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel66162 жыл бұрын

    Rest in peace baba t😢, leo ndio mekuja kufahamu ili jina kwenye hii song 🙏

  • @cheddyreddy4607

    @cheddyreddy4607

    2 жыл бұрын

    Baba t ni afande sele ndo maana anasema rasta kama baba t yaani baba tunda

  • @treyvissy9854

    @treyvissy9854

    2 жыл бұрын

    @@cheddyreddy4607 emsley Smith ndio Baba T sio Afande sele .. huyu Emsley smith aka baba t ni mtangazaj wa reggae na ni moja wa waanzilishi is dini ya ki Rasta bongo ..

  • @kilingechasimulizi2072

    @kilingechasimulizi2072

    Жыл бұрын

    Leo ndio nmejua aisee...miaka yote nilikuwa najua afende sele..kweli hip hop inaitaji vichwa

  • @almisfahcs8255

    @almisfahcs8255

    Жыл бұрын

    Shukran kwa midini leo mimi ndio nemejua 12/05/2023 kwanza nilikuwa nafikiri baba T ni Afande sele

  • @noxiousmashairi
    @noxiousmashairi Жыл бұрын

    2023 tuko hapa

  • @cdeegwau551
    @cdeegwau5512 жыл бұрын

    Fid q Ni mtu na nusu 🙌🏾

  • @Kobe_254
    @Kobe_2542 жыл бұрын

    Hapa HATUTAKI views, unless mama yako alikuzaa kitambo hicho, .. kama wewe ni fala, sawa.. unakaribishwa 🇰🇪🇰🇪

  • @henrypaschal118
    @henrypaschal1183 жыл бұрын

    Hatari na nusu hii ngoma

  • @swazimwenga8310
    @swazimwenga83102 жыл бұрын

    Hii ngoma noma sana hip hop

  • @emmanuelgabriel5627
    @emmanuelgabriel5627 Жыл бұрын

    Hii ngoma ni encyclopedia ya hip hop Bongo Tanzania 🔥🔥 #kiHesabu💯Hii ngoma > ngoma za young lunya🙌🏽. Na so kwamba Lunya so wamotoo!! Mwaka huu nna comment Young Lunya is 🐐✨. Hii Ngoma ni Ramanii ya Bongo Hip hop/rap🔥🔥🔥🙌🏽

  • @hamisskitumboy3073

    @hamisskitumboy3073

    Жыл бұрын

    Watoto wa 2000 manmuona Lunya Msanii hujawahi hata Kumskia Fanani au Jose Mtambo au Hata KadGO.... Skiliza na Kawaskilize Achana na Wazugaji Mdogo wangu

  • @RyanElias1
    @RyanElias1 Жыл бұрын

    Rock city the capital of rap music in Tanzania

  • @johnmakoye5713
    @johnmakoye57132 жыл бұрын

    Jeshi moja

  • @yasiropoh9544
    @yasiropoh95446 ай бұрын

    Best hip hop truck Africa.

  • @anthonysalvand3389
    @anthonysalvand3389 Жыл бұрын

    Namwaamini MUNGU TU sababu mm co mshirikina

  • @emmanuelgabriel5627
    @emmanuelgabriel56272 жыл бұрын

    A Classic Forever ✨💯💯

  • @anthonysalvand3389
    @anthonysalvand3389 Жыл бұрын

    HARDCORE🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @shukrankalugo1472
    @shukrankalugo14722 жыл бұрын

    Madini

  • @johnmakoye5713
    @johnmakoye57132 жыл бұрын

    Baba t

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o5 ай бұрын

    King fid q❤

  • @johnmakoye5713
    @johnmakoye57132 жыл бұрын

    Wivu humuuwa mtu mjinga

  • @kedysonkulanga4491
    @kedysonkulanga44917 ай бұрын

    ❤more Rider bouncer 🎉

  • @speaklifeafrica
    @speaklifeafrica2 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @mosesnjuguna1380
    @mosesnjuguna13802 жыл бұрын

    Mwanza mwanza

  • @majidabdul5175

    @majidabdul5175

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏 home

  • @Dawat-illallahTv
    @Dawat-illallahTv Жыл бұрын

    Nakubali sana ngosha

  • @shakazr_tz5968
    @shakazr_tz59682 жыл бұрын

    🔥🔥

  • @benedictmsami4966
    @benedictmsami496610 ай бұрын

    nanu ayubuu duh kitamboo

  • @anthonysalvand3389
    @anthonysalvand3389 Жыл бұрын

    Napiga ka bruce leee waaaaaaa

  • @richardchijana9665
    @richardchijana96652 жыл бұрын

    Hatari na na kilo

  • @christopherkihiyo2964
    @christopherkihiyo296410 ай бұрын

    Mzee mbuzi

  • @lamecklubigisa5732
    @lamecklubigisa57324 ай бұрын

    Ukitaka kumfuga chatu andaa unga wa kumulisha ,ukitaka kufika 3 lazima 1,2 uwe umeshazipita.

  • @eliasmlundwa3880
    @eliasmlundwa3880 Жыл бұрын

    Mwanza Mwanza

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Жыл бұрын

    2022

  • @ohzee8922
    @ohzee89222 жыл бұрын

    Huyu anaesema mwanza mwanza ni nani? Anasikika kwneye kiitikio

  • @kazimilykulwa2516

    @kazimilykulwa2516

    2 жыл бұрын

    Mwanza ni mji ambako yeye ndo alikotoka Mwanza ni Kati jiji moja wapo linalo patikana Tanzania

  • @swazimwenga8310

    @swazimwenga8310

    2 жыл бұрын

    Ni jay mo unae msikia mwanza mwanza

  • @renatusmatungwa2508

    @renatusmatungwa2508

    Жыл бұрын

    Jay moe

  • @AliSaidi-hr8uj

    @AliSaidi-hr8uj

    6 ай бұрын

    Jay mo

Келесі