Tazama NARCO Kongwa walivyofanikiwa kwenye malisho ya Juncao!
Mkurugenzi wa Maeneo ya Malisho na Rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe Rwiguza ametembelea ranchi ya Mifugo ya Kongwa iliyopo chini ya Kampuni za Ranchi za Taifa (NARCO) ili kuona namna walivyofanikiwa kwenye kilimo cha malisho ya mifugo aina ya Juncao.. Tazama hapo mazungumzo yake na wao yalivyokuwa..
Пікірлер: 17
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
Hongereni sana
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
No za Jossam kwa kqgera
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
Jani hilo linaitwa aje?
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
Na mbegu tutaipata wapi?
Dar tunapata wapi
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
@felixchristopher7018
Ай бұрын
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
@felixchristopher7018
Ай бұрын
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
No za Jossam kwa kqgera