Nipo Geita, nahitaji Hilo jiwe lishe. Naomba msaada wa kulipata
@avyalimanaathanassambuta657716 күн бұрын
All the best Mkuu
@nestor38417 күн бұрын
Mpuuzi huyu bwana
@GeraldinaGerard-xy6pl19 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@GeraldinaGerard-xy6pl19 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@GeraldinaGerard-xy6pl19 күн бұрын
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
@cyprianmgogo762526 күн бұрын
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
@lusajomwakalinga581327 күн бұрын
Tunashindwa kudownload
@mapambanotv1928 күн бұрын
Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji
@Omary_MjemaКүн бұрын
Wapi mnapatikana?
@ekyochisikitaya5354Ай бұрын
Na mbegu tutaipata wapi?
@ekyochisikitaya5354Ай бұрын
Jani hilo linaitwa aje?
@JonasMtuguluАй бұрын
Naomba namba zenu za simu
@JonasMtuguluАй бұрын
Namba za simu
@edwinmbunda6709Ай бұрын
Aina gani ya samaki?kambale?
@edsonnelson4464Ай бұрын
Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa
@nestor38417 күн бұрын
Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!
@dominicksangu8934Ай бұрын
Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza
@maikoyona-cm5xuАй бұрын
Good news ✅
@maikoyona-cm5xuАй бұрын
Good news ✅
@JeremiahMashini-hs2xzАй бұрын
Ninaomba namba simu jinsi kuwapata
@AgnesKalageАй бұрын
Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe
@hildakamugisha1135Ай бұрын
Dar tunapata wapi
@IsayaMwalukasa-ur2zt2 ай бұрын
Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
@jacob.surassa7252 ай бұрын
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
@dausonkahitira55972 ай бұрын
Kaz njema na madini mengi napatq
@PESASungula3 ай бұрын
Mimi mfugaji wa sungura
@SHABANIMAKUSI3 ай бұрын
Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani
@gigiman54653 ай бұрын
Kilimo cha simu kizuri no stress
@gigiman54653 ай бұрын
Kilimo cha simu kizuri no stress
@chuzilapweza65172 ай бұрын
nimevutiwa na huu mradi
@annamlozi4538Ай бұрын
Safi sana
@SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын
Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee
@mengikibona14053 ай бұрын
Hawatoshi watam boda san
@mifugouvuvionlinetv90323 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@mifugouvuvionlinetv90323 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@innocentandrea64823 ай бұрын
Kwa Moshi mbegu mnauza wap
@MATHIASLUGIKO3 ай бұрын
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
@user-li5ub9sb7v3 ай бұрын
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
@JastineMafushi-hl6lp3 ай бұрын
Nahitaji vifaranga vya sato
@SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын
Hongereni sana
@user-os8qc7pl1g3 ай бұрын
Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako
@user-iw4ho4wb5p3 ай бұрын
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
@felixchristopher7018Ай бұрын
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
@user-iw4ho4wb5p3 ай бұрын
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
@felixchristopher7018Ай бұрын
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
@davidkelvin16923 ай бұрын
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
@ramamabinda50633 ай бұрын
Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.
@UDFdaycareRuvuma3 ай бұрын
Safi
@MagenLucas4 ай бұрын
Naitaji naomba ya sm yenu
@SaidKondo-rw8wb4 ай бұрын
Tunafikaje huko ofisini kwenu,west Kilimanjaro,tupeni msaada wa taarifa.
Пікірлер
❤🎉 comrade
Huyu mpuuzi Mpenda nyuma Tigo
Nipo Geita, nahitaji Hilo jiwe lishe. Naomba msaada wa kulipata
All the best Mkuu
Mpuuzi huyu bwana
No za Jossam kwa kqgera
No za Jossam kwa kqgera
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
Tunashindwa kudownload
Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji
Wapi mnapatikana?
Na mbegu tutaipata wapi?
Jani hilo linaitwa aje?
Naomba namba zenu za simu
Namba za simu
Aina gani ya samaki?kambale?
Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa
Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!
Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza
Good news ✅
Good news ✅
Ninaomba namba simu jinsi kuwapata
Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe
Dar tunapata wapi
Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
Kaz njema na madini mengi napatq
Mimi mfugaji wa sungura
Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani
Kilimo cha simu kizuri no stress
Kilimo cha simu kizuri no stress
nimevutiwa na huu mradi
Safi sana
Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee
Hawatoshi watam boda san
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
Kwa Moshi mbegu mnauza wap
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
Nahitaji vifaranga vya sato
Hongereni sana
Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.
Safi
Naitaji naomba ya sm yenu
Tunafikaje huko ofisini kwenu,west Kilimanjaro,tupeni msaada wa taarifa.
Tupo pamoja
Wataalamu waongezwe
Safi sana