mifugouvuvi Online Tv

mifugouvuvi Online Tv

Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Dodoma

TALIRI NDANI YA SABASABA

TALIRI NDANI YA SABASABA

LITA NDANI YA SABASABA

LITA NDANI YA SABASABA

FETA NDANI YA SABASABA

FETA NDANI YA SABASABA

BBT UVUVI SABASABA

BBT UVUVI SABASABA

Пікірлер

  • @Omary_Mjema
    @Omary_MjemaКүн бұрын

    ❤🎉 comrade

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo13 күн бұрын

    Huyu mpuuzi Mpenda nyuma Tigo

  • @amaniaboubakar1187
    @amaniaboubakar118716 күн бұрын

    Nipo Geita, nahitaji Hilo jiwe lishe. Naomba msaada wa kulipata

  • @avyalimanaathanassambuta6577
    @avyalimanaathanassambuta657716 күн бұрын

    All the best Mkuu

  • @nestor384
    @nestor38417 күн бұрын

    Mpuuzi huyu bwana

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl19 күн бұрын

    No za Jossam kwa kqgera

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl19 күн бұрын

    No za Jossam kwa kqgera

  • @GeraldinaGerard-xy6pl
    @GeraldinaGerard-xy6pl19 күн бұрын

    Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera

  • @cyprianmgogo7625
    @cyprianmgogo762526 күн бұрын

    Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga581327 күн бұрын

    Tunashindwa kudownload

  • @mapambanotv19
    @mapambanotv1928 күн бұрын

    Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji

  • @Omary_Mjema
    @Omary_MjemaКүн бұрын

    Wapi mnapatikana?

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354Ай бұрын

    Na mbegu tutaipata wapi?

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354Ай бұрын

    Jani hilo linaitwa aje?

  • @JonasMtugulu
    @JonasMtuguluАй бұрын

    Naomba namba zenu za simu

  • @JonasMtugulu
    @JonasMtuguluАй бұрын

    Namba za simu

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709Ай бұрын

    Aina gani ya samaki?kambale?

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464Ай бұрын

    Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa

  • @nestor384
    @nestor38417 күн бұрын

    Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934Ай бұрын

    Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza

  • @maikoyona-cm5xu
    @maikoyona-cm5xuАй бұрын

    Good news ✅

  • @maikoyona-cm5xu
    @maikoyona-cm5xuАй бұрын

    Good news ✅

  • @JeremiahMashini-hs2xz
    @JeremiahMashini-hs2xzАй бұрын

    Ninaomba namba simu jinsi kuwapata

  • @AgnesKalage
    @AgnesKalageАй бұрын

    Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe

  • @hildakamugisha1135
    @hildakamugisha1135Ай бұрын

    Dar tunapata wapi

  • @IsayaMwalukasa-ur2zt
    @IsayaMwalukasa-ur2zt2 ай бұрын

    Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla

  • @jacob.surassa725
    @jacob.surassa7252 ай бұрын

    Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi

  • @dausonkahitira5597
    @dausonkahitira55972 ай бұрын

    Kaz njema na madini mengi napatq

  • @PESASungula
    @PESASungula3 ай бұрын

    Mimi mfugaji wa sungura

  • @SHABANIMAKUSI
    @SHABANIMAKUSI3 ай бұрын

    Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani

  • @gigiman5465
    @gigiman54653 ай бұрын

    Kilimo cha simu kizuri no stress

  • @gigiman5465
    @gigiman54653 ай бұрын

    Kilimo cha simu kizuri no stress

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza65172 ай бұрын

    nimevutiwa na huu mradi

  • @annamlozi4538
    @annamlozi4538Ай бұрын

    Safi sana

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын

    Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee

  • @mengikibona1405
    @mengikibona14053 ай бұрын

    Hawatoshi watam boda san

  • @mifugouvuvionlinetv9032
    @mifugouvuvionlinetv90323 ай бұрын

    Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)

  • @mifugouvuvionlinetv9032
    @mifugouvuvionlinetv90323 ай бұрын

    Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)

  • @innocentandrea6482
    @innocentandrea64823 ай бұрын

    Kwa Moshi mbegu mnauza wap

  • @MATHIASLUGIKO
    @MATHIASLUGIKO3 ай бұрын

    Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta

  • @user-li5ub9sb7v
    @user-li5ub9sb7v3 ай бұрын

    Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma

  • @JastineMafushi-hl6lp
    @JastineMafushi-hl6lp3 ай бұрын

    Nahitaji vifaranga vya sato

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын

    Hongereni sana

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g3 ай бұрын

    Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako

  • @user-iw4ho4wb5p
    @user-iw4ho4wb5p3 ай бұрын

    Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure

  • @felixchristopher7018
    @felixchristopher7018Ай бұрын

    Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!

  • @user-iw4ho4wb5p
    @user-iw4ho4wb5p3 ай бұрын

    Tayari Muleba tuna mbegu nyingi

  • @felixchristopher7018
    @felixchristopher7018Ай бұрын

    Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali

  • @davidkelvin1692
    @davidkelvin16923 ай бұрын

    Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda50633 ай бұрын

    Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.

  • @UDFdaycareRuvuma
    @UDFdaycareRuvuma3 ай бұрын

    Safi

  • @MagenLucas
    @MagenLucas4 ай бұрын

    Naitaji naomba ya sm yenu

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb4 ай бұрын

    Tunafikaje huko ofisini kwenu,west Kilimanjaro,tupeni msaada wa taarifa.

  • @user-cy4cy6uh1w
    @user-cy4cy6uh1w4 ай бұрын

    Tupo pamoja

  • @user-cy4cy6uh1w
    @user-cy4cy6uh1w4 ай бұрын

    Wataalamu waongezwe

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva17194 ай бұрын

    Safi sana