TAZAMA MCHEZO HATARI WA KUJIRUSHA BAHARINI, UMEKUWA KIVUTIO ZANZIBAR, SERIKALI YAANGILIA

#makachuZanzibar #millardayoUPDATES
Makachu ni mchezo maarufu kwa Zanzibar hasa eneo la Forodhani vijana wengi hujumuika muda wa jioni na kucheza mchezo huo wa kujirusha Baharini, kwa sasa ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea Zanzibar na tayari Serikali imekuchukua hatua za kuwatazama vijana wanaocheza mchezo huo kwa kuwaboreshea eneo wanalofanyia mchezo huo

Пікірлер: 178

  • @abdulaabdula2631
    @abdulaabdula26312 жыл бұрын

    Hongra kak..... Kutemblea kisiw ch marash my home good good. Gonga like hap kw zanzibar. Km upendo❤️

  • @salumabdallah2990

    @salumabdallah2990

    2 жыл бұрын

    kisiwa cha marashi ni pemba

  • @Alkaburu
    @Alkaburu2 жыл бұрын

    Nakumbuka nikiwa Nina umri wa miaka kumi takribani miaka ishirini na mbili iliyopita nilinusurika kufa hapo Allah aliniokoa. Alhamdu lilahi. Lakini makachu ni raha. Keep it on love you zanzizbar wherever I am.

  • @Mustakeem967

    @Mustakeem967

    2 жыл бұрын

    Ok

  • @receptionifabeach1329

    @receptionifabeach1329

    2 жыл бұрын

    Wengi vijana wa ngamo tumepita hapa hahaha nazani ulikuwa mtoro chuoni na unakuja kujificha forozani kwa makachu hahaha

  • @Alkaburu

    @Alkaburu

    2 жыл бұрын

    @@receptionifabeach1329 sure bro That day nilifanya utoro kidogo nikatinga foro

  • @magorimagori9264
    @magorimagori92642 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji ni International level aisee...anajua kuuliza maswali vizuri sana na anajua kutumia sauti yake..nimemfatilia sana tangu anaishi mwanza pale nyegezi he is a good guy...keep it up brother

  • @Mustakeem967

    @Mustakeem967

    2 жыл бұрын

    Ok

  • @kijaziwakijayo6833
    @kijaziwakijayo68332 жыл бұрын

    Huu mchezo mwanzo ulikuwa on fire utaanza kupoteza radha sasa kwa kuwa control na mamluki kujiingiza

  • @bekabakari7394
    @bekabakari73942 жыл бұрын

    Jambo muhimu ni kupewa elimu Hao wanao ruka isitoshe wapimwe Afya zao na vilevile naomba Wapewe mafunzo kwani wanaruka ovyo Ovyo watapata vilema kuvunjika shingo Na sehemu nyingine naona wengine Wanaangukia tumbo ni hatari Pia waokoaji wa majini lazima wawepo

  • @ladyt1471

    @ladyt1471

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @Mustakeem967

    @Mustakeem967

    2 жыл бұрын

    Afya wanazo ndomana wanaruka

  • @ashuranuhu8586

    @ashuranuhu8586

    2 жыл бұрын

    Yani iyo sehem watu wengi wamebakia walemavu kisa uo mchenzo tu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11062 жыл бұрын

    Hapa Forodhani ni zaidi ya miaka khamsini vijana ikifika jioni tuu mchezo unaanza.watu wazamani walikuwa wakipanda juu ya ile restaurant na kuruka, vipi ilikuwa raha Zanzibar ikifika jioni hapo Forodhani. .Dr. Hussein vijana kama hawa lazima uwape support kubwa...

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 жыл бұрын

    Mambo ya kawaida tu ayo kwa wazanzibar lazima upite apo toka enzi na enzi hakuna hatari yoyote

  • @ladyt1471
    @ladyt14712 жыл бұрын

    Serikali ingewajengea vizuri ikaweka steps pale mkiruka badala yakupanda ukuta mpite kwenye steps naona kama mtafika mbali zaidi hata kwenye michezo ya Olympics mutafika kukiwa na mpangilio mzuri

  • @Mustakeem967

    @Mustakeem967

    2 жыл бұрын

    Tumependelea ukuta

  • @yunushuden1639

    @yunushuden1639

    2 жыл бұрын

    Na ngazi zipo sio kama hamn ila ukuta ndo kat ya kivutio pia

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    2 жыл бұрын

    Hivii panakuwa na kina apoo wanapotulia amaa maji ya kifua tuu

  • @ashuranuhu8586

    @ashuranuhu8586

    2 жыл бұрын

    @@ramsikhamis7083 parefu apo tena san hasa yani kama hujui kuogelea unakufa apo

  • @davidephrahim4298
    @davidephrahim42982 жыл бұрын

    Ah! Makachu forodhani! I Miss This!

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl2 жыл бұрын

    Manshallah Kaka mzur umeoa kama hujao mke mwema nipo hapa

  • @khadijaali6
    @khadijaali62 жыл бұрын

    Wekeni walipe mpate rizki hakuna vya bure siku hizi

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593Ай бұрын

    Kipindi icho sisis tunaita mizingani nishapija makwachu kwa sana tu kipindi icho nasoma ndani ya shule ya hammamni halfu kuna sehemu nyengine inaitwa ngazi miaaa 100 alo kitambo sana inshallah nikirudi tz kwa kudraa za Allah nataka nifike apo

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68802 жыл бұрын

    Good job, sema uyu mwandishi namfananisha na Dula Ambua kwl yn au n ndugu?

  • @amoury1481
    @amoury14812 жыл бұрын

    6:05 That one is So Funny🤣🤣

  • @mariyammariyam7209
    @mariyammariyam72092 жыл бұрын

    Sio mchezo mzuri sana watu waumia sana uti wa mgongomungu atawasitiri

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    2 жыл бұрын

    Htr Yann icho ni Kipqji na nchi. Za wenzetu wanafanya ji ajira iyo sio mchezo WA Bure

  • @mitanotena5149
    @mitanotena51492 жыл бұрын

    Niliruka sana hapo sana tulipiga vidola vya wazungu daaah enzi hizo natokea chuini hadi folo daah

  • @saidlucas1216
    @saidlucas12162 жыл бұрын

    Masha-allah

  • @taliyagogo1481
    @taliyagogo14812 жыл бұрын

    مشاء الله عليهم.. أنا ازور زنجبار عشرات المرات . وهالمكان دوم اجلس فيه لأن يعجبني اشوف السباقات.. بس بجد الاخ العماني بويتكلم سواحيلي مضبطها صح كانه منهم وفيهم 😀😂 .. اقول للجروب بس لاتروحوا اماكن اخرى بتنزانيا حلوة وطبيعية مثل مونزا وبوكوبا واروشا وموشي... 👍🌺 ترا خلصتها تنزانيا حواطة واستكشاف

  • @anastansiamnenuka3548

    @anastansiamnenuka3548

    2 жыл бұрын

    Welcome again Tanzania dear

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    2 жыл бұрын

    Karibu tena Tanzania.

  • @ronnamax238

    @ronnamax238

    2 жыл бұрын

    Ukuye

  • @taliyagogo1481

    @taliyagogo1481

    2 жыл бұрын

    @@ronnamax238 ???

  • @jumakhamis3767

    @jumakhamis3767

    2 жыл бұрын

    مرحبا بك يا أخي الفاضل الزنجباري

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly63042 жыл бұрын

    Kwa iyo skuiz kuogelea hapa ni kwa kibali? acheni ayo mambo maisha magumu na starehe ya mnyonge isiyo na dhambi pia mnataka kuifanya ngumu ,ayo mambo ya vibali hatuyataki pelekeni ukoo

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki96402 жыл бұрын

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75892 жыл бұрын

    Zanzibar Raha Sanaaaa

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH barik

  • @isackanhandula2345
    @isackanhandula23452 жыл бұрын

    Hatari

  • @mussadelight4038

    @mussadelight4038

    2 жыл бұрын

    Yaan uku zenji ukiongeya maneno ayo bx ushamba

  • @saidhassan7779
    @saidhassan77792 жыл бұрын

    Hichi ndio kisiwa ambacho watu wake wanaimani sana kwa hakika ndio kisiwa kitukufu kwa hapa duniani Mashaallah ,sio Kama Tanzania bara hapa kwa hakika kwa sbbu Wabongo ni shida duh

  • @ankdullahtv1693

    @ankdullahtv1693

    2 жыл бұрын

    Wanainani ya kuswali tu Ila Wana laana ya zinaaa

  • @johanesbina1302

    @johanesbina1302

    2 жыл бұрын

    Jidanganye

  • @sabraabdilnasir8826

    @sabraabdilnasir8826

    2 жыл бұрын

    Umeongea ukweli zinaa hapo ndio yao na wala hawaogopi

  • @magrethmbuma3045

    @magrethmbuma3045

    2 жыл бұрын

    Hahahahhaa mambo yasiyooneka kwa macho ndio hataarii zaidi kuliko yanayoonekana kwa macho...we fanta uchunguzi tena utakuja na majibu menginee na utafunga kimya kuwanenea watu wabaya kama hayo.

  • @salumsaid5519
    @salumsaid55192 жыл бұрын

    Hiyo sio hatr ni michezo yet wameruka kk zang nimeruka na mm na wataruka wtt wng asil haipotei Zanzibar ndio yet koga mton uliwe na mamba hbr redio

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 Жыл бұрын

    Hata sio mzuri

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim84242 жыл бұрын

    Kwetu kuzuri mashaallah 🥰

  • @hamidamer8849
    @hamidamer88492 жыл бұрын

    Waacheni wapige makwachu wote wanajielewa ao wanaakili zao kwiy linalowatokea watajijua wao wenyew sjawah kumuon chizi akaend foro akapiga makwachu

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili2 жыл бұрын

    🌳🌳🌳🌲🌲🌿🌿🌿

  • @mundhiraly3368
    @mundhiraly33682 жыл бұрын

    Allah awalinde

  • @salummazurui3270
    @salummazurui32702 жыл бұрын

    Naomba namba ya simu ya kiongozi wao

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy51072 жыл бұрын

    Barua ya sheha tena.. Watu tumezaliwa stone town kesha unipangie boya nin wew...

  • @Mustakeem967

    @Mustakeem967

    2 жыл бұрын

    Hujalazimishwa mzeee

  • @waforo

    @waforo

    Жыл бұрын

    Hujamuelewa mzee apo amezungumzia kuwa memba sio kuwa mrukaji warukaji wapo wengi ila member sio wte

  • @mitanotena5149
    @mitanotena51492 жыл бұрын

    Daaaah saizi wanajisajiri aaaaaaaah ujinga tu!!zamani ilikuwa free hapo

  • @khadijaali6
    @khadijaali62 жыл бұрын

    Na pia kuwekwe mahodari wa hiyo kazi incase mmoja akishindwa asaidiwe😂😂uoga mbaya

  • @taliyagogo1481
    @taliyagogo14812 жыл бұрын

    Huyu kijana anaitwa Hussein ni handsome sana..kama kuna handsome Man toka zanzibar wapo... nataka mchumba.☺️☺️☺️ Am from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    2 жыл бұрын

    Handsome man tupo kila mahali ni wewe tuu useme wataka mfupi au mrefu

  • @taliyagogo1481

    @taliyagogo1481

    2 жыл бұрын

    @@binhussain3445 😂 am serious about what I said 👍

  • @fariduwezo9557

    @fariduwezo9557

    2 жыл бұрын

    Nipo handsome nilokosa Matunzo from Zanzibar

  • @taliyagogo1481

    @taliyagogo1481

    2 жыл бұрын

    @@fariduwezo9557 I didn't understand??

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    2 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @amanichaula1
    @amanichaula12 жыл бұрын

    Wenye mamlaka wautazame huu mchezo usije ukalete mahafa kuchukua taazari mapema

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    2 жыл бұрын

    Kuna mmoja kashapararaiz

  • @linahsemindu4261

    @linahsemindu4261

    2 жыл бұрын

    Sio mmoja wawili wamepalalaiz wapo kitandan hd Leo huo mchezo mbaya Sana Basi tu

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    2 жыл бұрын

    @@linahsemindu4261 aisee kumbe wawil bhc mm nlimuona yule mmoja yaam dah cjui pesa wanalipwa nyng maskn dah

  • @linahsemindu4261

    @linahsemindu4261

    2 жыл бұрын

    @@Zainab-sq1tc wawili my Tena huyu wa 2 naona ni wajuz juz nae anatakiwa pesa nyingi apelekwe nje ni kijana mdg Sana shombe shombe

  • @jacrinsubi4198

    @jacrinsubi4198

    2 жыл бұрын

    @@linahsemindu4261 Kuna mmoja wa hapa mahonda kashafariki miaka Sasa.

  • @king_agil6297
    @king_agil62972 жыл бұрын

    Huyu muhindi muongo sijawahi kusikia kuhusu vitambulisho na mm naenda kujirusha na watu na sijawahi kudaiwa kitambulisho wala nn

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph61222 жыл бұрын

    Hatari ipo wapi ata Mimi naweza hiyo.

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely79452 жыл бұрын

    Zanzibar 🥰🥰

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub81252 жыл бұрын

    Kama Pana mawe bac nivizur yakatolewa kwaajili ya usalama zaid

  • @Mustakeem967
    @Mustakeem9672 жыл бұрын

    Mbona sio hatar mzeee

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior2 жыл бұрын

    MUWEKEWE NGAZI ZA KUPANDIA KUTOKA KWENYE MAJI KURUDI JUU. PIA MUWEKEWE KITU PA KUKANYAGA KABLA YA KURUKA HAPO.ISIWE TOFALI.

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty20672 жыл бұрын

    Mchezo mbaya sana huo watu wanalala kitandani miaka kwa ajili ya michezo hiyo.

  • @Mustakeem967

    @Mustakeem967

    2 жыл бұрын

    Qadar

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Mtihani

  • @respectall4551
    @respectall45512 жыл бұрын

    At 2.09 he said this game doesn't appear anywhere in the world except zanzibar 🙄. There kids doing this in Morocco too "paradise valley" Agadir Morocco.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57722 жыл бұрын

    Nzuri ila bado staili mpya hamuna mana wengine wanajirusha tu hazina mbwembwe.vionjo tafauti na zamani miaka ya 1995

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50152 жыл бұрын

    Wanabiapaji vikubwq sn yn wngekuwa nje saaiz wanakula pesa mno. Lkn sio Tzd

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis33032 жыл бұрын

    Serikali inaingiza pesa kwa nguvu za vijana kama mumejiandikisha munatangaza utalii nyie vijana munalipwa kila mwezi na serikali ama vp mwambieni Raisi awe anawalipa mana naona ata mukipata ajali hawawezi kuwatibu angalau mumengeomba insurance ili muende check up kwa mwezi sio kuruka tuu kuitangaza nchi wkt hampati chochote serikali oneni aibu kwa vijana hii ni ajira yao bwana

  • @pepokigoma5395
    @pepokigoma53952 жыл бұрын

    Tungepataa wabunge kama hawa tungefika mbali sana Mana weng waujum uchumii tuu?

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic992 жыл бұрын

    Hio sehemu iacheni public kuifanya private ni ujinga mkubwa.

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Жыл бұрын

    Ikitokea ajali mtu anaumia na ku paralais atajuta kuzaliwa ana dive anapgiza kichwa na mawe humo baharini tatizo ndo linaanza hapo

  • @imransalim6352
    @imransalim63522 жыл бұрын

    kivutio kikubwa within but not duniani

  • @kylesmeight4837

    @kylesmeight4837

    2 жыл бұрын

    Dunia hadi diddy kapost

  • @hannansdeliciousfood4261

    @hannansdeliciousfood4261

    2 жыл бұрын

    Ni dunia aana wana trend vibaya

  • @priscangimba6194
    @priscangimba61942 жыл бұрын

    Jmn angalien msije mkavunja uti wa mgongo

  • @mussadelight4038

    @mussadelight4038

    2 жыл бұрын

    Huk foro kwetu ni kawaid t n wat kutok nchi tofaut wanakuj kujioneya

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya96542 жыл бұрын

    Members 60

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 Жыл бұрын

    Fanyeni kitu ambacho hao vijana they can make something in profit

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 Жыл бұрын

    Zanzibar ni yetu sote yaani kuogelea tu forodhani uwe na kitambulisho na barua ya sheha au mjumbe hee ni Mtihani basi?

  • @islamjarwan1476
    @islamjarwan14762 жыл бұрын

    Unajua kwanini mulikuwa nikivutio kikubwa na watu waliwapenda na mukaonekana ni wa kipekee ni ile staili ya kuchupa namakanzu yenu ingawaje sio vizuri lakini ndo mulipendeza sasa kama leo mumevaa sare munakuwa wakawaida tu sio ishu ni kama diving wengine tu duniani.

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13232 жыл бұрын

    Aje na kitambulisho cha mzanzibar? Kama anacho cha Bára je?

  • @siloomar7699

    @siloomar7699

    2 жыл бұрын

    Kwan kuna cha bara au kuna cha tz?

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba84232 жыл бұрын

    Duuh

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    2 жыл бұрын

    masha Allah lkn huu mchezo unawatia watu ulemavu wa maosha😅😅

  • @adamzachariakinyekile6948
    @adamzachariakinyekile69482 жыл бұрын

    Aje na kitambulisho kama yeye ni mtanzania na sio kama yeye ni mzanzibari,wote ni watanzania

  • @zulaykhajuma41

    @zulaykhajuma41

    2 жыл бұрын

    usime wa vyetu vyenu, vyenu vyenu umekufa now. Forodhani Iko Zanzibar na anataka lazima awe mzanzibar. So, aje na kitambulisho Cha Mzanzibar

  • @Meshaonetz
    @Meshaonetz2 жыл бұрын

    New songs Mimi na wewe kutoka kwangu njoo uisikilize nyimbo tam ya mapenzi

  • @salimally7358
    @salimally73582 жыл бұрын

    🤣🤣🙏

  • @myamwezmyamwez8669
    @myamwezmyamwez86692 жыл бұрын

    Washakufa wengi hapo na hilo eneo limesha lemaza wengi hivyo hivyo.

  • @AliMohamed-gv7nw

    @AliMohamed-gv7nw

    2 жыл бұрын

    Hakuna sehemu wasokufa watu tatizo wengine maji sio Mambo yenu

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 Жыл бұрын

    MTANGAZAJI ANAFANANA NA DULA SURA HADI KUTANGAZA

  • @jumakasim8784
    @jumakasim87842 жыл бұрын

    Aya hao wana luka kawaida sana unaluka unajigeuza ki samaki ukiwa angani sio poa

  • @mussadelight4038

    @mussadelight4038

    2 жыл бұрын

    Wew fatilita iyo halfu nd uongee maneno yk

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 Жыл бұрын

    Waruhusuni wageni pia kufanya show kwa kulipia

  • @neemakombe67
    @neemakombe672 жыл бұрын

    Wakivunjika uti wa mgongo wanakuja kutulilia tuwasaidie michango

  • @ramlaomar7923

    @ramlaomar7923

    2 жыл бұрын

    😁😂😂

  • @pantherking_tz

    @pantherking_tz

    2 жыл бұрын

    Ndo hapo sasa na hawajifunzi tu kupitia hao waliokwishaumia.

  • @neemakombe67

    @neemakombe67

    2 жыл бұрын

    @@pantherking_tz yani acha tuu wanaumia vibaya sana na wote waonaumia kwenye makachu ni uti wa mgongo unavunjika so sad kwa kweli

  • @bekabakari7394

    @bekabakari7394

    2 жыл бұрын

    Keasababu hawajapewa mafunzo Ya kuruka majini wanajirukia ovyo ovyo Wakiangukia tumbo,shingo,vifua Nihatari sio kufurahia na serikali inaona

  • @ahmedmohd5507

    @ahmedmohd5507

    2 жыл бұрын

    sku zote hakuna kizuri kikosacho kasor lila kitu kina faida na hasira zake so tuache husda na kuombeana mabala tuombeane mema tusapotiane na kwa maana ajali zipo majin na nchi kavu...!!

  • @ahmedismail4192
    @ahmedismail41922 жыл бұрын

    Njoeni mafia money vipaji vya diving humujui chochote wanzazibari

  • @hannansdeliciousfood4261

    @hannansdeliciousfood4261

    2 жыл бұрын

    Chuki hizo zisizo sababu chanzo chake roho mbaya na roho mbaya haijengi hubomoa....umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.....znz ni nchi ya utalii na vivutio vingii.....kazi kwako

  • @ahmedismail4192

    @ahmedismail4192

    2 жыл бұрын

    @@hannansdeliciousfood4261 njoo mafia uone utalii znz hakuna chochote

  • @hannansdeliciousfood4261

    @hannansdeliciousfood4261

    2 жыл бұрын

    @@ahmedismail4192 hahaha ukishaona ww inatoshaa......tangaza utalii nje sio kwa wazanzibar bye

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba59862 жыл бұрын

    Badae mkipata matatizo ndio muanze kuomba msaada wakuoelekwa india

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Sio mchezo mzuri sana baadae watapata madhara makubwa ya mgongo

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa3312 жыл бұрын

    Huo mchezo muuache Mara moja .

  • @lispamagu5810

    @lispamagu5810

    2 жыл бұрын

    Unaumwa wewe

  • @mussadelight4038

    @mussadelight4038

    2 жыл бұрын

    Xx ukiskiy foro nd hap kweny buruda y makwachu

  • @abdulialiy5411
    @abdulialiy54112 жыл бұрын

    Hindi ata kiswahili hakikijuwi vizur ila ndio linawapangia watu wapi wakoge na wapi wasikoge ndani ya nchi yao

  • @mrs2899

    @mrs2899

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 fala ww yy ni moja kati ya uongozi bichwa lako sikia vizur acha ubaguzi

  • @adaboychibu1659

    @adaboychibu1659

    2 жыл бұрын

    @@alphadreammedia Anaweza akawa sio mzanzibar lakini akawa mtanzania halisi au bado ni mbaya ?

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    2 жыл бұрын

    Unaijua Zanzibar na watu wanaoishi??

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    2 жыл бұрын

    Baguzi hiloooo...bado na ushamba wa kizamani eti mhindi..big fool wewe

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    2 жыл бұрын

    @@ezekieljacob5795 Inaonesha hajuwi hata zanzibar inawatu waaina gani 🤣🤣

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili2 жыл бұрын

    *MASHALITI YA KUMILIKI PESA ZA MAJINI/MIZIMU.* 1. Uwe na umri kuanzia miaka 18 n.k 2. Uwe na moyo kutunza siri pindi utakapo kua umemiliki pesa za Majini/Mizimu. 3. Uwe ni wa kusaidia ndugu zako pamoja na kutoa misaada katika vituo wanavyo lelewa watoto yatima au wazee 4. Uwe unavaa nguo nyeupe kila siku ya alhamisi pamoja na kuchinja mnyama kila mwaka Kisha kula pamoja na ndugu zako au jamaa na marafiki. Usinyanyase ndugu eti kwasababu unamiliki pesa hizi. 5. Pia haichagui jinsia uwe mke au mume wote inawezekana kumiliki pesa za majini

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic992 жыл бұрын

    Sio hatari achaneni ushamba nyie.

  • @djnajma5627
    @djnajma56272 жыл бұрын

    DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*# m.kzread.info/dash/bejne/oKik1riOktqrpNY.html

  • @indigirlkacecullar9363
    @indigirlkacecullar93632 жыл бұрын

    Kwa wale wanaotaka mambo ya Wazima karibu ujionee 🍆🍑💧kzread.info/dash/bejne/oZaEycmje7OqgazM.htmlttps://kzread.info/dash/bejne/oZaEycmje7OqgazM.htmlttps://kzread.info/dash/bejne/oZaEycmje7Oqgaw.html

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki96402 жыл бұрын

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 Жыл бұрын

    Jiangalieni msije mkajivunja uti wa mgongo

  • @djnajma5627
    @djnajma56272 жыл бұрын

    DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*# m.kzread.info/dash/bejne/oKik1riOktqrpNY.html

Келесі