TAZAMA KIJANA ABUNI APP YA KUPUNGUZA MATUMIZI YA UMEME, INATUMIA KADI KUWASHA UMEME NYUMBANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 69
@abdulmajaliwa6376 Жыл бұрын
Genius..... Uyu na wengine wapewe kipaumbele... Nchi yetu na mfumo wetu wa elimu unapoteza vipawa Kama hivi
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Kumbe bado kazindua nyingine hapo awali na bado anaishi maisha duni 😔 watu kama hawa wanahitaji wapewe kipaumbele kwa maendeleo ya Taifa ...
@gilbertmathias7594 Жыл бұрын
Tunaomba watuka kama hawa kiundwe kikosi kazi ambacho kitakuwa chini ya JWTZ na TIS. Ni maoni yangu. Nchi yetu itasonga mbele . Tusiangalie sasa tujipange yajayo miaka 20
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
waliokuwepo madarakani hivi sasa wanajiangalia wao tuu
@gilbertmathias7594 Жыл бұрын
Tunaomba serikali watu wa namna hii iwakusanye kwa pamoja wawezeshwe watafanya mambo makubwa . Ndo wanasayansi wetu naipenda Tanzania na Afrika
@saimonijonas4356
Жыл бұрын
🙄
@flackomasterbaddest4155
Жыл бұрын
Point
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
hujamsikia raisi wenu anasema wazungu ndio wataalamu kwa kila kitu
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Tena hiyo ya gesi hiyo safi sana haya inapotokea ajali unaweza kuzima gesi hata ukiwa mbali kwa hatari ya kuungua
@asrymohd6690 Жыл бұрын
Mashaaallaaaah elimuyko ni muhimu Sana kwetuuu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Vipaji tunavyo shida IPO kwenye kuendelezwa kitaaluma na jinsi ya kupewa connection na makampuni makubwa ili kupata mikataba minono 🙏🙏
@brunompolle1404 Жыл бұрын
Kijana wa ukweli tunahitaji huyo asapotiwe zaidi niombee Ayo mfikishe huyu kijana aende kwa viongozi wajuu
@nelsonjonathan7660 Жыл бұрын
Yule dogo wa kigoma aliyetegeneza radio station waunganishe na huyu wapewe nguvu na serikali iwatumie kukuza walichonacho ktk akili zao kama nchi tunahitaji watu kama hawa watasaidia kwa namna moja au nyungine sio lazima tuwategemee watu wa mataifa mengine kutufanyia kila kitu
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Tunaomba Serikari imtambue rasmi ili kutambulika kitaifa na kimataifa kwa faida ya Tanzania yetu pendwa
@thatboywithakeyboard9292 Жыл бұрын
So sad seeing this Brain 🧠👽 is underrated.
@blackwarrior-animations593 Жыл бұрын
Geniuses are Born in TANZANIA
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Hapo Kwa haraka haraka Kuna APP zaidi ya moja ukipata msimamizi mzuri utapiga mpunga mkubwa sana ,hiyo ya gas's peke yake ni app inayojitegemea nk.
@kibatikombo713 Жыл бұрын
Kazi nzuri kijana hongera sana
@samsonmsetti1949 Жыл бұрын
Soon mta mskia yuko america make nabii hakubariki home
@jamhuri_imala3976 Жыл бұрын
Duud big up brother 👏👏 unauwezo mkubwa
@zainabohus4903 Жыл бұрын
Kazi nzuri kaka
@Michoarbah Жыл бұрын
we nomaa..
@suddytele3692 Жыл бұрын
Auwezi kuwafungia vifaa vya kuchangamka awa waandika sensa maana duuu akuna kitu
@sansmarttv Жыл бұрын
Sio mpya watu wameshafanya kitambo hapa hapa bongo na bado maskini
@cmantz8837 Жыл бұрын
Nakushauri mtafute zuberi was kigoma mshilikiane katika kazi zenu za ubunifu mtasonga
@EngSALAHOT23 Жыл бұрын
Hongera Sana.
@shabanimfinanga7540 Жыл бұрын
Watu kama hawa ndo serikali iwachukue waje watusaidie kweny mamb ya technology lakin chaajabu serikali yetu inawachukulia poah tujifunze kwa wenzetu urusi na marekan watu kama hawa huchukuliwa na kutumika na vyombo vya usalama ata jeshi kulisaidia kweny vit mbali mbali sasa jesh la zimamot mchkue kijan huyu tuachen umimi tuikuze tanzania yetu
@nelsonjonathan7660
Жыл бұрын
Sahihi kabisaaaaaa
@hagarbills4023 Жыл бұрын
Mansha'Allah Mungu akuzindishie amiiin
@Laravel_Africa Жыл бұрын
keep it up bro
@conganyoyo3195 Жыл бұрын
Jamaa anakipaj kikubwa sana,serikal imwone Kama m2 wapekee na kumsaidia
@Zahrazahra-ue7bp Жыл бұрын
Manshaallah
@newagecommunications7258 Жыл бұрын
All the best, natumaini serikali itakuona utufaidishe raia wengi
@kassebo Жыл бұрын
Ingekuwa nchi zingine angekuwa kasha ajiliwa. Kwenye makampuni makubwa.
@shabanimfinanga7540 Жыл бұрын
Vivaviva tanzania
@josephsimbili4344 Жыл бұрын
Daa!! Saf sana
@maprosokelly2986 Жыл бұрын
Angekwepo JPM duh?? chap angekuita mambo kama haya aliyapenda san ? pamoja San kwasasa sijuw pongez kwako ubunifu mzur san
@claudematemu185 Жыл бұрын
Saafi kaka
@fredysiwale5413 Жыл бұрын
Mimi nahitaji utaalam huo sh ngapi itagarim
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Tayari ni mwalimu ameshasoma ila Tanzania yangu hii utaskia kapelekwa chuo kuongeza ujuzi😁 badala wampe mtaji wamwezeshe atoe elimu kwa wengine afungue darasa lake
@yolenimocheng8745
Жыл бұрын
Huyu tayr ni prof. Anatakiwa akafundishe elimu ya juu sio kufundishwa ten
@Maconcepty
Жыл бұрын
Co kufundisha tu aanze kuzarisha tuuze ndan ya inch na nje ya inch pia nasisi twende na kas ya dunia🙋
@michaelipius2660 Жыл бұрын
🙏🔥🔥🔥🔥
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Whaaaaaatttttt wow
@albusaidi5132 Жыл бұрын
Je nikipoteza izo kad au kutibiwa sm je aetaokota au alieba sm awez kufungua
@Mwika12 Жыл бұрын
JWTZ 👂🧠
@vibetz9991 Жыл бұрын
Tengeneza ya kuweka luku bila kulipia😆🤣🤣
@johnbernad3990
Жыл бұрын
Unapenda kamseleleko 🤣🤣
@peteralfred7006 Жыл бұрын
Jamaa anachokifanya kinaitwa Internet of Things (IoT)
@peteralfred7006
Жыл бұрын
Namtafuta huyu mwamba
@tnuhappy5497 Жыл бұрын
Kwahiyo asaidiwe ili watu wasitumie umeme mwingi au? Tunataka umeme usitumike mwingi ili TANESCO wakose mapato? HUYU HASAIDIWI NG'O...
@jrsaid4270
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kapigwa na kitu kizito au unasemaje
@Prishnakdrama
Жыл бұрын
mchawi wewe
@omarizuberi2300 Жыл бұрын
Je cct inaweza pia ?
@Skomi-0nedayyes Жыл бұрын
Mungu amwinue uyu jamaa lakin serikali lazima itoe kipaumbire kwa wabunifu kuwe na mfuko maarumu ili Taifa lisonge mbere.
@salehjuma5242 Жыл бұрын
Dah hatar na nusu
@nururaymond5 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna vipajo
@schosay_ Жыл бұрын
Huyu apatikane mfadhili apelekwe masomo ya IT ili kipaji kitumike ipasavyo
@djtiffa9664 Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html
@yolenimocheng8745 Жыл бұрын
Wazo langu waanze mashule
@yolenimocheng8745 Жыл бұрын
Wizara ya Elimu sayansi na teknolojia iv kaz kazi yake ni nn jamani naomba nijuzwe tafadhal
@japhethbaalinda1756 Жыл бұрын
Serikali ya Tanzania inajua kunyonya raia tu
@hamisiprinsi5240 Жыл бұрын
Naam bro app inaitwaje?
@josephswai2374 Жыл бұрын
Apo kwenye maji tu
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
.mh
@raykul7509 Жыл бұрын
IoT hyoo
@jumannempweza568 Жыл бұрын
Instagram account?
@djtiffa9664 Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html
Пікірлер: 69
Genius..... Uyu na wengine wapewe kipaumbele... Nchi yetu na mfumo wetu wa elimu unapoteza vipawa Kama hivi
Kumbe bado kazindua nyingine hapo awali na bado anaishi maisha duni 😔 watu kama hawa wanahitaji wapewe kipaumbele kwa maendeleo ya Taifa ...
Tunaomba watuka kama hawa kiundwe kikosi kazi ambacho kitakuwa chini ya JWTZ na TIS. Ni maoni yangu. Nchi yetu itasonga mbele . Tusiangalie sasa tujipange yajayo miaka 20
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
waliokuwepo madarakani hivi sasa wanajiangalia wao tuu
Tunaomba serikali watu wa namna hii iwakusanye kwa pamoja wawezeshwe watafanya mambo makubwa . Ndo wanasayansi wetu naipenda Tanzania na Afrika
@saimonijonas4356
Жыл бұрын
🙄
@flackomasterbaddest4155
Жыл бұрын
Point
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
hujamsikia raisi wenu anasema wazungu ndio wataalamu kwa kila kitu
Tena hiyo ya gesi hiyo safi sana haya inapotokea ajali unaweza kuzima gesi hata ukiwa mbali kwa hatari ya kuungua
Mashaaallaaaah elimuyko ni muhimu Sana kwetuuu
Vipaji tunavyo shida IPO kwenye kuendelezwa kitaaluma na jinsi ya kupewa connection na makampuni makubwa ili kupata mikataba minono 🙏🙏
Kijana wa ukweli tunahitaji huyo asapotiwe zaidi niombee Ayo mfikishe huyu kijana aende kwa viongozi wajuu
Yule dogo wa kigoma aliyetegeneza radio station waunganishe na huyu wapewe nguvu na serikali iwatumie kukuza walichonacho ktk akili zao kama nchi tunahitaji watu kama hawa watasaidia kwa namna moja au nyungine sio lazima tuwategemee watu wa mataifa mengine kutufanyia kila kitu
Tunaomba Serikari imtambue rasmi ili kutambulika kitaifa na kimataifa kwa faida ya Tanzania yetu pendwa
So sad seeing this Brain 🧠👽 is underrated.
Geniuses are Born in TANZANIA
Hapo Kwa haraka haraka Kuna APP zaidi ya moja ukipata msimamizi mzuri utapiga mpunga mkubwa sana ,hiyo ya gas's peke yake ni app inayojitegemea nk.
Kazi nzuri kijana hongera sana
Soon mta mskia yuko america make nabii hakubariki home
Duud big up brother 👏👏 unauwezo mkubwa
Kazi nzuri kaka
we nomaa..
Auwezi kuwafungia vifaa vya kuchangamka awa waandika sensa maana duuu akuna kitu
Sio mpya watu wameshafanya kitambo hapa hapa bongo na bado maskini
Nakushauri mtafute zuberi was kigoma mshilikiane katika kazi zenu za ubunifu mtasonga
Hongera Sana.
Watu kama hawa ndo serikali iwachukue waje watusaidie kweny mamb ya technology lakin chaajabu serikali yetu inawachukulia poah tujifunze kwa wenzetu urusi na marekan watu kama hawa huchukuliwa na kutumika na vyombo vya usalama ata jeshi kulisaidia kweny vit mbali mbali sasa jesh la zimamot mchkue kijan huyu tuachen umimi tuikuze tanzania yetu
@nelsonjonathan7660
Жыл бұрын
Sahihi kabisaaaaaa
Mansha'Allah Mungu akuzindishie amiiin
keep it up bro
Jamaa anakipaj kikubwa sana,serikal imwone Kama m2 wapekee na kumsaidia
Manshaallah
All the best, natumaini serikali itakuona utufaidishe raia wengi
Ingekuwa nchi zingine angekuwa kasha ajiliwa. Kwenye makampuni makubwa.
Vivaviva tanzania
Daa!! Saf sana
Angekwepo JPM duh?? chap angekuita mambo kama haya aliyapenda san ? pamoja San kwasasa sijuw pongez kwako ubunifu mzur san
Saafi kaka
Mimi nahitaji utaalam huo sh ngapi itagarim
Tayari ni mwalimu ameshasoma ila Tanzania yangu hii utaskia kapelekwa chuo kuongeza ujuzi😁 badala wampe mtaji wamwezeshe atoe elimu kwa wengine afungue darasa lake
@yolenimocheng8745
Жыл бұрын
Huyu tayr ni prof. Anatakiwa akafundishe elimu ya juu sio kufundishwa ten
@Maconcepty
Жыл бұрын
Co kufundisha tu aanze kuzarisha tuuze ndan ya inch na nje ya inch pia nasisi twende na kas ya dunia🙋
🙏🔥🔥🔥🔥
Whaaaaaatttttt wow
Je nikipoteza izo kad au kutibiwa sm je aetaokota au alieba sm awez kufungua
JWTZ 👂🧠
Tengeneza ya kuweka luku bila kulipia😆🤣🤣
@johnbernad3990
Жыл бұрын
Unapenda kamseleleko 🤣🤣
Jamaa anachokifanya kinaitwa Internet of Things (IoT)
@peteralfred7006
Жыл бұрын
Namtafuta huyu mwamba
Kwahiyo asaidiwe ili watu wasitumie umeme mwingi au? Tunataka umeme usitumike mwingi ili TANESCO wakose mapato? HUYU HASAIDIWI NG'O...
@jrsaid4270
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kapigwa na kitu kizito au unasemaje
@Prishnakdrama
Жыл бұрын
mchawi wewe
Je cct inaweza pia ?
Mungu amwinue uyu jamaa lakin serikali lazima itoe kipaumbire kwa wabunifu kuwe na mfuko maarumu ili Taifa lisonge mbere.
Dah hatar na nusu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna vipajo
Huyu apatikane mfadhili apelekwe masomo ya IT ili kipaji kitumike ipasavyo
kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html
Wazo langu waanze mashule
Wizara ya Elimu sayansi na teknolojia iv kaz kazi yake ni nn jamani naomba nijuzwe tafadhal
Serikali ya Tanzania inajua kunyonya raia tu
Naam bro app inaitwaje?
Apo kwenye maji tu
.mh
IoT hyoo
Instagram account?
kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html
@charlesmgina8180
Жыл бұрын
🚒🚒🚒🚒🚒😁😁😁😘😁😁😁