TAZAMA KIJANA ABUNI APP YA KUPUNGUZA MATUMIZI YA UMEME, INATUMIA KADI KUWASHA UMEME NYUMBANI

Пікірлер: 69

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 Жыл бұрын

    Genius..... Uyu na wengine wapewe kipaumbele... Nchi yetu na mfumo wetu wa elimu unapoteza vipawa Kama hivi

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Жыл бұрын

    Kumbe bado kazindua nyingine hapo awali na bado anaishi maisha duni 😔 watu kama hawa wanahitaji wapewe kipaumbele kwa maendeleo ya Taifa ...

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Жыл бұрын

    Tunaomba watuka kama hawa kiundwe kikosi kazi ambacho kitakuwa chini ya JWTZ na TIS. Ni maoni yangu. Nchi yetu itasonga mbele . Tusiangalie sasa tujipange yajayo miaka 20

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    Жыл бұрын

    waliokuwepo madarakani hivi sasa wanajiangalia wao tuu

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Жыл бұрын

    Tunaomba serikali watu wa namna hii iwakusanye kwa pamoja wawezeshwe watafanya mambo makubwa . Ndo wanasayansi wetu naipenda Tanzania na Afrika

  • @saimonijonas4356

    @saimonijonas4356

    Жыл бұрын

    🙄

  • @flackomasterbaddest4155

    @flackomasterbaddest4155

    Жыл бұрын

    Point

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    Жыл бұрын

    hujamsikia raisi wenu anasema wazungu ndio wataalamu kwa kila kitu

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Жыл бұрын

    Tena hiyo ya gesi hiyo safi sana haya inapotokea ajali unaweza kuzima gesi hata ukiwa mbali kwa hatari ya kuungua

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Жыл бұрын

    Mashaaallaaaah elimuyko ni muhimu Sana kwetuuu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын

    Vipaji tunavyo shida IPO kwenye kuendelezwa kitaaluma na jinsi ya kupewa connection na makampuni makubwa ili kupata mikataba minono 🙏🙏

  • @brunompolle1404
    @brunompolle1404 Жыл бұрын

    Kijana wa ukweli tunahitaji huyo asapotiwe zaidi niombee Ayo mfikishe huyu kijana aende kwa viongozi wajuu

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 Жыл бұрын

    Yule dogo wa kigoma aliyetegeneza radio station waunganishe na huyu wapewe nguvu na serikali iwatumie kukuza walichonacho ktk akili zao kama nchi tunahitaji watu kama hawa watasaidia kwa namna moja au nyungine sio lazima tuwategemee watu wa mataifa mengine kutufanyia kila kitu

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Жыл бұрын

    Tunaomba Serikari imtambue rasmi ili kutambulika kitaifa na kimataifa kwa faida ya Tanzania yetu pendwa

  • @thatboywithakeyboard9292
    @thatboywithakeyboard9292 Жыл бұрын

    So sad seeing this Brain 🧠👽 is underrated.

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 Жыл бұрын

    Geniuses are Born in TANZANIA

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын

    Hapo Kwa haraka haraka Kuna APP zaidi ya moja ukipata msimamizi mzuri utapiga mpunga mkubwa sana ,hiyo ya gas's peke yake ni app inayojitegemea nk.

  • @kibatikombo713
    @kibatikombo713 Жыл бұрын

    Kazi nzuri kijana hongera sana

  • @samsonmsetti1949
    @samsonmsetti1949 Жыл бұрын

    Soon mta mskia yuko america make nabii hakubariki home

  • @jamhuri_imala3976
    @jamhuri_imala3976 Жыл бұрын

    Duud big up brother 👏👏 unauwezo mkubwa

  • @zainabohus4903
    @zainabohus4903 Жыл бұрын

    Kazi nzuri kaka

  • @Michoarbah
    @Michoarbah Жыл бұрын

    we nomaa..

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 Жыл бұрын

    Auwezi kuwafungia vifaa vya kuchangamka awa waandika sensa maana duuu akuna kitu

  • @sansmarttv
    @sansmarttv Жыл бұрын

    Sio mpya watu wameshafanya kitambo hapa hapa bongo na bado maskini

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 Жыл бұрын

    Nakushauri mtafute zuberi was kigoma mshilikiane katika kazi zenu za ubunifu mtasonga

  • @EngSALAHOT23
    @EngSALAHOT23 Жыл бұрын

    Hongera Sana.

  • @shabanimfinanga7540
    @shabanimfinanga7540 Жыл бұрын

    Watu kama hawa ndo serikali iwachukue waje watusaidie kweny mamb ya technology lakin chaajabu serikali yetu inawachukulia poah tujifunze kwa wenzetu urusi na marekan watu kama hawa huchukuliwa na kutumika na vyombo vya usalama ata jeshi kulisaidia kweny vit mbali mbali sasa jesh la zimamot mchkue kijan huyu tuachen umimi tuikuze tanzania yetu

  • @nelsonjonathan7660

    @nelsonjonathan7660

    Жыл бұрын

    Sahihi kabisaaaaaa

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 Жыл бұрын

    Mansha'Allah Mungu akuzindishie amiiin

  • @Laravel_Africa
    @Laravel_Africa Жыл бұрын

    keep it up bro

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 Жыл бұрын

    Jamaa anakipaj kikubwa sana,serikal imwone Kama m2 wapekee na kumsaidia

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp Жыл бұрын

    Manshaallah

  • @newagecommunications7258
    @newagecommunications7258 Жыл бұрын

    All the best, natumaini serikali itakuona utufaidishe raia wengi

  • @kassebo
    @kassebo Жыл бұрын

    Ingekuwa nchi zingine angekuwa kasha ajiliwa. Kwenye makampuni makubwa.

  • @shabanimfinanga7540
    @shabanimfinanga7540 Жыл бұрын

    Vivaviva tanzania

  • @josephsimbili4344
    @josephsimbili4344 Жыл бұрын

    Daa!! Saf sana

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 Жыл бұрын

    Angekwepo JPM duh?? chap angekuita mambo kama haya aliyapenda san ? pamoja San kwasasa sijuw pongez kwako ubunifu mzur san

  • @claudematemu185
    @claudematemu185 Жыл бұрын

    Saafi kaka

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Жыл бұрын

    Mimi nahitaji utaalam huo sh ngapi itagarim

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Жыл бұрын

    Tayari ni mwalimu ameshasoma ila Tanzania yangu hii utaskia kapelekwa chuo kuongeza ujuzi😁 badala wampe mtaji wamwezeshe atoe elimu kwa wengine afungue darasa lake

  • @yolenimocheng8745

    @yolenimocheng8745

    Жыл бұрын

    Huyu tayr ni prof. Anatakiwa akafundishe elimu ya juu sio kufundishwa ten

  • @Maconcepty

    @Maconcepty

    Жыл бұрын

    Co kufundisha tu aanze kuzarisha tuuze ndan ya inch na nje ya inch pia nasisi twende na kas ya dunia🙋

  • @michaelipius2660
    @michaelipius2660 Жыл бұрын

    🙏🔥🔥🔥🔥

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Жыл бұрын

    Whaaaaaatttttt wow

  • @albusaidi5132
    @albusaidi5132 Жыл бұрын

    Je nikipoteza izo kad au kutibiwa sm je aetaokota au alieba sm awez kufungua

  • @Mwika12
    @Mwika12 Жыл бұрын

    JWTZ 👂🧠

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Жыл бұрын

    Tengeneza ya kuweka luku bila kulipia😆🤣🤣

  • @johnbernad3990

    @johnbernad3990

    Жыл бұрын

    Unapenda kamseleleko 🤣🤣

  • @peteralfred7006
    @peteralfred7006 Жыл бұрын

    Jamaa anachokifanya kinaitwa Internet of Things (IoT)

  • @peteralfred7006

    @peteralfred7006

    Жыл бұрын

    Namtafuta huyu mwamba

  • @tnuhappy5497
    @tnuhappy5497 Жыл бұрын

    Kwahiyo asaidiwe ili watu wasitumie umeme mwingi au? Tunataka umeme usitumike mwingi ili TANESCO wakose mapato? HUYU HASAIDIWI NG'O...

  • @jrsaid4270

    @jrsaid4270

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣kapigwa na kitu kizito au unasemaje

  • @Prishnakdrama

    @Prishnakdrama

    Жыл бұрын

    mchawi wewe

  • @omarizuberi2300
    @omarizuberi2300 Жыл бұрын

    Je cct inaweza pia ?

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes Жыл бұрын

    Mungu amwinue uyu jamaa lakin serikali lazima itoe kipaumbire kwa wabunifu kuwe na mfuko maarumu ili Taifa lisonge mbere.

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 Жыл бұрын

    Dah hatar na nusu

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna vipajo

  • @schosay_
    @schosay_ Жыл бұрын

    Huyu apatikane mfadhili apelekwe masomo ya IT ili kipaji kitumike ipasavyo

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 Жыл бұрын

    Wazo langu waanze mashule

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 Жыл бұрын

    Wizara ya Elimu sayansi na teknolojia iv kaz kazi yake ni nn jamani naomba nijuzwe tafadhal

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 Жыл бұрын

    Serikali ya Tanzania inajua kunyonya raia tu

  • @hamisiprinsi5240
    @hamisiprinsi5240 Жыл бұрын

    Naam bro app inaitwaje?

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 Жыл бұрын

    Apo kwenye maji tu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    .mh

  • @raykul7509
    @raykul7509 Жыл бұрын

    IoT hyoo

  • @jumannempweza568
    @jumannempweza568 Жыл бұрын

    Instagram account?

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*# kzread.info/dash/bejne/rIxtkqlmnJWydc4.html

  • @charlesmgina8180

    @charlesmgina8180

    Жыл бұрын

    🚒🚒🚒🚒🚒😁😁😁😘😁😁😁