The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 1 500
Kama mimi na wewe tutaacha mademu tukatenda mema, tukamsema vizuri Mwenyezi Mungu na kumsujudu kwa ile kweli na subira. Pigeni likes 20 zitatosha kubadili maisha yetu hapa duniani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@lameckshani9338
Жыл бұрын
Si kweli Ila mbinguni watakaoingia ni watakatifu tu,wenye haki walioishi Maisha ya kutokutenda uovu
@mrbill2231
Жыл бұрын
Sema mimi kimoja tuu! kinacho nisumbua ni kuacha mademu🤔🤔🤔🤔
@derickshady5590
Жыл бұрын
Mungu aliumba mademu kwa ajili yetu bro, tuache mademu halafu inakuaje?😅
@jimmymeshack8725
Жыл бұрын
@@derickshady5590 Hahaa bonge la point Mzee tuwaache afu tuishije sasa afu Mwamba anahisi like ndoo zitatufanya Mungu atuhurumie 😅
@zadokasaph5561
Жыл бұрын
May God bless u abudantly Msitafa proffeser Jamali big up.
From Kenya,tunakubali sana Jamal,huyu ni legend,kama unakubali nipe like..
@Whiteshow_ke
Жыл бұрын
Jamal ni bazuu
@dennismourice4965
Жыл бұрын
He is lied
@beleoneo8395
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/qo2m082eotPVf7Q.html
@justinmnkeni7691
9 ай бұрын
Amina
@majidimwikumba7795
9 ай бұрын
@@Whiteshow_kee😊wr we
KAMA UNAAMINI WEWE UTAKUA NI MMOJA WAPO KATI YA WATU AMBAO WATAINGIA PEPONI EMBU GONGA LIKE APAA
@kelvinsinyinza1659
2 ай бұрын
Kuna mapepo yawili ya wasilamu na wakristo ni ipi una Gongea Like?
Utaishi dunian labda miaka 50 lakini akhera utaishi milele na milele.tufanye mema kwaajili ya kupata maisha mazur
@endtimes9850
Жыл бұрын
Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
@gh7naa
Жыл бұрын
@@endtimes9850 mmungu hana mtoto ana mana bee ndugu fatilia mmungu hazaa wala kuzaliwa
@TharsilaAthanas-iu2qf
3 ай бұрын
Jaman mung Hana mtoto muwe na adabu kidogo
@kwangahudispensary7238
2 ай бұрын
@@TharsilaAthanas-iu2qfsisi tunaamini biblia ,,usitake wote tuamn yenu sio sawa.
@KATETIMQ
2 ай бұрын
Hakika
Gharama ya maisha imepanda huku Kenya tuombeeni😥 ila lazima tuone the story book . Wakenya pigeni likes hapa.
@annmarathe8113
Жыл бұрын
True 😥😥
@fadhiliwilliam2500
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@anniehaji1874
Жыл бұрын
Pole sana
@jubiercib3074
Жыл бұрын
Ukristo sio dini....
@mohamedsimba3178
Жыл бұрын
Amen 😊
Tuishi kwa hofu ya Mungu , duniani tunapita 😔 pia hatuna maisha marefu kabisa , km umewai kusikia ule msemo fainal uzeen bac uzeen ndo uko
@naftalsimion8192
Жыл бұрын
Simulizi mix sikitiko
Hakuna kipindi kingine nachokiangalia wasafi zaid ya hiki, tujuane kwa like
@ramadhaniomary9241
Жыл бұрын
Kwa kweli huyu jamaa anatisha amefanya tafiti za kweli mashaa llahu
@Nangasalim-xn7uv
Жыл бұрын
Unasemaje
@girionpantaleo5881
Жыл бұрын
Kinakuwaga mda gan na siku gan
Tunaomkubali sana professor jamal Gonga like twende sawa
Jamani nime chelewa kidg bwana ndiye mchungaji wangu sita pungukiwa na kitu😭 plz like hata 50
@tigerreigns
Ай бұрын
😂😂
Maneno yana tia moyo kwa sisi ambao tuna hofu ya Mungu , baba Mungu Wetu kwa huruma yako tusaleye zambi na utupe mwisho mzuri ❤️🙏🏿
@finestmtotowababa7249
Жыл бұрын
hata uwe na ofu vp rakini Ile ya kitamani mdiyo itakayo kuchinja😀😀😀😀
@goodluckkankara9088
Жыл бұрын
Maskn
@breezydulla9429
Жыл бұрын
Amin
@user-hz4pk6um6q
11 ай бұрын
Hakuna bba mungu.... ni Allah
@saba-gv3mj
5 ай бұрын
Peponi wataingia waisilamu tu walio muamini Allah na mtume wake
Ni ngumu Sana mtu kuacha pesa Kwa sababu ya kitu anachokipenda lakini ni rahisi Sana mtu kuacha kitu anachokipenda Kwa sababu ya pesa Kwa maana hiyo fedha imechukua nafasi kubwa katika maisha yetu na ndio chanzo Cha uchafu wote tulionao maishani mwetu muhimu Sana kujitathmini na kutafakari muda wa uhai wako🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
Allah akutunze Jamal Mustafa akufanyie wepesi Kwa kila jambo lililo mbele yako the story book
Huyu jama Djamali ni very creative kabisa, nipe likes kama unakubaliana na mimi👍
@fanitofaustino4108
4 ай бұрын
Sana uyu jaama anatisha
Allah atujaalie tuwe miongoni mwa watu wa peponi. Aaamin.
@Cambarada
Жыл бұрын
Allahummah Aamyiin Yarabi
@hahmadhabibu2076
Жыл бұрын
Allahuma amiin
@omaryhajji1393
Жыл бұрын
Allahumma amiiin
@ghadaalzuhari2739
Жыл бұрын
Amiin❤️🥺
@hamzafishten9560
Жыл бұрын
Amiin
Respect professor Jamal
Namuomba mungu atujaalie tuwe miongoni mwa watu wa peponi, amiin.
Ewe mola ulieniweka kwenye tumbo la mamangu, ukanichagua niwe binadam na ukanipa uhai Leo, nakusihi nipe nguvu ya kuzishinda tamaa za Dunia, na unipe moyo safi ili siku nikichora pumz yangu ya mwsho, niione Ile nchi nzur ulioniandalia,. Tamaa isinishinde mm😭
@kosandodo
Жыл бұрын
Mola akujaalie Kila la kher
@tanzaniayetuchannel2196
5 ай бұрын
kuwa muislamu kwanza ndo utaiona pepo
@user-qp7mm3gv2r
3 ай бұрын
Amina
Nataka kuingia peponi, ebu mnipe likes 500 nawapenda sana ndio tujitayarishe kuingia peponi pamoja❤❤❤❤
Akhii Jamal namuomba Mungu akupe hii pepo yake Jannatul firdaous Allahumma Amiin ya Mujib 🤲🏼🤍 Shukran sana kwa kutuelimisha vyema kila story book 📖📚🙌🏽
@5ffGg-uy7mf
2 ай бұрын
Amin
Mashallah Allah Atujaalie tuwe miongon mwa waja wa pepon❤🙏
Mungu ni mmoja tuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Jamal, unapokuwa unamtaja mtume muhammad( s.a.w)ni vizuri zaid ukamswifu kwa kumwita mtume muhammad (s.a.w)
Allah nijalie mwesho mwema, pamoja na wake zangu, Amiiina.
@stratonmatei7834
9 ай бұрын
😊 😊. 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 😅😊😊 😊😊😅 😊 😊 😊😊 😊 😊 😊😊😊. 😊 😊 😊😊. 😊 ?. 😊 😊😊 😊😊
@5ffGg-uy7mf
2 ай бұрын
Amin
Katika the story book zooote..basi hii ni Top 1😍😍, hii ni namba 1 👌kwa uzuri, hadi inagonga nyoyo yan🫀
@jumannemohamedy1456
Жыл бұрын
True top 🔝 one history book 📙 Ime ni ingia panapo histaili Hakika Jamaal professional wewe ni kwenda pepo moja kwa moja kwa sababu hubagui dini wala kabila una pita inavyo histaili risperct for your my brother's endelea kutuletea madini yenye thamani kubwa kwetu sisi wasikilizaji wako sote tuna tegemeana maana pasipo ww hatu ezi elewa na pasipo sisi huwezi pata sport yetu 💪💪💪
@endtimes9850
Жыл бұрын
Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Nime aza kuisikiya kwasasa kaka sitaki like nataka funzo tu mim🇿🇦🇿🇦
Yaaa ALLAH tupe mwisho mwema na Utuzawadiye Pepo yako Allahuma Amiin 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻 Allah atujaliye mimi nawewe tuwe miongoni mwa watu wa Peponi🤲🏻🤲🏻
@manajr9155
Жыл бұрын
🙏
@NiyoFrancine
5 ай бұрын
Amiin 🙏
Mwanangu unapomtaja Mtume Muhammad basi tafadhali usisahau kumswalia
Ee Mwenyezi Mungu nipe Subrah,hekima yako😭🤲🏾..Ee Mola wetu Tusamehe maovu yetu PEPO yako nafsi zetu ziingie😭🤲🏾🙏🏾.
Assalam alaekum proffers Jamal gonga nondo kaka uko vizuri sana Mungu akuzidishie kipaji hicho
@endtimes9850
Жыл бұрын
Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Allah atujaalie pepo ya firdaus🤲
@manajr9155
Жыл бұрын
🙏
Dah Allah atujaalie tuingie firdaus....amin
Qur an inasema katika Surat Al muuminuun... Katika Aya ya Kwanza .. (Wamefaulu waumini) maneno hayo ilitamka pepo baada ya kuumbwa yaan jinsi ilivyokuwa nzuri mbaka pepo yenyewe ilijitamani na kusema Qad afrah almuminuun yaan Wamefaulu waumin... SASA kama pepo ilisema Wamefaulu waumini kwa jinsi ilivyokuwa nzuri wewe Nani usitamani kuingia peponi... Tumuombe Mola wetu ili na sisi tuwe miongoni mwa watakaoipata pepo take tukufu Amiin
ALLAH atujaalie mwisho mwema na tuwe miongoni mwa waja zake watakaoingia peponi inshaaalahh
@nikylian4658
Жыл бұрын
Amin
@gilbartamedeus4300
Жыл бұрын
Amin
To God be the Glory 🙏🙏
@mussahiza3888
Жыл бұрын
Brother uko very nice kwenye story
Huyu Jamal nimempenda kwa sababu amefanya nikajua vitu ambabvyo sikua najua zina exist🤗pongezi sana Jamal na Mwenyezi Mungu awe nawe kwenye safari yako.
From kenya, jamal baba lao, kama unakubaliana nami, nipe like..
Watu wa peponi watapewa mpaka wataridhika, Allaah nijaalie kua miongoni mwa watu wa Peponi na uniepushe na adhabu yako ya moto. Aamiin 🤲
@user-pj8ed9kn6g
Жыл бұрын
اللهم آمين يارب العالمين 🤲🤲
@yahssinyally9510
Жыл бұрын
Iko pw
@yuscostainless5770
Жыл бұрын
🤲🏾
@justinmwakyasima4792
Жыл бұрын
Ameee👏
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamina Yaa Rabby🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Moja kati ya Elimu muhimu hapa ni kua Yesu ni Nabii na sio Mungu kama wengine wanavyodhani 🙏🙏
@violetsangamysongs1815
Жыл бұрын
Yesu ni Mungu ndio ukweli huo
This guy is a legend. I love you Jamal keep winning and entertaining us. More love from 🇰🇪. You are a superstar ✨️ 💖 Rabana akujalie miaka mingi yenye heri duniani. Hugs 🫂
the story book usually teach us many important things God bless you jamal
@Glorydavid248
10 ай бұрын
Je hao wahudumu ambao wanatuhudumia tukiwa huko peponi wao hawataki kula raha
Maashaala tabaraka lah Allah nimkubwa namwomba mungu atukutanishe jannatul fartowsa, shukran kwa vile Ume tafsiriya tunamshukuru Allah ametufanya muislamu,
Mashaallah unajuwa kueleza Allah akuweke na atujalie mwisho Na pepo njema
Wallah umenifanya nisisimke na umeniongeza kitu Moyoni mwangu niiongeze Imani yangu na Toba zaidi na Ibada zaidi kiukweli Umeniathili Sana story hii
Jaman nikifikiri maisha ya badae mwili wangu unaishiwa nguvu kabisa
@ericahrey-hj8wh
Жыл бұрын
😂😂😂
@nyimbozakuabudu2650
9 ай бұрын
😂😂😂
@MihayoMageta
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂jipange tu, hakuna jinsi.
The great professor of all time, Live from west virginia, usa/
Jamal ukitoa story natamani uzimalize mtavyopenda 👏🇹🇿🇬🇷⚓
Mwenyez mungu atujalie sote binadam tuache maovu
Allah nijalie pepo njema
God bless you Professor 🙏🙏
Acha uwongo bro lugha zote zimeletwa na mungu acha kupotosha watu
Hongera kutoka Kenya 🇰🇪
Jamal hakika nakupenda kwa ajili ya Allah ,ushauri wangu naomba tujitahid kumcha Allah kwan jamal unaelim nyingj masha Allah hivyo kufanya dhambi unayo ijua ni mtihan kwakwel
I can't wait to be in heaven...the most merciful GOD forgive me all my sins please
Ya Allah, make everyone, literally everyone who is here watching, guide Him, and make them among the people of paradise
@user-lu3ls3xf9y
6 ай бұрын
Thuma..Amiin..
Ubarikiwe. unazidi kunijenga ki imani na kujibu maswali yagu. Na ubarikiwe na mungu kuwafuguwa watu akili kupitia yeye
Daah! Wewe utaenda peponi kwa kutoa mafundisho mazuri kama haya kwetu❤
@dominicshijenga4525
Жыл бұрын
amen
@gh7naa
Жыл бұрын
Mmungu ajuae
Thanks Jamal April you have give me something in my Head
Yaa Allah tuondoshee tamaa za dunia na tupe imani tufate kitabu chako na mitume yako
@mishimlowe6689
9 ай бұрын
Hii story imenifanya kuwa na hof ya Mungu, hakuna asiyetaman Pepo wallah, Isha Allah sote tutaiona Pepo tukirudi kwake Allah
Pls unapo mtaja mtume wa Mungu mtakie rehma naamani
The story book 📖 Leo hap tujuane 😍
Mungu ni mwema siku zote kwetu na mwenye huruma sana....Tumsikilize yeye na tuyatimize Amri zake
Mano por aqui já rend ë melhor d todos assante kaka🙏🕋 from mozambique 🇲🇿 nipen likes family🙏
Nakubali Prof Jamal "unajua kuelezea na kufafanua mambo ya hadithi mbalimbali" big up xana Prof ✌️✌️
Dahhh….wee unajua bhnaaa mi sina comment kabisa!!!!!amaizing story @@@yaani umenifany nizidi kumuamudu Mungu…Allah azidi kukupa umri mrefu Jamal bin April@theStoryBook$
Umenifanya nishike Biblia bwan jamal Vifungu unavyotaja bc naenda n wew sambamba🥳🥳
Wasanii music aramu peponi kuzuri
May God have mercy on us, May God forgive us our sins, May God receive and welcome us to heaven 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Always you are up there !!! Nakukubari saana kaka na wish siku moja nipate nafasi ya kuzungumza na wewe ana kwa ana braza Jamaar.
Professor jamal umeua hongera tunakukubali sana kwa kutupa mambo ya msingi katika maisha yetu
Watakao ingia Mbinguni nwatakatifu pekeyake kwa kua Mungu wetu ni mtakatifu ukijua anaelimu ya kuruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja jua sehemu yako ni jehanamu usidanganywe na mapokeo ya wanadamu chukua hatua mapema umuulize Mungu nifanyeje ili niurithi uzima wa milele yye ni mwaminifu atakuelekeza njia ya kufata nafasi badoiko mda karibuni unaisha usitegemee sala ya wafu ukaona itakupeleka mbinguni...chaukwali usipo mkir Yesu na kuishi maisha ya utakatifu jipenge kua kuni ya jehanamu
Waebrania 9:28 kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Wallahi nimelia kusikia hi leo, jamal april Mwenyezi Mungu hakutangulie leo katika zte nimepata message vizuri Mwenyezi Mungu hatujalie tuwe watu wako Ameen.
@lareineminah1353
Жыл бұрын
Ameeen
@amoury1481
Жыл бұрын
Ameen
Maa Shaa Allah,,,Ukiskiliza kw makini utakuta sehemu kubwa ya story hii imesheheni maneno Qur'an tukufu kw sababu ndo imefafanua zaid habar za peponi na motoni kuliko vitabu vingine,,, Alhamdulillah tunaomba mwisho mwema yaa Allah
@faridhamad3678
Жыл бұрын
Allahumma Amiin
@moreenmoreen376
Жыл бұрын
acha ubaguzi weee
Sema ukifatilia sana DINI unaweza kuchanganyikiwa🙌
@khamischumu6830
Жыл бұрын
Hujui kitu
@Mr_smart.code_10
Жыл бұрын
Sio hajui kitu huo ndo ukweli
@samirajohn6938
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@zaburi2386
Жыл бұрын
Hasa uislam eti pepom tutakuwa tunaongea kiarabu duuh
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
God bless you Jamal 🙏 ❤
Only God knows God is for all of us
Praise the most high God.....
@musalymuhamed3989
Жыл бұрын
Kutokea south Afrika musliman A musliman ninamkubali jamal Abdul
@victoralusiola5968
Жыл бұрын
Natamani kuwa kama wewe jamal mi Mwanahabari
🙌🔥🔥 Professor Jamal
Mimi sijawahi kuchoka kusikiliza story zako kaka jamal,hakika wewe ni proffesa.Mungu akupe umri mrefu utufundishe mengi ya kumpendeza allah wetu
Congratulations brother, may God give you strength every day, you have been giving interpretations of many things and unparalleled teachings, very good work brother
Wewe kijana tunakukubali Sana kutoka Congo DRC
Ee MWENYEZI MUNGU nakuomba unipe maisha marefu na mwisho mwema ktk hii dunia
Thanks for you great video atleast it’s make to be focus in my life for another day nimefurahi kuwa nawez fika pepone unatufunza san na God aendelee kukubless Jamal
Salute sana kaka Jamar nakubar sana simulizi zako unajitahidi kufanya utafiti kabla ya kusimulia
Pepo ya waislamu nimeipenda buree Mungu wa kweli na haki anijaalie pepo aliyo fundisha ibni abdillah
@revocatuspaulo6716
Жыл бұрын
Kwa hy ya wngine ni ya kufala. Na dini lenu la kisengesenge
@zaburi2386
Жыл бұрын
Pepo ya waislam vituko kwel had pombe zpo
@yahayaallytv2852
Жыл бұрын
@@revocatuspaulo6716 nyie nendeni mkaimbe mapambio mbinguni lakin msisahau MZIKI N AJIRA
@lareineminah1353
Жыл бұрын
@@revocatuspaulo6716 ni lazima utukane? Ndo dini yako inavyo kufunza??? Pole
@amoury1481
Жыл бұрын
@@revocatuspaulo6716 Hivi Wenzetu Upande Wa Pili Wakina Petrol,peter Huwa Mnafundishwa Matusi?Maana Kila Kitu Ni dhihaka
Mwenyezi Mungu akujaalie ww unaesoma comments uwe mmoja kati ya watakaokua peponi na tutakutana huko... kwa kuacha maasi na kutembea katika njia ya muumba Tuseme amiiin
Tunamuomba Allah atujaalie pepo inshallah
For us Sabbath means rest ( kupumzika na uhitaji wote wa mwili ( fleashly desires) . Ukisoma kiundani biblia ndo utaelewa maana ya sabato, ambayo Mungu aliwaonyesha wanadamu kama ishara na waifanye huko mwanzo ( kupumzika siku Moja ya wiki bila kazi yoyote) na atakayopewa wanadamu baada ya kufa ( Peponi). Ndio maana Yesu aliwaambia wayahudi, kuwa sabato ipo kwa ajili ya mwanadamu, na sio mwanadamu kwa ajili ya sabato ( yaani kuitumikia). Mambo mengi ya agano la mwanzo ( la kale) ni ishara mambo yatakayokuja, ingawa yalifunuliwa kama ya mwilini, ila ni kivuli ya mambo mema ya baadae, na ndio maana Yesu alishindana na wayahudi kwakua hawakumwelewa. Mungu alivyosema alipoumba ulimwengu Siku ya Saba akapumzika, maana yake KAZI yake yote ya uumbaji ilikamilika na hakuhitaji kuumba tena, na akatupa kazi sisi tuzae na kuongezeka na kuijaza dunia. Kwetu sabato ya wanadamu tuliyoahidiwa, ni ukamilifu, na kuwa huru au kuwa mbali na madhaifu yote ya mwanadamu ( mfano dhambi, chakula, magonjwa, kiu, nyege, kuzaa, uchovu, chuki n. K). Na ndio maana Yesu alisema " Njooni kwangu ninyi nyote mtesekao na mizigo nami nitawapumzisha." Ndio maana ukimpata Yesu utakapokufa utakua unaishi, maana utaingia peponi na kuwa huru na mahitaji na tamaa zote za mwanadamu. Utakua kama malaika kama alivyosema Yesu ktk Mathayo 22:30 . Njooni kwa Yesu mpate pumziko, msihangaishwe na uongo wa mwanadamu wa jangwani Mwarabu aliyezaliwa miaka zaidi ya 600 baada ya Yesu kuondoka duniani.
@endtimes9850
Жыл бұрын
Waambie wote wasioamini na kumjua YESU, Kwamba 1 Yohana 4; 2, Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. 3, Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
Chris acha ushenzi, usitusi wasio kutusi, nawe watakutusi, bwege we.
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
kwa akili yako unavyofikiri Yesu na Muhammad wanatofautiana au wanapingana? kwa taarifa yako hawa wote ni damu moja wote uzao wa Abraham yani wametoka mgongoni mwa ibrahimu, ni wajukuu wake wa damu. kasome maandiko mpumbavu we.
@Chris-in1vc
Жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 ukileta ushahidi hata mmoja Muhammad ni uzao wa Ibrahim kupitia Ishmael, nitasilimu na kusema shahada kama allah alivyosema shahada. Ila ukifelli kunipa ushahidi wa maandiko au Aya ya Quran, basi utakua umehitimu chetu Cha Ujinga.
@allysuleimanhamis1963
Жыл бұрын
@@Chris-in1vc ushahidi upo Mkuu,ila mambo ya dini ni mambo sensitive sana maana unazaliwa na unaritbishwa dini kutoka kwa waliokuzaa au waliokulea..mfano leo hii mtu akikuita jina lisilo lako hauta feel kama ni wew maana ubongo wako na faham zako hazija sarenda kwa huo wito ila ukiitwa jina lako utajukuta unaitika na unaamini ni wew ndo mlengwa wa wito huo..masuala ya dini ni elimu Pana kuliko elimu tunazosoma darasani..mtu ukitaka kujua ukweli kuhusu masuala ya dini unahitaji kuwa tayari kuupata ukweli na kwa watu sahihi..tatizo kubwa watu hupata elimu ya dini kwa watu sio sahihi regardless kwa waislam au wakristo..watu hupenyeza agenda zao binafsi katika mambo ya dini..siku hizi dini ndo imekua kivuli cha chuki,ugomvi,majigambo,ukatili,uchonganishi maana mtu akijua kusoma na kuchambua bible au Quran kidogo tayari yupo kutengeneza followers utasema yeye ni Muhammad au Yesu(Issa ibn Maryam) Ukitaka ukweli juu ya Muhammad ni nan? Amekuja kwa watu gani? Majukumu yake ni yapi? Na kwanini aliletwa kama mjumbe wa mwisho? Uhusiano wake yeye na Yesu (Issa ibn Maryam? Uhusiano wake Muhammad na Nabii Ibrahim,Ismael na Is-haqah(Isaac)? ..ukweli huo ukiutaka tafuta watu na uwaulize maswali hayo ukiwa tayari kujifunza na sio kwa ubishani! Mungu akubariki upate akupe elimu na uweze kufurahia ukweli na njia ya haqqi..
Duuh kweli Duniani, HAKUNA MWENYEJI tuishi kwa kumuongopa MUNGU.
Kama sisi wa jamii wa oman 🇴🇲 Tumemkubali jamal the book story keep going 🫡
👍 Naipenda xna story book,mashallah Mungu akuzidishie 🤲
Mashallah mashallah mashallah mashallah
Da Allah Ninyoshee Mkono wako safi nami Niwe Msafi Niyatende yaliyomema Ili Niione Pepo Yako
Allah akuongozee kaka professor Jamaal @professorjamaal
Hongera sana kwa kazi yako nzuri Yesu alitoka mbinguni na karudi mbinguni lakini akuambia watu mbinguni tutaongea lugha gani YOHANA 3 13 Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni,ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani Mwana wa adamu. Mbinguni hakuna kuowa wala kuolewa LUKA 20 34 Yesu akawaambia, wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa 35 Lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi. ifahamu Kweli nayo Kweli itakuweka huru Kweli Kweli
Kindly Christians and Muslims let's love each other. We won't go separate ways after we die due to having different beliefs. We're all humans and we have the same destiny. I stand to be corrected though.
@josephignas3988
Жыл бұрын
The problem is with christians ,they refuse the prophecy of Muhammad(s.a.w) by saying he was not sent by God and that Jesus is the only sent , incarnated and behave as both the only begotten son of God and as one self among the three selves of God that work together as God, the point which is blasphemy and not correct(because God is almighty and able who doesn't need and will never need any assistance or help). The correct point is that Jesus is Not God incarnated but is among the prophets to whom God sent them to the targeted group and every group was given a prophecy for warning them about the mercy and blessing to believers and punishment to those who go astray!. But in Islam Muhammad was the one whom Jesus was predicting his coming after him and that he(muhammad) is the last prophet of God and (as in book of isaiah) will come to reveal the warning and punishment to non beleivers and reward to those who believe and unify God only as their creator, provider, forgiver and the only one who deserves being worshiped in righteousness and no one else in accompany with! So if it's just matter of love we love each other because we can't judge ourselves but in front of God there is no balance instead there must be two people, a righteous one who deserves paradise and another one who deserves hell only, no balance no intermediate person in front of judgement day. So it is either you search for a correct way or you refuse it by comforting yourself with a lie.
@sturbbornvideoz8547
Жыл бұрын
@@josephignas3988 Thank you brother for this clarification
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
@@josephignas3988 can a prophet raise mankind on last day? Can a prophet Judge mankind on last day? Can a prophet be the Alpha and Omega? Simply Christianity and Islam is in total contradictory. What Jesus taught and Muhammad taught is totally different. Allah is Tawheed and Jehovah is Tri Un(Trinity), Allah is not a Father for he has no son, Jehovah has Sons and daughters. Alot to say about this. But simply is God of Islam and God Christianity is different completely, so is Islam and Christianity
Mungu akubaliki sana
This is man is actually the best.. I love him 🙏🙏
#Jamal April, akitajwa mtume au unapomtaja usiache kufatanisha na kumswalia.Mwenyewe amesema asiemswalia yy ni Bakhili. So ukisema Mtume Muhammad unafatisha na maneno yasemayo (SWALLALLAAHU ALAYHI WASALLAM).
Safii broo,,,asante kwa kutukumbusha tuliojisahau kama mimi,,God bless you