The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 500

  • @stevennchambi3212
    @stevennchambi3212 Жыл бұрын

    Kama mimi na wewe tutaacha mademu tukatenda mema, tukamsema vizuri Mwenyezi Mungu na kumsujudu kwa ile kweli na subira. Pigeni likes 20 zitatosha kubadili maisha yetu hapa duniani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @lameckshani9338

    @lameckshani9338

    Жыл бұрын

    Si kweli Ila mbinguni watakaoingia ni watakatifu tu,wenye haki walioishi Maisha ya kutokutenda uovu

  • @mrbill2231

    @mrbill2231

    Жыл бұрын

    Sema mimi kimoja tuu! kinacho nisumbua ni kuacha mademu🤔🤔🤔🤔

  • @derickshady5590

    @derickshady5590

    Жыл бұрын

    Mungu aliumba mademu kwa ajili yetu bro, tuache mademu halafu inakuaje?😅

  • @jimmymeshack8725

    @jimmymeshack8725

    Жыл бұрын

    @@derickshady5590 Hahaa bonge la point Mzee tuwaache afu tuishije sasa afu Mwamba anahisi like ndoo zitatufanya Mungu atuhurumie 😅

  • @zadokasaph5561

    @zadokasaph5561

    Жыл бұрын

    May God bless u abudantly Msitafa proffeser Jamali big up.

  • @margaretnduati5203
    @margaretnduati5203 Жыл бұрын

    From Kenya,tunakubali sana Jamal,huyu ni legend,kama unakubali nipe like..

  • @Whiteshow_ke

    @Whiteshow_ke

    Жыл бұрын

    Jamal ni bazuu

  • @dennismourice4965

    @dennismourice4965

    Жыл бұрын

    He is lied

  • @beleoneo8395

    @beleoneo8395

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/qo2m082eotPVf7Q.html

  • @justinmnkeni7691

    @justinmnkeni7691

    9 ай бұрын

    Amina

  • @majidimwikumba7795

    @majidimwikumba7795

    9 ай бұрын

    ​@@Whiteshow_kee😊wr we

  • @Mrmakavuliv
    @Mrmakavuliv Жыл бұрын

    KAMA UNAAMINI WEWE UTAKUA NI MMOJA WAPO KATI YA WATU AMBAO WATAINGIA PEPONI EMBU GONGA LIKE APAA

  • @kelvinsinyinza1659

    @kelvinsinyinza1659

    2 ай бұрын

    Kuna mapepo yawili ya wasilamu na wakristo ni ipi una Gongea Like?

  • @nassibmalik9934
    @nassibmalik9934 Жыл бұрын

    Utaishi dunian labda miaka 50 lakini akhera utaishi milele na milele.tufanye mema kwaajili ya kupata maisha mazur

  • @endtimes9850

    @endtimes9850

    Жыл бұрын

    Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    @@endtimes9850 mmungu hana mtoto ana mana bee ndugu fatilia mmungu hazaa wala kuzaliwa

  • @TharsilaAthanas-iu2qf

    @TharsilaAthanas-iu2qf

    3 ай бұрын

    Jaman mung Hana mtoto muwe na adabu kidogo

  • @kwangahudispensary7238

    @kwangahudispensary7238

    2 ай бұрын

    ​@@TharsilaAthanas-iu2qfsisi tunaamini biblia ,,usitake wote tuamn yenu sio sawa.

  • @KATETIMQ

    @KATETIMQ

    2 ай бұрын

    Hakika

  • @maxmakobi2549
    @maxmakobi2549 Жыл бұрын

    Gharama ya maisha imepanda huku Kenya tuombeeni😥 ila lazima tuone the story book . Wakenya pigeni likes hapa.

  • @annmarathe8113

    @annmarathe8113

    Жыл бұрын

    True 😥😥

  • @fadhiliwilliam2500

    @fadhiliwilliam2500

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @anniehaji1874

    @anniehaji1874

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @jubiercib3074

    @jubiercib3074

    Жыл бұрын

    Ukristo sio dini....

  • @mohamedsimba3178

    @mohamedsimba3178

    Жыл бұрын

    Amen 😊

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Жыл бұрын

    Tuishi kwa hofu ya Mungu , duniani tunapita 😔 pia hatuna maisha marefu kabisa , km umewai kusikia ule msemo fainal uzeen bac uzeen ndo uko

  • @naftalsimion8192

    @naftalsimion8192

    Жыл бұрын

    Simulizi mix sikitiko

  • @theempire4058
    @theempire4058 Жыл бұрын

    Hakuna kipindi kingine nachokiangalia wasafi zaid ya hiki, tujuane kwa like

  • @ramadhaniomary9241

    @ramadhaniomary9241

    Жыл бұрын

    Kwa kweli huyu jamaa anatisha amefanya tafiti za kweli mashaa llahu

  • @Nangasalim-xn7uv

    @Nangasalim-xn7uv

    Жыл бұрын

    Unasemaje

  • @girionpantaleo5881

    @girionpantaleo5881

    Жыл бұрын

    Kinakuwaga mda gan na siku gan

  • @Mazon_Gospel
    @Mazon_Gospel Жыл бұрын

    Tunaomkubali sana professor jamal Gonga like twende sawa

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 Жыл бұрын

    Jamani nime chelewa kidg bwana ndiye mchungaji wangu sita pungukiwa na kitu😭 plz like hata 50

  • @tigerreigns

    @tigerreigns

    Ай бұрын

    😂😂

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Жыл бұрын

    Maneno yana tia moyo kwa sisi ambao tuna hofu ya Mungu , baba Mungu Wetu kwa huruma yako tusaleye zambi na utupe mwisho mzuri ❤️🙏🏿

  • @finestmtotowababa7249

    @finestmtotowababa7249

    Жыл бұрын

    hata uwe na ofu vp rakini Ile ya kitamani mdiyo itakayo kuchinja😀😀😀😀

  • @goodluckkankara9088

    @goodluckkankara9088

    Жыл бұрын

    Maskn

  • @breezydulla9429

    @breezydulla9429

    Жыл бұрын

    Amin

  • @user-hz4pk6um6q

    @user-hz4pk6um6q

    11 ай бұрын

    Hakuna bba mungu.... ni Allah

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Peponi wataingia waisilamu tu walio muamini Allah na mtume wake

  • @IslamMudrik-qu5wx
    @IslamMudrik-qu5wx9 ай бұрын

    Ni ngumu Sana mtu kuacha pesa Kwa sababu ya kitu anachokipenda lakini ni rahisi Sana mtu kuacha kitu anachokipenda Kwa sababu ya pesa Kwa maana hiyo fedha imechukua nafasi kubwa katika maisha yetu na ndio chanzo Cha uchafu wote tulionao maishani mwetu muhimu Sana kujitathmini na kutafakari muda wa uhai wako🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 Жыл бұрын

    Allah akutunze Jamal Mustafa akufanyie wepesi Kwa kila jambo lililo mbele yako the story book

  • @williampable1699
    @williampable1699 Жыл бұрын

    Huyu jama Djamali ni very creative kabisa, nipe likes kama unakubaliana na mimi👍

  • @fanitofaustino4108

    @fanitofaustino4108

    4 ай бұрын

    Sana uyu jaama anatisha

  • @meekman1805
    @meekman1805 Жыл бұрын

    Allah atujaalie tuwe miongoni mwa watu wa peponi. Aaamin.

  • @Cambarada

    @Cambarada

    Жыл бұрын

    Allahummah Aamyiin Yarabi

  • @hahmadhabibu2076

    @hahmadhabibu2076

    Жыл бұрын

    Allahuma amiin

  • @omaryhajji1393

    @omaryhajji1393

    Жыл бұрын

    Allahumma amiiin

  • @ghadaalzuhari2739

    @ghadaalzuhari2739

    Жыл бұрын

    Amiin❤️🥺

  • @hamzafishten9560

    @hamzafishten9560

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @imaniwihenge6331
    @imaniwihenge6331 Жыл бұрын

    Respect professor Jamal

  • @jumahashim8109
    @jumahashim8109 Жыл бұрын

    Namuomba mungu atujaalie tuwe miongoni mwa watu wa peponi, amiin.

  • @rosegodson4633
    @rosegodson4633 Жыл бұрын

    Ewe mola ulieniweka kwenye tumbo la mamangu, ukanichagua niwe binadam na ukanipa uhai Leo, nakusihi nipe nguvu ya kuzishinda tamaa za Dunia, na unipe moyo safi ili siku nikichora pumz yangu ya mwsho, niione Ile nchi nzur ulioniandalia,. Tamaa isinishinde mm😭

  • @kosandodo

    @kosandodo

    Жыл бұрын

    Mola akujaalie Kila la kher

  • @tanzaniayetuchannel2196

    @tanzaniayetuchannel2196

    5 ай бұрын

    kuwa muislamu kwanza ndo utaiona pepo

  • @user-qp7mm3gv2r

    @user-qp7mm3gv2r

    3 ай бұрын

    Amina

  • @SparkxBusinessEmpire001
    @SparkxBusinessEmpire0013 ай бұрын

    Nataka kuingia peponi, ebu mnipe likes 500 nawapenda sana ndio tujitayarishe kuingia peponi pamoja❤❤❤❤

  • @cendrillonnam4549
    @cendrillonnam4549 Жыл бұрын

    Akhii Jamal namuomba Mungu akupe hii pepo yake Jannatul firdaous Allahumma Amiin ya Mujib 🤲🏼🤍 Shukran sana kwa kutuelimisha vyema kila story book 📖📚🙌🏽

  • @5ffGg-uy7mf

    @5ffGg-uy7mf

    2 ай бұрын

    Amin

  • @giftibrahim
    @giftibrahim Жыл бұрын

    Mashallah Allah Atujaalie tuwe miongon mwa waja wa pepon❤🙏

  • @jennylunsinde9770
    @jennylunsinde9770 Жыл бұрын

    Mungu ni mmoja tuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sahilm2740
    @sahilm2740 Жыл бұрын

    Jamal, unapokuwa unamtaja mtume muhammad( s.a.w)ni vizuri zaid ukamswifu kwa kumwita mtume muhammad (s.a.w)

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Жыл бұрын

    Allah nijalie mwesho mwema, pamoja na wake zangu, Amiiina.

  • @stratonmatei7834

    @stratonmatei7834

    9 ай бұрын

    😊 😊. 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 😅😊😊 😊😊😅 😊 😊 😊😊 😊 😊 😊😊😊. 😊 😊 😊😊. 😊 ?. 😊 😊😊 😊😊

  • @5ffGg-uy7mf

    @5ffGg-uy7mf

    2 ай бұрын

    Amin

  • @shamissayd887
    @shamissayd887 Жыл бұрын

    Katika the story book zooote..basi hii ni Top 1😍😍, hii ni namba 1 👌kwa uzuri, hadi inagonga nyoyo yan🫀

  • @jumannemohamedy1456

    @jumannemohamedy1456

    Жыл бұрын

    True top 🔝 one history book 📙 Ime ni ingia panapo histaili Hakika Jamaal professional wewe ni kwenda pepo moja kwa moja kwa sababu hubagui dini wala kabila una pita inavyo histaili risperct for your my brother's endelea kutuletea madini yenye thamani kubwa kwetu sisi wasikilizaji wako sote tuna tegemeana maana pasipo ww hatu ezi elewa na pasipo sisi huwezi pata sport yetu 💪💪💪

  • @endtimes9850

    @endtimes9850

    Жыл бұрын

    Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

  • @mustafaivany2041
    @mustafaivany2041 Жыл бұрын

    Nime aza kuisikiya kwasasa kaka sitaki like nataka funzo tu mim🇿🇦🇿🇦

  • @akbarrich257
    @akbarrich257 Жыл бұрын

    Yaaa ALLAH tupe mwisho mwema na Utuzawadiye Pepo yako Allahuma Amiin 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻 Allah atujaliye mimi nawewe tuwe miongoni mwa watu wa Peponi🤲🏻🤲🏻

  • @manajr9155

    @manajr9155

    Жыл бұрын

    🙏

  • @NiyoFrancine

    @NiyoFrancine

    5 ай бұрын

    Amiin 🙏

  • @sahidahamad39
    @sahidahamad39 Жыл бұрын

    Mwanangu unapomtaja Mtume Muhammad basi tafadhali usisahau kumswalia

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 Жыл бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu nipe Subrah,hekima yako😭🤲🏾..Ee Mola wetu Tusamehe maovu yetu PEPO yako nafsi zetu ziingie😭🤲🏾🙏🏾.

  • @abubakarkhamis1554
    @abubakarkhamis1554 Жыл бұрын

    Assalam alaekum proffers Jamal gonga nondo kaka uko vizuri sana Mungu akuzidishie kipaji hicho

  • @endtimes9850

    @endtimes9850

    Жыл бұрын

    Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

  • @maryamtwaja6346
    @maryamtwaja6346 Жыл бұрын

    Allah atujaalie pepo ya firdaus🤲

  • @manajr9155

    @manajr9155

    Жыл бұрын

    🙏

  • @wakatikaisi6743
    @wakatikaisi674310 ай бұрын

    Dah Allah atujaalie tuingie firdaus....amin

  • @japharykigoda5895
    @japharykigoda5895 Жыл бұрын

    Qur an inasema katika Surat Al muuminuun... Katika Aya ya Kwanza .. (Wamefaulu waumini) maneno hayo ilitamka pepo baada ya kuumbwa yaan jinsi ilivyokuwa nzuri mbaka pepo yenyewe ilijitamani na kusema Qad afrah almuminuun yaan Wamefaulu waumin... SASA kama pepo ilisema Wamefaulu waumini kwa jinsi ilivyokuwa nzuri wewe Nani usitamani kuingia peponi... Tumuombe Mola wetu ili na sisi tuwe miongoni mwa watakaoipata pepo take tukufu Amiin

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 Жыл бұрын

    ALLAH atujaalie mwisho mwema na tuwe miongoni mwa waja zake watakaoingia peponi inshaaalahh

  • @nikylian4658

    @nikylian4658

    Жыл бұрын

    Amin

  • @gilbartamedeus4300

    @gilbartamedeus4300

    Жыл бұрын

    Amin

  • @theben6756
    @theben6756 Жыл бұрын

    To God be the Glory 🙏🙏

  • @mussahiza3888

    @mussahiza3888

    Жыл бұрын

    Brother uko very nice kwenye story

  • @nicholasmutai2082
    @nicholasmutai2082 Жыл бұрын

    Huyu Jamal nimempenda kwa sababu amefanya nikajua vitu ambabvyo sikua najua zina exist🤗pongezi sana Jamal na Mwenyezi Mungu awe nawe kwenye safari yako.

  • @innocentmfalme4395
    @innocentmfalme4395 Жыл бұрын

    From kenya, jamal baba lao, kama unakubaliana nami, nipe like..

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 Жыл бұрын

    Watu wa peponi watapewa mpaka wataridhika, Allaah nijaalie kua miongoni mwa watu wa Peponi na uniepushe na adhabu yako ya moto. Aamiin 🤲

  • @user-pj8ed9kn6g

    @user-pj8ed9kn6g

    Жыл бұрын

    اللهم آمين يارب العالمين 🤲🤲

  • @yahssinyally9510

    @yahssinyally9510

    Жыл бұрын

    Iko pw

  • @yuscostainless5770

    @yuscostainless5770

    Жыл бұрын

    🤲🏾

  • @justinmwakyasima4792

    @justinmwakyasima4792

    Жыл бұрын

    Ameee👏

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    Жыл бұрын

    Aamina Yaa Rabby🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 Жыл бұрын

    Moja kati ya Elimu muhimu hapa ni kua Yesu ni Nabii na sio Mungu kama wengine wanavyodhani 🙏🙏

  • @violetsangamysongs1815

    @violetsangamysongs1815

    Жыл бұрын

    Yesu ni Mungu ndio ukweli huo

  • @tory_angie
    @tory_angie Жыл бұрын

    This guy is a legend. I love you Jamal keep winning and entertaining us. More love from 🇰🇪. You are a superstar ✨️ 💖 Rabana akujalie miaka mingi yenye heri duniani. Hugs 🫂

  • @notoriusmax8493
    @notoriusmax8493 Жыл бұрын

    the story book usually teach us many important things God bless you jamal

  • @Glorydavid248

    @Glorydavid248

    10 ай бұрын

    Je hao wahudumu ambao wanatuhudumia tukiwa huko peponi wao hawataki kula raha

  • @Laila-nuraa
    @Laila-nuraa Жыл бұрын

    Maashaala tabaraka lah Allah nimkubwa namwomba mungu atukutanishe jannatul fartowsa, shukran kwa vile Ume tafsiriya tunamshukuru Allah ametufanya muislamu,

  • @jumaallyhuodadaminamtaka5586
    @jumaallyhuodadaminamtaka5586 Жыл бұрын

    Mashaallah unajuwa kueleza Allah akuweke na atujalie mwisho Na pepo njema

  • @JumaLugendo-rk3rp
    @JumaLugendo-rk3rp11 ай бұрын

    Wallah umenifanya nisisimke na umeniongeza kitu Moyoni mwangu niiongeze Imani yangu na Toba zaidi na Ibada zaidi kiukweli Umeniathili Sana story hii

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Жыл бұрын

    Jaman nikifikiri maisha ya badae mwili wangu unaishiwa nguvu kabisa

  • @ericahrey-hj8wh

    @ericahrey-hj8wh

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @nyimbozakuabudu2650

    @nyimbozakuabudu2650

    9 ай бұрын

    😂😂😂

  • @MihayoMageta

    @MihayoMageta

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂jipange tu, hakuna jinsi.

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD Жыл бұрын

    The great professor of all time, Live from west virginia, usa/

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Жыл бұрын

    Jamal ukitoa story natamani uzimalize mtavyopenda 👏🇹🇿🇬🇷⚓

  • @hassanismail1931
    @hassanismail19319 ай бұрын

    Mwenyez mungu atujalie sote binadam tuache maovu

  • @KALIMBULA
    @KALIMBULA27 күн бұрын

    Allah nijalie pepo njema

  • @Bigsneh
    @Bigsneh Жыл бұрын

    God bless you Professor 🙏🙏

  • @michaeljoachim8517
    @michaeljoachim8517 Жыл бұрын

    Acha uwongo bro lugha zote zimeletwa na mungu acha kupotosha watu

  • @ngaosimba4221
    @ngaosimba4221 Жыл бұрын

    Hongera kutoka Kenya 🇰🇪

  • @hamadfaki7625
    @hamadfaki7625 Жыл бұрын

    Jamal hakika nakupenda kwa ajili ya Allah ,ushauri wangu naomba tujitahid kumcha Allah kwan jamal unaelim nyingj masha Allah hivyo kufanya dhambi unayo ijua ni mtihan kwakwel

  • @robertsimba5081
    @robertsimba5081 Жыл бұрын

    I can't wait to be in heaven...the most merciful GOD forgive me all my sins please

  • @sabontuu891
    @sabontuu891 Жыл бұрын

    Ya Allah, make everyone, literally everyone who is here watching, guide Him, and make them among the people of paradise

  • @user-lu3ls3xf9y

    @user-lu3ls3xf9y

    6 ай бұрын

    Thuma..Amiin..

  • @juniormtei8005
    @juniormtei8005 Жыл бұрын

    Ubarikiwe. unazidi kunijenga ki imani na kujibu maswali yagu. Na ubarikiwe na mungu kuwafuguwa watu akili kupitia yeye

  • @leahmassawe7844
    @leahmassawe7844 Жыл бұрын

    Daah! Wewe utaenda peponi kwa kutoa mafundisho mazuri kama haya kwetu❤

  • @dominicshijenga4525

    @dominicshijenga4525

    Жыл бұрын

    amen

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    Mmungu ajuae

  • @pheobeawuor8562
    @pheobeawuor8562 Жыл бұрын

    Thanks Jamal April you have give me something in my Head

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Жыл бұрын

    Yaa Allah tuondoshee tamaa za dunia na tupe imani tufate kitabu chako na mitume yako

  • @mishimlowe6689

    @mishimlowe6689

    9 ай бұрын

    Hii story imenifanya kuwa na hof ya Mungu, hakuna asiyetaman Pepo wallah, Isha Allah sote tutaiona Pepo tukirudi kwake Allah

  • @abdulbishow4034
    @abdulbishow4034 Жыл бұрын

    Pls unapo mtaja mtume wa Mungu mtakie rehma naamani

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 Жыл бұрын

    The story book 📖 Leo hap tujuane 😍

  • @davidsosthenes4479
    @davidsosthenes4479 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema siku zote kwetu na mwenye huruma sana....Tumsikilize yeye na tuyatimize Amri zake

  • @ricoclassic
    @ricoclassic Жыл бұрын

    Mano por aqui já rend ë melhor d todos assante kaka🙏🕋 from mozambique 🇲🇿 nipen likes family🙏

  • @geraldmollel30
    @geraldmollel30 Жыл бұрын

    Nakubali Prof Jamal "unajua kuelezea na kufafanua mambo ya hadithi mbalimbali" big up xana Prof ✌️✌️

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Жыл бұрын

    Dahhh….wee unajua bhnaaa mi sina comment kabisa!!!!!amaizing story @@@yaani umenifany nizidi kumuamudu Mungu…Allah azidi kukupa umri mrefu Jamal bin April@theStoryBook$

  • @creoamasy2968
    @creoamasy2968 Жыл бұрын

    Umenifanya nishike Biblia bwan jamal Vifungu unavyotaja bc naenda n wew sambamba🥳🥳

  • @BON357
    @BON35711 ай бұрын

    Wasanii music aramu peponi kuzuri

  • @brinasally7451
    @brinasally7451 Жыл бұрын

    May God have mercy on us, May God forgive us our sins, May God receive and welcome us to heaven 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @sultanmedia.666
    @sultanmedia.666 Жыл бұрын

    Always you are up there !!! Nakukubari saana kaka na wish siku moja nipate nafasi ya kuzungumza na wewe ana kwa ana braza Jamaar.

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Жыл бұрын

    Professor jamal umeua hongera tunakukubali sana kwa kutupa mambo ya msingi katika maisha yetu

  • @user-sk1pf7rb7i
    @user-sk1pf7rb7i Жыл бұрын

    Watakao ingia Mbinguni nwatakatifu pekeyake kwa kua Mungu wetu ni mtakatifu ukijua anaelimu ya kuruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja jua sehemu yako ni jehanamu usidanganywe na mapokeo ya wanadamu chukua hatua mapema umuulize Mungu nifanyeje ili niurithi uzima wa milele yye ni mwaminifu atakuelekeza njia ya kufata nafasi badoiko mda karibuni unaisha usitegemee sala ya wafu ukaona itakupeleka mbinguni...chaukwali usipo mkir Yesu na kuishi maisha ya utakatifu jipenge kua kuni ya jehanamu

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 Жыл бұрын

    Waebrania 9:28 kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu. Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

  • @ahmedmiraji877
    @ahmedmiraji877 Жыл бұрын

    Wallahi nimelia kusikia hi leo, jamal april Mwenyezi Mungu hakutangulie leo katika zte nimepata message vizuri Mwenyezi Mungu hatujalie tuwe watu wako Ameen.

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    Жыл бұрын

    Ameeen

  • @amoury1481

    @amoury1481

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @kingkiya6640
    @kingkiya6640 Жыл бұрын

    Maa Shaa Allah,,,Ukiskiliza kw makini utakuta sehemu kubwa ya story hii imesheheni maneno Qur'an tukufu kw sababu ndo imefafanua zaid habar za peponi na motoni kuliko vitabu vingine,,, Alhamdulillah tunaomba mwisho mwema yaa Allah

  • @faridhamad3678

    @faridhamad3678

    Жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @moreenmoreen376

    @moreenmoreen376

    Жыл бұрын

    acha ubaguzi weee

  • @uzungupoint
    @uzungupoint Жыл бұрын

    Sema ukifatilia sana DINI unaweza kuchanganyikiwa🙌

  • @khamischumu6830

    @khamischumu6830

    Жыл бұрын

    Hujui kitu

  • @Mr_smart.code_10

    @Mr_smart.code_10

    Жыл бұрын

    Sio hajui kitu huo ndo ukweli

  • @samirajohn6938

    @samirajohn6938

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Hasa uislam eti pepom tutakuwa tunaongea kiarabu duuh

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 Жыл бұрын

    God bless you Jamal 🙏 ❤

  • @annerose3310
    @annerose3310 Жыл бұрын

    Only God knows God is for all of us

  • @michaelwafula1576
    @michaelwafula1576 Жыл бұрын

    Praise the most high God.....

  • @musalymuhamed3989

    @musalymuhamed3989

    Жыл бұрын

    Kutokea south Afrika musliman A musliman ninamkubali jamal Abdul

  • @victoralusiola5968

    @victoralusiola5968

    Жыл бұрын

    Natamani kuwa kama wewe jamal mi Mwanahabari

  • @Swahili_Nation_Studios
    @Swahili_Nation_Studios Жыл бұрын

    🙌🔥🔥 Professor Jamal

  • @japhetvukaly4716
    @japhetvukaly4716 Жыл бұрын

    Mimi sijawahi kuchoka kusikiliza story zako kaka jamal,hakika wewe ni proffesa.Mungu akupe umri mrefu utufundishe mengi ya kumpendeza allah wetu

  • @miraajswai744
    @miraajswai744 Жыл бұрын

    Congratulations brother, may God give you strength every day, you have been giving interpretations of many things and unparalleled teachings, very good work brother

  • @loganpoul
    @loganpoul Жыл бұрын

    Wewe kijana tunakukubali Sana kutoka Congo DRC

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Жыл бұрын

    Ee MWENYEZI MUNGU nakuomba unipe maisha marefu na mwisho mwema ktk hii dunia

  • @Creativetime00
    @Creativetime00 Жыл бұрын

    Thanks for you great video atleast it’s make to be focus in my life for another day nimefurahi kuwa nawez fika pepone unatufunza san na God aendelee kukubless Jamal

  • @atlastz2263
    @atlastz2263 Жыл бұрын

    Salute sana kaka Jamar nakubar sana simulizi zako unajitahidi kufanya utafiti kabla ya kusimulia

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Жыл бұрын

    Pepo ya waislamu nimeipenda buree Mungu wa kweli na haki anijaalie pepo aliyo fundisha ibni abdillah

  • @revocatuspaulo6716

    @revocatuspaulo6716

    Жыл бұрын

    Kwa hy ya wngine ni ya kufala. Na dini lenu la kisengesenge

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Pepo ya waislam vituko kwel had pombe zpo

  • @yahayaallytv2852

    @yahayaallytv2852

    Жыл бұрын

    @@revocatuspaulo6716 nyie nendeni mkaimbe mapambio mbinguni lakin msisahau MZIKI N AJIRA

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    Жыл бұрын

    @@revocatuspaulo6716 ni lazima utukane? Ndo dini yako inavyo kufunza??? Pole

  • @amoury1481

    @amoury1481

    Жыл бұрын

    @@revocatuspaulo6716 Hivi Wenzetu Upande Wa Pili Wakina Petrol,peter Huwa Mnafundishwa Matusi?Maana Kila Kitu Ni dhihaka

  • @ummukulthum1268
    @ummukulthum12682 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akujaalie ww unaesoma comments uwe mmoja kati ya watakaokua peponi na tutakutana huko... kwa kuacha maasi na kutembea katika njia ya muumba Tuseme amiiin

  • @RamadhanGalgalo-td5ky
    @RamadhanGalgalo-td5kyАй бұрын

    Tunamuomba Allah atujaalie pepo inshallah

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc Жыл бұрын

    For us Sabbath means rest ( kupumzika na uhitaji wote wa mwili ( fleashly desires) . Ukisoma kiundani biblia ndo utaelewa maana ya sabato, ambayo Mungu aliwaonyesha wanadamu kama ishara na waifanye huko mwanzo ( kupumzika siku Moja ya wiki bila kazi yoyote) na atakayopewa wanadamu baada ya kufa ( Peponi). Ndio maana Yesu aliwaambia wayahudi, kuwa sabato ipo kwa ajili ya mwanadamu, na sio mwanadamu kwa ajili ya sabato ( yaani kuitumikia). Mambo mengi ya agano la mwanzo ( la kale) ni ishara mambo yatakayokuja, ingawa yalifunuliwa kama ya mwilini, ila ni kivuli ya mambo mema ya baadae, na ndio maana Yesu alishindana na wayahudi kwakua hawakumwelewa. Mungu alivyosema alipoumba ulimwengu Siku ya Saba akapumzika, maana yake KAZI yake yote ya uumbaji ilikamilika na hakuhitaji kuumba tena, na akatupa kazi sisi tuzae na kuongezeka na kuijaza dunia. Kwetu sabato ya wanadamu tuliyoahidiwa, ni ukamilifu, na kuwa huru au kuwa mbali na madhaifu yote ya mwanadamu ( mfano dhambi, chakula, magonjwa, kiu, nyege, kuzaa, uchovu, chuki n. K). Na ndio maana Yesu alisema " Njooni kwangu ninyi nyote mtesekao na mizigo nami nitawapumzisha." Ndio maana ukimpata Yesu utakapokufa utakua unaishi, maana utaingia peponi na kuwa huru na mahitaji na tamaa zote za mwanadamu. Utakua kama malaika kama alivyosema Yesu ktk Mathayo 22:30 . Njooni kwa Yesu mpate pumziko, msihangaishwe na uongo wa mwanadamu wa jangwani Mwarabu aliyezaliwa miaka zaidi ya 600 baada ya Yesu kuondoka duniani.

  • @endtimes9850

    @endtimes9850

    Жыл бұрын

    Waambie wote wasioamini na kumjua YESU, Kwamba 1 Yohana 4; 2, Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. 3, Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Жыл бұрын

    Chris acha ushenzi, usitusi wasio kutusi, nawe watakutusi, bwege we.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Жыл бұрын

    kwa akili yako unavyofikiri Yesu na Muhammad wanatofautiana au wanapingana? kwa taarifa yako hawa wote ni damu moja wote uzao wa Abraham yani wametoka mgongoni mwa ibrahimu, ni wajukuu wake wa damu. kasome maandiko mpumbavu we.

  • @Chris-in1vc

    @Chris-in1vc

    Жыл бұрын

    @@rayisadesigns2646 ukileta ushahidi hata mmoja Muhammad ni uzao wa Ibrahim kupitia Ishmael, nitasilimu na kusema shahada kama allah alivyosema shahada. Ila ukifelli kunipa ushahidi wa maandiko au Aya ya Quran, basi utakua umehitimu chetu Cha Ujinga.

  • @allysuleimanhamis1963

    @allysuleimanhamis1963

    Жыл бұрын

    @@Chris-in1vc ushahidi upo Mkuu,ila mambo ya dini ni mambo sensitive sana maana unazaliwa na unaritbishwa dini kutoka kwa waliokuzaa au waliokulea..mfano leo hii mtu akikuita jina lisilo lako hauta feel kama ni wew maana ubongo wako na faham zako hazija sarenda kwa huo wito ila ukiitwa jina lako utajukuta unaitika na unaamini ni wew ndo mlengwa wa wito huo..masuala ya dini ni elimu Pana kuliko elimu tunazosoma darasani..mtu ukitaka kujua ukweli kuhusu masuala ya dini unahitaji kuwa tayari kuupata ukweli na kwa watu sahihi..tatizo kubwa watu hupata elimu ya dini kwa watu sio sahihi regardless kwa waislam au wakristo..watu hupenyeza agenda zao binafsi katika mambo ya dini..siku hizi dini ndo imekua kivuli cha chuki,ugomvi,majigambo,ukatili,uchonganishi maana mtu akijua kusoma na kuchambua bible au Quran kidogo tayari yupo kutengeneza followers utasema yeye ni Muhammad au Yesu(Issa ibn Maryam) Ukitaka ukweli juu ya Muhammad ni nan? Amekuja kwa watu gani? Majukumu yake ni yapi? Na kwanini aliletwa kama mjumbe wa mwisho? Uhusiano wake yeye na Yesu (Issa ibn Maryam? Uhusiano wake Muhammad na Nabii Ibrahim,Ismael na Is-haqah(Isaac)? ..ukweli huo ukiutaka tafuta watu na uwaulize maswali hayo ukiwa tayari kujifunza na sio kwa ubishani! Mungu akubariki upate akupe elimu na uweze kufurahia ukweli na njia ya haqqi..

  • @kassimkandulu2573
    @kassimkandulu2573 Жыл бұрын

    Duuh kweli Duniani, HAKUNA MWENYEJI tuishi kwa kumuongopa MUNGU.

  • @abufatimamohammad3344
    @abufatimamohammad33445 ай бұрын

    Kama sisi wa jamii wa oman 🇴🇲 Tumemkubali jamal the book story keep going 🫡

  • @ashadiramo
    @ashadiramo Жыл бұрын

    👍 Naipenda xna story book,mashallah Mungu akuzidishie 🤲

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl Жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 Жыл бұрын

    Da Allah Ninyoshee Mkono wako safi nami Niwe Msafi Niyatende yaliyomema Ili Niione Pepo Yako

  • @moutinhomerlin6498
    @moutinhomerlin6498 Жыл бұрын

    Allah akuongozee kaka professor Jamaal @professorjamaal

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v9 ай бұрын

    Hongera sana kwa kazi yako nzuri Yesu alitoka mbinguni na karudi mbinguni lakini akuambia watu mbinguni tutaongea lugha gani YOHANA 3 13 Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni,ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani Mwana wa adamu. Mbinguni hakuna kuowa wala kuolewa LUKA 20 34 Yesu akawaambia, wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa 35 Lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi. ifahamu Kweli nayo Kweli itakuweka huru Kweli Kweli

  • @GitoshDan
    @GitoshDan Жыл бұрын

    Kindly Christians and Muslims let's love each other. We won't go separate ways after we die due to having different beliefs. We're all humans and we have the same destiny. I stand to be corrected though.

  • @josephignas3988

    @josephignas3988

    Жыл бұрын

    The problem is with christians ,they refuse the prophecy of Muhammad(s.a.w) by saying he was not sent by God and that Jesus is the only sent , incarnated and behave as both the only begotten son of God and as one self among the three selves of God that work together as God, the point which is blasphemy and not correct(because God is almighty and able who doesn't need and will never need any assistance or help). The correct point is that Jesus is Not God incarnated but is among the prophets to whom God sent them to the targeted group and every group was given a prophecy for warning them about the mercy and blessing to believers and punishment to those who go astray!. But in Islam Muhammad was the one whom Jesus was predicting his coming after him and that he(muhammad) is the last prophet of God and (as in book of isaiah) will come to reveal the warning and punishment to non beleivers and reward to those who believe and unify God only as their creator, provider, forgiver and the only one who deserves being worshiped in righteousness and no one else in accompany with! So if it's just matter of love we love each other because we can't judge ourselves but in front of God there is no balance instead there must be two people, a righteous one who deserves paradise and another one who deserves hell only, no balance no intermediate person in front of judgement day. So it is either you search for a correct way or you refuse it by comforting yourself with a lie.

  • @sturbbornvideoz8547

    @sturbbornvideoz8547

    Жыл бұрын

    @@josephignas3988 Thank you brother for this clarification

  • @charlesjohn5792

    @charlesjohn5792

    Жыл бұрын

    ​@@josephignas3988 can a prophet raise mankind on last day? Can a prophet Judge mankind on last day? Can a prophet be the Alpha and Omega? Simply Christianity and Islam is in total contradictory. What Jesus taught and Muhammad taught is totally different. Allah is Tawheed and Jehovah is Tri Un(Trinity), Allah is not a Father for he has no son, Jehovah has Sons and daughters. Alot to say about this. But simply is God of Islam and God Christianity is different completely, so is Islam and Christianity

  • @LuckyBoy-pp2md
    @LuckyBoy-pp2md Жыл бұрын

    Mungu akubaliki sana

  • @JoashKorir-fb3bg
    @JoashKorir-fb3bg Жыл бұрын

    This is man is actually the best.. I love him 🙏🙏

  • @abdullasali4773
    @abdullasali4773 Жыл бұрын

    #Jamal April, akitajwa mtume au unapomtaja usiache kufatanisha na kumswalia.Mwenyewe amesema asiemswalia yy ni Bakhili. So ukisema Mtume Muhammad unafatisha na maneno yasemayo (SWALLALLAAHU ALAYHI WASALLAM).

  • @willisonelius4981
    @willisonelius4981 Жыл бұрын

    Safii broo,,,asante kwa kutukumbusha tuliojisahau kama mimi,,God bless you

Келесі