Costake tupe bei maana muda unaenda yanapatikana wapi?
@hassankilengah47864 ай бұрын
Kinachoniuma mtamuacha hivyo hivyo bila kumuendelezo wa kuzalisha hizo trekta kwa wingi. Wataalamu mnao lakini hawaoneshi ubunifu wao wenyewe kazi zao ni kudandia kazi zilizobuniwa na watu wengine
@MartinLaban3 ай бұрын
Ataambiwa na serkali auze bei sawa na ya wazungu 🤣 😂😂😂
@user-ew4pb9lx8i4 ай бұрын
Nimependa ubunifu wako. Fungua kiwanda ziindie nyingi mashambani
Пікірлер: 14
Hongera sana engineer
Tupe bei mapema tutor maamuzi
Hii ndiyo Elimu tunayohitaji
Naomba namba ya simu ya huyo mbunifu nahitaji hiyo trekta,
Mawasiliano please
Tunaomba kujua bei mbona mnafanya kificho?
Linauzwa shilingi ngapi? tupe bei tunataka kununua sio kilasiku maneno hatutaki
Costake tupe bei maana muda unaenda yanapatikana wapi?
Kinachoniuma mtamuacha hivyo hivyo bila kumuendelezo wa kuzalisha hizo trekta kwa wingi. Wataalamu mnao lakini hawaoneshi ubunifu wao wenyewe kazi zao ni kudandia kazi zilizobuniwa na watu wengine
Ataambiwa na serkali auze bei sawa na ya wazungu 🤣 😂😂😂
Nimependa ubunifu wako. Fungua kiwanda ziindie nyingi mashambani
Bei hakuna
Uko wapi mzee?
@justice607
Ай бұрын
Makumira, Arusha