WATANZANIA WABUNI GARI INAYOTUMIA UMEME UDSM "TUMEANZA KUUNDA GARI YA POLISI AMBULANCE ITAFATA"

Пікірлер: 339

  • @bertinruvuna4756
    @bertinruvuna47569 ай бұрын

    Hongereni sana UDSM, hii gari ni nzuri kwa ukweli!Hamuwezi kuweka solar energy upande wa juu ili ichaji battery kwani jua tunalo la kutosha na gari hii inaweza kutembea umbali mkubwa.

  • @emmanuelmwalukasa6002
    @emmanuelmwalukasa6002 Жыл бұрын

    Hongereni sana ma-injinia wetu. Kazi yenu ni nzuri sana na ya kutia moyo. Naomba Mungu awaongezee ubunifu katika kuboresha gari hilo kwa matumizi yenye manufaa kwa taifa letu. Watanzania tumebarikiwa na Mungu hivyo tujiamini, tunaweza. Mtu ye yote asiwakatishe tamaa, ushindi ni wetu. Songa mbele. Hayo ndio maendeleo. Tunaomba "support" ya nguvu toka mamlaka za juu nchini kwa maendeleo endelevu ya teknolojia hiyo.

  • @KuwakuMalumba6895
    @KuwakuMalumba6895 Жыл бұрын

    We need more Car 🚗 like this in Burundi 🇧🇮 please guys make more Car 🚗 like this. We come to buy to u guys in Tanzania 🇹🇿 but make strong 💪🏿 Car 🚗 we can use for long time. Keep try u best guys. I hope everything gonna be fine in future. Let go back to work now🇧🇮🇹🇿🚗💪🏿

  • @dr.alexmagufwa9131
    @dr.alexmagufwa9131 Жыл бұрын

    Hongereni sana!, Hiyo ni hatua kubwa sana ktk kujitegemea. I'm really proud of you guys.

  • @mugishapanther
    @mugishapanther Жыл бұрын

    Tanzania number one guy nipeni like zangu

  • @joycemetili3876
    @joycemetili3876 Жыл бұрын

    Hongereni sana UDSM, hii ni sifa na heshima kubwa kwa taifa letu. Nadhani Wizara husika ina cha kufanya ili kuhakikisha ugunduzi huu unaenda kimataifa. Mimi naamini wanaweza kutengeneza gari ya kutumia umeme kwa ajili ya safari ndefu tuachane na unyanyasaji wa mafuta ya waarabu. Kudos UDSM👏👏

  • @abdallahkaskas6168

    @abdallahkaskas6168

    Жыл бұрын

    utakua na chuki binafsi t waarabu ww huna lolote...

  • @JacksonNovatM

    @JacksonNovatM

    Жыл бұрын

    Serikali hii ndio itakuwa ya kwanza kupiga marufuku. Serikali ya Tanzania inaua vipaji vya watanzania. Watafute UDSM na gari lao baada ya miaka 2. Utaambiwa wanafanya maboresho ya mifumo. Na huo ndio utakuwa mwisho.

  • @user-yr9ii6tc3c

    @user-yr9ii6tc3c

    Жыл бұрын

    Hapo sawa

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Жыл бұрын

    UDSM hongereni sana huwo mundo wa gari ni mzuri sana hasa wa Gofu 🏌️ hata kwa watalii hao wanao ponda wancheni tu ndio wabongo

  • @cmantz8837

    @cmantz8837

    Жыл бұрын

    Nikweli kako poa

  • @BLESED-CHANNEL
    @BLESED-CHANNEL Жыл бұрын

    UDSM hongereni sana kwa hatua hiyo ila swali masudi kipanya wa clouds alitengeneza gali ninyi nayi mmetengeneza gali je hakuna anaye weza kutengeneza baskeli za kuchaji maana tunahitaji baskeli kwaajili ya mizunguko ya hapa dar es saalam naomba mtutengenezee baskeli za kuchaji.

  • @MrMachume
    @MrMachume Жыл бұрын

    Watu wengi kinachowasumbua ni ujinga na kutojitambua. Kama wewe hujawahi kugundua au kutengeneza chochote unawezaje kuanza kukosoa elimu hii kubwa ya kutengeneza magari kisa bodi? hujitambui wewe, na ukiwa hivyo ndani yako halikai neno jema, kazi yako ni kutafuta mabaya usiku na mchana. MUNGU akusaidie sana.

  • @nicholauslema2707
    @nicholauslema2707 Жыл бұрын

    Hongereni sana kwa Jitihada za Namna hii. Maoni yangu ni hv, Kuhusu Charging Process/Charging system ni Vema mkachagua Kufunga Solar Panels na MPPT Solar Controller ili Battery iwe inacharge During the Day. Na ikiwezekana Muweke Multiple Batteries( e.g 12v 200Ah × 2). TumeElewana? Au tukutane niwape Madini zaidi...

  • @Mr_smart.code_10

    @Mr_smart.code_10

    Жыл бұрын

    Fact

  • @Mr_smart.code_10

    @Mr_smart.code_10

    Жыл бұрын

    Wakutafute

  • @ekiintertrade4862

    @ekiintertrade4862

    Жыл бұрын

    Hongereni sana kwa ugunduzi, huo ni ugunduzi wa gari hilo lenu. Wengine nao wamegundua magari yao, ugunduzi si wa mtu mmoja tu wa gunduzi ni wengi kadiri ya kila aina ya gari. Bigup sanaa.

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 Жыл бұрын

    hyo gari nimeipenda ila ongezeni kitu cha ziada kwamba. Hiyo gari fanyeni iweze kujichaji. wakati unaendesha mfumo wa tairi ufungwe mota zenye kuchaji battery ya pili (emergency), kwa maana baada ya KM hizo 100 battery iwe full,,, shirikisheni ideas za wadau

  • @musicschool_tz7014

    @musicschool_tz7014

    Жыл бұрын

    Hii idea nzuri waifikirie

  • @lungusii

    @lungusii

    Жыл бұрын

    Ukiongeza uzito kwenye tires uta create another issue kwa mimi kucharge lazima uchaji kama ilivyo kawaida

  • @deustibalema9426

    @deustibalema9426

    Жыл бұрын

    Hili haliwezekani, linapingana na principles za physics na engineering.

  • @stainlesseducators699

    @stainlesseducators699

    Жыл бұрын

    Utakuwa umeviolet principle of conservation of energy. Energy can't be created.

  • @otmarmkali8883

    @otmarmkali8883

    Жыл бұрын

    @@stainlesseducators699 kzread.info/dash/bejne/a2eCuqqrY8neoNI.html

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 Жыл бұрын

    I support the big work they are doing , Mungu awainue zaidi , Safi sana pambaneni . Mungu afungue njia , Tusibeze kazi ya mtu , Let's promote this to go further .ni vile tu tumekosa watu wenye Ari ya kuleta mabadiliko

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Жыл бұрын

    Hongereni saana, Elon Musk wanamuona Genius Kwa ajili magari yake ya Tesla, naomba Hawa Wataalam wawezeshwe kabla hajachukuliwa na Nchi nyingine, Kwa hakika hata Kagame anaweza wachukua , naomba wawezeshwe kweli tutafika mbali

  • @FrankThomasTillya
    @FrankThomasTillya Жыл бұрын

    Big up, Binafsi ningependa kuona wakitumia body ziliotengenezwa tayari, hakuna haja ya kudesign wala kutengeneza body mpya, zipo nyingi tayari sokoni, na mifumo mingine tayari inameet safety standards, muhimu ni electric motor part na efficiency

  • @anthonysindabaha7517

    @anthonysindabaha7517

    Жыл бұрын

    Kuna Haja kubwa sana ya kudesign kuliko kutumia body ambayo ipo on market Hao TDC wanafanya innovations kupata idea mbali mbali..

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 Жыл бұрын

    Hongereni sana UDSM. Mmelianzisha mlimalize. Msikate tamaa.

  • @user-pc6gp3xr5l
    @user-pc6gp3xr5l Жыл бұрын

    hongereni sana kaka MUNGU awtumie katika iyo program mahali ambako TANZANIA tunaenda watakuja kupiga saluti kwa huyu MUNGU wetu aliye hai MUNGU AWBARIKI

  • @yesuyuhaipectv9176
    @yesuyuhaipectv9176 Жыл бұрын

    Lo! Mungu awainue zaidi, hata wenzetu walianza gari lilikuwa na tairi za chuma.Mimi Askofu Nkundwe Zebadiah Mwakatage.Ninawapongeza sana saan.Hata Body mlivyo ibuni kwa mara ya kwanza nimeipenda hiyo gari itakuwa na soko sana kwenye matukio.Isaya 41:6-7 inasema wakasaidiana kila mmoja akaisifia kazi ya mwenzake akaifanya kwa usitadi

  • @husnasalim9614
    @husnasalim96142 ай бұрын

    Tanzania 🇹🇿 tunaweza Allah kuza vipaji vya ndugu zetu ❤❤

  • @msafirimatingo6065
    @msafirimatingo6065 Жыл бұрын

    Saf sana watanzania,nimeipenda San,Mungu aikumbuke Tanzania,gar zetu ni zetu tu shepu ya gar haitupi shida huo ni mwanzo tu naamin mazr yanakuja mbele,go on brother.

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 Жыл бұрын

    Nzuri!!! hii itabeba wachezaji waliyopata majeruhi

  • @barakahtwinzi8927
    @barakahtwinzi8927 Жыл бұрын

    Hongereni sana udsm mmefanikisha hakika hii nzuri watanzania tusapotii hii juhudi ya wagunduzi wetu

  • @tanzaniahabarleotv1424
    @tanzaniahabarleotv1424 Жыл бұрын

    Hongera sana. Ukwel tuseme ivi ni lini watatengeneza gar la mtaan huu ujinga tumeuchoka. Injinia mzimaa leten Gari sio vifaaa vya gari vilivyoungana watu wanunue ivi sura hiyo nan atainunua 😔😔😔😑😑 kiberiti

  • @rulangwa
    @rulangwa Жыл бұрын

    It is a very good golf car i love it

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Жыл бұрын

    Hongereni udsm,hongera Tanzania yangu

  • @mclee493
    @mclee493 Жыл бұрын

    I wish dr samia suluh hassan hili ulipatie. Kipaumbele kama mpira nas tuwe na vyetu tanzania naipenda nchi yangu

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Жыл бұрын

    Nime penda kazi ni nzuri sana. Lakini nina maoni, kwanini ktk mfumo wa umeme wasinge dizaini mfumo wa umeme gari likitembea liwe linajichaji lenyewe ili chaji isihishe.

  • @Mr_smart.code_10

    @Mr_smart.code_10

    Жыл бұрын

    Hapo maana yake watengeneze gari za huduma za jamii

  • @musicschool_tz7014

    @musicschool_tz7014

    Жыл бұрын

    @@Mr_smart.code_10 unamaanisha wataikosesha tanesco pesa

  • @emmanuelherman-pb9dx
    @emmanuelherman-pb9dx Жыл бұрын

    Mpo vizuri hata royc rolls iliaza hivi hivi hongereni

  • @protasmichael2660
    @protasmichael2660 Жыл бұрын

    Hongera sana nitaleta range langu mniwekee mfumo wa umeme

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Жыл бұрын

    Hongereni kwa assembling nzuri...

  • @marojumamugha3062
    @marojumamugha3062 Жыл бұрын

    Hongera sana kiukwel nimefurahia jins Tanzania inavyozidi kupiga hatua

  • @jamesmichaely8646
    @jamesmichaely8646 Жыл бұрын

    Hongereni Sana Kwa Hatua Mulio Fikia Ila Kwenye Chaji Mnaweza Kutengeneza System ya Kuchaji better Kama Gar Zingine hyo Itakuwa Bora Zaidi Na Hicho Kitu Kinawezekana Bc

  • @ammoody8130
    @ammoody81303 ай бұрын

    Maashallah Maashallah Maashallah

  • @ismailahmed8728
    @ismailahmed8728 Жыл бұрын

    Kwa huku ulaya ni kama electric scooter 25,30,50km but tz comes up golf 100km or more good start msisahau nyingine kupeleka katika viwanja vya mpira kwa mkapa couse is look like uwanjani itapendeza piya airport na mahotelini all the best

  • @rofinkitali3765
    @rofinkitali3765 Жыл бұрын

    Tafuteni katika kumbukumbu za Kitivo cha Uhandisi hapo UDSM. Gari ya kwanza ya umeme ilitengezwa hapo UDSM miaka ya sabini.

  • @georgemarwa6359
    @georgemarwa6359 Жыл бұрын

    Much respects

  • @travelwithme14
    @travelwithme14 Жыл бұрын

    Hongera kwenu vp kuhusu kp Motors

  • @gadiosmangana.
    @gadiosmangana. Жыл бұрын

    Hongereni Sana aisee,msisikilize wakatisha tamaaa keep going,big up.

  • @hojameleka6624

    @hojameleka6624

    Жыл бұрын

    Kazi nzr sana mliyofanya

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Жыл бұрын

    Hongereni sana kazi nzuri

  • @johnb.j.m206
    @johnb.j.m206 Жыл бұрын

    Hongereni sana UDSM. Haya mambo ndiyo tunapenda tupate wabunifu toka vyuo vyetu. Pamoja na mafanikio hayo nawashauri muelekeze nguvu kutumia teknologia ya microchip badala ya kutumia nyaya.

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Жыл бұрын

    Serikali iingilie kati na kuwasaidia hawa ndugu waendelee zaidi kutengeneza magari kama haya. Hongera sana vijana.

  • @denismtonyole5965
    @denismtonyole5965 Жыл бұрын

    Nimeipenda sana hiyo project mloifanya oky sasa naomba mwendelee kutoa vifaa vya kuuza kwa kila mtu kwa beinafuu mtapata mafanikio makubwa sana hususani kuanzia pikipiki mpaka hayo magari mambo mingine fanyeni utafiti kuanzia MOTA na BATTRY vitengenezwe hapa hapa tz ili vifaa hivyo tupate kwa bei tunayoimudu wa tz na nchi jirani asnteni Mungu awabariki sana.

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329 Жыл бұрын

    kazi nzuri sana ,,,

  • @gershommaloda5248
    @gershommaloda5248 Жыл бұрын

    Hongereni Udsm kwa kuweza kutengeneza aina hii ya gari. Hata hivyo nafikiri Mhandis unafahamu kuwa gari zitumiazo nishati ya umeme zimekuwa Sokoni kule Ulaya kwa miaka sasa. Kuita mmebuni gari ya kutumia umeme nafikiri sentensi haijakaa sawa ! Tafadhali mtuweke sawa hapo ili jamii iende sawa nanyi tafadhali.

  • @ibrahimmakonyola4905
    @ibrahimmakonyola4905 Жыл бұрын

    Safi san kk

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Жыл бұрын

    Safi sana mpo vizuri Tanzania Up

  • @swamituisihaka2552
    @swamituisihaka2552 Жыл бұрын

    MaashaAllah! Pongezi kwao.

  • @casmirymagonya548
    @casmirymagonya548 Жыл бұрын

    Mwanzo mzuri, hongereni sana UDSM

  • @modestbartholomew1731
    @modestbartholomew1731 Жыл бұрын

    Mkiwezeshwa mnaweza,mbona Uganda wametengeneza Marcopolo bus.Mwanzo Mzuri hongera sana.

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Woohf big up Sana 💪 kwenu

  • @ibrahimmzungu3849
    @ibrahimmzungu3849 Жыл бұрын

    Hongereni sana

  • @mtekelechapemba5501
    @mtekelechapemba5501 Жыл бұрын

    UDSM hakika hongereni sana sana. Kama serikali ingewaongezea capital ya kueleweka naamini historia kubwa itatengenezwa na UDSM. Magufuli angekuwepo basi hii project ingesongabele sana.

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Жыл бұрын

    Safi kabisa Yani mh rais awashike mkono mtengeneze mengi zaidi

  • @cimpleweston6327
    @cimpleweston6327 Жыл бұрын

    ongeleni sana kazi nzuri

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Жыл бұрын

    Hongera bongo sihami nilikuwa nampango wakuhama

  • @ahmetmwandu8499
    @ahmetmwandu8499 Жыл бұрын

    Hongeren sana ni hatua nzuri

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 Жыл бұрын

    Vizuri Sana watanzania

  • @phoncechriss
    @phoncechriss Жыл бұрын

    Big up for good work UDSM

  • @bulunjamalimikulwa4876
    @bulunjamalimikulwa4876 Жыл бұрын

    Changamoto yetu kubwa sisi hua tunatengeneza vitu vingi sana, panapokuja kuleta ugumu ni bei. Niliwahi kujiuliza kwenye vitu vidogovidogo kama mafuta ya kupikia ya singida (ALIZETI) yanatoka kwetu hapa hapa na ukizingatia japo sio kwa umuhim kiwanda tulikua nacho karib na tulipokua tukiishi lakn bei ya mafuta ikawa juu kwa asilimia 14.29% kwa lita ukilinganisha na mafuta ya safi. Nachanganyikiwa nisielewe n nn shida hapo, duh! Mambo ya ajabu sana.

  • @joycemetili3876

    @joycemetili3876

    Жыл бұрын

    Bulunja, hata huoni ugunduzi, juhudi na mafanikio ya watanzania wenzako?!! At least wape pongezi then mengine baadae

  • @petrowashale1891

    @petrowashale1891

    Жыл бұрын

    Yuko sawa wengi wamepongeza ye ACHA akosoe kwenye ukweliii unajua mataifa ya wenzetu kwasababu bidhaa zinatengenezwa home gharama sio kubwa mfano magari Kuna nchi Hadi znaweka restrictions kwambaa asubuhii wafanyakazi watumie magari ya umma na sio magari Yao kupunguxa folen .. LAKINI KWA TANZANIA GHARAMA INATOKANA NA KWAMBA VITU VINGI HATUTENGENEZI NYUMBANI.. TUNAUNGANISHA VITU AMBAVYO TUNANUNUA NJE.. HAPO NDIO CHANGAMOTO ZINAPOZALIWA

  • @abdallahkaskas6168

    @abdallahkaskas6168

    Жыл бұрын

    Izo ishu ni kutokana na Kodi kubwa kutoka Serikalini kwaiy mwisho w cku mweny bidhaa atatak kufidia kodi yake kwa kufanya bidhaa yake iwe ghali ...

  • @englebertfilbert316

    @englebertfilbert316

    Жыл бұрын

    Kuna dogo alitengeneza helicopter ......aliishia wapi....mwingine radio station ....aliishia wapi

  • @tanzaniahabarleotv1424

    @tanzaniahabarleotv1424

    Жыл бұрын

    Kaka. Ni Bora watengeze gari zuri kwa bei wanayotaka huenda akapatikana mteja sasa gari la gofu kaka gofu mtu akishinda au kushidwa unajua? Ivi anaelimu Gani huyu jamaaa?Bora masudi kipanya

  • @husseinlatifa1443
    @husseinlatifa1443 Жыл бұрын

    Ninaiona kesho nzuri ya Tanzania, hongereni sana

  • @user-pi6rk4mc2q
    @user-pi6rk4mc2q Жыл бұрын

    Bravoooo bravoooo Mungu azidi kutenda

  • @gozbertmahenge-gz6no
    @gozbertmahenge-gz6no Жыл бұрын

    hongereni Sana siomda mtabuni mabehewa ya SGR mkovizur

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 Жыл бұрын

    Ongera sana aisee mungu ibatiki Tanzania kwangu mm nashukuru hata kwa icho kidogo angalau.

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Жыл бұрын

    hio motor mmeipima practically kabisa kwamba inaweza kwenda km 100 bila kuisha charge na kuendesha noah... maana hata huku uingereza magari ya umeme yapo mengi na wnasemaga km 300 bila charge lakini hata 150 hazifiki na yanakua yashaishiwa... engine za umeme au motor hazinaga uhasisi kama engine za petroli... ndio maana hata huku ulaya watu wengi hawapendi magari ya umeme maana betri zake zinakufa kama simu za mkononi tu...

  • @revocatuskato9474
    @revocatuskato94749 ай бұрын

    hii ndiyo maana halisi ya elimu ya juu,hongera sana

  • @frenardadiemo6728
    @frenardadiemo6728 Жыл бұрын

    Hongera sana UDSM, hii ni hatua kubwa sana kama nchi, hii ilete changamoto pia kwa wataalamu wa umeme, electronics, computer na wengine kubuni vifaa vya made in tanzania.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Жыл бұрын

    Nitahitaji gari moja.

  • @anthonymgina2253
    @anthonymgina2253 Жыл бұрын

    Safi Sana, mnaeshimisha Chuo.

  • @Goodluck-uf5um
    @Goodluck-uf5um Жыл бұрын

    Very good hii ndio tanzania

  • @sifaelpyuza3422
    @sifaelpyuza3422 Жыл бұрын

    Good keep on

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 Жыл бұрын

    Hongera japo mmenichanganya tu kwenye frog light .hiyo ni ya UD pekee

  • @maningulubinza7453
    @maningulubinza7453 Жыл бұрын

    Good job

  • @ezekielgwamaka9998
    @ezekielgwamaka9998 Жыл бұрын

    Hongereni sana hii ndio tz ya kisasa elimu kwa vitendo na maendeleo ya kweli

  • @elwinmlaponi1084
    @elwinmlaponi1084 Жыл бұрын

    MUNGU ibariki Tanzania

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 Жыл бұрын

    Mko vzr hongereni Sana Tena sanaaa

  • @odamssanga9025
    @odamssanga9025 Жыл бұрын

    Kwa kweli mbaka hapa, itaonekana Elimu inamaana, sio MTU anasoma Hadi chuo kikuu Ila anaishia kuuza nyanya, kwa kweli kwa hapa hata sisi ambaye hatujasoma Basi tunahamasika kusoma na kuwasomesha WATOTO wetu, kwa kweli Ni hatua nzuri Sana Sana sanaaaa! Anayekosoa huyo ndiye ambaye hawezi kitu, kwa ujumla wenye MAMLAKA mliunge mkono Hilo Jambo, bila kuogopa wakuu wenu wa Dunia. Amen.

  • @hebronkilimanjaro6724
    @hebronkilimanjaro6724 Жыл бұрын

    Good Job 👍

  • @sabbob574
    @sabbob574 Жыл бұрын

    Hii gari ina speed gani?

  • @abdalahsambala6667
    @abdalahsambala6667 Жыл бұрын

    Kanzi nzuri hapa next time ni kuboresha kweny body na interior desighn kuleta muonekano mzuri

  • @HighzackMichael
    @HighzackMichael Жыл бұрын

    All the best UDSM home of intellectuals......2015- 2018

  • @bulunjamalimikulwa4876

    @bulunjamalimikulwa4876

    Жыл бұрын

    Duh! 2009 - 2012

  • @KawezaSeleman-zs6ng
    @KawezaSeleman-zs6ng Жыл бұрын

    Mmetisha pambaneni mnaweza

  • @HajiHamisi-cg6kc
    @HajiHamisi-cg6kc Жыл бұрын

    hii nimeipenda sana hongera sana

  • @devotaijumba8332
    @devotaijumba8332 Жыл бұрын

    Big up

  • @MeshakiSaidi
    @MeshakiSaidi2 ай бұрын

    Nimekuku bari mungu agusaidiye usonge mbere

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Жыл бұрын

    Mimi nimewapenda sana hao vijana, natamani sana ikawe mladi endelevu, ili kuepukana na magari ya mafuta,

  • @ahmedalshaibany
    @ahmedalshaibany Жыл бұрын

    Hii sasa ni gari, congrats

  • @johnsalem8236
    @johnsalem8236 Жыл бұрын

    Imekaaa powa sana hiyo big up kwa wanaume hao waloingia kazini

  • @luagampugusi8389
    @luagampugusi8389 Жыл бұрын

    Jitihada mzuri sana wataalamu kutoka kitivo cha maarifa🎉🎉,ombi langu ni muunge nguvu pamoja na kaka Masoud Kipanya na wale wa NIT team kulifanya swala kuwa endelevu.Pia naomba kufahamu haya wataalamu 1.Siku za mvua inatembea hii? 2.Inabeba uzito usiozidi kiasi gani kwa injini iliyopo? 3.Inaweza kwenda kwa speed gani ya juu zaid ikiwa na uzito wa juu wa kikomo kubeba?

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Жыл бұрын

    Kazi Nzuri sana Wakuu

  • @uswegemwamakula6101
    @uswegemwamakula6101 Жыл бұрын

    Inatia moyo kuona kuwa vinaja wanaweza kufanya kitu kinachoneka,serikali itoe support

  • @christianngao5608
    @christianngao5608 Жыл бұрын

    Good

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz7071 Жыл бұрын

    Bravo

  • @fredducaunt
    @fredducaunt Жыл бұрын

    Uhalisia ni kwamba Ili kufanikiwa Inabidi kubadili mtazamo unaoathiriwa na utamaduni na desturi ambazo ni draining . Na pia kuwa na ari ya kuwrka uwepo katika mataifa mengineemgi na kufanya utafiti wa kimkakati Ila cha kusikitisha we belong to a culture that is incompatible with what we wish We live in a culture that constantly drains the desired changes Hali ya mzunguko wa maisha wa kawaida wa mtu Tanzania haifai kufanya madaliko yenye maana any time soon We are doomed by our culture Sisi ni professional consumers and we are good at it Kama kweli tutataka kupata maendeleo. There are 2 options 1 Kuachana na culture and tradition zetu Kitu ambacho hakiwezekani 2kuachana na CULTURE NA TRADITION ZETU No way out

  • @kherikhamis1913
    @kherikhamis1913 Жыл бұрын

    TZ , mbele daima

  • @lungusii
    @lungusii Жыл бұрын

    Tuna weza tuwezeshwe na tusi bezane, big up my brothers

  • @samoskiyalo6095

    @samoskiyalo6095

    Жыл бұрын

    Hongeleni sana hiyo iwe ajira yeno fanya muwezavyo tunapenda kujifanya wajuaji na kutupa vingi wakati bado vinafaa

  • @primeprinting948
    @primeprinting948 Жыл бұрын

    safi sana inaweza tumika town vizuri tu

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын

    Hongera sana sio wengine wamekalia umbea na majungu na uchawi na roho mbaya. Ila ona Tz uwa hawathamini hao watu utasikia Wazungu wamemchukua yuko kwao anaunda magari . Kuna wabunifu wengi ila Serikali ya mavi kunuka haiwathaminin, ndio maana mimi niliamua nijiondokee mavi kunuka nije Ughaibuni nitumie ujuzi wangu kwa watu wanaothamini ujuzi wangu .

  • @saidimohamedimgotomgoto979
    @saidimohamedimgotomgoto979 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @hamadsalimhamad2399
    @hamadsalimhamad2399 Жыл бұрын

    hongereni sana sana tunataka tanzania mpya, naomba namba zenu za mawasiliano nina kitu cha kuboresha hiyo gari.

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam Жыл бұрын

    Mimi nimelipenda Sana hiyo gari inauzwa bei gani. Pia nawapa ongera sana

  • @lucyluhaga783
    @lucyluhaga783 Жыл бұрын

    Kazi nzuri lakini Sasa mmeunganisha2 vitu vya watu..jaribuni namna nyingine

  • @simonmwashambela3233

    @simonmwashambela3233

    Жыл бұрын

    Tupende vya kwetu aijalishi vimeunganishwa saw lakin wamejalibu na wanaweza sna

Келесі