TAZAMA KAMA UNAISHI "FAKE LIFE" BILA KUJUA

Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Watu wengi sana wanaishi katika hili bila wao kujua, yaani kuishi maisha ya uongo (fake life). sasa somo hili litakusaidia sana katika kufahamu kama nawe uko katika hili au lah. tafadhali naomba fuatilia kwa makini na uniambie nini mawazo au maoni yako chini katika comments.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne

Пікірлер: 102

  • @biommy6700
    @biommy67004 жыл бұрын

    Nimependa hilo somo..Nimejitambua zaidi..hamdhulillah am not fake..am really me

  • @theoniyonkuru6423
    @theoniyonkuru64234 жыл бұрын

    number 4 niwengi sana hawakubali ku pambana na hali yao

  • @haimahaima9135
    @haimahaima91354 жыл бұрын

    Allah akuweke uzidi kutuelemish😍😍😍😍😍

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius95262 жыл бұрын

    Asante kakaangu kiukweli najifunza vingi,maana mimi nikiwa na tatizo Hua nalia sana najikuta nakata tamaa

  • @Oman-xq4nm
    @Oman-xq4nm4 жыл бұрын

    Daah yaani nimehamasika sana somo zur nataka kuanza biashara lkn kila nikifikiliya pesa niliyonayo kidogo nazid kukaa kuajiliwa na spend lkn inanibid shukran sana mwenyezi mungu akujaliye kheri na baraka amina

  • @ramadhanchilongola4327

    @ramadhanchilongola4327

    4 жыл бұрын

    hio hatar

  • @jamesthebarber7229
    @jamesthebarber72294 жыл бұрын

    U are so amazing my brother u really know how to touch souls nimeelewa mambo muhimu in my life katika somo hili Allah akuziidishie kila la kherii kaka..

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    4 жыл бұрын

    Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @jamesthebarber7229

    @jamesthebarber7229

    4 жыл бұрын

    Ndio hainashida lazma tu sambaziane vitu vizur kama hivii, nami ntajitahidi kuwa fikishia inshaallah

  • @idrissaidi4381
    @idrissaidi43814 жыл бұрын

    asante sana nafatilia sana somo lako ubarikiwe

  • @gumatohuka8827
    @gumatohuka88274 жыл бұрын

    Aha,. Leo umenifunsa mambo ya ukweli tupu. Ahsante Sana.From today I will be just who a"m. Ubarikiwe, na endelea kutufunsa zaidi. Ahsante.

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy57404 жыл бұрын

    Tatizo watu upenda kuangalia watu wa pembeni na kutaka kuonyesha na yeye yuko maisha ya juu kumbe hawo Walianza kutafuta maisha miaka mitano nyuma na Sasa Ndio wako ktk matunda ya mafanikio...... Wengi hawapendi kuwa na plan ya miaka 5 mbele na kujiona watacherewa kumbe wanajicherewesha

  • @gumatohuka8827
    @gumatohuka88274 жыл бұрын

    Nami nikuwa kwa Fake Life,kwa kuongopa kusema shida zangu hata kwa wazazi ,ama Marafiki. Kutoka leo sitaongopa. Ahsante.

  • @ziggyuae2464
    @ziggyuae24644 жыл бұрын

    Thnx for your motivation it amazing may Allah bless you 🙏

  • @sahraali5006
    @sahraali50064 жыл бұрын

    Thank you for your encouragements.

  • @magzakky2781
    @magzakky27814 жыл бұрын

    Hey bro u have shown me everything about myself and its time to change thanks alot for opening my eyes (ingawaje kiswahili yako ni nzuri na sanifu na jaribu kuelewa lol 🇰🇪) much love from Qatar

  • @esrompatrick3748
    @esrompatrick37482 жыл бұрын

    Asante kwa ujumbe mzuri hakika nimekuelewa

  • @thegirl1405
    @thegirl14054 жыл бұрын

    Masha Allah 👏 👏 Somo la leo yaani umeongea ukweli kabisa💕💕 wengi wao wanapost "FEK LIFE" 😊 😊 😊 utakuta mtu anashida harafu yeye anajifanya tajiri hahaha hakika hili somo kubwa sana shukuraa brother Allah akubariki sana 🙏 🙏

  • @johnsonmwinami4056

    @johnsonmwinami4056

    4 жыл бұрын

    Safi bro

  • @ahmedsalum2788
    @ahmedsalum27884 жыл бұрын

    "I can do it on my own"😄 yh brother ni kweli kabisa nina rafiki yangu ndo kazi yake iyo kl sk anaweka kwenye status

  • @feristamwakatwila7498
    @feristamwakatwila74984 жыл бұрын

    Your good big man u have inspired me continue teaching us

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza11784 жыл бұрын

    Dah! aisee kaka wewe kwenye part 2 nikama unanifaham vile me uaga nikiumizwa na mtu sikai Kimya haswa kwenye swala lamapenzi mpaka nakua kama nakwazana sasa ila kumbe ndo vizuri jmn 👌😍 Asante san kaka ake kwa mafunzo mazuri

  • @rebeccampeta6650
    @rebeccampeta66504 жыл бұрын

    mtangulizi mrefu sana, ila ahsante kwa somo

  • @kulsoomkulsoom8897
    @kulsoomkulsoom88974 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Asante kwa somo

  • @aminanicemoviesalia3075
    @aminanicemoviesalia30754 жыл бұрын

    Somo somo nimelipenda sana na nimejifunza kitu asante bro ubarikiwe

  • @traviegrey3434
    @traviegrey34344 жыл бұрын

    somo zuri nmelipenda.... let us 🔙 point no 2&

  • @hamisiibrahim901
    @hamisiibrahim9014 жыл бұрын

    Ahsante kk Mwenyezimungu akuongoze

  • @elzromelz3231
    @elzromelz32313 жыл бұрын

    Thats called exposing your self not fake life u People don’t have to know your private life

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    3 жыл бұрын

    Thank you for your concern Elz.

  • @fatumaally3266
    @fatumaally32664 жыл бұрын

    Thanks brow be blessed

  • @championshahidu2465
    @championshahidu24654 жыл бұрын

    Mi najijua naishi fake life hata kabla ya kusikiza clp hii

  • @theoniyonkuru6423

    @theoniyonkuru6423

    4 жыл бұрын

    hahahah

  • @abdillahmahmoud8425

    @abdillahmahmoud8425

    4 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhh

  • @smartboyofficial1094

    @smartboyofficial1094

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @wahidkombokhamis4330

    @wahidkombokhamis4330

    4 жыл бұрын

    Hahahahahahahahh, duhhhhh

  • @ismailndayikeza1275

    @ismailndayikeza1275

    3 жыл бұрын

    Nimecheka kwa sauti

  • @fettyfetty6091
    @fettyfetty60914 жыл бұрын

    Asante kwa somo, #2 umenigusa ila uzuri wa mimi siweki sana vitu moyon , nitaumia masaa machache au siku moja tu alafu napotezea kabisa

  • @pianistamostv3418
    @pianistamostv34184 жыл бұрын

    Good lesson

  • @bijampolamsemakweli9687
    @bijampolamsemakweli96874 жыл бұрын

    Kazi nzuri blaza Allah akuzidishie

  • @feisal38
    @feisal384 жыл бұрын

    masha allah be blessed brother

  • @yusufsalamba467
    @yusufsalamba4673 жыл бұрын

    💪 Nondo za kutosha breeda

  • @seifsaidi9911
    @seifsaidi99114 жыл бұрын

    Shukran

  • @catherinegabriel2669
    @catherinegabriel26694 жыл бұрын

    Am okay wakati siko sawa hii imenihusu Sana. Ntabadilika kuanzia sasa ikiwa nina huzuni ntasema ukweli

  • @michaelmarwa6943
    @michaelmarwa69434 жыл бұрын

    Nimependa bro you will reach far my brother

  • @bijampolamsemakweli9687
    @bijampolamsemakweli96874 жыл бұрын

    Wabongo wengi tupo nayo sana hiyo

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye51274 жыл бұрын

    Asante sana

  • @deathrow8004
    @deathrow80044 жыл бұрын

    UMESEMA KWELI,

  • @arafatmwaraone9218
    @arafatmwaraone92184 жыл бұрын

    Safi sana bro

  • @medameda3920
    @medameda39204 жыл бұрын

    Asante bro ni nimejifunza kitu

  • @nassorodaudy851
    @nassorodaudy8514 жыл бұрын

    👮👮👮👮Top brother nakupenda sana brother kaka 😎😎😎😎😎 Napata vision kubwa sana maishani👀👀👀👀💪

  • @charlesjoseph8679
    @charlesjoseph86794 жыл бұрын

    Listen what ezden j4 say u don't thinking how ezden j4 looking 4 keep it in you mind set

  • @officialbaylan4838
    @officialbaylan48383 жыл бұрын

    Thankx

  • @newtongm5220
    @newtongm52204 жыл бұрын

    Nakuelewaga sana Mr pia nimejifunza mengi sana kupitia wewe thanks

  • @rajabhamza4628
    @rajabhamza46284 жыл бұрын

    Aisee nimekuelewa vizur sana hapo kwenye marafiki mininao fake friends wengi nikipataga shida kaka yangu ndoanakuwa msaada mkubwa ila friends wote wanakaa mbali sanaaaa

  • @williamkidalo7049
    @williamkidalo70494 жыл бұрын

    All is possible when you deicide to be honest with yourself

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    4 жыл бұрын

    Very true brother

  • @doxwide1557
    @doxwide15574 жыл бұрын

    I got point....

  • @Michael-nt5bl
    @Michael-nt5bl4 жыл бұрын

    Iko light brother

  • @gumatohuka8827
    @gumatohuka88274 жыл бұрын

    Hei ndungu,nami najua mtu akijifuna ama kujionsha kwa kile si yo hali yako ya kawahida,.lasima utafali siku moja. Oh!. Aibu. We have to be our selv Always.whatever!. Utafurahi baadaye.

  • @tysonomayio9378
    @tysonomayio93784 жыл бұрын

    For sure am realy greaful to hear penetration words of encouragement in my life I haven't heard before I thank you Mr ezden end I will always be with you

  • @rosekomu1896
    @rosekomu18964 жыл бұрын

    Wanawake nao wanakuellekrza kutafuta mwsnaume uwe na mahusiano nsye ndipo utapata msaada

  • @kassimmbalazi1335
    @kassimmbalazi13354 жыл бұрын

    asante kk

  • @imeldamagaria718

    @imeldamagaria718

    4 жыл бұрын

    Nice one

  • @zuhuraabiki1103
    @zuhuraabiki11034 жыл бұрын

    Nemeelewa ila Kuna ndugu wengine hawana msaada Bora hata hao marafik

  • @zuhuraabiki1103
    @zuhuraabiki11034 жыл бұрын

    Fake life yang hapo Ni moja tu ya kuto kusahau mambo ya zamn bac

  • @harmoniofficialtz6065
    @harmoniofficialtz60654 жыл бұрын

    👏👏👏👏pamoja mkuu

  • @habibabora3404

    @habibabora3404

    4 жыл бұрын

    Somo nzuri sana hili.bora utufungue akili zetu

  • @devothapeter7600
    @devothapeter76004 жыл бұрын

    asante kaka

  • @tizohmc8837
    @tizohmc88374 жыл бұрын

    exactly

  • @victoriachengula5630
    @victoriachengula56304 жыл бұрын

    kweli kaka

  • @cholocaptain1623
    @cholocaptain16232 жыл бұрын

    Mm niko ivyo sasa naacha kwer niteseka adi nakopa

  • @richardvalson4313
    @richardvalson43134 жыл бұрын

    ßləssəd brother 🤝🤝

  • @mustafaahmad3585

    @mustafaahmad3585

    4 жыл бұрын

    ✅ namba 4

  • @rosekomu1896
    @rosekomu18964 жыл бұрын

    Ni kwa nini wanaume wakitoa msaada mpaka akuzishe? Au skutendeshe dhambi?

  • @allyjerome9451
    @allyjerome94514 жыл бұрын

    Mmh, I'm finish,

  • @ayoubmohd8733
    @ayoubmohd87334 жыл бұрын

    Usiongee kiengereza kaka unaboa

  • @salimmohamed5559
    @salimmohamed55594 жыл бұрын

    Please naomba niwemo katika group whatup 0777 78 58 60

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy70434 жыл бұрын

    😬😬😬🤣😂😂

  • @husseinmwakasala7565
    @husseinmwakasala75654 жыл бұрын

    how can I leave fake friends

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    4 жыл бұрын

    By being real... Once you be that, your friends cycle changes too automatically.

  • @husseinmwakasala7565

    @husseinmwakasala7565

    4 жыл бұрын

    thanks, I'm going to apply the technique

  • @successpathnetwork

    @successpathnetwork

    4 жыл бұрын

    Best of luck

  • @karimdaimu6977
    @karimdaimu69774 жыл бұрын

    Kwan hayo ndio maisha yako halis mm nakuona mwanzo mwisho ni fek tu

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    😀😀😀 umetisha karimu

  • @bahatisalum95

    @bahatisalum95

    4 жыл бұрын

    Good Education Brother.

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi68884 жыл бұрын

    Jamani whatsup niungen 0756559857

  • @nelsoncosmas5639
    @nelsoncosmas56394 жыл бұрын

    Chief nime kuelewa vzr sn kama una group ni add 0712960104

  • @karimdaimu6977
    @karimdaimu69774 жыл бұрын

    Wew edeni mbona unafeki au ujioni kama unafeki.

  • @mvungisally1133

    @mvungisally1133

    4 жыл бұрын

    nikweli kuna shida hiyo kwenye jamii lakini matitizo yanapotokea havikosekani vya kusemwa

  • @zakariakeboya9393

    @zakariakeboya9393

    4 жыл бұрын

    be blessed broo somo zuri

  • @tithobaptist7409

    @tithobaptist7409

    4 жыл бұрын

    Fact mr

  • @amulikeasukile9197

    @amulikeasukile9197

    4 жыл бұрын

    Kua happy and calm ata kama maisha yako ni yakwaida haimaanish kwamba ni fake life, mi sidhan kama jamaa anaish fake ila anafurahia alipo, binafsi nadhan si vibaya

  • @safiaabubakar1120

    @safiaabubakar1120

    4 жыл бұрын

    Tatizo kwani nii kitu gani mbona sio mstaarabu

  • @feristamwakatwila7498
    @feristamwakatwila74984 жыл бұрын

    Your good big man u have inspired me continue teaching us