TAZAMA KAMA UNAISHI "FAKE LIFE" BILA KUJUA
Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Watu wengi sana wanaishi katika hili bila wao kujua, yaani kuishi maisha ya uongo (fake life). sasa somo hili litakusaidia sana katika kufahamu kama nawe uko katika hili au lah. tafadhali naomba fuatilia kwa makini na uniambie nini mawazo au maoni yako chini katika comments.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
Пікірлер: 102
Nimependa hilo somo..Nimejitambua zaidi..hamdhulillah am not fake..am really me
number 4 niwengi sana hawakubali ku pambana na hali yao
Allah akuweke uzidi kutuelemish😍😍😍😍😍
Asante kakaangu kiukweli najifunza vingi,maana mimi nikiwa na tatizo Hua nalia sana najikuta nakata tamaa
Daah yaani nimehamasika sana somo zur nataka kuanza biashara lkn kila nikifikiliya pesa niliyonayo kidogo nazid kukaa kuajiliwa na spend lkn inanibid shukran sana mwenyezi mungu akujaliye kheri na baraka amina
@ramadhanchilongola4327
4 жыл бұрын
hio hatar
U are so amazing my brother u really know how to touch souls nimeelewa mambo muhimu in my life katika somo hili Allah akuziidishie kila la kherii kaka..
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
@jamesthebarber7229
4 жыл бұрын
Ndio hainashida lazma tu sambaziane vitu vizur kama hivii, nami ntajitahidi kuwa fikishia inshaallah
asante sana nafatilia sana somo lako ubarikiwe
Aha,. Leo umenifunsa mambo ya ukweli tupu. Ahsante Sana.From today I will be just who a"m. Ubarikiwe, na endelea kutufunsa zaidi. Ahsante.
Tatizo watu upenda kuangalia watu wa pembeni na kutaka kuonyesha na yeye yuko maisha ya juu kumbe hawo Walianza kutafuta maisha miaka mitano nyuma na Sasa Ndio wako ktk matunda ya mafanikio...... Wengi hawapendi kuwa na plan ya miaka 5 mbele na kujiona watacherewa kumbe wanajicherewesha
Nami nikuwa kwa Fake Life,kwa kuongopa kusema shida zangu hata kwa wazazi ,ama Marafiki. Kutoka leo sitaongopa. Ahsante.
Thnx for your motivation it amazing may Allah bless you 🙏
Thank you for your encouragements.
Hey bro u have shown me everything about myself and its time to change thanks alot for opening my eyes (ingawaje kiswahili yako ni nzuri na sanifu na jaribu kuelewa lol 🇰🇪) much love from Qatar
Asante kwa ujumbe mzuri hakika nimekuelewa
Masha Allah 👏 👏 Somo la leo yaani umeongea ukweli kabisa💕💕 wengi wao wanapost "FEK LIFE" 😊 😊 😊 utakuta mtu anashida harafu yeye anajifanya tajiri hahaha hakika hili somo kubwa sana shukuraa brother Allah akubariki sana 🙏 🙏
@johnsonmwinami4056
4 жыл бұрын
Safi bro
"I can do it on my own"😄 yh brother ni kweli kabisa nina rafiki yangu ndo kazi yake iyo kl sk anaweka kwenye status
Your good big man u have inspired me continue teaching us
Dah! aisee kaka wewe kwenye part 2 nikama unanifaham vile me uaga nikiumizwa na mtu sikai Kimya haswa kwenye swala lamapenzi mpaka nakua kama nakwazana sasa ila kumbe ndo vizuri jmn 👌😍 Asante san kaka ake kwa mafunzo mazuri
mtangulizi mrefu sana, ila ahsante kwa somo
Maa shaa Allah Asante kwa somo
Somo somo nimelipenda sana na nimejifunza kitu asante bro ubarikiwe
somo zuri nmelipenda.... let us 🔙 point no 2&
Ahsante kk Mwenyezimungu akuongoze
Thats called exposing your self not fake life u People don’t have to know your private life
@successpathnetwork
3 жыл бұрын
Thank you for your concern Elz.
Thanks brow be blessed
Mi najijua naishi fake life hata kabla ya kusikiza clp hii
@theoniyonkuru6423
4 жыл бұрын
hahahah
@abdillahmahmoud8425
4 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh
@smartboyofficial1094
4 жыл бұрын
😂😂😂
@wahidkombokhamis4330
4 жыл бұрын
Hahahahahahahahh, duhhhhh
@ismailndayikeza1275
3 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti
Asante kwa somo, #2 umenigusa ila uzuri wa mimi siweki sana vitu moyon , nitaumia masaa machache au siku moja tu alafu napotezea kabisa
Good lesson
Kazi nzuri blaza Allah akuzidishie
masha allah be blessed brother
💪 Nondo za kutosha breeda
Shukran
Am okay wakati siko sawa hii imenihusu Sana. Ntabadilika kuanzia sasa ikiwa nina huzuni ntasema ukweli
Nimependa bro you will reach far my brother
Wabongo wengi tupo nayo sana hiyo
Asante sana
UMESEMA KWELI,
Safi sana bro
Asante bro ni nimejifunza kitu
👮👮👮👮Top brother nakupenda sana brother kaka 😎😎😎😎😎 Napata vision kubwa sana maishani👀👀👀👀💪
Listen what ezden j4 say u don't thinking how ezden j4 looking 4 keep it in you mind set
Thankx
Nakuelewaga sana Mr pia nimejifunza mengi sana kupitia wewe thanks
Aisee nimekuelewa vizur sana hapo kwenye marafiki mininao fake friends wengi nikipataga shida kaka yangu ndoanakuwa msaada mkubwa ila friends wote wanakaa mbali sanaaaa
All is possible when you deicide to be honest with yourself
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
Very true brother
I got point....
Iko light brother
Hei ndungu,nami najua mtu akijifuna ama kujionsha kwa kile si yo hali yako ya kawahida,.lasima utafali siku moja. Oh!. Aibu. We have to be our selv Always.whatever!. Utafurahi baadaye.
For sure am realy greaful to hear penetration words of encouragement in my life I haven't heard before I thank you Mr ezden end I will always be with you
Wanawake nao wanakuellekrza kutafuta mwsnaume uwe na mahusiano nsye ndipo utapata msaada
asante kk
@imeldamagaria718
4 жыл бұрын
Nice one
Nemeelewa ila Kuna ndugu wengine hawana msaada Bora hata hao marafik
Fake life yang hapo Ni moja tu ya kuto kusahau mambo ya zamn bac
👏👏👏👏pamoja mkuu
@habibabora3404
4 жыл бұрын
Somo nzuri sana hili.bora utufungue akili zetu
asante kaka
exactly
kweli kaka
Mm niko ivyo sasa naacha kwer niteseka adi nakopa
ßləssəd brother 🤝🤝
@mustafaahmad3585
4 жыл бұрын
✅ namba 4
Ni kwa nini wanaume wakitoa msaada mpaka akuzishe? Au skutendeshe dhambi?
Mmh, I'm finish,
Usiongee kiengereza kaka unaboa
Please naomba niwemo katika group whatup 0777 78 58 60
😬😬😬🤣😂😂
how can I leave fake friends
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
By being real... Once you be that, your friends cycle changes too automatically.
@husseinmwakasala7565
4 жыл бұрын
thanks, I'm going to apply the technique
@successpathnetwork
4 жыл бұрын
Best of luck
Kwan hayo ndio maisha yako halis mm nakuona mwanzo mwisho ni fek tu
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
😀😀😀 umetisha karimu
@bahatisalum95
4 жыл бұрын
Good Education Brother.
Jamani whatsup niungen 0756559857
Chief nime kuelewa vzr sn kama una group ni add 0712960104
Wew edeni mbona unafeki au ujioni kama unafeki.
@mvungisally1133
4 жыл бұрын
nikweli kuna shida hiyo kwenye jamii lakini matitizo yanapotokea havikosekani vya kusemwa
@zakariakeboya9393
4 жыл бұрын
be blessed broo somo zuri
@tithobaptist7409
4 жыл бұрын
Fact mr
@amulikeasukile9197
4 жыл бұрын
Kua happy and calm ata kama maisha yako ni yakwaida haimaanish kwamba ni fake life, mi sidhan kama jamaa anaish fake ila anafurahia alipo, binafsi nadhan si vibaya
@safiaabubakar1120
4 жыл бұрын
Tatizo kwani nii kitu gani mbona sio mstaarabu
Your good big man u have inspired me continue teaching us