Tazama balaa la MAKOMANDO Hatari Zaidi na SIFA ZAO mbele ya Rais SAMIA

Ойын-сауық

..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Пікірлер: 189

  • @user-fj5hk5kp7p
    @user-fj5hk5kp7p2 ай бұрын

    Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee

  • @KomboMussa-yy3ru

    @KomboMussa-yy3ru

    2 ай бұрын

    0:00

  • @JacksonCherk
    @JacksonCherk2 ай бұрын

    Safi kaka jack saiv umeongezwa nyita hongera mama anafurah akikutazama

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward2 ай бұрын

    Hongera JWTZ, tukumbuke kwenda na wakati. Technology na AI , ulinzi nawenye

  • @seneu.2128
    @seneu.21282 ай бұрын

    Magufuli alifuta hii sherehe akaagiza pesa zilizotengwa zikapanue barabara ya Mwenge to Morocco dar es salaam..RIP Magu.

  • @ayoubmtumishi50

    @ayoubmtumishi50

    2 ай бұрын

    Ilikuwa uhuru siyo hii 😢

  • @PeterJohn-sg4oe

    @PeterJohn-sg4oe

    2 ай бұрын

    Wewe wa wapi? Barabara ya mwenge imejengwa kwa mkopo wa Japani, mlidanganywa tu

  • @mpajibinaisa7238

    @mpajibinaisa7238

    16 күн бұрын

    Huo ni uongo magufuli hakuwahi kuingilia shughuli yoyote ya jwtz hao ndio watu aliowaheshimu na aliwapa shavu sana kama unapinga njoo kwa hoja

  • @seneu.2128

    @seneu.2128

    16 күн бұрын

    @@mpajibinaisa7238 sikukuu ya Muungano ni ya jwtz? 😂 Kafate ada uliposomea walikuacha ukiwa empty kichwani

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo54542 ай бұрын

    Ufahamu mdogo mnacoment upuuzi. Mwananchi smbae hathamini kitu chake amefilisiks akili

  • @alwiyiynmission2820
    @alwiyiynmission28202 ай бұрын

    Jaman jaman!!!! Siku hizi vita Sio Kutunisha Misuli. Bali ni Technically, technology skills. Mtu Yupo IRAN ANAPIGA Telaviv

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?

  • @DainessJames

    @DainessJames

    2 ай бұрын

    Kabisa yan unajua nin sa hv vita za ngumi zishapitwa na wakati tuko kwenye technology

  • @user-gr7jk4vc7f

    @user-gr7jk4vc7f

    2 ай бұрын

    Hiyo misuli imekatwa na wale muliowaita makunguru😂 Hawa na wa South Africa, wa rundi na .ajeshi wa DRC wakawekwa Kwa sufuriya mojaaa

  • @AlanWilliam-oq5qz

    @AlanWilliam-oq5qz

    9 күн бұрын

    Ao ni combat ready special force we Bata

  • @YusufuKihongwe
    @YusufuKihongwe2 ай бұрын

    Heshima kwa makomando vizuri sana mwenyezimungu awalinde ❤❤❤

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 ай бұрын

    Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi

  • @user-kk7wd1sm3x
    @user-kk7wd1sm3x2 ай бұрын

    Twende mbele turudi nyuma hii mibaba inatisha 😅😅

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi502 ай бұрын

    Jeshi letu liko vizuri,,, lakini tuonyesheni itakuwaje kama tunapigana na nchi ya mbali zaidi.

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie

  • @BarakaJebaNgombo
    @BarakaJebaNgombo2 ай бұрын

    Hakuna chochote hapa, Alshabab wawili tu wanaangamiza Tz nzima

  • @user-lj6ek4tu1t

    @user-lj6ek4tu1t

    2 ай бұрын

    Nimecheka😅😅😅

  • @ramadhaniraphael6955

    @ramadhaniraphael6955

    2 ай бұрын

    😂

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    2 ай бұрын

    Una kichaa

  • @starionwaheron
    @starionwaheron2 ай бұрын

    Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23

  • @oliviersabushimike1124
    @oliviersabushimike11242 ай бұрын

    Wapeleke Congo waende kupambana na M23 ndio watapata ujuzi zaidi

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    2 ай бұрын

    Aswa

  • @ivolinmitambulo312

    @ivolinmitambulo312

    2 ай бұрын

    Mamaeee😂😂

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    WAENDE MARA NGAPI SASA. MBONA HUKO WAPO TANGU 2012 AU HUJUI TANZBAT WEWE..?

  • @MajambereStephen
    @MajambereStephen22 күн бұрын

    Long live Samia

  • @Patrickmulecitizensempowerment
    @PatrickmulecitizensempowermentАй бұрын

    Kujeni training kenya ,the king of defence

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri2 ай бұрын

    Safi sana makomandoo wetu wa TANZANIA

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py2 ай бұрын

    👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    2 ай бұрын

    Ibaliki nini

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee2 ай бұрын

    close-quarters combat 😍😍💥🔥🔥🔥

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma60512 ай бұрын

    😮1980 kizaman sana ..tudili na teknolojia . Askari anajifungua kamba dk 3 😊

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba2 ай бұрын

    Mko juu sana Makamado wetu.

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela67982 ай бұрын

    Wanaitwa WATAALAMU

  • @oneviusonesphory6156
    @oneviusonesphory61562 ай бұрын

    Hongereni vyombo vyote vya ulinzi

  • @samsonkawiche4471

    @samsonkawiche4471

    2 ай бұрын

    😂 Mungu ibariki Africa ibariki Tanzania Amina

  • @mjinjasagamambi7531
    @mjinjasagamambi75312 ай бұрын

    Namuona mdunguaji akinesa kwa umaridadi mkubwa

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n2 ай бұрын

    Mimi maishani mwangu askari kweli wamejitoa kwaajili ya taifa letu si wengine eti anakuja mwanasiasa 😊

  • @mathaa719
    @mathaa7192 ай бұрын

    This is too much luggage for a person to curry incase the aduwei (enemy) comes how do you run for your self 😂😂😂😂

  • @TeitukKipyegon
    @TeitukKipyegon2 ай бұрын

    Kenya is far much ahead military

  • @chage97

    @chage97

    2 ай бұрын

    Kenya is far for what CDF anasafiri bila parachuti

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    @@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania

  • @user-lk6bj8xf7h

    @user-lk6bj8xf7h

    2 ай бұрын

    ​@@EdwardSamson-uf1ee😂😂😂😂

  • @OdangaIsaiah-rh3cm
    @OdangaIsaiah-rh3cmАй бұрын

    Tzd is Doing well

  • @jonasmbwambo3546
    @jonasmbwambo35462 ай бұрын

    Hongereni wanajeshi wetu ila wekeni nguvu kubwa kwenye tecnologia ndipo Dunia ilipo sasaivi

  • @kiregulichorogladys4422
    @kiregulichorogladys44222 ай бұрын

    Hio michezo mpeleke DRC kwa M23 itawafundisha kikomando cha ukweli onground.

  • @ayakoongori4902
    @ayakoongori49022 ай бұрын

    We need a friendly match na tanzania from Uganda

  • @user-yt3wf9uo8e

    @user-yt3wf9uo8e

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @jonasmbwambo3546

    @jonasmbwambo3546

    2 ай бұрын

    So mnataka kulipiza kisasi sio

  • @litimbaify
    @litimbaify2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂kweli ni nchi ya ahadi, sasa maonyesho ya vita inatusaidia nini kwenye nchi yenye changamoto tele za kijamii na uchumi

  • @charlesmaestro1092

    @charlesmaestro1092

    2 ай бұрын

    huna akili na ma imoji yako

  • @litimbaify

    @litimbaify

    2 ай бұрын

    @@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌

  • @OnesmusAkwabi

    @OnesmusAkwabi

    2 ай бұрын

    @@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!! Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!

  • @user-hw1fp6mb4s
    @user-hw1fp6mb4sАй бұрын

    Mpaka mama samia anaogopa jamani comando anatisha sana

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n2 ай бұрын

    Uwo ni Sawa na mchezo warambo

  • @hoseanobocka7140
    @hoseanobocka71402 ай бұрын

    Kwa kweli bei za bidhaa zmepanda bei kupindukia wana nchi watakufa kwa njaa

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 ай бұрын

    Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........ Hatr sanaaaa

  • @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs
    @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs2 ай бұрын

    Najiona apo mm 😊

  • @vannydizz1
    @vannydizz12 ай бұрын

    Huyu si yule muuza nadafu😅😅😅

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    eee bwana😅😅😅

  • @Pakila711
    @Pakila7112 ай бұрын

    Makomando nyumbani sio kwenye uwanja wao vita,

  • @user-gr7jk4vc7f

    @user-gr7jk4vc7f

    2 ай бұрын

    Ulizeni habari zao hapo DRC😂😂😂

  • @JacobJoel-cb3ni
    @JacobJoel-cb3ni2 ай бұрын

    Huyu jamaa nilimuona akiuza madafu ile siku rais alivyofutulisha huyo anayeongea

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    Eee huyoo ni muuza madafu🤣🤣🤣

  • @JonhsonMarius-qg4re
    @JonhsonMarius-qg4re29 күн бұрын

    Awatusaidii chochote kila kitu saiv kinaliwa na wazungu wao wapo tu kupga raia mtoe mama madarakan ametuchosha

  • @3hZakayo
    @3hZakayo2 ай бұрын

    Tupo vzr Tanzania

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige34072 ай бұрын

    Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time, Nani anapigana vita kwa style hii.

  • @enigmachu8983

    @enigmachu8983

    Ай бұрын

    Inaoneka mwenzetu ni muhudhuriaji mzuri wa vita.. 👏🏼👏🏼

  • @nivancewali8192
    @nivancewali81922 ай бұрын

    Hongera Tanzania ❤❤

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    2 ай бұрын

    Akijawaka tungewaona wapo vipi

  • @KhamisAlawi-dp5zw
    @KhamisAlawi-dp5zwАй бұрын

    Mbodi yangumi zakulipwa Tanzania

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db2 ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @kirotostima
    @kirotostima2 ай бұрын

    Congratulations makomandoo wetu

  • @OnesmusAkwabi
    @OnesmusAkwabi2 ай бұрын

    Wawawawa.... Tanzania kweli mko nyuma.

  • @user-qr7et3vl5z

    @user-qr7et3vl5z

    2 ай бұрын

    Acha kukejeli ww nenda we pumbavu zako

  • @OnesmusAkwabi

    @OnesmusAkwabi

    2 ай бұрын

    @@user-qr7et3vl5z hivi vitu mwafanya hapo ukija Kenya ni Grade 4 ndio wafanya hivo wakijifunza Scouting.!!

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian46732 ай бұрын

    Peleka wote Urusi wakaongezee tena maana bado sn.

  • @gideonkipkoech3803
    @gideonkipkoech38032 ай бұрын

    Safi sana

  • @Jacklinjohn-cr4vs
    @Jacklinjohn-cr4vs2 ай бұрын

    Nendeni kwenye mafuliko makubwa tuone kma mnaweza

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣 poor mind

  • @Jacklinjohn-cr4vs

    @Jacklinjohn-cr4vs

    2 ай бұрын

    @@EdwardSamson-uf1ee me or you 😏😏

  • @AndrewmngokeMngoke
    @AndrewmngokeMngoke2 ай бұрын

    Kwahyo mnaonyesha sir ya kivita na plan zenu hadharan. Hii nchi Uhuru umezdi

  • @rogerabdallah439

    @rogerabdallah439

    2 ай бұрын

    Waende Congo 🇨🇩 jamani

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    Hazina effect hizo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 ай бұрын

    Wako Wengine Wanapigwa Mpaka Na Wake Zao2 Lakini Kwakua Wako Na Simu Uruma Ya Mchina Mtu Aoni Asala Kulaumu Kitu Ambacho Ajui Anafanya Nini

  • @MbwaKasala
    @MbwaKasala2 ай бұрын

    Hongereni sana lakini tukae tukijuwa Maisha yamebadilika siku izi vitani hawapigani kwa ngumi

  • @DainessJames

    @DainessJames

    2 ай бұрын

    Kabisa yan unajua nin sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kompyuta tu vita za ngumi zishapitwa na wakati asee tuko kwenye technology

  • @enigmachu8983

    @enigmachu8983

    Ай бұрын

    Je unahis kila mission ni mtatumia technology mwanzo mwisho???

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o2 ай бұрын

    Muungano wa Tanganyika na zanzibar

  • @DullahShop
    @DullahShop2 ай бұрын

    Mama hali ya maisha ngumu huku nje achana na hizo sherehe bas zimetosha

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    2 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-pz5mf7ks9j
    @user-pz5mf7ks9j2 ай бұрын

    Kutuonyesha makomando haina maana kwa sisi wana nchi, punguza bei vyakula tukusifie mama,

  • @VeronicaAdam-lx8yd

    @VeronicaAdam-lx8yd

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂 Nan kakuambia uangalie

  • @user-sl8bu3we1m

    @user-sl8bu3we1m

    2 ай бұрын

    Kalime

  • @user-pz5mf7ks9j

    @user-pz5mf7ks9j

    2 ай бұрын

    Kwa mtazamo wako unaona ilikua na haja yoyote??? Me naona ni upuuzi tu, wana nchi tunateswa na bidhaa zote kupanda bei, hio mm naona ilikua haina haja

  • @user-sl8bu3we1m

    @user-sl8bu3we1m

    2 ай бұрын

    @@user-pz5mf7ks9j hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv39762 ай бұрын

    Na Rais wa Congo yupo hapo😂

  • @richardrichope3528

    @richardrichope3528

    2 ай бұрын

    sasa ulikua unahitaji aje kwenu nyumbani??

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    @@richardrichope3528 🤣🤣🤣🤣

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4392 ай бұрын

    Iyo mizigo ata makuli wanabeba mizigo zaidi ya kilo200

  • @moviedipdozen550

    @moviedipdozen550

    2 ай бұрын

    Those are killing machines

  • @benalex4960
    @benalex49602 ай бұрын

    Hawa wanauawa na allshababu watatu tu

  • @user-kk2fz6en9p

    @user-kk2fz6en9p

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂 daaah ila we jamaa

  • @user-gh4zf7jt2w
    @user-gh4zf7jt2wАй бұрын

    Congo mtapata shida djameni.Mtoke uko mapema!

  • @honestvictory7596
    @honestvictory759629 күн бұрын

    ❤❤

  • @meddyally4416
    @meddyally44162 ай бұрын

    Madafu yapo wapi kaka

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    kwenye mabegi ya makomando

  • @OmarAbdalla-vg1qr
    @OmarAbdalla-vg1qr2 ай бұрын

    Wapelekwe kinuni hao Kama wata toboa itakua wanafaa kupandishwa vyeo

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    2 ай бұрын

    😂kunani uko

  • @johntaji3853
    @johntaji38532 ай бұрын

    Tuombe friends match na urus

  • @dukeonchiri5037
    @dukeonchiri50372 ай бұрын

    Tanzania shukurani kwa umoja wenu kuilinda nchi yenu..... Kenya tuko pamoja

  • @w4058
    @w40582 ай бұрын

    Rambo Doto sio vitanda peke yake kuna maskini za MMungu walopatwa na mafuriko zingepelekwa zote huko wangepata neema kwa Allah kuliko kuharibiwa fedha za wavuja jasho kwa upuuzi wa muungano wenye kulazimishana

  • @georgeouma-kenya1619
    @georgeouma-kenya16192 ай бұрын

    Vita si mchezo hapo hakuna kitu

  • @WilsonKihanga-jb5fb
    @WilsonKihanga-jb5fb2 ай бұрын

    Hapo Rais wa Burundi anawaona kaa wehu flani vile,cz wao washazoea kupigana😂😂😂😂

  • @WingochimpaaNamtema-oo2rt
    @WingochimpaaNamtema-oo2rt2 ай бұрын

    Hya

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian46732 ай бұрын

    MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???

  • @user-cl1rm6mp3b
    @user-cl1rm6mp3b2 ай бұрын

    Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.

  • @user-vl5jj3oq3d
    @user-vl5jj3oq3d2 ай бұрын

    Urusi ndo wazuri hao wengine ni bure kama samia

  • @w4058
    @w40582 ай бұрын

    Kama makomando wa kweli waende kuwapigania wenzao Falestine huko

  • @Allynyange-hw9bq

    @Allynyange-hw9bq

    2 ай бұрын

    Iliiweje sasa

  • @user-sl8bu3we1m

    @user-sl8bu3we1m

    2 ай бұрын

    ​@@Allynyange-hw9bq tuone kama wameiva kweli

  • @Mary-fs4mc

    @Mary-fs4mc

    2 ай бұрын

    Naona umedhamiria kuwaua mazima bila huruma ,Palestine kweliii😂 mbona watakufa kama kuku wakideli.

  • @joachimbaldwin8511

    @joachimbaldwin8511

    2 ай бұрын

    😂😂😂😅😊​@@Mary-fs4mc

  • @joachimbaldwin8511

    @joachimbaldwin8511

    2 ай бұрын

    ​@user-sl8😅😅😂bu3we1m

  • @user-tb4ol6yp6c
    @user-tb4ol6yp6c2 ай бұрын

    Naamini hawa makomando wako imara zaidi ya uwanja wa vita kuliko hata hapa

  • @josephmwangi5644
    @josephmwangi56442 ай бұрын

    Hakuna vita wanaezana wakiwa wamebeba mizigo kama hiyo😂😂

  • @criminalminds7723
    @criminalminds77232 ай бұрын

    Sasa si muombe vita za kirafiki jamani ?

  • @obedingilisho
    @obedingilisho2 ай бұрын

    Ipo. Siku ntakua raisi pia

  • @user-zx5dx5jx2h
    @user-zx5dx5jx2h2 ай бұрын

    Ni kommando ihi ao ni komedy. Afazali ata Burundi.

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4392 ай бұрын

    Uyu jamaa mwenyewe kusoma anabaatisha

  • @athumanijumanne4685

    @athumanijumanne4685

    2 ай бұрын

    Muuza madafu feri

  • @JosephMaganga-wl3cn
    @JosephMaganga-wl3cn2 ай бұрын

    Tanzania nijeshi kubwa

  • @gegerenne897
    @gegerenne8972 ай бұрын

    😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.

  • @JacksonCherk
    @JacksonCherk2 ай бұрын

    Hongera brother

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah70462 ай бұрын

    Hahaha, Bongo movie

  • @safeprint9418
    @safeprint94182 ай бұрын

    huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua

  • @emazacharia4455
    @emazacharia44552 ай бұрын

    Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof38742 ай бұрын

    Hivyo tu kwenye mahonyesho na Congo mnapigwa na waasi M23 . SI muwaonyeshe M23 hizo nguvu zenu?

  • @user-jx9if6cd6t
    @user-jx9if6cd6t2 ай бұрын

    😂😂😂😂haya nimaigizo kama maigizo mengine

  • @AwenaNassor
    @AwenaNassor2 ай бұрын

    Wapelekwe congo or Palestine wakasaidie 😅

  • @mylekaka4630
    @mylekaka46302 ай бұрын

    Tz iko down sanaaa

  • @DainessJames

    @DainessJames

    2 ай бұрын

    😂😂 kabisa yan unajua hayo mambo ni ya kizaman sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kucheza na kompyuta tu

  • @michaelstephano9058
    @michaelstephano90582 ай бұрын

    Kujifanya muuza madafu huku wewe ni komando nikuwatia uchoro tu wa uzamadafu 😂😂

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    HUYO AKIYESHUKA NA KWENYE NDEGE NI KOMANDOO MUUZA MADAFU

  • @SolfaAsegoKE
    @SolfaAsegoKE2 ай бұрын

    Ruto is just wondering about those G4S you are calling Comandos🙃,come and see real Comandos in Kenya.

  • @anoldpotentin2446

    @anoldpotentin2446

    2 ай бұрын

    Embu weka link ya makomando wa Kenya twende tukacheke😂😂KDF SFs ni vichekesho niliona maonesho yenu mnazidiwa hadi na Uganda🙌🙌🙌 mje tuwafundishe kidgo

  • @ibrahlukumbo5907
    @ibrahlukumbo59072 ай бұрын

    Salute huku umeshika bunduki😂😂😂

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    hii mwenyewe nimecheka🤣🤣🤣🤣

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын

    Makomando wanatusaidia nini wakati mafisadi watufilisi watanganyika

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    2 ай бұрын

    😂😂

  • @gabrielsanga5313
    @gabrielsanga53132 ай бұрын

    Muuza madafu yule

  • @iddihussein526
    @iddihussein5262 ай бұрын

    Nimemuona muuza madafu ikulu , kumbe nae nikomando

  • @ayoubmtumishi50

    @ayoubmtumishi50

    2 ай бұрын

    😂😂😂

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    😅😅😅 Ishi na watu vizuri

  • @tuyishimiresaidi5596
    @tuyishimiresaidi55962 ай бұрын

    Izinizongabo zikinyejana

  • @vinny.morales
    @vinny.morales2 ай бұрын

    Muuza madafu ghafla kabadilika komando😂.. nchi ngumu hii

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    😅😅😅😅 hatari

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes2 ай бұрын

    Ata Diamond Alishuka na helicopter pia so akuna kipya hapo cha ajabu

  • @EdwardSamson-uf1ee

    @EdwardSamson-uf1ee

    2 ай бұрын

    Hata Harmonize

  • @jeffowinostv3981
    @jeffowinostv39812 ай бұрын

    Hiyo n show tu wacha reality ifike ndio wote n majeneza

Келесі