.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
Жүктеу.....
Пікірлер: 189
@user-fj5hk5kp7p2 ай бұрын
Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee
@KomboMussa-yy3ru
2 ай бұрын
0:00
@JacksonCherk2 ай бұрын
Safi kaka jack saiv umeongezwa nyita hongera mama anafurah akikutazama
@GodfreyOsward2 ай бұрын
Hongera JWTZ, tukumbuke kwenda na wakati. Technology na AI , ulinzi nawenye
@seneu.21282 ай бұрын
Magufuli alifuta hii sherehe akaagiza pesa zilizotengwa zikapanue barabara ya Mwenge to Morocco dar es salaam..RIP Magu.
@ayoubmtumishi50
2 ай бұрын
Ilikuwa uhuru siyo hii 😢
@PeterJohn-sg4oe
2 ай бұрын
Wewe wa wapi? Barabara ya mwenge imejengwa kwa mkopo wa Japani, mlidanganywa tu
@mpajibinaisa7238
16 күн бұрын
Huo ni uongo magufuli hakuwahi kuingilia shughuli yoyote ya jwtz hao ndio watu aliowaheshimu na aliwapa shavu sana kama unapinga njoo kwa hoja
@seneu.2128
16 күн бұрын
@@mpajibinaisa7238 sikukuu ya Muungano ni ya jwtz? 😂 Kafate ada uliposomea walikuacha ukiwa empty kichwani
@robertmatabalo54542 ай бұрын
Ufahamu mdogo mnacoment upuuzi. Mwananchi smbae hathamini kitu chake amefilisiks akili
@alwiyiynmission28202 ай бұрын
Jaman jaman!!!! Siku hizi vita Sio Kutunisha Misuli. Bali ni Technically, technology skills. Mtu Yupo IRAN ANAPIGA Telaviv
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?
@DainessJames
2 ай бұрын
Kabisa yan unajua nin sa hv vita za ngumi zishapitwa na wakati tuko kwenye technology
@user-gr7jk4vc7f
2 ай бұрын
Hiyo misuli imekatwa na wale muliowaita makunguru😂 Hawa na wa South Africa, wa rundi na .ajeshi wa DRC wakawekwa Kwa sufuriya mojaaa
@AlanWilliam-oq5qz
9 күн бұрын
Ao ni combat ready special force we Bata
@YusufuKihongwe2 ай бұрын
Heshima kwa makomando vizuri sana mwenyezimungu awalinde ❤❤❤
@awadhrajabu14032 ай бұрын
Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi
@user-kk7wd1sm3x2 ай бұрын
Twende mbele turudi nyuma hii mibaba inatisha 😅😅
@ayoubmtumishi502 ай бұрын
Jeshi letu liko vizuri,,, lakini tuonyesheni itakuwaje kama tunapigana na nchi ya mbali zaidi.
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie
@BarakaJebaNgombo2 ай бұрын
Hakuna chochote hapa, Alshabab wawili tu wanaangamiza Tz nzima
@user-lj6ek4tu1t
2 ай бұрын
Nimecheka😅😅😅
@ramadhaniraphael6955
2 ай бұрын
😂
@user-cw8zn2dn6m
2 ай бұрын
Una kichaa
@starionwaheron2 ай бұрын
Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23
@oliviersabushimike11242 ай бұрын
Wapeleke Congo waende kupambana na M23 ndio watapata ujuzi zaidi
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Aswa
@ivolinmitambulo312
2 ай бұрын
Mamaeee😂😂
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
WAENDE MARA NGAPI SASA. MBONA HUKO WAPO TANGU 2012 AU HUJUI TANZBAT WEWE..?
@MajambereStephen22 күн бұрын
Long live Samia
@PatrickmulecitizensempowermentАй бұрын
Kujeni training kenya ,the king of defence
@eradiusdezideri2 ай бұрын
Safi sana makomandoo wetu wa TANZANIA
@elizabetty-rt7py2 ай бұрын
👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Ibaliki nini
@EdwardSamson-uf1ee2 ай бұрын
close-quarters combat 😍😍💥🔥🔥🔥
@robertlinuma60512 ай бұрын
😮1980 kizaman sana ..tudili na teknolojia . Askari anajifungua kamba dk 3 😊
@DevotaIjumba2 ай бұрын
Mko juu sana Makamado wetu.
@venantrugabela67982 ай бұрын
Wanaitwa WATAALAMU
@oneviusonesphory61562 ай бұрын
Hongereni vyombo vyote vya ulinzi
@samsonkawiche4471
2 ай бұрын
😂 Mungu ibariki Africa ibariki Tanzania Amina
@mjinjasagamambi75312 ай бұрын
Namuona mdunguaji akinesa kwa umaridadi mkubwa
@user-sm7gj4mn5n2 ай бұрын
Mimi maishani mwangu askari kweli wamejitoa kwaajili ya taifa letu si wengine eti anakuja mwanasiasa 😊
@mathaa7192 ай бұрын
This is too much luggage for a person to curry incase the aduwei (enemy) comes how do you run for your self 😂😂😂😂
@TeitukKipyegon2 ай бұрын
Kenya is far much ahead military
@chage97
2 ай бұрын
Kenya is far for what CDF anasafiri bila parachuti
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
@@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania
@user-lk6bj8xf7h
2 ай бұрын
@@EdwardSamson-uf1ee😂😂😂😂
@OdangaIsaiah-rh3cmАй бұрын
Tzd is Doing well
@jonasmbwambo35462 ай бұрын
Hongereni wanajeshi wetu ila wekeni nguvu kubwa kwenye tecnologia ndipo Dunia ilipo sasaivi
@kiregulichorogladys44222 ай бұрын
Hio michezo mpeleke DRC kwa M23 itawafundisha kikomando cha ukweli onground.
@ayakoongori49022 ай бұрын
We need a friendly match na tanzania from Uganda
@user-yt3wf9uo8e
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@jonasmbwambo3546
2 ай бұрын
So mnataka kulipiza kisasi sio
@litimbaify2 ай бұрын
😂😂😂😂😂kweli ni nchi ya ahadi, sasa maonyesho ya vita inatusaidia nini kwenye nchi yenye changamoto tele za kijamii na uchumi
@charlesmaestro1092
2 ай бұрын
huna akili na ma imoji yako
@litimbaify
2 ай бұрын
@@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌
@OnesmusAkwabi
2 ай бұрын
@@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!! Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!
@user-hw1fp6mb4sАй бұрын
Mpaka mama samia anaogopa jamani comando anatisha sana
@user-gw4jj5nn2n2 ай бұрын
Uwo ni Sawa na mchezo warambo
@hoseanobocka71402 ай бұрын
Kwa kweli bei za bidhaa zmepanda bei kupindukia wana nchi watakufa kwa njaa
@twaibumikidadi73772 ай бұрын
Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........ Hatr sanaaaa
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs2 ай бұрын
Najiona apo mm 😊
@vannydizz12 ай бұрын
Huyu si yule muuza nadafu😅😅😅
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
eee bwana😅😅😅
@Pakila7112 ай бұрын
Makomando nyumbani sio kwenye uwanja wao vita,
@user-gr7jk4vc7f
2 ай бұрын
Ulizeni habari zao hapo DRC😂😂😂
@JacobJoel-cb3ni2 ай бұрын
Huyu jamaa nilimuona akiuza madafu ile siku rais alivyofutulisha huyo anayeongea
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Eee huyoo ni muuza madafu🤣🤣🤣
@JonhsonMarius-qg4re29 күн бұрын
Awatusaidii chochote kila kitu saiv kinaliwa na wazungu wao wapo tu kupga raia mtoe mama madarakan ametuchosha
@3hZakayo2 ай бұрын
Tupo vzr Tanzania
@ericmoramagige34072 ай бұрын
Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time, Nani anapigana vita kwa style hii.
@enigmachu8983
Ай бұрын
Inaoneka mwenzetu ni muhudhuriaji mzuri wa vita.. 👏🏼👏🏼
@nivancewali81922 ай бұрын
Hongera Tanzania ❤❤
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Akijawaka tungewaona wapo vipi
@KhamisAlawi-dp5zwАй бұрын
Mbodi yangumi zakulipwa Tanzania
@ConfusedFrog-lc9db2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@kirotostima2 ай бұрын
Congratulations makomandoo wetu
@OnesmusAkwabi2 ай бұрын
Wawawawa.... Tanzania kweli mko nyuma.
@user-qr7et3vl5z
2 ай бұрын
Acha kukejeli ww nenda we pumbavu zako
@OnesmusAkwabi
2 ай бұрын
@@user-qr7et3vl5z hivi vitu mwafanya hapo ukija Kenya ni Grade 4 ndio wafanya hivo wakijifunza Scouting.!!
@ausonjustinian46732 ай бұрын
Peleka wote Urusi wakaongezee tena maana bado sn.
@gideonkipkoech38032 ай бұрын
Safi sana
@Jacklinjohn-cr4vs2 ай бұрын
Nendeni kwenye mafuliko makubwa tuone kma mnaweza
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
🤣🤣🤣 poor mind
@Jacklinjohn-cr4vs
2 ай бұрын
@@EdwardSamson-uf1ee me or you 😏😏
@AndrewmngokeMngoke2 ай бұрын
Kwahyo mnaonyesha sir ya kivita na plan zenu hadharan. Hii nchi Uhuru umezdi
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Waende Congo 🇨🇩 jamani
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Hazina effect hizo
@awadhrajabu14032 ай бұрын
Wako Wengine Wanapigwa Mpaka Na Wake Zao2 Lakini Kwakua Wako Na Simu Uruma Ya Mchina Mtu Aoni Asala Kulaumu Kitu Ambacho Ajui Anafanya Nini
@MbwaKasala2 ай бұрын
Hongereni sana lakini tukae tukijuwa Maisha yamebadilika siku izi vitani hawapigani kwa ngumi
@DainessJames
2 ай бұрын
Kabisa yan unajua nin sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kompyuta tu vita za ngumi zishapitwa na wakati asee tuko kwenye technology
@enigmachu8983
Ай бұрын
Je unahis kila mission ni mtatumia technology mwanzo mwisho???
@user-yx3ex4vy7o2 ай бұрын
Muungano wa Tanganyika na zanzibar
@DullahShop2 ай бұрын
Mama hali ya maisha ngumu huku nje achana na hizo sherehe bas zimetosha
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
😂😂😂
@user-pz5mf7ks9j2 ай бұрын
Kutuonyesha makomando haina maana kwa sisi wana nchi, punguza bei vyakula tukusifie mama,
@VeronicaAdam-lx8yd
2 ай бұрын
😂😂😂😂 Nan kakuambia uangalie
@user-sl8bu3we1m
2 ай бұрын
Kalime
@user-pz5mf7ks9j
2 ай бұрын
Kwa mtazamo wako unaona ilikua na haja yoyote??? Me naona ni upuuzi tu, wana nchi tunateswa na bidhaa zote kupanda bei, hio mm naona ilikua haina haja
@user-sl8bu3we1m
2 ай бұрын
@@user-pz5mf7ks9j hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .
@maishacenter-eastafricatv39762 ай бұрын
Na Rais wa Congo yupo hapo😂
@richardrichope3528
2 ай бұрын
sasa ulikua unahitaji aje kwenu nyumbani??
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
@@richardrichope3528 🤣🤣🤣🤣
@rogerabdallah4392 ай бұрын
Iyo mizigo ata makuli wanabeba mizigo zaidi ya kilo200
@moviedipdozen550
2 ай бұрын
Those are killing machines
@benalex49602 ай бұрын
Hawa wanauawa na allshababu watatu tu
@user-kk2fz6en9p
2 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah ila we jamaa
@user-gh4zf7jt2wАй бұрын
Congo mtapata shida djameni.Mtoke uko mapema!
@honestvictory759629 күн бұрын
❤❤
@meddyally44162 ай бұрын
Madafu yapo wapi kaka
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
kwenye mabegi ya makomando
@OmarAbdalla-vg1qr2 ай бұрын
Wapelekwe kinuni hao Kama wata toboa itakua wanafaa kupandishwa vyeo
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
😂kunani uko
@johntaji38532 ай бұрын
Tuombe friends match na urus
@dukeonchiri50372 ай бұрын
Tanzania shukurani kwa umoja wenu kuilinda nchi yenu..... Kenya tuko pamoja
@w40582 ай бұрын
Rambo Doto sio vitanda peke yake kuna maskini za MMungu walopatwa na mafuriko zingepelekwa zote huko wangepata neema kwa Allah kuliko kuharibiwa fedha za wavuja jasho kwa upuuzi wa muungano wenye kulazimishana
@georgeouma-kenya16192 ай бұрын
Vita si mchezo hapo hakuna kitu
@WilsonKihanga-jb5fb2 ай бұрын
Hapo Rais wa Burundi anawaona kaa wehu flani vile,cz wao washazoea kupigana😂😂😂😂
@WingochimpaaNamtema-oo2rt2 ай бұрын
Hya
@ausonjustinian46732 ай бұрын
MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???
@user-cl1rm6mp3b2 ай бұрын
Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.
@user-vl5jj3oq3d2 ай бұрын
Urusi ndo wazuri hao wengine ni bure kama samia
@w40582 ай бұрын
Kama makomando wa kweli waende kuwapigania wenzao Falestine huko
@Allynyange-hw9bq
2 ай бұрын
Iliiweje sasa
@user-sl8bu3we1m
2 ай бұрын
@@Allynyange-hw9bq tuone kama wameiva kweli
@Mary-fs4mc
2 ай бұрын
Naona umedhamiria kuwaua mazima bila huruma ,Palestine kweliii😂 mbona watakufa kama kuku wakideli.
@joachimbaldwin8511
2 ай бұрын
😂😂😂😅😊@@Mary-fs4mc
@joachimbaldwin8511
2 ай бұрын
@user-sl8😅😅😂bu3we1m
@user-tb4ol6yp6c2 ай бұрын
Naamini hawa makomando wako imara zaidi ya uwanja wa vita kuliko hata hapa
@josephmwangi56442 ай бұрын
Hakuna vita wanaezana wakiwa wamebeba mizigo kama hiyo😂😂
@criminalminds77232 ай бұрын
Sasa si muombe vita za kirafiki jamani ?
@obedingilisho2 ай бұрын
Ipo. Siku ntakua raisi pia
@user-zx5dx5jx2h2 ай бұрын
Ni kommando ihi ao ni komedy. Afazali ata Burundi.
@rogerabdallah4392 ай бұрын
Uyu jamaa mwenyewe kusoma anabaatisha
@athumanijumanne4685
2 ай бұрын
Muuza madafu feri
@JosephMaganga-wl3cn2 ай бұрын
Tanzania nijeshi kubwa
@gegerenne8972 ай бұрын
😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.
@JacksonCherk2 ай бұрын
Hongera brother
@laurencematitah70462 ай бұрын
Hahaha, Bongo movie
@safeprint94182 ай бұрын
huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua
@emazacharia44552 ай бұрын
Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya
@lukafbbwebelof38742 ай бұрын
Hivyo tu kwenye mahonyesho na Congo mnapigwa na waasi M23 . SI muwaonyeshe M23 hizo nguvu zenu?
@user-jx9if6cd6t2 ай бұрын
😂😂😂😂haya nimaigizo kama maigizo mengine
@AwenaNassor2 ай бұрын
Wapelekwe congo or Palestine wakasaidie 😅
@mylekaka46302 ай бұрын
Tz iko down sanaaa
@DainessJames
2 ай бұрын
😂😂 kabisa yan unajua hayo mambo ni ya kizaman sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kucheza na kompyuta tu
@michaelstephano90582 ай бұрын
Kujifanya muuza madafu huku wewe ni komando nikuwatia uchoro tu wa uzamadafu 😂😂
@OmanOman-dn6djАй бұрын
HUYO AKIYESHUKA NA KWENYE NDEGE NI KOMANDOO MUUZA MADAFU
@SolfaAsegoKE2 ай бұрын
Ruto is just wondering about those G4S you are calling Comandos🙃,come and see real Comandos in Kenya.
@anoldpotentin2446
2 ай бұрын
Embu weka link ya makomando wa Kenya twende tukacheke😂😂KDF SFs ni vichekesho niliona maonesho yenu mnazidiwa hadi na Uganda🙌🙌🙌 mje tuwafundishe kidgo
@ibrahlukumbo59072 ай бұрын
Salute huku umeshika bunduki😂😂😂
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
hii mwenyewe nimecheka🤣🤣🤣🤣
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
Makomando wanatusaidia nini wakati mafisadi watufilisi watanganyika
Пікірлер: 189
Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee
@KomboMussa-yy3ru
2 ай бұрын
0:00
Safi kaka jack saiv umeongezwa nyita hongera mama anafurah akikutazama
Hongera JWTZ, tukumbuke kwenda na wakati. Technology na AI , ulinzi nawenye
Magufuli alifuta hii sherehe akaagiza pesa zilizotengwa zikapanue barabara ya Mwenge to Morocco dar es salaam..RIP Magu.
@ayoubmtumishi50
2 ай бұрын
Ilikuwa uhuru siyo hii 😢
@PeterJohn-sg4oe
2 ай бұрын
Wewe wa wapi? Barabara ya mwenge imejengwa kwa mkopo wa Japani, mlidanganywa tu
@mpajibinaisa7238
16 күн бұрын
Huo ni uongo magufuli hakuwahi kuingilia shughuli yoyote ya jwtz hao ndio watu aliowaheshimu na aliwapa shavu sana kama unapinga njoo kwa hoja
@seneu.2128
16 күн бұрын
@@mpajibinaisa7238 sikukuu ya Muungano ni ya jwtz? 😂 Kafate ada uliposomea walikuacha ukiwa empty kichwani
Ufahamu mdogo mnacoment upuuzi. Mwananchi smbae hathamini kitu chake amefilisiks akili
Jaman jaman!!!! Siku hizi vita Sio Kutunisha Misuli. Bali ni Technically, technology skills. Mtu Yupo IRAN ANAPIGA Telaviv
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?
@DainessJames
2 ай бұрын
Kabisa yan unajua nin sa hv vita za ngumi zishapitwa na wakati tuko kwenye technology
@user-gr7jk4vc7f
2 ай бұрын
Hiyo misuli imekatwa na wale muliowaita makunguru😂 Hawa na wa South Africa, wa rundi na .ajeshi wa DRC wakawekwa Kwa sufuriya mojaaa
@AlanWilliam-oq5qz
9 күн бұрын
Ao ni combat ready special force we Bata
Heshima kwa makomando vizuri sana mwenyezimungu awalinde ❤❤❤
Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi
Twende mbele turudi nyuma hii mibaba inatisha 😅😅
Jeshi letu liko vizuri,,, lakini tuonyesheni itakuwaje kama tunapigana na nchi ya mbali zaidi.
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie
Hakuna chochote hapa, Alshabab wawili tu wanaangamiza Tz nzima
@user-lj6ek4tu1t
2 ай бұрын
Nimecheka😅😅😅
@ramadhaniraphael6955
2 ай бұрын
😂
@user-cw8zn2dn6m
2 ай бұрын
Una kichaa
Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23
Wapeleke Congo waende kupambana na M23 ndio watapata ujuzi zaidi
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Aswa
@ivolinmitambulo312
2 ай бұрын
Mamaeee😂😂
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
WAENDE MARA NGAPI SASA. MBONA HUKO WAPO TANGU 2012 AU HUJUI TANZBAT WEWE..?
Long live Samia
Kujeni training kenya ,the king of defence
Safi sana makomandoo wetu wa TANZANIA
👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Ibaliki nini
close-quarters combat 😍😍💥🔥🔥🔥
😮1980 kizaman sana ..tudili na teknolojia . Askari anajifungua kamba dk 3 😊
Mko juu sana Makamado wetu.
Wanaitwa WATAALAMU
Hongereni vyombo vyote vya ulinzi
@samsonkawiche4471
2 ай бұрын
😂 Mungu ibariki Africa ibariki Tanzania Amina
Namuona mdunguaji akinesa kwa umaridadi mkubwa
Mimi maishani mwangu askari kweli wamejitoa kwaajili ya taifa letu si wengine eti anakuja mwanasiasa 😊
This is too much luggage for a person to curry incase the aduwei (enemy) comes how do you run for your self 😂😂😂😂
Kenya is far much ahead military
@chage97
2 ай бұрын
Kenya is far for what CDF anasafiri bila parachuti
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
@@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania
@user-lk6bj8xf7h
2 ай бұрын
@@EdwardSamson-uf1ee😂😂😂😂
Tzd is Doing well
Hongereni wanajeshi wetu ila wekeni nguvu kubwa kwenye tecnologia ndipo Dunia ilipo sasaivi
Hio michezo mpeleke DRC kwa M23 itawafundisha kikomando cha ukweli onground.
We need a friendly match na tanzania from Uganda
@user-yt3wf9uo8e
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@jonasmbwambo3546
2 ай бұрын
So mnataka kulipiza kisasi sio
😂😂😂😂😂kweli ni nchi ya ahadi, sasa maonyesho ya vita inatusaidia nini kwenye nchi yenye changamoto tele za kijamii na uchumi
@charlesmaestro1092
2 ай бұрын
huna akili na ma imoji yako
@litimbaify
2 ай бұрын
@@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌
@OnesmusAkwabi
2 ай бұрын
@@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!! Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!
Mpaka mama samia anaogopa jamani comando anatisha sana
Uwo ni Sawa na mchezo warambo
Kwa kweli bei za bidhaa zmepanda bei kupindukia wana nchi watakufa kwa njaa
Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........ Hatr sanaaaa
Najiona apo mm 😊
Huyu si yule muuza nadafu😅😅😅
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
eee bwana😅😅😅
Makomando nyumbani sio kwenye uwanja wao vita,
@user-gr7jk4vc7f
2 ай бұрын
Ulizeni habari zao hapo DRC😂😂😂
Huyu jamaa nilimuona akiuza madafu ile siku rais alivyofutulisha huyo anayeongea
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Eee huyoo ni muuza madafu🤣🤣🤣
Awatusaidii chochote kila kitu saiv kinaliwa na wazungu wao wapo tu kupga raia mtoe mama madarakan ametuchosha
Tupo vzr Tanzania
Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time, Nani anapigana vita kwa style hii.
@enigmachu8983
Ай бұрын
Inaoneka mwenzetu ni muhudhuriaji mzuri wa vita.. 👏🏼👏🏼
Hongera Tanzania ❤❤
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Akijawaka tungewaona wapo vipi
Mbodi yangumi zakulipwa Tanzania
🎉🎉🎉
Congratulations makomandoo wetu
Wawawawa.... Tanzania kweli mko nyuma.
@user-qr7et3vl5z
2 ай бұрын
Acha kukejeli ww nenda we pumbavu zako
@OnesmusAkwabi
2 ай бұрын
@@user-qr7et3vl5z hivi vitu mwafanya hapo ukija Kenya ni Grade 4 ndio wafanya hivo wakijifunza Scouting.!!
Peleka wote Urusi wakaongezee tena maana bado sn.
Safi sana
Nendeni kwenye mafuliko makubwa tuone kma mnaweza
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
🤣🤣🤣 poor mind
@Jacklinjohn-cr4vs
2 ай бұрын
@@EdwardSamson-uf1ee me or you 😏😏
Kwahyo mnaonyesha sir ya kivita na plan zenu hadharan. Hii nchi Uhuru umezdi
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Waende Congo 🇨🇩 jamani
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Hazina effect hizo
Wako Wengine Wanapigwa Mpaka Na Wake Zao2 Lakini Kwakua Wako Na Simu Uruma Ya Mchina Mtu Aoni Asala Kulaumu Kitu Ambacho Ajui Anafanya Nini
Hongereni sana lakini tukae tukijuwa Maisha yamebadilika siku izi vitani hawapigani kwa ngumi
@DainessJames
2 ай бұрын
Kabisa yan unajua nin sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kompyuta tu vita za ngumi zishapitwa na wakati asee tuko kwenye technology
@enigmachu8983
Ай бұрын
Je unahis kila mission ni mtatumia technology mwanzo mwisho???
Muungano wa Tanganyika na zanzibar
Mama hali ya maisha ngumu huku nje achana na hizo sherehe bas zimetosha
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
😂😂😂
Kutuonyesha makomando haina maana kwa sisi wana nchi, punguza bei vyakula tukusifie mama,
@VeronicaAdam-lx8yd
2 ай бұрын
😂😂😂😂 Nan kakuambia uangalie
@user-sl8bu3we1m
2 ай бұрын
Kalime
@user-pz5mf7ks9j
2 ай бұрын
Kwa mtazamo wako unaona ilikua na haja yoyote??? Me naona ni upuuzi tu, wana nchi tunateswa na bidhaa zote kupanda bei, hio mm naona ilikua haina haja
@user-sl8bu3we1m
2 ай бұрын
@@user-pz5mf7ks9j hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .
Na Rais wa Congo yupo hapo😂
@richardrichope3528
2 ай бұрын
sasa ulikua unahitaji aje kwenu nyumbani??
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
@@richardrichope3528 🤣🤣🤣🤣
Iyo mizigo ata makuli wanabeba mizigo zaidi ya kilo200
@moviedipdozen550
2 ай бұрын
Those are killing machines
Hawa wanauawa na allshababu watatu tu
@user-kk2fz6en9p
2 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah ila we jamaa
Congo mtapata shida djameni.Mtoke uko mapema!
❤❤
Madafu yapo wapi kaka
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
kwenye mabegi ya makomando
Wapelekwe kinuni hao Kama wata toboa itakua wanafaa kupandishwa vyeo
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
😂kunani uko
Tuombe friends match na urus
Tanzania shukurani kwa umoja wenu kuilinda nchi yenu..... Kenya tuko pamoja
Rambo Doto sio vitanda peke yake kuna maskini za MMungu walopatwa na mafuriko zingepelekwa zote huko wangepata neema kwa Allah kuliko kuharibiwa fedha za wavuja jasho kwa upuuzi wa muungano wenye kulazimishana
Vita si mchezo hapo hakuna kitu
Hapo Rais wa Burundi anawaona kaa wehu flani vile,cz wao washazoea kupigana😂😂😂😂
Hya
MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???
Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.
Urusi ndo wazuri hao wengine ni bure kama samia
Kama makomando wa kweli waende kuwapigania wenzao Falestine huko
@Allynyange-hw9bq
2 ай бұрын
Iliiweje sasa
@user-sl8bu3we1m
2 ай бұрын
@@Allynyange-hw9bq tuone kama wameiva kweli
@Mary-fs4mc
2 ай бұрын
Naona umedhamiria kuwaua mazima bila huruma ,Palestine kweliii😂 mbona watakufa kama kuku wakideli.
@joachimbaldwin8511
2 ай бұрын
😂😂😂😅😊@@Mary-fs4mc
@joachimbaldwin8511
2 ай бұрын
@user-sl8😅😅😂bu3we1m
Naamini hawa makomando wako imara zaidi ya uwanja wa vita kuliko hata hapa
Hakuna vita wanaezana wakiwa wamebeba mizigo kama hiyo😂😂
Sasa si muombe vita za kirafiki jamani ?
Ipo. Siku ntakua raisi pia
Ni kommando ihi ao ni komedy. Afazali ata Burundi.
Uyu jamaa mwenyewe kusoma anabaatisha
@athumanijumanne4685
2 ай бұрын
Muuza madafu feri
Tanzania nijeshi kubwa
😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.
Hongera brother
Hahaha, Bongo movie
huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua
Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya
Hivyo tu kwenye mahonyesho na Congo mnapigwa na waasi M23 . SI muwaonyeshe M23 hizo nguvu zenu?
😂😂😂😂haya nimaigizo kama maigizo mengine
Wapelekwe congo or Palestine wakasaidie 😅
Tz iko down sanaaa
@DainessJames
2 ай бұрын
😂😂 kabisa yan unajua hayo mambo ni ya kizaman sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kucheza na kompyuta tu
Kujifanya muuza madafu huku wewe ni komando nikuwatia uchoro tu wa uzamadafu 😂😂
HUYO AKIYESHUKA NA KWENYE NDEGE NI KOMANDOO MUUZA MADAFU
Ruto is just wondering about those G4S you are calling Comandos🙃,come and see real Comandos in Kenya.
@anoldpotentin2446
2 ай бұрын
Embu weka link ya makomando wa Kenya twende tukacheke😂😂KDF SFs ni vichekesho niliona maonesho yenu mnazidiwa hadi na Uganda🙌🙌🙌 mje tuwafundishe kidgo
Salute huku umeshika bunduki😂😂😂
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
hii mwenyewe nimecheka🤣🤣🤣🤣
Makomando wanatusaidia nini wakati mafisadi watufilisi watanganyika
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
😂😂
Muuza madafu yule
Nimemuona muuza madafu ikulu , kumbe nae nikomando
@ayoubmtumishi50
2 ай бұрын
😂😂😂
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
😅😅😅 Ishi na watu vizuri
Izinizongabo zikinyejana
Muuza madafu ghafla kabadilika komando😂.. nchi ngumu hii
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
😅😅😅😅 hatari
Ata Diamond Alishuka na helicopter pia so akuna kipya hapo cha ajabu
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Hata Harmonize
Hiyo n show tu wacha reality ifike ndio wote n majeneza