TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU FPCT NYASHO MUSOMA P2
Kanisa la FPCT NYASHO MUSOMA linapenda kuwakaribisha watu wote walioko Musoma na maeneo ya yote ya jirani kwenye tamasha la kusifu na kuabudu lililoandaliwa naTimu ya kusifu na kuabudu litakalofanyika katika kanisa hilo.
Kwaya, Band na mtu mmoja mmoja mnaaribishwa
Пікірлер: 3
🔥🔥
Hakika umefanya kitu kikubwa sana mdogo wangu, Mungu aibariki ndoto yako..,
@ASTUDIOSTZ
2 жыл бұрын
Amina sana