We provide Best Photography, Videography and Live Streaming services for Wedding, Graduation, Burial Ceremonies and Other Events
We Create Business Social Media Acounts like Instagram, Facebook, KZread Channel (Online TV) for your Business and we advice on how you can reach to more audience or customers
We also design
1. Posters
2. Logo
3. Flayers
We are located at Musoma in Mara Region.
Contact Us +255 758 240 160
Пікірлер
gonga like Kama unaskiliza 2024
Nawapenda sana hivi mukowapi jameni 😢
1998 kagongwa kahama hiyo
Mbarikiwe sana wapendwa
Upanga wa zamani makali yale yale
Hakika nimekumbuka ukuu wa Mungu
2024 still watching
Je nikweli hii kwaya ilikuwa nawakimbizi wa vita ya burundi ya mwaka 1993?
The golden voice when gospel melodies was still
Hivi Hawa waimbaji WA siku hizi hawajifinzagi Kwa Hawa????Mimi ni kijana mdogo sana miaka 31 now ila kusema kweli hizi ndio nyimbo zangu,waliimba ujumbe WA MUNGU na walitulia mno achana na Hawa WA siku hizi,Kam tuko pamoja hadi sahv 2023 naomba like Yako hapa
🎉🎉🎉🎉pokea kongole
Gonga likes kma Bado unasikiliza 2023
This gospel was dope
Wakati nzuri
Yuko vizuri sana
Mungu uwali Nde waimbajihawa nauwazidishie maishamalefu kwauwezowamungu tutaonana skuyamwisho, hakika Tanzania tutawamis sana mlitisha sana popote mlipo Tanzania tunawakumbuka sana, amina
Barikiwa sana
Hongera mtumishi kwa hatua hii
Mungu ni mwema Kila wakati
Nyimbo hizi zinanibariki, ni za kitambo bt hazichakai ziko na msg
Nitapata wapi wanawake kama hawa wenye maadili nimuoe maana ktk kizazi hiki sijaona
Muombe Mungu kaka wapo tayari kwa ajiri yako kama ukiomba
Nawapenda sana
When are as so young at four
Bado tunabarikiwa 2023❤
In 2023 still one of the bests
2022 bado tunabalikwa kwa jina la yesu ! Nyimbo nzuli sana
Kama bado upo watamkie neno waimbaji hawa
I love the song
Mubarikiwe waimbaji kwanyimbo zenye upako
I love zilizopendwa was inspired.
God bless this Barbara 13 choir.You are ablessing to many
Such a blessing voice
Ya kale ni dhahabu barikiwa Sana ulyankuru
Best of the best, cannot stop listening to this!
Hakika umefanya kitu kikubwa sana mdogo wangu, Mungu aibariki ndoto yako..,
Amina sana
🔥🔥
Mwenyezi Mungu awaongezeyeni nguvu
Asante
Amina mungu azidi kuwalinda nakuwabark popote pale mulipo
If your still listening to this song in 2022 hit the like button
Great lesson
Ninampenda ninamwamini pia.
Hongera sana mkamwana unechagua fungu lililo bora. Mwenyezi Mungu akuinuwe kwa kiwango cha juu.
Benson from Kenya(leave the song)
The song we will listen until we die
Mungu akuinue sana mtumishi,
Amina sana
Powerfully
Mubarkiweeeeéee🇧🇮
Bringing up childhood memories. Old is gold!
Good
😥😥😥😥i love this song it touches my heart kila napo sikia
Good song