Praise and Worship FPCT NYASHO 2022

Mchungaji George Mambile wa kanisa la FPCT Nyasho anayofuraha kuwakaribisha watu wote walioko Maeneo ya Musoma na maeneo ya jirani katika ibada za kanisa hilo zinazofanyika Jumatano na Ijumaa saa kumi hadi kumi na mbili jioni na Jumapili saa tatu asubuhi hadi saa sita na nusu Mchana
Karibuni Wote

Пікірлер: 1

  • @user-zq4qh9dd8m
    @user-zq4qh9dd8m2 ай бұрын

    Mbarikiwe sana wapendwa