Praise and Worship FPCT NYASHO 2022
Mchungaji George Mambile wa kanisa la FPCT Nyasho anayofuraha kuwakaribisha watu wote walioko Maeneo ya Musoma na maeneo ya jirani katika ibada za kanisa hilo zinazofanyika Jumatano na Ijumaa saa kumi hadi kumi na mbili jioni na Jumapili saa tatu asubuhi hadi saa sita na nusu Mchana
Karibuni Wote
Пікірлер: 1
Mbarikiwe sana wapendwa