SWALI KUU KUHUSU UUNGU WA YESU, LAJIBIWA NA QURAN, WAISLAMU WAPIGWA BUTWAA-16-5-2024

Uungu wa Yesu, haujidhihirishi tu kwa maaandiko yanayoelezea sifa Zake, bali pia huonesha na utendaji wake wa Kiungu, kubwa katika yote ni sifa kuu ya Mwenyezi Mungu ya uumbaji. Biblia na Quran zinaiweka wazi sifa hii. Karibu tujifunze.

Пікірлер: 191

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6vАй бұрын

    Yoh 1:18,lsay 9:6-7;Mt 28:18-20,lkor 15:20-28. Haya yanatosha ;kama huwezi kuamini huwezi kuelewa Uungu wa Yesu Nafsi tatu za Mungu.1Yoh 5:8.Yoh 5:26.Rum 1:18-32.Amen

  • @SaleheKijazy
    @SaleheKijazy2 ай бұрын

    Eti yasua. Jamani Bora uwe chizi kuliko mkristo haki ya mungu. Naji vunia kuwa muislamu. Alie lala kwenye kristo ame potea

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    Hee Majini yale ndo mnayasifia??Bora nimfuate Yesu hakuna mahangaiko kabisa,Siwezi fuata Ng'ombe au mtu mfu na Huku sijui atarudi lini??Lakin Yesu yu Hai Hapo ninauhakika

  • @yohana1242
    @yohana12422 ай бұрын

    Karudi kwa Nabii isaa ni kwasabab kuna kazi hajaimaliz anakuja kwa wale wanaomuamini tofauti wanaosem yesu ni mungu wengine wanaosem ni mwana wa mungu kwaio sis waisilam hatun wasiwas yesu anakuja kumalizia kiporo chake na kummaliz masihidajal

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6cАй бұрын

    kwaiyo hao watatu mungu ni yupi yeso baba au nwana

  • @rogerssimon9517
    @rogerssimon95172 ай бұрын

    Mwalimu mungu akubariki sana pia kuna kitabu sijui buhar inasema isa ni roho wa mungu.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Hiyo imetoka kwenye Quran. Quran ni kuu zaidi kuliko Bukhari

  • @yohana1242

    @yohana1242

    2 ай бұрын

    Ni roho kutoka kwa mungu Sio roho wa mungu acha upumbav😂

  • @saidichemasuet

    @saidichemasuet

    Ай бұрын

    Yesu aliuliza kuhusu mwiso ya duniya akasema sijui na je neno lako ni mutu na aliye mutuma malaika ninani je ni mungu ama yesu na aliye simama mukono wakulia wa mungu nini alafu aliomba aliomba nani

  • @ashrafnuru6402
    @ashrafnuru640226 күн бұрын

    Yaaan Bibilia itachanganya mpaka siku ya kiama huku mungu, huku mwana wa mungu,

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6vАй бұрын

    Uko sawa,na watu wa njia hiyo waweza kuwaona Mith 30:11-14; 2Thes 2:2-12.Amen

  • @HerveMwamba-so1jy
    @HerveMwamba-so1jy2 ай бұрын

    Asantemwalimudanyele.kutufundicha.neno.nimimi.mugisa.kutoka.kongo

  • @saidichemasuet
    @saidichemasuetАй бұрын

    Je mungu nimwana kondoo

  • @veromosha9090
    @veromosha90902 ай бұрын

    Woooooow,mwalimu unaubariki moyo wangu sanaaaaa

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah84562 ай бұрын

    Yesu siyo Mungu wala.siyo mwana wa Mungu hacheni kudanganya watu

  • @saidichemasuet
    @saidichemasuetАй бұрын

    Yesu simungu

  • @yohana1242
    @yohana12422 ай бұрын

    Ukafiri wa wakiristo ni kumkana mtume na kumpa uungu yesu mtume wa mungu

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69562 ай бұрын

    Mungu hawezi kuumba Mungu.

  • @saidichemasuet
    @saidichemasuetАй бұрын

    Enoka ako binguni je yeye pia ni mungu na elisha ako binguni yeye pia nimungu

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36342 ай бұрын

    Haki ilivyo ni kuwa Yesu si Mungu, ispokuwa kwa ile miujiza aliyopewa na Mungu, wachache wakatokea kumwona ni Mungu. Kisha wakaongezeka hadi leo, makini wanaois ema. Yesu ni Mungu, hawana ukweli wala ushahidi. Ni sawa sawa miongoni mwetu waislamu wanaosema MAULID yafaa isomwe na wengine wasema haimo kwenye taratibu ndani ya uislamu. Makini yote hayo ounde si punde ukweli unakuja kutokana kwa Mwenyezi Mungu .

  • @nehemiaayo9527

    @nehemiaayo9527

    2 ай бұрын

    Kwanini mnasema tukamswaliye mtume na siyo Mungu

  • @saidichemasuet
    @saidichemasuetАй бұрын

    Na yesu anasema nilitumwa kwa waiziraili peke yao nanikatuma mungu

  • @yohana1242
    @yohana12422 ай бұрын

    Ushasema hujui kusoma wala kuandik kwaio mtu wa kawaid tu bila mtume au Nabii hawezi kukariri

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6cАй бұрын

    kwani yesu kasema mimi mungu mniabudu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa22582 ай бұрын

    YESU ANAUMIZA SANA VICHWA VYA WATU. YAANI KWA AKILI ZA KIBINADAMU TU HUWEZI KUMWELEWA? MAMBO YA YESU HUTAULIWA NA WATU WA ROHONI TU.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    Hakika Walio mwilini waacheni waendelee na Majini yao jamani

  • @vincentdaud9954
    @vincentdaud99542 ай бұрын

    Mwl nakupenda sana

  • @husseinothman1257
    @husseinothman12572 ай бұрын

    Daniel acha kujitia upofu aya ulizosoma zote zimejitosheleza kwamba yote aliyofanya yesu yamefanyika kwa idhini yaani kwa ruhusa ya Mwenyezi mungu ili wamuamini ametoka kwake Allah au Yehofa au vile unavyojua.

  • @joramsengi9123

    @joramsengi9123

    2 ай бұрын

    Mungu anaweza mpa sifa zake mwanadamu ?

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc2 ай бұрын

    Muhmadi na mitume wengine Mungu amewaacha wale bata ndio kamteuwa yesu aje kumuhukumu nabii WA ongo YAANI masihii dajali.

  • @Adoullahsal
    @Adoullahsal2 ай бұрын

    Yesu si mungu jameni Bali mwana wa mungu, acheni kujivuruga bure.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Mungu ni nani?

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    2 ай бұрын

    ​@@BAYYINATDMTVSoma Surah Ikhlas

  • @ashrafnuru6402

    @ashrafnuru6402

    26 күн бұрын

    Kweli bibilia ni mkusanyiko wa vitabu ndo maana inawachanganya, maana mmekusanya vya mungu na vya watu mtachnganyikiwa mpaka siku ya kiama quran imeshuka kunyoosha maelezo mnaikataa kaeni hukohuko mtakuja jua kumchezea Mungu

  • @deusNjimba
    @deusNjimba2 ай бұрын

    Wamekalilishwa Mohamed awe mkuu. Kuliko yesu Hawawanaelimu mdogo wafundishe

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73382 ай бұрын

    Walimu ni wengi, tunamshukuru Mungu kwa hilo. Mwalimu Daniel ni mmoja wao, ni hazina kubwa. Mungu akulinde, akupe afya njema na umri mrefu kukamilisha kusudi la Mungu. Nimeelewa sana somo hili.

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    2 ай бұрын

    Sema sisi baazi ya wakiristo ndio mnaamini yesu NI Mungu mashahidi hawaamini yesu NI Mungu.na juzi MZEE WA upako amevunja ukimya yesu sio Mungu.

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    ​​@@HamisAbdallah-cj2scKuamini au kutokuamini hakubadili ukweli. Aya Zimesomwa na Mwankemwa hapa kuthibitisha Uungu wa Yesu kwa maandiko na utendaji wa Yesu. Mzee wa upako hakutoa hata aya moja kusapoti hoja yake. Ni mlevi tu yule, hata usimshabikie kuna siku atamtukana hata mtume wako.

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    @@HamisAbdallah-cj2sc lusekelo ilishahasi imani,wala huyo hatusumbui na bado atajisajili kwenu.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    2 ай бұрын

    YESU (PBUH) ASIPOTOSHWE KUWA MUNGU KWA KUUMBA NDEGE ​@daudimichael7338 Hiyo Aya aliyosoma kuwa Yesu alifanya miujiza ya ndege kwa ADHINI ya Allah (Mwenyenzi Mungu) ni Sahihi. Lakini kwa Tafsiri yake, Mungu AMEMSHIRIKISHA Yesu. Huku ni Kuwapotosha wale Kondoo waliopotea. (Mateyo 15:24). Ni sahihi kuwa Miujiza ya Yesu KUUMBA NDEGE kwa IDHINI ya Allah haiko kwenye Biblia. Anapotosha kusema Yesu ni Mungu kwa SIFA YA KUUMBA. Kwenye Qur'an Mtume Ibrahim (pbuh) na yeye ALIUMBWA NDEGE WANNE (Sio mmoja kama Yesu) kwa IDHINI YA MUNGU (Qur'an; 2:260). Kwa mantiki hiyo, jee Mtume Ibrahim (pbuh) na yeye Mungu au si Mungu kwa sababu si Yesu?

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    2 ай бұрын

    @@odilomwemeziernest646 Yako maandiko maelfu yakutosha kuonyesha Yesu sio MUNGU bali ni mtumwa Wa MUNGU, na nabii tu, Mfano Soma Yohana 12:50,Yesu anasema anajua agizo lake MUNGU ni uzima Wa milele, Basi ninenayo mimi, Kama Baba alivyoniambia, Ndivyo ninenavyo, Pia Soma andiko hili katika Yohana 6:29,Katika andiko hili Yesu anakiri yeye ni mtumwa Wa MUNGU, Anasema, Yesu akajibu akawaambia, Hii ndio kazi ya MUNGU, Mwaminini alietumwa na yeye. Pia Yesu anaendelea kusema maneno yote aliyofundisha yalitoka kwa MUNGU, Yohana 17:7,Yesu anasema sasa wamejua yote uliyonipa yatoka kwako. Yeye Yesu kwa mdomo wake na moyo wake anajua ni mtumwa Wa MUNGU tu si vinginevyo, Yohana 17:8,Kwakuwa maneno uliyonipa nimewapa wao, Nao wameyapokea, Wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, Wakasadiki ya kwamba Wewe ndiye ulie nituma. Sasa wakristo Mtuambie haya maandiko ni Kweli au uongo, Kama ni Kweli jee ni Kweli yeye mwenyewe ndie alie ongea. Aje mkristo apinge maandiko hayo. Alafu Jisomeeni enyi wakristo Mtapotea kwa kukosa maarifa.

  • @ashurachanyoya5864
    @ashurachanyoya58642 ай бұрын

    Anashangaa yesu kazaliwa bila baba Adam hana baba wala mama na sio mungu

  • @user-hp6gz6ln4k

    @user-hp6gz6ln4k

    2 ай бұрын

    Je Adam alikuwapo kabla Dunia aijaumbwa 😅

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial16292 ай бұрын

    Barikiwa sana mwalimu pia Waislam kujuwa Mambo ya Kiroho ni ngumu kwasababu Hata mtume wao Muhammad akujuwa, QURAN 17:85. utaona kuwa Waislam hawakupewa kuyajuwa mambo ya ROHO QURAN 17:36 - MUHAMMAD hajui mambo ya ROHO Ndiyo maana Waislamu wameambiwa waulize walio na Elimu ya mambo ya ROHO QURAN 21:7. QURAN 10:94 - 95 Waislam Wawa ulize walio watangulia watu wa KITABU yaani watu wa INJIRI.

  • @dadithemr.4029

    @dadithemr.4029

    2 ай бұрын

    NAAMINI UNAKUTANA NA UKWELI MWINGI USIO WA KAWAIDA KWENYE QUR'AN KAA MWENYEWE UUTAFAKARI, KWANI DUNIANI KILA MTU ATAONDOKA KIVYAKE..

  • @Adoullahsal
    @Adoullahsal2 ай бұрын

    Uongo

  • @Mr_Africanman
    @Mr_Africanman2 ай бұрын

    UISLAMU sio IMANI ni DINI (Dini -tamaduni za za watu wa jamii Fulani) Uislamu manake ku surrender(kusalimu amri kwa muhammad -na kushindwa Vita)

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    2 ай бұрын

    Hapo ndio mwisho WA upeo wako

  • @user-mr8hi1ck4q
    @user-mr8hi1ck4q2 ай бұрын

    Unachemka sana ....unajitahid kuwabana wakristo wasifunguke kiakili ila hapo ndo unawafungua waitafute quran na hapo watajua ukwel wa uislamu kuwa ndo dini ya ukweli kabisa ndo inayotakiwa kufuatwa

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s2 ай бұрын

    Yesu biinaadamu kazaliwa anakula anaenda chooni kiakili yesu SI mungu mungu Hana sifa hizi

  • @sundaystanley5322

    @sundaystanley5322

    2 ай бұрын

    Matope kichwani,badala upinge hoja wa maandiko unakuja hapa na porojo zako,

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Hivi wewe rafiki yangu, unamfahamu Mungu mwingine zaidi ya Yesu, ili Yeye asiwe Mungu

  • @iddyhassan7666

    @iddyhassan7666

    2 ай бұрын

    1 Timotheo 6:16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina. Nomba kufahamu hili andiko Lina maanisha huyu Mungu hap ni yesu ama kuna mwengine

  • @user-ow3lc6lk9p

    @user-ow3lc6lk9p

    2 ай бұрын

    @iddyhassan7666 hakuna atakaeweza kujibu swali Hilo Yaani Huwa nawashangaa sana wakristo sijuwi kwann hayataki kusoma bibilia ila yanaenda t kusomewa na kutafsiriwa. YESU SIYO MUNGU BALI NI NABII AU MTUME WA MWENYEZI MUNGU MTUKUFU

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Mbona Allah naye anakula lakini wewe unamuita Mungu? Kivipi?

  • @kososelmbuwa5718
    @kososelmbuwa57182 ай бұрын

    Yesu amejisema yeye ni Mungu . Waliopo nwambia kuwa . Sisi hatujakuwa watumwa wa mtu sisi tu wana wa Ibrahim . Na yesu akasema mngekuwa wana wa Ibrahim mngenijuwa kwa sababu Ibrahim alinijuwa (yohana 8:32

  • @rogerssimon9517

    @rogerssimon9517

    2 ай бұрын

    Kwa akili zako unadhani mtu aliyetoka mbinguni anaweza kuongea uongo ? Akuongopee wewe ili iweje?

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b2 ай бұрын

    Wote walio kwenye hili jukwaa elimu zao ni ndogo sana pamoja nahuyo mchungaji wao.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Toa elimu wewe mwenye kubwa tukusikie

  • @apollomachibya9545
    @apollomachibya95452 ай бұрын

    Yesu ni mungu sawa lakini kwenye utatu bado haujasoma fungu

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Sasa kama unakiri Yesu ni Mungu halafu hapo hapo unaukataa Utatu, unamaanisha kuna miungu watatu? Ni kwa nini mnaikwepa sana kuisoma na kuifafanua maana ya neno Elohim kwenye kitabu cha Mwanzo 1:1-3? Fafanueni hapo kwanza ndipo upinge Utatu. Mbona hata Mwalimu wenu Ndacha hapo alipaogopa?

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69562 ай бұрын

    ADAM NA YESU NI WATUME WA MWENYENZI MUNGU (ALLAH) ADAM na YESU wametamkwa mara 25 kila mmoja. ADAM na Mkewe HAWA walipotubia kosa leo Mwenyenzi Mungu (Allah) aliwasamehe. YESU sio ADAM bali BIN-ADAM na sote Mwenyenzi Mungu (Allah) ametuita BIN-ADAM.

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah84562 ай бұрын

    Hacha ujinga mwenye Roho ni mpumbavu

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    2 ай бұрын

    Wewe ndo mpumbav nalikitabu lenu limecholwa cholwa kam mkojo

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    Acha wewe Nenda kajifunze Kiswahili kwanza au Ndo Majini yanakupotezea hadi Kiswahili sanifu??eti hacha wewe ??Hacha Ni Nin??

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    ​@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlusimjibu Upumbavu mwache aende na Upumbavu wake

  • @HerveMwamba-so1jy
    @HerveMwamba-so1jy2 ай бұрын

    Kwanini.watu.niwajinga.hawapendi..kutambwayesu.nimungu.kwasababu.mungu.nifumbu.mumwelewe.mungu.kwafumbo.nimimi.mugisa..kuttoka.kongo

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    Yesu siyo mungu unamdharirisha Ni Mungu au mwana wa Mungu,Mwandike kwa Heshima aliyoipata aliposhinda kule kuzimu

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest6462 ай бұрын

    No bible no Qur'an. But Bible stands itself without depending on Qur'an.

  • @user-go1rl6bb1z
    @user-go1rl6bb1z2 ай бұрын

    Somo ni taaaaamu sana

  • @nancyenock5601
    @nancyenock56012 ай бұрын

    Ni wakumbushe jangwani shetani kamjaribu yesu kisha yesu akamjibu akamwambia usimjaribu Mungu wako hapo yesu mbele ya shetani kajizihirisha kuwa yeye ndiye Mungu aliyemuumba hadi shetani na shetan akalisikia neno usimjaribu bwana mungu wako tokea hapo atukuona tena wapi shetani kamjaribu Mungu wake ambaye ni Yesu maana ndiye aliyekuwa anajatibiwa hapo sasa KAMA SHETANI KAGUNDUA NA AKAACHA MAJARIBU NDUGU ZETU MNAOKATAA MNASHIDA GANI

  • @iddyhassan7666
    @iddyhassan76662 ай бұрын

    Ikiwa yesu ndio Mungu mkuu mbona sasa kuna Mungu baba , Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu . Na wote hao ni umoja sasa ikiwa hawa ni umoja kwa nini yesu awe ndo Mungu mmoja halaf kuna wa wili tume waacha awo watakuwa ni kina nani

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 ай бұрын

    Ndani ya Utatu ndiko Yesu hutwa Mungu mwana,Kama Wewe ni mtoto wa Fulani unaitwa Mwana wa fulani lakin bado ni mwanae

  • @Fikiri-k9d
    @Fikiri-k9d2 ай бұрын

    Hatumuelewi huyu anaongea kwa mdomo kwangu mimi najua Yesu ni mwana wa Mungu

  • @waziriwaziri4330
    @waziriwaziri43302 ай бұрын

    H

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata1702 ай бұрын

    Someni maandiko haya Yesu mwenyewe anasema yeye ni mtumwa Wa MUNGU na nabii tu. Yohana,14:24,Yohana12:49,Yohana12:50,6:29,17:6,17:7,17:8,na Mathayo 10:5-7,Pia Yesu mwenyewe alisema ni mtumwa Luka 17:10,Vivo hivyo nanyi Mtakapokwisha kuyafanya yote mlio agizwa, Semeni sisi tu watumwa wasio na faida, Tumefanya tu yaliyotupasa kufanya. Jisomeeni maandiko msisubiri kusomewa Mtapotea na kupotezwa.

  • @shadrackwilfred2606

    @shadrackwilfred2606

    2 ай бұрын

    YESU HAJAAWAI JIITA NABII WALA HILO ANDIKO HALIPO

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    2 ай бұрын

    @@shadrackwilfred2606 Kwahio hayo sio maandiko ya biblia yenu au leo unapinga maandiko yenu wenyewe? Hio ni Shida ya kuwa mvivu kusoma biblia na maandiko. Kuwa na tabia ya kujisomea mwenyewe na kisha omba usaidizi pale usipo elewa. Kataa kwanza maandiko hayo na sio ulete ngojera zako bila ushahidi Wa maandiko.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    2 ай бұрын

    @@shadrackwilfred2606 Maandiko ya biblia kuhusu YESU kuwa ni nabii yako mengi Sana yakutosha zaidi ya hayo niliyonukuu hapo juu, Yako mengi tu, Chamsingi acha kukariri mambo.

  • @shadrackwilfred2606

    @shadrackwilfred2606

    2 ай бұрын

    @@abdullahmasakata170 litume moja tuu nitashukuru, hapo halipo

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    2 ай бұрын

    @@shadrackwilfred2606 Ujumbe wa Yesu kwa wayahudi yeye mwenyewe anasema, Yohana 6:29,Yesu akajibu akawaambia ,Hii ndio kazi ya MUNGU, mwamini alietumwa na yeye. Yohana 17:3,Na uzima Wa milele ndio huu, Wakujue Wewe, MUNGU wa pekee wa Kweli na YESU kristo uliyemtuma. Hayo ni baadhi ya maandiko ambayo Yesu mwenyewe anawambia wayahudi na kuwafundisha namna ya kuomba na kuupata uzima Wa milele lazima wakiri kuwa MUNGU ndie alie mtuma Yesu kuwahubiria injili.

  • @BarnabaBuhoma
    @BarnabaBuhoma2 ай бұрын

    Mwalimu makini

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    2 ай бұрын

    Matendo 2:22-25 fafanua aya hii.aliyefufulia ninani aliye Fanya miujiza kupitia mkono WA yesu ninani..hapo unapoaoma kuna alama ya mshanga hajaitwa yesu kuwa NI Mungu wala bwana WANGU.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71582 ай бұрын

    Kikao cha lishoga kuu na mashoga chipukizi

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial16292 ай бұрын

    Mtumish Daniel ni kweli kabisa unachosema kuwa Yesu ni Neno hata Muhammad anasema hivyo ukisoma Baruani QURAN 4:171 inasema Yesu (1) Nabii.(2) Neno la Allah. (3) Roho ya Allah. ila hawana uelewa kuhusu uungu wa YESU.

  • @DaboChani
    @DaboChani2 ай бұрын

    Yesu si mungu Acheni ujinga

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    Si Mungu kwao wewe na mhuni wako Muhammad

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c2 ай бұрын

    Hata hivyo Isa siyo Yesu. Mr Daniel ibua mada ya tofauti kati ya Isa na Yesu. Nashauri ninyi walimu wa Kikristo muwe bayana kuwa Isa siyo Yesu. Msikubali kuchagiza kuwa Isa ni Yesu.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Pitia masomo mengine ya nyuma nilikwisha fundisha humu tofauti hizo na ni kwa nini huwa ninaitumia. Pitia masomo ya nyuma utaiona.

  • @user-it4uh7vu5c

    @user-it4uh7vu5c

    2 ай бұрын

    @@BAYYINATDMTV Asante, naomba headings za hivyo vipindi. Binafsi kumfanya Isa kuwa ndiye Yesu tunawafanya hawa jamaa kuendelea kupoteza watu. Heri wanapomuita kuwa mwana wa Mariamu. Lakini ukifuatilia kwa kina Mariam wanayemtaja ni tofauti kabisa na yule aliyemzaa masihi. Asante kwa feedback nami nashauri kusimama katika msitari ili isionekane wanamuongelea Yesu tumjuaye sisi kwa mujibu wa Biblia

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    ​@@user-it4uh7vu5c bonyeza link hii kzread.infovgOOBAHGv08?si=ZsUmBnoiUtSB6u38 Kuhusu Issa kuwa Yesu na kinyume chake.

  • @user-it4uh7vu5c

    @user-it4uh7vu5c

    2 ай бұрын

    @@BAYYINATDMTV Asante kiongozi,ngoja nitulie then nifungue na ku download ili nisikilize kwa makini

  • @OmariShuli

    @OmariShuli

    2 ай бұрын

    MASIHI ISA MWANA WA MARYAM.(المسيح عيسى بن مريم). Mama yake ni Marya bint Imraan.Maryam bint Imraan alipo zaliwa mama yake alimuweka wakf na huko akawa chini ya uangalizi wa Nabii zakaria babaake nabii Yahyaa.alipo balegh Allah alimtuma Malaika Jibrilu akampulizia na akabeba mimba kwa kupuliziwa huko na akamzaa huyo Isa. Wakristo wa Najiran huko Madina walipo kwenda kjadiliana na Mtume s.a.w.wakidai kua Isa ni Mungu(Kwa vile alivyo zaliwa kwa kupuliziwa tu.) Mwenye ezi Mungu aliwajibu kwamba "...Mfano wa Isa mbele ya Allah ni kama mfano wa Adamu..."Adamu ulipofinyangwa udongo hatua ilofuata ni kupuliziwa Roho kwenye udongo huo kisha Mwenye ezi Mungu akasema "KUWA" na akawa ADAM.Isa hatua ya udongo haikumpitia, bali ni Allah alimtuma Malaika jibrilu akampuliza Mama Maryam ikafuata hatuwa ya"KUWA" na akawa Isa. Na kutoka hapo wakapatikana watu walopituka mipaka ktk kumsifu wakamuita Mungu. Wakapotea. Na wakaptikana walomdharau na kumuita mtoto wa zinaa. Wakalaaniwa na Mwenye ezi Mungu. Na wkapatikana wa kati kwa kati walomuita Mja na mjumbe wa Mwenyezi Mungu. JE. WEWE UKPO KUNDI LIPI??.

  • @saidichemasuet
    @saidichemasuetАй бұрын

    Kwaifio mungu aliwawa ? Biblia inasema kwajinsi mungu alimutowa mwanawe ni uongo ? Yesu alisema mimi simwma ni uwongo ? Musalabani yesu alia akisema mungu wangu Mungu wangu mbona uniwacha

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69562 ай бұрын

    KUJA KWA BIBLIA NA QUR'AN Neno BIBLIA halikutamkwa kwenye BIBLIA lakini QUR'AN imetamkwa mara 73 kwenye QUR'AN. Kwa sababu BIBLIA imekuja mwanzo, haina Uhalali hata chembe wa Kukosoa au Kuthibitisha QUR'AN tafauti na QUR'AN.

  • @nasserbarwani1424
    @nasserbarwani14242 ай бұрын

    Kwa nini kuwe na utatu ikiwa wewe Daniel Mwankemwa unakiti kuwa Mungu ni Mmoja. Isitoshe, Aliyezaliwa na kufa tena kwa kuuawa hawezi kuwa Mungu Rudi umsake Mungu wa kweli na uache porojo zako

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Kwa nini Allah awe na Roho Yake na Neno lake (Q 4:171) Je huo siyo Utatu?

  • @MB-yq3ty

    @MB-yq3ty

    2 ай бұрын

    ​@@BAYYINATDMTV We Mzee bado unapotosha watu tu huku kwenye channel yako huchokagi na upotofu kumbe

  • @MB-yq3ty

    @MB-yq3ty

    2 ай бұрын

    ​@@BAYYINATDMTV Yani utafikiri unalaana.

  • @salimobeid1470
    @salimobeid14702 ай бұрын

    Acheni kujivuruga ndugu zangu nini,nini hasa kunakupeni kiburi cha kukataa haki na ukweli wa dini ya kiislam kwanini hamuwi wenye kutaka kujua ukweli mnaenda na mambo ya tokea utoto mlivomezeshwa na wazee jamani kila mmoja ataenda kwa mungu akkwa peke ake jamani dini ya ukweli na ya mungu ni ya uislam hem kaeni mtake ukweli mtaoneshwa njia na mungu ya ukweli

  • @nehemiaayo9527

    @nehemiaayo9527

    2 ай бұрын

    Ni tamaduni ya kweli kutoka waarabu na miungu ya uwajemi

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын

    Kwani mkiristo aliyebatizwa hawezi kuwa muislamu

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Mbugumagiu nimekuwa nikikuuliza uko tayari lini kwa mdahalo? Hujajibu chochote mpaka leo ila kazi yako ni kila wakati kuvikosoa tu vitabu vyenu huku unalalamika. Uko tayari lini kwa mdahalo huo? Na ujumbe huu ndiyo utakuwa wa mwisho kujibu jumbe zako ikiwa utaendelea kukaa kimya kutojibu kwamba utashiriki mdahalo huo. Utafajari ujumbe huu.

  • @husseinothman1257
    @husseinothman12572 ай бұрын

    Daniel hiyo sura ya 6 aya ya 156 usiishie hapo ingependeza zaidi angesoma na aya ya 157 ili usahihi upatikane usiwe unadandia dandia aya kwa kujifurahisha, kumbuka ipo siku pumzi zitakata itakuwa ni wewe mwenyewe tu hakuna wakumchekesha kama unavyofanya sasa.

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b2 ай бұрын

    Usipotoshe watu! ndege ,wanyama wote wa nchi kavu na baharini walikuwepo kabla ya sisi binadam na vote hivyo vilifanyaka kwa uwezo wa Mungu pekee ambaye hana mshirika.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Ni kweli ambaye ndiye Yesu

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u2 ай бұрын

    Kwahiyo Kuna Mungu wawili?

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Yupi na yupi?

  • @OmariShuli

    @OmariShuli

    2 ай бұрын

    BABA na MTOTO WAKE.

  • @OmariShuli

    @OmariShuli

    2 ай бұрын

    Kwani wewe ukiwa na mtoto wako mu-watu wangapi?

  • @yohana1242
    @yohana12422 ай бұрын

    Ukitak uwe mshirikina mkubwa zaidi uwe mkiristo

  • @alyumaraos
    @alyumaraos2 ай бұрын

    Ww daniel huna jipya endelea kusaka ugali hapo ww mwenyewe unajuwa kila kt ila kijio ndo shida nijib hili kama yesu ni mungu ilikuwaje ale samaki? Kama yesu ni mungu ilikuwaje akamatwe na binadam watake kumuuwa? Soma hili andiko acha kudanganya wat 8.40 yohana halaf tuambie ww na yesu nan mkwel?

  • @OmariShuli
    @OmariShuli2 ай бұрын

    Danel unatoa maelezo yenye utata. maandiko yako wazi lkn maelezo yako yanayafanya maandiko yasieleweke. unafalsafa isiyo sahihi. Yesu hajaumba, si ndege wala mdudu. Quran iko wazi, Yesu ni neno la Mungu. hiyo aya haifaamishi uungu wa yesu, bali inafaahamisha uwezo wa Mwenye ezi Mungu ktk uumbaji wake. Yesu hajaumba ndege bali alichukua udongo kwa agizo(Idhin/rukhsa)kutoka kwa Mwenye ezi Mungu akatengeneza/akaufinyanga na kutengeneza sura(umbo) la ndege kitendo ambacho mtu yoyote aweza kukifanya kisha akaambiwa aipuzie na ndio Mwenye ezi Mungu akaipa uhai-na Mwenyezi Mungu ndie anavipa uhai vitu vyote----.Hata NDAMA walomuabudu wana wa israeli; Wana wa israel walipokusanya Mapambo walokuwa nayo na Saamiriy akayatupia mchanga alokuwa nao-Kwa idhini ya Allah-palitokea ndama.Saamiriy hakumuumba yule ndama. Mwenye kupa na kutwaa uhani ni Allah tu. Danel aya za qurani hazionyeshi si kwa mbali wala karibu kuwa Yesu ni Mungu, na pia Maandiko ya bibilia yaliyo ya yesu na ya Mungu Mwenyewe. maandiko yate yanayoonyesha Uungu wa Yesu ni ya watu.

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    2 ай бұрын

    Muhammad aliposema Roho yangu ipo mkononi mwa issa alimanishaa niniii?? Halafu uswe mbishii Quran inawambia mambo ya MUNGU mkawaulize wayahudi na wakristo kwasababu Neema ya kumjua MUNGU wa kwelii hamnaaa

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    2 ай бұрын

    ​SI KILA MKIRISTO AU MYAHUDI NI MTU WA KITABU @@0badiaMwasongwe-rt1wrWatu wa Kitabu haina maana kila Myahudi na Mkiristo. Bali baadhi ya Mayahudi na baadhi ya Makiristo ni Watu wa Kitabu. Kwa mfano zama za Mtume Muhammad (pbuh), Najash (Mfalme) wa Ethiopia alikuwa Mkiristo na Mtu wa Kitabu. Halkadhalika, Nyerere alikuwa Mkiristo lakini hakuwa Mtu wa Kitabu. Mayahudi na Makiristo ni Watu wa Kitabu lakini wengi wao ni Masiqoun. Watu wa Kitabu ni wachache bali wengi wao ni Mafasiqoun kwa mujibu wa Qur'an.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Unakijua unachokibishia? Kwenye aya niliyoinukuu Isa hajafinyanga udongo na kuwatengeneza ndege ambao aliwapulizia pumzi ya uhai? Kitendo hicho siyo kuumba? Wapi hujaelewa?

  • @OmariShuli

    @OmariShuli

    2 ай бұрын

    @obadiamwasonge.Soma quran. usingoje kutafuniwa na kumezeshwa na wa-kina Daniel.Hakuna mahala Mtume Muhammad aliposema maneno hayo. Wala hakuna ktk quran Mwenye ezi Mungu alipotuagiza tukawaulize mayahudi na wa kristo kuhusiana na dini yetu. HAKUNA. Mayahudi wameghadhibikiwa na Allah s. w. Wakirsto wamepotea njia ya haqqi. tuwaulize nini?

  • @OmariShuli

    @OmariShuli

    2 ай бұрын

    Danel. unatatizo la uwelewa. huelewi hata unacho kizungumza, ndio maana nimekutolea kisa cha ndama walomuabudu wana wa Esrael je wajua alivyopatikana? je SAMIRIY alimuumba? Yesu hajaumba wala hana uwezo wa kuumba kwa kua yaya ameumbwa. Yeye ni kiumbe wa Mwenye ezi Mungu.

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah84562 ай бұрын

    Muwe na akili nyinyi makafri ni mtume gani kaenda shule kufundishwa

  • @mwesi527
    @mwesi5272 ай бұрын

    Hapo umechanganya madesa ,unaongelea uungu was yesu au utatu? Mbona maada kama ni mbili hapo!!,/omba mjadala na paster ndacha kuhusu utatu,akubatize uachane na ukatoliki wenye utatu (paganism)

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Kama wewe ni mgeni ninakualika kuangalia mdahalo huu wa mimi na Mwl Ndacha kuhusu huo Utatu. Usifikiri hatujafanya. Bonyeza link hii kzread.infopJBIajLSlN0?si=MIj-XqVYSHX6UqQX

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza59452 ай бұрын

    ktk mwalimu mpumbav km ww Daniel hakuna, utawaingiza wengi makafir wenzio motoni, Mzee wa upako kasema kwel wapotoshaji ni wengi sasa unazungumzia Tito wkt huyo ni Paulo ambae ni mwanzilishi wa ukristo

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Halidi hebu msikilize Paulo mwenyewe, halafu tupime kati ya Paulo na wewe ni nani mpumbavu. Msome Paulo hapa, "Warumi 16:7 Neno: Bibilia Takatifu 7 Wasalimuni Andronika na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, na walimfahamu Kristo kabla yangu. Halidi unawajua hawa ambao Mtume Paulo anawasema kwamba walimfahamu Kristo kabla yake? Yaani walikuwa Wakristo kabla ya Paulo? tunataka tuujue upumbavu kati yako na Paulo.

  • @user-np2bj4qd1y
    @user-np2bj4qd1y2 ай бұрын

    Je ni kweli malaika gabliel alimtaka mtume muhamadi kuwa mkiristo ?

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Ndiyo jwa mujibu wa Kitabu cha Utuokoe ba Yule Mwovu ukurasa wa 28. Jibril alimtaka Muhammad awe Mkristo lakini alikataa kwa sababu alikuwa na majini 80,000. Majini 30000 yalishika akili yake, majini 40000 yalishika moyo wake na majini 10000 yalishika macho yake.

  • @MB-yq3ty

    @MB-yq3ty

    2 ай бұрын

    ​@@BAYYINATDMTV Acha upumbavu wewe mzee. Jaribu kuongea vitu vyenye kukubalika sio kilakitu ilimradi ufurahishe moyo wako. Wewe hata kwenye gazeti ilimradi likiwa linakashfu Uislamu wewe ndo raha yako hujui utakufa?

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын

    Some christians wanamini Jesus sio Mungu 😢Judaism hawamini Jesus ni. Mtume wala Mungu. Waislamu tunamini issa alikuwa muislam na ni mtume😊

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Hao wasiomwamini Yesu wamepotea kabisa wasioomgeukia Yesu Jehanam itawameza

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Yesu hakuwa na dini na kamwe hatakuwa na dini. Tunachotakiwa ni kufuata mafundisho yake na kuyaiishi ili tuingie paradiso yaani peponi

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    2 ай бұрын

    Alikuwa muislam😂😂 vp alifufuliwa halafu akasilimishwaa?? Maana uislam aliuleta Muhammad na muislam wa kwanza kuslim ni B hadja mkewe

  • @Mr_Africanman

    @Mr_Africanman

    2 ай бұрын

    Sasa Yesu alibatizwa atakuaje muislamu kaka...😂😂

  • @sylvesterkwembe3686

    @sylvesterkwembe3686

    2 ай бұрын

    Muislam anayemuita Mungu "BABA".. ALLAH hana mtoto..huo uislam unatoka wapi???

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po2 ай бұрын

    ACHA UJINGA KAJIBIZANE NA MCHUNGAJUI RUSEKERO ANAKUTOSHA KABISA WW HUNA ERIMU HIYO

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Tupe wewe elimu.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын

    Wazungu wengi wanatumia majina ya mama nani kakwambia mwanamke hazishi ukooo? Fanya uchunguzi kabla hujasema

  • @nancyenock5601

    @nancyenock5601

    2 ай бұрын

    Kwa hiyo Yesu mzungu

  • @badruseif1318
    @badruseif13182 ай бұрын

    Wacheni kufuru nyinyi

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Jamani ila ujinga ni mzigo,aya zinasomwa alafu huelewi?unapinga Qur'an yako?

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    2 ай бұрын

    @@odilomwemeziernest646 babu sio tatizo kunukuu Aya za Quran, tatizo Ni kutafsiri Kwa matamanio yako yanavokupeleka au kukosa ujuzi wa kuzitafsiri

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    @@badruseif1318 ndugu hacha ubishi basii,tafisiri ziko kwa chini na zimefafanuliwa na adithi zenyewe,labda wewe unafisirije hizoo haya?

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    2 ай бұрын

    @@odilomwemeziernest646 Ni bora bibilia ina maandiko mengi Sana yanayopingana na ibada zenu lkn mbona husemi kama ukristo sio dini

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    2 ай бұрын

    @@odilomwemeziernest646 Wewe umewahi kuisoma Quran na ukahifadhi na kuusoma uislam sahihi? Hujui hata YESU mwenyewe hawaelewi wala hajui kama kuna kitabu kinaitwa biblia na hajui kama jina lake kuna watu wanaliabudu wakidhani ndie dini na MUNGU? Tupe andiko lolote kwenye biblia kuanzia mwanzo hadi mwisho injili tuonyeshe manabii wangapi walikuwa wakristo, Tuambie Yesu aliabudu vipi, Musa na Suleiman na Daud na Ibrahim na Issaka na Yakobo nao walifanya vipi ibada zao, Ukinipa andiko lolote kuonyesha manabii wote walikuwa wanaabudu kama mnavyo abudu nitakuwa mkristo.

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman89892 ай бұрын

    Yaani hawa woooooote hawana akili ni mabox matupu yesu awe Mungu halafu kauawa na viumbe vyake

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Fuata maandiko ya Quran yanasemaje? Siyo kubisha tu.

  • @veromosha9090

    @veromosha9090

    2 ай бұрын

    Ukabishe ivyo mbele yake ukiwa hukumuni..Kama mkisomewa mnachanganyikiwa someni wenyewe...yesu alikua anatimiza kusudi la ukombozi lililomleta,,,kwani mbona Allah ya Quran hajawahi kuumba na anaapa kwa nyota,anaapa kwa jua anaapa kwa mwezi,,Mungu anaapiaje kwakutumia alovyoviumba ili mtu amwamini? ...Neema bado yapatikana karibu sana kwa kristo

  • @veromosha9090

    @veromosha9090

    2 ай бұрын

    Mimi ndo chiz kabisa Yan,,,nawaelewa mpaka natamani nibinuke sarakasi sio kwa utamu naousikia kwa hii kweli ya Yesu

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    2 ай бұрын

    Tena Allah anaapa kwa alieumba mbingu na nchi inamaana yeye hakuumbaa😂😂😂

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    Boksi ni wewe mwenyewe masikio husikii, mwenye ubongo huelewi, mwenye macho huoni. Zimesomwa aya za kutosha na umesiki lakini unasumbuliwa na kasumba. Hutaki kuelewa

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын

    Wandishi wahabari mara ya pili ningeomba mdahalo na huyo kafiri

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Kafiri ni mtu asiyemwamini Mungu, yaani mpagani. Lakini mkristo au Muislamu hakuna kafiri hapo, maana wote wanamwamini Mungu muumba mbingu na nchi

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    2 ай бұрын

    Mbukumagiu umekuwa ukijifanya unataka mdahalo na sisi. Lakini kila ninapokuuliza uko tayari lini kwa mdahalo husemi ni lini. Unakumbuka kule nyuma ulitaka mdahalo hivi hivi lakini siku ilipofika ukaingia mitini. Sasa kama uko tayari tuambue iwe lini tukijaaliwa baina ya Jumanne, Alhamisi na Jumamosi na uchague mada wewe mwenyewe. Tunasubiri majibu.

  • @veromosha9090

    @veromosha9090

    2 ай бұрын

    Ngoja nikuandikie herufi kubwa KAFIRI NI MTU ASIYEMWAMINI MUNGU,ANAYEIKATAA KWELI YA MUNGU.vaa miwani Kama huonagi vizuri

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    2 ай бұрын

    Sasa uoni Kama iyo isaya NI kichefuchefu eti taAma bwana mwenyewe atawapa ishara MTOTO atachukuwa mimba atazaa MTOTO na jinablake atamwita imanueli sasa wapi MARIAMU alipozaa akamwita imanuli.??? Pia LAZIMA Mungu ajiite yeye nimungu hangojei kuitwa.??? KWAHIYO unataka kutwambia kwenye mnara WA babeli KISHA Mungu akashuka ILI aone wanachokifanya wanadamu inamana huko alipo alikuwa haoni Kama wanajenga mnara.eti Mungu alivaa mwili lengo lakuvaa mwili WA kibinadamu ambao NI WA dhambi ??? Dogma.yesu NI tamko hata mawe mbingu na vingine Mungu alitamka navyo NI Mungu maana navyo NI tamko YAANI nineno.

  • @FelixGitonga-co8ng
    @FelixGitonga-co8ng2 ай бұрын

    Mbuk wewe die kafiri mkubwa una elimu ya kupinga neno la mungu yesu kristo ni mungu ,swali anakuya mtoto wa nyoka ni?mtoto wa simba ni?mtoto wa mungu ni?jivi hio ?

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69562 ай бұрын

    MUNGU WA WAKIRISTO ALITAHIRIWA NA AKAITWA YESU Mungu wa Wakiristo ni mtoto wa Mariam. ALITAHIRIWA akiwa na umri wa siku nane na kuitwa YESU. [Luka 2:21].

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Quran imeandikwa Yesu atahukumu kwenye kiama. Elewa hilo. Atahiriwe asitahiriwe ndiyo hakimu wako wa mema na mabaya. Jiongeze

  • @veromosha9090

    @veromosha9090

    2 ай бұрын

    Sindioo yesu ni mwanaume wa wanaume,MWAMBAAA,SIMBAAA Kama hutaki acha😂,,,usisahau sote tunapaswa tujiandae Kama wanawali wanaongoja harusi ya mwanakondoo yesu HADI WEWE.sasa we danganywa unaenda kuozeshwa mabikra 70 peponi🙈

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    2 ай бұрын

    Ndomaana Quran inawambia mambo ya MUNGU muwaulize wakristo😂😂😂

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    2 ай бұрын

    MSIMSINGIZIE YESU KAMA ALIVYOFANYA PAULO ​@@lilianluhasi311Hakuna Aya hata moja kwenye Qur'an inayosema Yesu (pbuh) atahukumu SIKU YA KIAMA.

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    2 ай бұрын

    Kwa mtazamo naona hao wanaokusikiliza nakukihoji kana KWAMBA hawakuelewi hapo mwanzo kulikiwapo mbuzi naye mbuzi alikuwa KWA mchungaji naye naye mbuzi NI mchungaji uongoooo daniel unapotosha.neno nitamko fasihii zote Inakubali KWAHIYO Kama neno nitamshi yupo mtamkaji hakuna neno Kama hakuna mtamkaji.ndiyo mana yesu ANASEMA kuwaambia wanafunzi wake kuwaambia neno lako wamelishika na maneno yako uliyonipa nimewapa wakasadiki hakika wewe NDIYE uliyenituma.

  • @waziriwaziri4330
    @waziriwaziri43302 ай бұрын

    H

  • @ashurachanyoya5864
    @ashurachanyoya58642 ай бұрын

    Nawashauri watangazaji anaposoma mchungaji andikeni aya zake halafu mwiteni mwalimu wa upande wapili na ye muhojiane naye mtapata ukweli kwa sababu nyie mmesoma

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69562 ай бұрын

    ADAM NA YESU NI WATUME WA MWENYENZI MUNGU (ALLAH) ADAM na YESU wametamkwa mara 25 kila mmoja. ADAM na Mkewe HAWA walipotubia kosa leo Mwenyenzi Mungu (Allah) aliwasamehe. YESU sio ADAM bali BIN-ADAM na sote Mwenyenzi Mungu (Allah) ametuita BIN-ADAM.

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    Unamjua Yesu aliyezaliwa na Mariam, humjui Yesu wa kabla ya kuzaliwa na Mariam

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    2 ай бұрын

    @@daudimichael7338 Hata hivyo, Yesu aliyezaliwa na Mariam na Yesu wa kabla ya kuzaliwa na Mariam hakuwa Mungu.

  • @Mr_Africanman

    @Mr_Africanman

    2 ай бұрын

    Onyesha na toa unabii wa Adam kama ni nabii wako... Half nipe unabii wa muhammad kama ni nabii +Kipind hicho Quran imesema Allah kasema hatumii Wala hatotuma muujiza wowote na muhammad hatokuwa na muujiza wowote Sababu ya Allah ni kwamba et watu wa zaman walikataa muujiza ..(Allah muongo sana Sasa nan alikataa muujiza ya manabii)😂

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    2 ай бұрын

    SHUKRANI NA KAA CHONJO ​@Mr_Africanman Shukran kwa kutaka kujua Adam (pbuh) ni Nabi (Prophet) na Muhammad (pbuh) ni Nabi. Kwa vile jawabu itaanzia Unabii wa Adam mpaka Muhammad (pbut) itakuwa kwa vipande. KAA CHONJO

  • @Mr_Africanman

    @Mr_Africanman

    2 ай бұрын

    @@khatibal-zinjibari6956 Allah anaelezea kwenye Quran..haleti muujiza wowote na hatompa muhammad muujiza wowote na muhammad hatakuwa na muujza WOWTE kwakuwa kisingizio et watu wa nyuma walikataa miujiza ya manabii (Al-Lah anadanganya wazwaz hakuna alitekataa ishara za MANABII). .. -Muhammad Hana muujiza wowote Hata Quran siyo muujiza kwasabab Allah kasema muhhamad hatokuwa na muujza

Келесі