Songa feat. Double-HISIA ZA MOYONI(Official Video)
Shukrani kwa Mungu kwa uwepo wa hiki kifanyikacho duniani japo kwenye maisha kuna mambo mengi yanayohusisha watu wengi ndani yake ila kuna muda unaweza ukajihisi mpweke katikati ya kundi la watu,Hisia Za Moyoni ni wimbo unaolezea mengi. Tazama , comment, share na bilakusahau subscribe account yangu kuendelea kufuatilia mengi kutoka kwangu.
Asante.
Download link: www.mdundo.com/a/972
Facebook : Songa (official page)
Twitter : @NiiteSonga (Official page)
Instagram : @NiiteSonga (Official page)
Пікірлер: 250
Kila nikaa wiki moja au mbili lazima nirudi kuisikiliza hapa❤
🎉🎉aah mm ntacoment tu nna sbb kibao z kuipenda hii ngoma❤
Imani ni Bora kuliko dini👊👊
Nyie mko slow san me per day lazima nisain hapa... Ety
Duuu Songaa hii ni nomaa@Songa n nchi ya flow no flag
Nasikitika kuona vijana wanakufa kwa madawa na ukimwi. S.O.N.G.A your the best😢
Hisia za moyoni
Duh cichoki kuitzama hii ngoma songa nakubl sana bro pale ninapokua mnyonge nyimbo yako inanifariji
Undoubtedly my best and most played song by a Tanzanian artist.
2020 hapa kimara duh we ni mkariiìi IMANI ni bora kuliko Dini
nikapate upepo kisiwa cha Zanzibar ahsante Songa kwa kutawakilisha utalii wetu zanzibar karibu Zanzibar
S.O.N.G.A...........Ipo cku watanzania wataelewa unafanya nn......Safi sana
Huu mdundo tumchapie Kali mzeee😂😂
yani mpk leo namckiliza uyu mchizi na lazima awepo kwny playlist yngu...Respect Songa
Songa ni NCHI YA FLOW BRO NO HUG 💥🥘🔥🔥🔥
Unaweza ukawa bora hata kama usipo Win... - Mandonga mtu kazi ni mfano wa huo mstari
@maishacenter-eastafricatv3976
Жыл бұрын
😂😂
Nakukubali Sana Sana an nimejaza mangoma yakoo
Kina Nash Mc, kina Songa, kina Bonta, kina nani... kina One the incredible kina nani....nyie ni watu makini sijawahi ona. 💥💥💥💥💣💣💣
Usiulize nipo chimbo kama mlipuko WA TALIBAN👍👍
Ata wakikutupa Kenya uta run +254 wamuulize OG😀😀🤣
Mzaliwa 2000✝️lakin naelewa sana nyimbo za mwamba
Hii ngoma duuh kali sanaa
Jamaa nakubar uandish wako, sichok kisikiliz nyimbo za huyu jumaa
Katka wanahrkat wa hop songa namuelewa sana kama naww unaelewa anachofanya gongs like
Nmejskia kucoment mara nyinyinying ila hii y mwisho"maisha sio shida tu...
Ila songa wewe Ni Kipaji.... #HisiaZaMoyoni
Best song,I almost play everyday!
goood song pamoja brother
Nimekuelewa zaidi 2023
From UAE +971 Dah Duniani hakufai ndio maana ukizaliwa tu unalia Songa big up man
niamini kaka Kwenye hii Dunia CRITICAL THINKERS kama wewe mnahesabika..I respect kazi zako kaka.big up
Respect tamaduni bob
Sijawahi choka sikiliza hii nyimbo bro... na nikiisiliza after sometimes naona nilimisi kitu kikubwa mno BIG UP SONGA ✌
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤songaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ilipotea simu yangu nikaipoteza hii hip hop, bonge la songe
duniani hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia ngoma gonga like twende sawa
2024 still here🎉
Imani ni bora kuliko dini 👌🏽👌🏽👌🏽well thought 💭
"kama kazi yako dhambi,unadhani malipo nini"
nachotaka kuona ni furaha inapatikana SUDANI YA KUSINI ..(FACT: HIP HOP LIVES)
Naipenda sana tena sana ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
DUNIANI HAKUDAI NDO MAANA UKIZALIWA TU UNALIA
Respect my man
Duuuh..mura.inanikumbusha.tarime nyamongo 2023...nikiwa nakula k2 Cha 250..v2.500😂😂😂😂😂😂😂
songa
2024 tukutane hapa👉🏿
How does this have not pass 50M views its amazing
Ati songa utaflow wapi muulize dem wako nishafanya show gapi.....HISIA ZA MOYONI
Man me sikujui nimeskia tu song yako Y254 n nikaipenda sana. Great song. Straight to the heart.
Songa nnakukubali, 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 huku tunakupata
Unaweza kua Bora ata usipo wini ✌
Ninapoitazama top ten ya nyimbo bora kwangu kwa mwaka @2015, hii moja ya nyimbo kali sana na huwezi kuitoa ndani ya top five, Respect kwako @niitesonga, shoutout kwake @Double
"anayenifanya nisimame ndiye anayenifaa.,,,," ngoma kali san mwana. naikubali sana tamaduni music
Umefanya mziki uonekane kitu rahisi sana# Big up
Respect broo!
Daah talanta kubwa sanaaa kaka
Imani ni Bora kuliko dini
bonge la mdundo kiukweli umeongea vtu vkali sana aisee wasanii inatakiwa wawe dzain hii . big up broo songa
niite songaa. naskiliza siku nzma ngoma atariii..big up ..
Duuuuuh pa1kaka nakubal
Nakuelewa kaka naiflow yote hii ngoma
Much respect brother,sichoki kusikiliza na kutizama wimbo huu siku zote za maisha yangu
waah this song ina songesha; milima na Daa talanta kubwa kwa pande zote production on point pia LOVE FROM NAIROBI
Aisee this Songa guy is dope....
Respect bloo
big up bro Songa,nakuombea umri mrefu,HIPHOP ifike songe mbali zaidi
Daaaaah 😢namkumb manzi angu😢😢😢
Yeees
December 07 2022, kichwa imejaa mawazo sana...najikumbusha umuhimu wa kupambana na Songa👊🏿
Ngoma kali sana
Keep going 2024
No ma bro song a ulifikili sana kuandika hiyo ngoma
Mara zote wewe uko vizur makuamin
Kali bila ukali vikal. Cjui nmesema nn
Umeangushwa na production bro,wasanii wa hip hop wengi bongo mnakwamishwa na production mbovu ndomana ngoma hazifiki mbali jifunzeni kwakina khaligraph kenya
@stevemelodiaz7574
2 жыл бұрын
Nn kibaya hapo?
still nipo pamoja na hii mitindo ,,much respect Songa
Nice work Songa
video Kali sana arif. big up.
Nyimbo nzuri sana 2016-2022
Songa, ur gud broooo... sio kwa punch Hizi daaaaaa. this is my appreciation.
Hisia za moyoni Wanapagawa naamini......napata huzuni kuona vijana wanapagawa na mihadarati, unga na ukimwi
Hii ngoma imetulia kinyama
Kama hjui huez muelewa jamaa hii siyo singeli..the best song ever👊
nipe shavu nirushe kofi kwa ruksa pasipo mwinyi
big up kwako songa dude kal
Daah! Nime view ngoma kiss kukomenti
hii ndo old new hiphop.. hiii kemia yenu tam xn #Mbarikiwe sana
Gud song songa songa mbele
@niite songa nice work mkali..
✊ Kazi Nzuri Bro
@songa619
8 жыл бұрын
Shukrani 🙏
big up bro, bonge moja la ngoma na video imesimama
Hii nyimbo kaliii sana naiskiza kila siku kwangu n BrandNewSong 🔥🔥🔥🔥
kawaida kwa mlevi kupata ajali baa. .niite songa😢😢😢.demu wako nungunungu no...
Hahaaa demu wako nung'unung'u dunian hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia
Kaka weeee ni Fire🔥🔥🔥
Songa unafikiria sana una mistari yenye logic ila the way unarap bado inabidi ubadilike
ni wachache tunaoujua mzik mzr hata kama unastrace zote zinakwesha ni mwendo wa kutikisa kichwa tu
SONGA ni rapper
2019 Bado naingiza Madini kichwani ktoka Kwa Samaki Hyu Mwenye Kiu ndani ya maji
Only those who know about music lyrical king are here🤟🏾👊🏾