Songa feat. Double-HISIA ZA MOYONI(Official Video)

Shukrani kwa Mungu kwa uwepo wa hiki kifanyikacho duniani japo kwenye maisha kuna mambo mengi yanayohusisha watu wengi ndani yake ila kuna muda unaweza ukajihisi mpweke katikati ya kundi la watu,Hisia Za Moyoni ni wimbo unaolezea mengi. Tazama , comment, share na bilakusahau subscribe account yangu kuendelea kufuatilia mengi kutoka kwangu.
Asante.
Download link: www.mdundo.com/a/972
Facebook : Songa (official page)
Twitter : @NiiteSonga (Official page)
Instagram : @NiiteSonga (Official page)

Пікірлер: 250

  • @harunskawa230
    @harunskawa230 Жыл бұрын

    Kila nikaa wiki moja au mbili lazima nirudi kuisikiliza hapa❤

  • @husnahassan2199
    @husnahassan21993 ай бұрын

    🎉🎉aah mm ntacoment tu nna sbb kibao z kuipenda hii ngoma❤

  • @gloriadesdery9705
    @gloriadesdery97052 ай бұрын

    Imani ni Bora kuliko dini👊👊

  • @WilliamZablon
    @WilliamZablon2 ай бұрын

    Nyie mko slow san me per day lazima nisain hapa... Ety

  • @isayamlawa410
    @isayamlawa4106 ай бұрын

    Duuu Songaa hii ni nomaa@Songa n nchi ya flow no flag

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 Жыл бұрын

    Nasikitika kuona vijana wanakufa kwa madawa na ukimwi. S.O.N.G.A your the best😢

  • @xadygenious414
    @xadygenious414Ай бұрын

    Hisia za moyoni

  • @AlhajiSefu
    @AlhajiSefu5 жыл бұрын

    Duh cichoki kuitzama hii ngoma songa nakubl sana bro pale ninapokua mnyonge nyimbo yako inanifariji

  • @dariusmsagha
    @dariusmsagha6 ай бұрын

    Undoubtedly my best and most played song by a Tanzanian artist.

  • @omarykomba4302
    @omarykomba43024 жыл бұрын

    2020 hapa kimara duh we ni mkariiìi IMANI ni bora kuliko Dini

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame53045 жыл бұрын

    nikapate upepo kisiwa cha Zanzibar ahsante Songa kwa kutawakilisha utalii wetu zanzibar karibu Zanzibar

  • @happymbwamboo8873
    @happymbwamboo88733 жыл бұрын

    S.O.N.G.A...........Ipo cku watanzania wataelewa unafanya nn......Safi sana

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo11 ай бұрын

    Huu mdundo tumchapie Kali mzeee😂😂

  • @abdillahkitwana5974
    @abdillahkitwana59742 жыл бұрын

    yani mpk leo namckiliza uyu mchizi na lazima awepo kwny playlist yngu...Respect Songa

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 Жыл бұрын

    Songa ni NCHI YA FLOW BRO NO HUG 💥🥘🔥🔥🔥

  • @mlwanikamchizi3507
    @mlwanikamchizi3507 Жыл бұрын

    Unaweza ukawa bora hata kama usipo Win... - Mandonga mtu kazi ni mfano wa huo mstari

  • @maishacenter-eastafricatv3976

    @maishacenter-eastafricatv3976

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @daudikipelo8761
    @daudikipelo87612 жыл бұрын

    Nakukubali Sana Sana an nimejaza mangoma yakoo

  • @boeihongoa1436
    @boeihongoa14364 жыл бұрын

    Kina Nash Mc, kina Songa, kina Bonta, kina nani... kina One the incredible kina nani....nyie ni watu makini sijawahi ona. 💥💥💥💥💣💣💣

  • @mjtv4966
    @mjtv49662 жыл бұрын

    Usiulize nipo chimbo kama mlipuko WA TALIBAN👍👍

  • @astongllo725
    @astongllo7252 жыл бұрын

    Ata wakikutupa Kenya uta run +254 wamuulize OG😀😀🤣

  • @calvinmshanga9077
    @calvinmshanga9077 Жыл бұрын

    Mzaliwa 2000✝️lakin naelewa sana nyimbo za mwamba

  • @issankoweboy803
    @issankoweboy8034 жыл бұрын

    Hii ngoma duuh kali sanaa

  • @amanimoses121
    @amanimoses1214 жыл бұрын

    Jamaa nakubar uandish wako, sichok kisikiliz nyimbo za huyu jumaa

  • @catherinfabiani5265
    @catherinfabiani52654 жыл бұрын

    Katka wanahrkat wa hop songa namuelewa sana kama naww unaelewa anachofanya gongs like

  • @husnahassan2199
    @husnahassan219911 ай бұрын

    Nmejskia kucoment mara nyinyinying ila hii y mwisho"maisha sio shida tu...

  • @pmall8867
    @pmall88673 жыл бұрын

    Ila songa wewe Ni Kipaji.... #HisiaZaMoyoni

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc5 ай бұрын

    Best song,I almost play everyday!

  • @phwasound4448
    @phwasound44485 жыл бұрын

    goood song pamoja brother

  • @georgedeo3726
    @georgedeo37269 ай бұрын

    Nimekuelewa zaidi 2023

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah8255 жыл бұрын

    From UAE +971 Dah Duniani hakufai ndio maana ukizaliwa tu unalia Songa big up man

  • @evaristmunaku5526
    @evaristmunaku55268 жыл бұрын

    niamini kaka Kwenye hii Dunia CRITICAL THINKERS kama wewe mnahesabika..I respect kazi zako kaka.big up

  • @rasibuga5428
    @rasibuga54282 жыл бұрын

    Respect tamaduni bob

  • @jeremayageremy9882
    @jeremayageremy98822 жыл бұрын

    Sijawahi choka sikiliza hii nyimbo bro... na nikiisiliza after sometimes naona nilimisi kitu kikubwa mno BIG UP SONGA ✌

  • @user-kv6ik2sr9x
    @user-kv6ik2sr9x4 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤songaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @georgezabron2891
    @georgezabron28915 жыл бұрын

    Ilipotea simu yangu nikaipoteza hii hip hop, bonge la songe

  • @sebachaz6483
    @sebachaz64835 жыл бұрын

    duniani hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia ngoma gonga like twende sawa

  • @rashatz7759
    @rashatz77595 ай бұрын

    2024 still here🎉

  • @Mtznajua
    @Mtznajua7 жыл бұрын

    Imani ni bora kuliko dini 👌🏽👌🏽👌🏽well thought 💭

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld7 жыл бұрын

    "kama kazi yako dhambi,unadhani malipo nini"

  • @ki2maestro24
    @ki2maestro248 жыл бұрын

    nachotaka kuona ni furaha inapatikana SUDANI YA KUSINI ..(FACT: HIP HOP LIVES)

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045Ай бұрын

    Naipenda sana tena sana ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @emmamikate4741
    @emmamikate474111 ай бұрын

    DUNIANI HAKUDAI NDO MAANA UKIZALIWA TU UNALIA

  • @dorothymchatta3560
    @dorothymchatta35608 жыл бұрын

    Respect my man

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045Ай бұрын

    Duuuh..mura.inanikumbusha.tarime nyamongo 2023...nikiwa nakula k2 Cha 250..v2.500😂😂😂😂😂😂😂

  • @MgombaJunior
    @MgombaJunior3 ай бұрын

    songa

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa260111 күн бұрын

    2024 tukutane hapa👉🏿

  • @andrewfullington9777
    @andrewfullington97773 жыл бұрын

    How does this have not pass 50M views its amazing

  • @abubakaralimohammed3388
    @abubakaralimohammed33883 жыл бұрын

    Ati songa utaflow wapi muulize dem wako nishafanya show gapi.....HISIA ZA MOYONI

  • @ianmwaliko9834
    @ianmwaliko98345 жыл бұрын

    Man me sikujui nimeskia tu song yako Y254 n nikaipenda sana. Great song. Straight to the heart.

  • @ntawurusigajaphet813
    @ntawurusigajaphet8135 жыл бұрын

    Songa nnakukubali, 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 huku tunakupata

  • @astongllo725
    @astongllo7252 жыл бұрын

    Unaweza kua Bora ata usipo wini ✌

  • @chiyughajr.9968
    @chiyughajr.99688 жыл бұрын

    Ninapoitazama top ten ya nyimbo bora kwangu kwa mwaka @2015, hii moja ya nyimbo kali sana na huwezi kuitoa ndani ya top five, Respect kwako @niitesonga, shoutout kwake @Double

  • @dicksonokanda9091
    @dicksonokanda90917 жыл бұрын

    "anayenifanya nisimame ndiye anayenifaa.,,,," ngoma kali san mwana. naikubali sana tamaduni music

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory71982 жыл бұрын

    Umefanya mziki uonekane kitu rahisi sana# Big up

  • @georgekarundabenard2739
    @georgekarundabenard27392 жыл бұрын

    Respect broo!

  • @poolwiztz6118
    @poolwiztz61182 жыл бұрын

    Daah talanta kubwa sanaaa kaka

  • @kelvinchuhila3780
    @kelvinchuhila3780 Жыл бұрын

    Imani ni Bora kuliko dini

  • @michaelkisingi8650
    @michaelkisingi86507 жыл бұрын

    bonge la mdundo kiukweli umeongea vtu vkali sana aisee wasanii inatakiwa wawe dzain hii . big up broo songa

  • @heavenonearthchannel3748
    @heavenonearthchannel37487 жыл бұрын

    niite songaa. naskiliza siku nzma ngoma atariii..big up ..

  • @chibamzembe6188
    @chibamzembe61883 жыл бұрын

    Duuuuuh pa1kaka nakubal

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.83512 жыл бұрын

    Nakuelewa kaka naiflow yote hii ngoma

  • @barakasosopi4656
    @barakasosopi46564 жыл бұрын

    Much respect brother,sichoki kusikiliza na kutizama wimbo huu siku zote za maisha yangu

  • @dennogods_pick1166
    @dennogods_pick11667 жыл бұрын

    waah this song ina songesha; milima na Daa talanta kubwa kwa pande zote production on point pia LOVE FROM NAIROBI

  • @khaledeponera6070
    @khaledeponera60702 жыл бұрын

    Aisee this Songa guy is dope....

  • @HamisKhalfan-df5kk
    @HamisKhalfan-df5kkАй бұрын

    Respect bloo

  • @clemenceolivery9427
    @clemenceolivery94278 жыл бұрын

    big up bro Songa,nakuombea umri mrefu,HIPHOP ifike songe mbali zaidi

  • @samstive665
    @samstive665 Жыл бұрын

    Daaaaah 😢namkumb manzi angu😢😢😢

  • @INVISIBLE761
    @INVISIBLE761Ай бұрын

    Yeees

  • @Elfuego257
    @Elfuego257 Жыл бұрын

    December 07 2022, kichwa imejaa mawazo sana...najikumbusha umuhimu wa kupambana na Songa👊🏿

  • @yusuphmussa6589
    @yusuphmussa65894 жыл бұрын

    Ngoma kali sana

  • @yuzzomanboy
    @yuzzomanboy6 ай бұрын

    Keep going 2024

  • @joramkitime1101
    @joramkitime11013 жыл бұрын

    No ma bro song a ulifikili sana kuandika hiyo ngoma

  • @abdalahsambala6667
    @abdalahsambala66678 жыл бұрын

    Mara zote wewe uko vizur makuamin

  • @legsmediatz
    @legsmediatzАй бұрын

    Kali bila ukali vikal. Cjui nmesema nn

  • @ridhiwanially6609
    @ridhiwanially66094 жыл бұрын

    Umeangushwa na production bro,wasanii wa hip hop wengi bongo mnakwamishwa na production mbovu ndomana ngoma hazifiki mbali jifunzeni kwakina khaligraph kenya

  • @stevemelodiaz7574

    @stevemelodiaz7574

    2 жыл бұрын

    Nn kibaya hapo?

  • @novatusrichard9375
    @novatusrichard93755 жыл бұрын

    still nipo pamoja na hii mitindo ,,much respect Songa

  • @silentmaxbln7227
    @silentmaxbln72277 жыл бұрын

    Nice work Songa

  • @kintangochibelabela307
    @kintangochibelabela3078 жыл бұрын

    video Kali sana arif. big up.

  • @saleh9997
    @saleh9997 Жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana 2016-2022

  • @geraldmunisi6922
    @geraldmunisi69228 жыл бұрын

    Songa, ur gud broooo... sio kwa punch Hizi daaaaaa. this is my appreciation.

  • @mukakathejoker6504
    @mukakathejoker65047 ай бұрын

    Hisia za moyoni Wanapagawa naamini......napata huzuni kuona vijana wanapagawa na mihadarati, unga na ukimwi

  • @abdulrahmankanduka1977
    @abdulrahmankanduka19774 жыл бұрын

    Hii ngoma imetulia kinyama

  • @hermankassanga4645
    @hermankassanga46456 жыл бұрын

    Kama hjui huez muelewa jamaa hii siyo singeli..the best song ever👊

  • @allendeusdedith8482
    @allendeusdedith84827 жыл бұрын

    nipe shavu nirushe kofi kwa ruksa pasipo mwinyi

  • @dannyrichard5475
    @dannyrichard54758 жыл бұрын

    big up kwako songa dude kal

  • @joshualeonard6239
    @joshualeonard62394 жыл бұрын

    Daah! Nime view ngoma kiss kukomenti

  • @verifiedinfomation
    @verifiedinfomation8 жыл бұрын

    hii ndo old new hiphop.. hiii kemia yenu tam xn #Mbarikiwe sana

  • @bakarifundi4351
    @bakarifundi43514 жыл бұрын

    Gud song songa songa mbele

  • @michanomichano4931
    @michanomichano49318 жыл бұрын

    @niite songa nice work mkali..

  • @Godlovemmanuel
    @Godlovemmanuel8 жыл бұрын

    ✊ Kazi Nzuri Bro

  • @songa619

    @songa619

    8 жыл бұрын

    Shukrani 🙏

  • @bernad_1
    @bernad_18 жыл бұрын

    big up bro, bonge moja la ngoma na video imesimama

  • @user-mk1tk8iy4s
    @user-mk1tk8iy4s8 ай бұрын

    Hii nyimbo kaliii sana naiskiza kila siku kwangu n BrandNewSong 🔥🔥🔥🔥

  • @heavenonearthchannel3748
    @heavenonearthchannel37487 жыл бұрын

    kawaida kwa mlevi kupata ajali baa. .niite songa😢😢😢.demu wako nungunungu no...

  • @hello-qv8md
    @hello-qv8md7 жыл бұрын

    Hahaaa demu wako nung'unung'u dunian hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia

  • @fredymsigala952
    @fredymsigala9525 жыл бұрын

    Kaka weeee ni Fire🔥🔥🔥

  • @samwelsamwel2692
    @samwelsamwel26924 жыл бұрын

    Songa unafikiria sana una mistari yenye logic ila the way unarap bado inabidi ubadilike

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph49075 жыл бұрын

    ni wachache tunaoujua mzik mzr hata kama unastrace zote zinakwesha ni mwendo wa kutikisa kichwa tu

  • @aboubakarkamikaze-vr9gk
    @aboubakarkamikaze-vr9gk10 ай бұрын

    SONGA ni rapper

  • @petersimon2115
    @petersimon21155 жыл бұрын

    2019 Bado naingiza Madini kichwani ktoka Kwa Samaki Hyu Mwenye Kiu ndani ya maji

  • @lancela7370
    @lancela73702 жыл бұрын

    Only those who know about music lyrical king are here🤟🏾👊🏾