SINA MAKOSA 《 01 》
Музыка
SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM; boncena_tz...
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Пікірлер: 160
Boncna unajiharibia kwa kutomaliza move zako unatutoa morali shabiki zako, halafu ni kama haupitii comments za wateja wako😢
@hamooummar7298
6 ай бұрын
Apo umesema, movie znakatishwa azimaliziki zote zkaisha, bc atujibu c mashabiki zake na tuvimbe😊, chkua mau yako🎉🎉
@user-hd6yx6fn6k
6 ай бұрын
I have
@user-bt1vl8nu5n
5 ай бұрын
Ee mgen wa Kijiji aijaisha
Chakukushauri boncena usitoe move apo Kwa apo bila ya kuzimalizia unajiharibia sana
Imagine sipendezwi na hii kuongea kwa boncina kuongea man man aongee tu vizuri movie zake poa sana
Sasa mbona unanichanganya ndugu kunasehemunyingine ume post nyingine film ya( (SINA MAKOSA)) kunasehemu ngapi MAN ❤❤❤❤
Boncena unazingua hujamaliza movie moja unatuletea nyingine
Nawakilisha wakenya wenzangu kutoka mombasa,nyali
Ruta usimsahau kobelo wa mgeni wa kijiji yupo poa sana
@rahmarr2160
6 ай бұрын
Nime miss kobelo man
ucikubali kuachika bila kujua kosa ni nini pigania penzi lako japo mapezi hayalazimishwi lkn uciachike kizembe man mpk kieleweke
I love you bosina ila sijapendezwa natabia ya chado yakulazimisha nasila na mom nawapenda
Wa tano ilanaona zimepostiwa mbili 😂kulikoni luta
Mngemaliza unyago kwanza bana!
sema boncina unazingua bwana halafu hiyo man tumeichoka maliza move acha tamaa ya kua na move nyingi unatuchanganya bwana sis hatukuelewi
Jamani boncena na chado wameunganaa Iyi movie itakuwa konkiii
Film inapendeza Man. Watching from Nairobi, Kenya
Unajiharibia sana kutoa move bila yakuzimaliza
@nuruhumphrey6273
5 ай бұрын
Kabsa,akiendelea hivi sisi fans tutaboeka na kazi zake,hamna haja ya kuangalia kitu yenye haitakuwa na mwisho
Mgeni WA kijij hujamaliza ukaleta unyago nayo haijaish umereta ingne kwer unafer maliza kimoja kwanza
For sure Boncena got talent
@qwqw1665
6 ай бұрын
Nassir SHOGA yangu pona hueleweki kipenz kupenda raha💋💋💕💖💯💯💯👈👍
Malizia unyago na mgeni wa kijiji ivi unajialibia
Man we mkali sana man
From kenya uko vizuri man
Hizo man man ungepunguza kidgo jaribu kupunguza man😂😂😂
@user-ex4uq9zc4m
6 ай бұрын
Kweli kabisa zinakera yaani
consistency is key in success, ni bure hata kukufuatilia.
Tupo pamoja tukiwa DRC 🇨🇩
Boncena man unyago aujaisha man lakini umeanza kututchanganya na sina makosa man mbona unazingua man naomba like zangu mimi wa mwisho man
Bouncena brother nakukubali sana sijawahi kuipinga kazi yako kaka
Kukubali man we ni hatari man
Maliza unyago kwanza
Kaka kaka boncena nmeamn mnaweza wamalili yupo juu
Uyu naeanabowa manimani zabowesja😊
Boncena never let us down 😂😂🎉❤
Nawakubali man
❤❤❤❤ chado umetisha San sokila sehemu mikazo saroot
Boncena achana na hiyo man,man,man, ina boa
Izo Man Man Man punguza kidogo Boncenaa
Majuto ni mjukuu tamaa itakuponza dada
Nawapenda man 😂😂😊
Nakubali
Leo sijachelewa nimekua wakwanza leo
Pamoja.na.nyingi.napenda.sana.mimi.ni.mkenya.
@EmanuelAmuravu
6 ай бұрын
❤
Iyo chupa ilipata kazi man, uyu karogwa na mapenzi😂😂
Mgeni wa kijiji chichi hujamalza😊
Umetisha man
Mgeni wa Kijiji haikuisha unyago bado umeruka na huku shida ni nini na mshabik tupo si umalizie moja kwanza😮😮
Unarukaruka series kwa nini? Kiukweli inapoteza raha.....
Good kaka💪💪💪
Huyu dada ni muuaji
chado man ma men
nauwa wotee aoo
Chado chupa itakuua pole bro❤❤❤
Boncena oya wee unajua
Umeyakanyaga man😂😂😂
Waaah mambo yamenoga man watching from saudi Arabia 🇸🇦 😅❤❤
Oya man vip mbon Mugen wa Kijiji haulet
Toka kwazuluna tale tuna kufatiliyA man 🇿🇦🇿🇦
Pole wanawake wanaweza kukuua
Ay niliyakwep ay kz nzr ruta na chado yn km kumb kumb y maish yang
Wanawake nao wanafanya wengi walie kaa mtot man🎉😂
Hahaha 🤣🤣 jamaa ameixha kula machupa ya kutoxha hahahah😅😅😅
Boncena pitia comments man we love from kenya man❤
@user-mt8qw3tj8u
6 ай бұрын
Mambo
@sophiashamimah5895
6 ай бұрын
@@user-mt8qw3tj8u poa sana
@user-mt8qw3tj8u
6 ай бұрын
Hello My name is David isack from tz
@sophiashamimah5895
6 ай бұрын
@@user-mt8qw3tj8u wow good am shamimah from kenya
@user-vr9mm3km1v
5 ай бұрын
Mambo
BEST COLLABO CHADO MASTER 🔥🔥
Sina makosa ziko ngapi jamani,,,,, mwatuchanganya man😂
man man man man ndoo nn ekta za kizamani hizo hem kua sirious
Mgeni wa Kijiji pls pls maliza kutoka kenya tunakupenda Bure man
Mmejitahidi ni mzuri sana
Boncena kuku n wako🤣🤣🤣🤣
Umetisha sana man ❤❤❤
Lutaman
Hatari! 🔥 🔥 🔥
A perfect duo Luta man na chado wamepatana🤣🤣🤣🤣🤣 sisi tumekwisha 🤣🤣🤣🤣 Ipelekeni hadi mwisho Nawakubali kichizi Wanangu Twende kazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏁
Mama Man 😂😂
Mwanawitu
Sema mnazingua ep haziishi unyago ipo wapi
Vp man naona kitu kipya tena man
Nice🎉🎉🎉
Vipii man
Mbona usimalize unyago kwanza brother
@sarahkararinyakinyua3618
6 ай бұрын
Ata mgeni wa Kijiji haikuisha anarukaruka sana
Uko na series nzuri ila shida yako unaziachia njiani..mgeni wa kijiji ilikuwa mote ukaiachia njiani,unyago nayo siku hizi unakawia saana kutoa,ghafla ushaanza nyengine
🤣🤣🤣🤣🤣 ruta man nikivuruge kweli hakuna kaka hapo
Unatuchanganya man mbona unarukaruka hivo man? Mgeni wa kijiji haijaisha ukaanza unyago nayo haijaisha unatuleta huku tena duh!!
Lit man🎉🎉🎉
Much love from kenya
Man umalize man usiache njiani Tena man
Hahahhahahhha ety wa2 wamechanganyikiwa na maixha mjin!!!😅😅😅
Yaani eti mbele hachezi nyuma hatingishiki😅😅😅😅
Boncena wataka urith tu😊😊
❤❤ boncena unatufurahisha😊
Yani kuna party A & B
Luta man
Achiaaa😅😅❤ nipitie pia ❤
Uhakik man
Very very nice episode, we love you from DRC, man .
Achi😂achia
Unyago uko wapi
Mnajua
Nawapenda woto boncna gn
kazinzuli ila tuna miss mgeni wakijiji
Tunakupenda man from American tx
@user-yf7ys2pv1h
5 ай бұрын
Nakubali chado gensta ❤❤🎉🎉
Luta ataka kuku na urithi aki....🤫
luta man unafulaisha na lakini umaliz mgeni wa kijiji
Amazing content ❤❤