TARZAN 《 01 》

Ойын-сауық

##DIRECTOR_VASCO_SHOTS

Пікірлер: 636

  • @JamaliNdwata
    @JamaliNdwata19 күн бұрын

    Kama umeipenda TARZAN tujuane kwa like nawapendaa

  • @aaminaasljbgbvf745

    @aaminaasljbgbvf745

    19 күн бұрын

    Inaoonekana zury nayo mapara kama ,,,,,,,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JacksonMutinda-jw5qw

    @JacksonMutinda-jw5qw

    19 күн бұрын

    Wa Tanzania na likes jameni,wat for? 😂😂

  • @user-hb7ln2dl3r

    @user-hb7ln2dl3r

    6 күн бұрын

    @@JamaliNdwata good

  • @amanijumanne5543
    @amanijumanne554316 күн бұрын

    Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani

  • @muhsiniamiri9310

    @muhsiniamiri9310

    11 күн бұрын

    saf san hayo ndo maon mazur wame jitahd lkn pia tunapasw kuwa kosoa wanapokosea❤

  • @samponews1689
    @samponews168919 күн бұрын

    Me siombi like me nasapoti kazi😂embu tuache utani like Zina raha yake bana😊Aya twende kazi kumsapoti mwanetu 🎉🎉🎉

  • @zuberpaulo7577

    @zuberpaulo7577

    16 күн бұрын

    Hahahahah

  • @CalivinNjau

    @CalivinNjau

    15 күн бұрын

    Umetekenywa​@@zuberpaulo7577

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale19 күн бұрын

    ❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu

  • @ruthkarisa3045

    @ruthkarisa3045

    18 күн бұрын

    walaii hii movie ni moto ila luta man banaa🤣nakupenda babaa

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv

    @AbdulMussakabagambe-qd6lv

    17 күн бұрын

    Ngoma imeanza na unyama yaani moto moto👍👍👍👍

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau19 күн бұрын

    Sema mganga kunanamna unapita na idea za mwakatobe siyo poa ingependeza kama ungepata ya kwako✊ ingependeza zaidi

  • @octavian54

    @octavian54

    17 күн бұрын

    @@BenjaminMetanyau kwelii kabisaa kazingua

  • @YoungblackPeople-qf7vx

    @YoungblackPeople-qf7vx

    17 күн бұрын

    @@BenjaminMetanyau ushauli ndo una faa kama huu✅️siyo kuomba like

  • @BenjaminMetanyau

    @BenjaminMetanyau

    17 күн бұрын

    @@octavian54 🤝

  • @BenjaminMetanyau

    @BenjaminMetanyau

    17 күн бұрын

    @@YoungblackPeople-qf7vx 🙏

  • @fatherjaytz

    @fatherjaytz

    16 күн бұрын

    Nlitaka kusema hvo

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial19 күн бұрын

    ❤Wa kwanza Mimi Leo kuitizama Tamthilia ya TARZAN 🎉🎉🎉😂😂😂

  • @JescaIrakoze
    @JescaIrakoze19 күн бұрын

    😢Yaniii huyu gumbwa kapendeza Jameni hepu nipe liké hâta tano basii n'a mimi

  • @jacksonhafashimana3603
    @jacksonhafashimana360319 күн бұрын

    Tulio maliza love bite na tume anza Tarzan tu juane apa🇨🇩

  • @GermainMukengere-zx9lc
    @GermainMukengere-zx9lc19 күн бұрын

    Pongezi kwa ruta man kwaiyi kazi nzuri ame tuletea

  • @Boniphacehachili
    @Boniphacehachili19 күн бұрын

    Kama unamkubali ruta mani gonga like🎉🎉🎉🎉heshma kwako kazi nzuuuri❤❤❤❤❤

  • @CrypsinMoraa
    @CrypsinMoraa19 күн бұрын

    Ni tamu kweli naitazama kutoka 🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧 i miss my motherland Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Isael.6396
    @Isael.639619 күн бұрын

    Tarzan,wa kwanza mimi from congo 🎉

  • @SelemaneIssa-vr7po
    @SelemaneIssa-vr7po12 күн бұрын

    Na mimi nipeni like japo nimechelewa kuwai

  • @LagerMtandila-g7x
    @LagerMtandila-g7x19 күн бұрын

    Wabongo bhana uwa siwaere wagi sana ilandoivyo mtukwao inabidi ukubar2 chakwako

  • @essaojohn3971
    @essaojohn397119 күн бұрын

    Bonge la story ruta man appreciate it brother

  • @JmmJacky
    @JmmJacky19 күн бұрын

    Noma sana .......watching from 🇰🇪

  • @user-qg1yh7hy4o
    @user-qg1yh7hy4o19 күн бұрын

    Waoooooo!!! God job maua yako boncena🎉🎉🎉

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m19 күн бұрын

    Woow kumbe kazi nzuri mungu ashidi kukuongoza kaka rutaman🎉🎉❤❤

  • @rashidkibavu1863
    @rashidkibavu186319 күн бұрын

    Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili, Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta

  • @user-iw1jt5ll7m
    @user-iw1jt5ll7m19 күн бұрын

    Bona kama itakua tamu kizindi zote 😂😂😂🎉

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye239619 күн бұрын

    Sitokuangusha Mie❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Hadi mwisho

  • @MadingaMadinga-ff7po
    @MadingaMadinga-ff7po19 күн бұрын

    Oya kaz imempata mwenyewe mganga uyo hakoseag kwenye mishe izo baisa mganga

  • @fortunegerishom1827
    @fortunegerishom182719 күн бұрын

    Nmeikubali mwanangu,,, movie Kali sana🔥🔥🔥Km unamkubali LUTA MAN Eka like tukisonga

  • @zzerosooraj9134
    @zzerosooraj913419 күн бұрын

    Taznan bonge la movie big up 💪 luta man from Kenya 🇰🇪

  • @KIJITO-CHA-UTAKASO_HQ98.
    @KIJITO-CHA-UTAKASO_HQ98.19 күн бұрын

    Hujawahi haribu KAZI....upo vyema ...zinafundisha mno...Good content, quality pictures...na wasaniii wako wanavaa uhusika vyema...nice choice of location ..keep it up bro

  • @user-zw6cy2hn7x
    @user-zw6cy2hn7x19 күн бұрын

    Mbona mnamtesa sana Happy wang ama hana Bahat kwenye mapenzi😂😂😂

  • @joshuasakwa1548

    @joshuasakwa1548

    19 күн бұрын

    Jameni,

  • @pogo946
    @pogo94619 күн бұрын

    Kazi nzuri mwanzo mmefungua vizuri ila Mganga anatembea na code za #Mwakatobe 😂😂 #zinga kama mmeliona hilo gonga like zangu nyingi sana..

  • @NDAYISHIMIYEEslon
    @NDAYISHIMIYEEslon19 күн бұрын

    Daa leo nimewahi jamani kuwa wa kum na tisa kutok Burundi mnipatie like zangu

  • @user-yw5hs6in2z

    @user-yw5hs6in2z

    19 күн бұрын

    Nitumie no yako ya wasap nikutafte samahan lkn

  • @JacksonMutinda-jw5qw

    @JacksonMutinda-jw5qw

    19 күн бұрын

    Neda kaage izo likes,watu wa likes tuu,upuz

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani19 күн бұрын

    Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee

  • @khido_tz

    @khido_tz

    19 күн бұрын

    Ni kweli apo kapiga kama mwakatobe bn😂

  • @ngulathfundikira4205

    @ngulathfundikira4205

    19 күн бұрын

    Kweli kabisa kazingua

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    19 күн бұрын

    Wala hujakosea kazingua

  • @chaggastar9236

    @chaggastar9236

    18 күн бұрын

    Kuiga kitu kizuri sio mbaya kwa upande wangu

  • @JohnJustine-no1zv

    @JohnJustine-no1zv

    17 күн бұрын

    Kaka kama ww unaweza weka naww yako uone kama itapata views Ata wa 5hapo ndio utaamini kuwa mwamba kaupiga mwingi anasitahili pongezi

  • @shidashida6060
    @shidashida606019 күн бұрын

    Nzuri sana, mabint nguo zimewapendeza na lutha pia vazi limempndeza bila kusaha mtoto wa chief gumbwa kapendeza 🎉🎉🎉🎉

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi19 күн бұрын

    Mganga kamuiga mwakatobe mpaka anakera.

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g19 күн бұрын

    Mima pandisha kanga juu basi mchirizi huo hapo duh

  • @GlorylukaBura
    @GlorylukaBura19 күн бұрын

    Apo Kwan mganga ameharibu movie yote😢😢angeongea sautii yake aachane na ya ZINGA anamharibia 😢😢

  • @johnmwirigi3836

    @johnmwirigi3836

    16 күн бұрын

    @@GlorylukaBura 😆😆😆😆🤔

  • @perajiampipi4473

    @perajiampipi4473

    14 күн бұрын

    @@GlorylukaBura na kaiwezea kwelii 😁

  • @GlorylukaBura

    @GlorylukaBura

    14 күн бұрын

    @@perajiampipi4473 kawezea ila atumie tu yake maana si kote anaweza..ep2 katimia yake na movie inanoga tuu🥰

  • @metrinemanyonge6055
    @metrinemanyonge605519 күн бұрын

    Woow nilikua nimengoja❤

  • @user-fb5kx5km6t
    @user-fb5kx5km6t19 күн бұрын

    Jamani leo mm wa KWANZA naomben like ZENU tafdhal jaman❤

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti3219 күн бұрын

    Yani napenda movie za hivi za kijijini arafu wanajichora chora ivo Yan dah raha Sana, Luta man upo fire 🎉

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula19 күн бұрын

    Naomba kujua n msitu upi huu

  • @ZuhuraNgubule
    @ZuhuraNgubule19 күн бұрын

    Kaz nzur sana

  • @boydinhobabaneemadinho9677
    @boydinhobabaneemadinho967719 күн бұрын

    Na mm naomba like Leo jamani nimewai nawakubari sana

  • @aishaomar2287
    @aishaomar228719 күн бұрын

    Kazi safi sanaaaaaaa🎉🎉🎉...am in love with the location walai

  • @melaniameri2847
    @melaniameri284717 күн бұрын

    Mamaaaa mm nikajua miguu ya ng`ombe ndo wanaokimbia kumbe binadamu naomba mnisamhe😂😂😂😂

  • @KikohBoy
    @KikohBoy19 күн бұрын

    Kama umeona kua mganga anajitahid kupita njia za mwakatobe au zinga gonga like tujuane.

  • @TPEXtz
    @TPEXtz19 күн бұрын

    Ndio shida ya wabongo Yan yuko busy anasoma comment yangu badala andike yake 🤨🤨...kaz nzur team ruta man🔥

  • @allyraymond175
    @allyraymond17519 күн бұрын

    nakukubali sana mwanangu boncena najua hii kitu itakuwa kali balaa

  • @justuukilosh3962
    @justuukilosh396219 күн бұрын

    Wa kwanza from Kenya😘

  • @samuelbonfils57
    @samuelbonfils5719 күн бұрын

    Love from Burundi❤❤🎉🎉

  • @annaki318
    @annaki31819 күн бұрын

    Hiii ni nzurii sanaaa wametukumbuka kina mwaghona na bhughonilee😅😅😅😅😅😅 Ndagaaaaaaaaa #Boncena🎉🎉🎉🎉

  • @falejilala1158
    @falejilala115818 күн бұрын

    Mwamba ruta man hongera kaka pambana MUNGU atusaidie utimize ndoto zako.

  • @ramseykey940
    @ramseykey94019 күн бұрын

    Na mimi kutoka south africa 🇿🇦 naombeni like zenu jameni

  • @maestrobindaniel7040
    @maestrobindaniel704019 күн бұрын

    Leo nataka gawa like kwa kila mutu sasa sijuwi inanze na nani?

  • @ollenmlangali2867
    @ollenmlangali286716 күн бұрын

    Wasafwa big up mwagona ewane ...mbeya stand up .

  • @abdullatif053
    @abdullatif05319 күн бұрын

    🤓🤣🤣luta man VP ktk kushuka mti mbona km umeanguka, kateleza ❤nimeipenda iyoo🤓🤣🤣🤩🥰

  • @IsayaKudeli
    @IsayaKudeli19 күн бұрын

    Mie nimekuja kwa mfumo huu tulio rudia kuangalia mara tatu(3) tujuane sasa APA kwa like sawa mashabiki wa Ruta man

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv17 күн бұрын

    Ruta mnyama mkali sana kisha chunga sana gumbwa ni moto wa kuotea mbali💪💪💪💪💪

  • @hamisisaid1489
    @hamisisaid148919 күн бұрын

    Ruta Man! Nakukubali man.. kazi nzuri sanaa❤❤❤❤

  • @benoseaone
    @benoseaone19 күн бұрын

    Anyway hii ni kipande cha kwanza na inapendeza kuona ni very natural. It is good. Wasiwasi wangu, kwa nini wameigiza jina? TARZAN wamemaanisha nini? Kwenye jina wamechemka.

  • @aishaomar2287

    @aishaomar2287

    19 күн бұрын

    Wameigiza vipi? Nichanue😊

  • @benoseaone

    @benoseaone

    19 күн бұрын

    @@aishaomar2287 Tarzan ni jina la filamu ya Kihindi. Jaribu kuseard KZread utaiona.

  • @user-ec6ow2cx7c
    @user-ec6ow2cx7c19 күн бұрын

    Mko vizuri sanaaaaaaaa team ruta man 🎉🎉🎉

  • @SHYNESZAWADI
    @SHYNESZAWADI19 күн бұрын

    Huyu mganga ni kama mwaikatombe

  • @shakehmedicatz
    @shakehmedicatz19 күн бұрын

    Jamani heppy mmmh pole sana nawafatilia sana jamani

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr36514 күн бұрын

    Naipenda Saaana Tangu kongo 🇨🇩🇨🇩🎉🎉❤❤

  • @Bibi-he6vt
    @Bibi-he6vt16 күн бұрын

    Mko smart na hizo nguo lovely kipepeo na udugu wako❤

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i19 күн бұрын

    Nikajua wanawake ndo wanaomba like kumbe hadi midume😂😂😂😂

  • @Mwenge-li2kr3vk8w

    @Mwenge-li2kr3vk8w

    19 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @elizabethcatherine-jm8fr

    @elizabethcatherine-jm8fr

    19 күн бұрын

    Midume ndo balaa kwa kuomba like 😂😂😂

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    18 күн бұрын

    Tofautisha Kati ya mwanaume na shoga..mashoga ndio huwa wanaomba like​@@elizabethcatherine-jm8fr

  • @bernnoely5519

    @bernnoely5519

    4 күн бұрын

    Kitambo ila nyumba ni za bati

  • @BlessingIgiraneza-jw4qv
    @BlessingIgiraneza-jw4qv19 күн бұрын

    Munanifurahisha sana.Mubarikiwe

  • @condeboy257tv9
    @condeboy257tv919 күн бұрын

    Nyie Wa Tz Kwa Kusema kweli mnanipa furaha kubwa Sana Kuhusu Movie zenu, Nikiwa huku Rwanda . Hongeleni Sana.

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi14 күн бұрын

    Nimependa pk boncena mwenyewe kabla sijaimaliza

  • @DamarisMasese-rh6hy
    @DamarisMasese-rh6hy19 күн бұрын

    Kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 shabiki sugu wa Boncena Ruta man hii kweli kali kanikumbusha unyago aisee nawakubali sana ❤❤❤

  • @gideonodoyo-wk5cw
    @gideonodoyo-wk5cw18 күн бұрын

    Tuachen ubinafsi mwamba kaweza kwenye hii Kaz tumpe 💯❤❤❤Mwagona🙏🙏🙏

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn328719 күн бұрын

    Hii nimeipenda sana Tarzan ♥️♥️♥️💪🇰🇪🇰🇪

  • @officialgee-m3b
    @officialgee-m3b19 күн бұрын

    Ni zaidi ya maajabu brother eeeeh heshima kwako

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf19 күн бұрын

    Nakubali team ruta man

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v19 күн бұрын

    Kaz nzur sana team Boncena❤❤❤

  • @msaniitz
    @msaniitz16 күн бұрын

    Bayser ña boncena kwa kweli nawapenda sana mnajua kuigiza i say

  • @user-ud5mv5qi8w
    @user-ud5mv5qi8w18 күн бұрын

    Mimi wa kwaza naipenda sana tarzan luta mimi shabiki yako kutoka Bujumbura 🎉

  • @DannyMutai
    @DannyMutai19 күн бұрын

    Congratulations nafatilia from mombasa kenya🇰🇪nakubali

  • @jassminemubarak2828
    @jassminemubarak282816 күн бұрын

    tuseme tu wasafwa tunashukuru kwa kuendeleza kutangaza kabira letu🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ruto man❤❤❤

  • @jofrayanthony9769
    @jofrayanthony976912 күн бұрын

    Tanzania sijawai ona movie imepangiliwa kama hii the best kila kitu kimekaa sawa director apewe Maua Yake m Kwakweli❤❤❤❤❤

  • @sarahmariah2371
    @sarahmariah237116 күн бұрын

    Kazi nzuri jamani vichakani sio kurahisi kushoot filamu .mungu awajalie

  • @KasimuIbadi-kq2ne
    @KasimuIbadi-kq2ne19 күн бұрын

    Wakwanza kutoka iringa, kamwenee vanyalukolo

  • @user-zz1iw9wu4h

    @user-zz1iw9wu4h

    19 күн бұрын

    Kmwenee unogagee

  • @JuliusPaul-se6wk
    @JuliusPaul-se6wk19 күн бұрын

    Yes bonge moja ya series hukuenda america bure boncenw

  • @User7700
    @User770019 күн бұрын

    Ongera rutaman kwa kazi nyingine mungu akuzidishie kipaji mara dufu🎉😅

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale19 күн бұрын

    Kazi nzuri, hongera wanangu

  • @user-oz3lp1ib7m
    @user-oz3lp1ib7m19 күн бұрын

    Wa kwanza naomba like zenu

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r19 күн бұрын

    Nakubali sana master movie nzuri sana ❤😂🎉😢😮😅😊

  • @IssaMkali-k6y
    @IssaMkali-k6y3 күн бұрын

    Mumetisha sana hii ndomove sas ya ukwel nimeipenda❤

  • @JoelMwandete
    @JoelMwandete19 күн бұрын

    😂😂leo wa kwanza kwa tarzani gonga kopa aaaapo

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki19 күн бұрын

    Waooo kitu kipya ico piga kelele kwa bocena weweee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SwifraKitemwe
    @SwifraKitemwe17 күн бұрын

    Move nzur na inaleta hamu ya kuiangalia 🤐👋👋naomba like hapa

  • @user-lo6sy9zz2f
    @user-lo6sy9zz2f19 күн бұрын

    Mmmh Hao wenye vipara Sasa 😂😂😂❤❤❤

  • @angelmauja1846
    @angelmauja184619 күн бұрын

    Nani kaona vipara kama nlivyoona mm 🙆🙆🙆

  • @stephanosafari3792
    @stephanosafari379219 күн бұрын

    Thamthilia nzuri maudhui yake mazuri,from Kenya,Gen_z

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up16 күн бұрын

    Boncena unajua sanaa brooo

  • @ahmedbwire882
    @ahmedbwire8829 күн бұрын

    Ndio mara ya kwanza kuona mganga ana nyota tatu

  • @SkillfulNgenje
    @SkillfulNgenje8 күн бұрын

    Location na uhusika umechaguliwa vizuri

  • @psalmistrensonbaraka
    @psalmistrensonbaraka19 күн бұрын

    Waaaaaah ❤❤❤❤❤❤hiii Niko nayoo baaamto bamuuu hapa kenyaa naenjoy

  • @mobastian5050
    @mobastian505016 күн бұрын

    Location nzuri sana❤❤❤❤

  • @HuriaTimoseu
    @HuriaTimoseu19 күн бұрын

    ❤❤❤❤ ruta ndiyo bongo bongo movie tuache unafki

  • @user-pr3hf4lm9o
    @user-pr3hf4lm9o18 күн бұрын

    We nilike bwana iko poa

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw16 күн бұрын

    Waooooo😂😂 umetisha Ruta kwa kuwakilishia Salam wandali mwaghona❤❤❤❤ nmependa sana

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani38079 күн бұрын

    Mashallah asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤

  • @adidjaVyumvuhore-tp3tc
    @adidjaVyumvuhore-tp3tc18 күн бұрын

    Baisa Wang kama Baisa kweny uhusika wake w uganga 💪💪💪💃💃Respect for u man

Келесі