Inaoonekana zury nayo mapara kama ,,,,,,,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JacksonMutinda-jw5qw
19 күн бұрын
Wa Tanzania na likes jameni,wat for? 😂😂
@user-hb7ln2dl3r
6 күн бұрын
@@JamaliNdwata good
@amanijumanne554316 күн бұрын
Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani
@muhsiniamiri9310
11 күн бұрын
saf san hayo ndo maon mazur wame jitahd lkn pia tunapasw kuwa kosoa wanapokosea❤
@samponews168919 күн бұрын
Me siombi like me nasapoti kazi😂embu tuache utani like Zina raha yake bana😊Aya twende kazi kumsapoti mwanetu 🎉🎉🎉
@zuberpaulo7577
16 күн бұрын
Hahahahah
@CalivinNjau
15 күн бұрын
Umetekenywa@@zuberpaulo7577
@KambaleMbangale19 күн бұрын
❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu
@ruthkarisa3045
18 күн бұрын
walaii hii movie ni moto ila luta man banaa🤣nakupenda babaa
@AbdulMussakabagambe-qd6lv
17 күн бұрын
Ngoma imeanza na unyama yaani moto moto👍👍👍👍
@BenjaminMetanyau19 күн бұрын
Sema mganga kunanamna unapita na idea za mwakatobe siyo poa ingependeza kama ungepata ya kwako✊ ingependeza zaidi
@octavian54
17 күн бұрын
@@BenjaminMetanyau kwelii kabisaa kazingua
@YoungblackPeople-qf7vx
17 күн бұрын
@@BenjaminMetanyau ushauli ndo una faa kama huu✅️siyo kuomba like
@BenjaminMetanyau
17 күн бұрын
@@octavian54 🤝
@BenjaminMetanyau
17 күн бұрын
@@YoungblackPeople-qf7vx 🙏
@fatherjaytz
16 күн бұрын
Nlitaka kusema hvo
@LilmmyCrazyfficial19 күн бұрын
❤Wa kwanza Mimi Leo kuitizama Tamthilia ya TARZAN 🎉🎉🎉😂😂😂
Tulio maliza love bite na tume anza Tarzan tu juane apa🇨🇩
@GermainMukengere-zx9lc19 күн бұрын
Pongezi kwa ruta man kwaiyi kazi nzuri ame tuletea
@Boniphacehachili19 күн бұрын
Kama unamkubali ruta mani gonga like🎉🎉🎉🎉heshma kwako kazi nzuuuri❤❤❤❤❤
@CrypsinMoraa19 күн бұрын
Ni tamu kweli naitazama kutoka 🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧 i miss my motherland Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Isael.639619 күн бұрын
Tarzan,wa kwanza mimi from congo 🎉
@SelemaneIssa-vr7po12 күн бұрын
Na mimi nipeni like japo nimechelewa kuwai
@LagerMtandila-g7x19 күн бұрын
Wabongo bhana uwa siwaere wagi sana ilandoivyo mtukwao inabidi ukubar2 chakwako
@essaojohn397119 күн бұрын
Bonge la story ruta man appreciate it brother
@JmmJacky19 күн бұрын
Noma sana .......watching from 🇰🇪
@user-qg1yh7hy4o19 күн бұрын
Waoooooo!!! God job maua yako boncena🎉🎉🎉
@user-vo7yb6wp1m19 күн бұрын
Woow kumbe kazi nzuri mungu ashidi kukuongoza kaka rutaman🎉🎉❤❤
@rashidkibavu186319 күн бұрын
Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili, Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta
Nmeikubali mwanangu,,, movie Kali sana🔥🔥🔥Km unamkubali LUTA MAN Eka like tukisonga
@zzerosooraj913419 күн бұрын
Taznan bonge la movie big up 💪 luta man from Kenya 🇰🇪
@KIJITO-CHA-UTAKASO_HQ98.19 күн бұрын
Hujawahi haribu KAZI....upo vyema ...zinafundisha mno...Good content, quality pictures...na wasaniii wako wanavaa uhusika vyema...nice choice of location ..keep it up bro
@user-zw6cy2hn7x19 күн бұрын
Mbona mnamtesa sana Happy wang ama hana Bahat kwenye mapenzi😂😂😂
@joshuasakwa1548
19 күн бұрын
Jameni,
@pogo94619 күн бұрын
Kazi nzuri mwanzo mmefungua vizuri ila Mganga anatembea na code za #Mwakatobe 😂😂 #zinga kama mmeliona hilo gonga like zangu nyingi sana..
@NDAYISHIMIYEEslon19 күн бұрын
Daa leo nimewahi jamani kuwa wa kum na tisa kutok Burundi mnipatie like zangu
@user-yw5hs6in2z
19 күн бұрын
Nitumie no yako ya wasap nikutafte samahan lkn
@JacksonMutinda-jw5qw
19 күн бұрын
Neda kaage izo likes,watu wa likes tuu,upuz
@HamadMwagoani19 күн бұрын
Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee
@khido_tz
19 күн бұрын
Ni kweli apo kapiga kama mwakatobe bn😂
@ngulathfundikira4205
19 күн бұрын
Kweli kabisa kazingua
@agnesjohn9382
19 күн бұрын
Wala hujakosea kazingua
@chaggastar9236
18 күн бұрын
Kuiga kitu kizuri sio mbaya kwa upande wangu
@JohnJustine-no1zv
17 күн бұрын
Kaka kama ww unaweza weka naww yako uone kama itapata views Ata wa 5hapo ndio utaamini kuwa mwamba kaupiga mwingi anasitahili pongezi
@shidashida606019 күн бұрын
Nzuri sana, mabint nguo zimewapendeza na lutha pia vazi limempndeza bila kusaha mtoto wa chief gumbwa kapendeza 🎉🎉🎉🎉
@RebecaMackenzi19 күн бұрын
Mganga kamuiga mwakatobe mpaka anakera.
@user-fw2jk3mx7g19 күн бұрын
Mima pandisha kanga juu basi mchirizi huo hapo duh
@GlorylukaBura19 күн бұрын
Apo Kwan mganga ameharibu movie yote😢😢angeongea sautii yake aachane na ya ZINGA anamharibia 😢😢
@johnmwirigi3836
16 күн бұрын
@@GlorylukaBura 😆😆😆😆🤔
@perajiampipi4473
14 күн бұрын
@@GlorylukaBura na kaiwezea kwelii 😁
@GlorylukaBura
14 күн бұрын
@@perajiampipi4473 kawezea ila atumie tu yake maana si kote anaweza..ep2 katimia yake na movie inanoga tuu🥰
@metrinemanyonge605519 күн бұрын
Woow nilikua nimengoja❤
@user-fb5kx5km6t19 күн бұрын
Jamani leo mm wa KWANZA naomben like ZENU tafdhal jaman❤
@Lovekidoti3219 күн бұрын
Yani napenda movie za hivi za kijijini arafu wanajichora chora ivo Yan dah raha Sana, Luta man upo fire 🎉
@benjaminwafula19 күн бұрын
Naomba kujua n msitu upi huu
@ZuhuraNgubule19 күн бұрын
Kaz nzur sana
@boydinhobabaneemadinho967719 күн бұрын
Na mm naomba like Leo jamani nimewai nawakubari sana
@aishaomar228719 күн бұрын
Kazi safi sanaaaaaaa🎉🎉🎉...am in love with the location walai
@melaniameri284717 күн бұрын
Mamaaaa mm nikajua miguu ya ng`ombe ndo wanaokimbia kumbe binadamu naomba mnisamhe😂😂😂😂
@KikohBoy19 күн бұрын
Kama umeona kua mganga anajitahid kupita njia za mwakatobe au zinga gonga like tujuane.
@TPEXtz19 күн бұрын
Ndio shida ya wabongo Yan yuko busy anasoma comment yangu badala andike yake 🤨🤨...kaz nzur team ruta man🔥
@allyraymond17519 күн бұрын
nakukubali sana mwanangu boncena najua hii kitu itakuwa kali balaa
@justuukilosh396219 күн бұрын
Wa kwanza from Kenya😘
@samuelbonfils5719 күн бұрын
Love from Burundi❤❤🎉🎉
@annaki31819 күн бұрын
Hiii ni nzurii sanaaa wametukumbuka kina mwaghona na bhughonilee😅😅😅😅😅😅 Ndagaaaaaaaaa #Boncena🎉🎉🎉🎉
@falejilala115818 күн бұрын
Mwamba ruta man hongera kaka pambana MUNGU atusaidie utimize ndoto zako.
@ramseykey94019 күн бұрын
Na mimi kutoka south africa 🇿🇦 naombeni like zenu jameni
@maestrobindaniel704019 күн бұрын
Leo nataka gawa like kwa kila mutu sasa sijuwi inanze na nani?
@ollenmlangali286716 күн бұрын
Wasafwa big up mwagona ewane ...mbeya stand up .
@abdullatif05319 күн бұрын
🤓🤣🤣luta man VP ktk kushuka mti mbona km umeanguka, kateleza ❤nimeipenda iyoo🤓🤣🤣🤩🥰
@IsayaKudeli19 күн бұрын
Mie nimekuja kwa mfumo huu tulio rudia kuangalia mara tatu(3) tujuane sasa APA kwa like sawa mashabiki wa Ruta man
@AbdulMussakabagambe-qd6lv17 күн бұрын
Ruta mnyama mkali sana kisha chunga sana gumbwa ni moto wa kuotea mbali💪💪💪💪💪
@hamisisaid148919 күн бұрын
Ruta Man! Nakukubali man.. kazi nzuri sanaa❤❤❤❤
@benoseaone19 күн бұрын
Anyway hii ni kipande cha kwanza na inapendeza kuona ni very natural. It is good. Wasiwasi wangu, kwa nini wameigiza jina? TARZAN wamemaanisha nini? Kwenye jina wamechemka.
@aishaomar2287
19 күн бұрын
Wameigiza vipi? Nichanue😊
@benoseaone
19 күн бұрын
@@aishaomar2287 Tarzan ni jina la filamu ya Kihindi. Jaribu kuseard KZread utaiona.
@user-ec6ow2cx7c19 күн бұрын
Mko vizuri sanaaaaaaaa team ruta man 🎉🎉🎉
@SHYNESZAWADI19 күн бұрын
Huyu mganga ni kama mwaikatombe
@shakehmedicatz19 күн бұрын
Jamani heppy mmmh pole sana nawafatilia sana jamani
@salumuwembo-fo5rr36514 күн бұрын
Naipenda Saaana Tangu kongo 🇨🇩🇨🇩🎉🎉❤❤
@Bibi-he6vt16 күн бұрын
Mko smart na hizo nguo lovely kipepeo na udugu wako❤
@user-il8wx3eq8i19 күн бұрын
Nikajua wanawake ndo wanaomba like kumbe hadi midume😂😂😂😂
@Mwenge-li2kr3vk8w
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@elizabethcatherine-jm8fr
19 күн бұрын
Midume ndo balaa kwa kuomba like 😂😂😂
@mtzhalisi2232
18 күн бұрын
Tofautisha Kati ya mwanaume na shoga..mashoga ndio huwa wanaomba like@@elizabethcatherine-jm8fr
@bernnoely5519
4 күн бұрын
Kitambo ila nyumba ni za bati
@BlessingIgiraneza-jw4qv19 күн бұрын
Munanifurahisha sana.Mubarikiwe
@condeboy257tv919 күн бұрын
Nyie Wa Tz Kwa Kusema kweli mnanipa furaha kubwa Sana Kuhusu Movie zenu, Nikiwa huku Rwanda . Hongeleni Sana.
@AminaMohamed-td2bi14 күн бұрын
Nimependa pk boncena mwenyewe kabla sijaimaliza
@DamarisMasese-rh6hy19 күн бұрын
Kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 shabiki sugu wa Boncena Ruta man hii kweli kali kanikumbusha unyago aisee nawakubali sana ❤❤❤
@gideonodoyo-wk5cw18 күн бұрын
Tuachen ubinafsi mwamba kaweza kwenye hii Kaz tumpe 💯❤❤❤Mwagona🙏🙏🙏
@mughishajohn328719 күн бұрын
Hii nimeipenda sana Tarzan ♥️♥️♥️💪🇰🇪🇰🇪
@officialgee-m3b19 күн бұрын
Ni zaidi ya maajabu brother eeeeh heshima kwako
@SelemaniIddy-nc1nf19 күн бұрын
Nakubali team ruta man
@user-st3wo7qi2v19 күн бұрын
Kaz nzur sana team Boncena❤❤❤
@msaniitz16 күн бұрын
Bayser ña boncena kwa kweli nawapenda sana mnajua kuigiza i say
@user-ud5mv5qi8w18 күн бұрын
Mimi wa kwaza naipenda sana tarzan luta mimi shabiki yako kutoka Bujumbura 🎉
@DannyMutai19 күн бұрын
Congratulations nafatilia from mombasa kenya🇰🇪nakubali
@jassminemubarak282816 күн бұрын
tuseme tu wasafwa tunashukuru kwa kuendeleza kutangaza kabira letu🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ruto man❤❤❤
@jofrayanthony976912 күн бұрын
Tanzania sijawai ona movie imepangiliwa kama hii the best kila kitu kimekaa sawa director apewe Maua Yake m Kwakweli❤❤❤❤❤
@sarahmariah237116 күн бұрын
Kazi nzuri jamani vichakani sio kurahisi kushoot filamu .mungu awajalie
@KasimuIbadi-kq2ne19 күн бұрын
Wakwanza kutoka iringa, kamwenee vanyalukolo
@user-zz1iw9wu4h
19 күн бұрын
Kmwenee unogagee
@JuliusPaul-se6wk19 күн бұрын
Yes bonge moja ya series hukuenda america bure boncenw
@User770019 күн бұрын
Ongera rutaman kwa kazi nyingine mungu akuzidishie kipaji mara dufu🎉😅
@KambaleMbangale19 күн бұрын
Kazi nzuri, hongera wanangu
@user-oz3lp1ib7m19 күн бұрын
Wa kwanza naomba like zenu
@user-eo1qy1zh7r19 күн бұрын
Nakubali sana master movie nzuri sana ❤😂🎉😢😮😅😊
@IssaMkali-k6y3 күн бұрын
Mumetisha sana hii ndomove sas ya ukwel nimeipenda❤
@JoelMwandete19 күн бұрын
😂😂leo wa kwanza kwa tarzani gonga kopa aaaapo
@RizikiZiki19 күн бұрын
Waooo kitu kipya ico piga kelele kwa bocena weweee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SwifraKitemwe17 күн бұрын
Move nzur na inaleta hamu ya kuiangalia 🤐👋👋naomba like hapa
@user-lo6sy9zz2f19 күн бұрын
Mmmh Hao wenye vipara Sasa 😂😂😂❤❤❤
@angelmauja184619 күн бұрын
Nani kaona vipara kama nlivyoona mm 🙆🙆🙆
@stephanosafari379219 күн бұрын
Thamthilia nzuri maudhui yake mazuri,from Kenya,Gen_z
@JamesReuben-gt8up16 күн бұрын
Boncena unajua sanaa brooo
@ahmedbwire8829 күн бұрын
Ndio mara ya kwanza kuona mganga ana nyota tatu
@SkillfulNgenje8 күн бұрын
Location na uhusika umechaguliwa vizuri
@psalmistrensonbaraka19 күн бұрын
Waaaaaah ❤❤❤❤❤❤hiii Niko nayoo baaamto bamuuu hapa kenyaa naenjoy
@mobastian505016 күн бұрын
Location nzuri sana❤❤❤❤
@HuriaTimoseu19 күн бұрын
❤❤❤❤ ruta ndiyo bongo bongo movie tuache unafki
@user-pr3hf4lm9o18 күн бұрын
We nilike bwana iko poa
@MussaHaule-tn3xw16 күн бұрын
Waooooo😂😂 umetisha Ruta kwa kuwakilishia Salam wandali mwaghona❤❤❤❤ nmependa sana
@fatumaselemani38079 күн бұрын
Mashallah asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤
@adidjaVyumvuhore-tp3tc18 күн бұрын
Baisa Wang kama Baisa kweny uhusika wake w uganga 💪💪💪💃💃Respect for u man
Пікірлер: 636
Kama umeipenda TARZAN tujuane kwa like nawapendaa
@aaminaasljbgbvf745
19 күн бұрын
Inaoonekana zury nayo mapara kama ,,,,,,,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JacksonMutinda-jw5qw
19 күн бұрын
Wa Tanzania na likes jameni,wat for? 😂😂
@user-hb7ln2dl3r
6 күн бұрын
@@JamaliNdwata good
Igizo ni nzur sana ina wawomba kitu kimoja ogezeni ubunifu wa kufunga mimba maana mimba mpaka inaonekana kama nimenguo .mefugafunga tumboni ila samahani
@muhsiniamiri9310
11 күн бұрын
saf san hayo ndo maon mazur wame jitahd lkn pia tunapasw kuwa kosoa wanapokosea❤
Me siombi like me nasapoti kazi😂embu tuache utani like Zina raha yake bana😊Aya twende kazi kumsapoti mwanetu 🎉🎉🎉
@zuberpaulo7577
16 күн бұрын
Hahahahah
@CalivinNjau
15 күн бұрын
Umetekenywa@@zuberpaulo7577
❤ya leo kali tena tamu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ruta man hapa karibuni naona unabeba bendera yawasani bora tanzania hadi nchi zote zinazo zungumza kiswahili , kamaunakubaliana nami gonga like alafu sambaza hii link ❤❤❤❤❤ umoja ni nguvu
@ruthkarisa3045
18 күн бұрын
walaii hii movie ni moto ila luta man banaa🤣nakupenda babaa
@AbdulMussakabagambe-qd6lv
17 күн бұрын
Ngoma imeanza na unyama yaani moto moto👍👍👍👍
Sema mganga kunanamna unapita na idea za mwakatobe siyo poa ingependeza kama ungepata ya kwako✊ ingependeza zaidi
@octavian54
17 күн бұрын
@@BenjaminMetanyau kwelii kabisaa kazingua
@YoungblackPeople-qf7vx
17 күн бұрын
@@BenjaminMetanyau ushauli ndo una faa kama huu✅️siyo kuomba like
@BenjaminMetanyau
17 күн бұрын
@@octavian54 🤝
@BenjaminMetanyau
17 күн бұрын
@@YoungblackPeople-qf7vx 🙏
@fatherjaytz
16 күн бұрын
Nlitaka kusema hvo
❤Wa kwanza Mimi Leo kuitizama Tamthilia ya TARZAN 🎉🎉🎉😂😂😂
😢Yaniii huyu gumbwa kapendeza Jameni hepu nipe liké hâta tano basii n'a mimi
Tulio maliza love bite na tume anza Tarzan tu juane apa🇨🇩
Pongezi kwa ruta man kwaiyi kazi nzuri ame tuletea
Kama unamkubali ruta mani gonga like🎉🎉🎉🎉heshma kwako kazi nzuuuri❤❤❤❤❤
Ni tamu kweli naitazama kutoka 🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧🇱🇧 i miss my motherland Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tarzan,wa kwanza mimi from congo 🎉
Na mimi nipeni like japo nimechelewa kuwai
Wabongo bhana uwa siwaere wagi sana ilandoivyo mtukwao inabidi ukubar2 chakwako
Bonge la story ruta man appreciate it brother
Noma sana .......watching from 🇰🇪
Waoooooo!!! God job maua yako boncena🎉🎉🎉
Woow kumbe kazi nzuri mungu ashidi kukuongoza kaka rutaman🎉🎉❤❤
Kama film ya kiasili basi hata majina yawe ya asili, Humu ndani nimeskia jina la HAPPY, ila haikupaswa kuwe na majina hayo ilitakiwa kuwe na majina ya kibantu na si ya kuzungu. Ila season nzuri hongera Ruta
Bona kama itakua tamu kizindi zote 😂😂😂🎉
Sitokuangusha Mie❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Hadi mwisho
Oya kaz imempata mwenyewe mganga uyo hakoseag kwenye mishe izo baisa mganga
Nmeikubali mwanangu,,, movie Kali sana🔥🔥🔥Km unamkubali LUTA MAN Eka like tukisonga
Taznan bonge la movie big up 💪 luta man from Kenya 🇰🇪
Hujawahi haribu KAZI....upo vyema ...zinafundisha mno...Good content, quality pictures...na wasaniii wako wanavaa uhusika vyema...nice choice of location ..keep it up bro
Mbona mnamtesa sana Happy wang ama hana Bahat kwenye mapenzi😂😂😂
@joshuasakwa1548
19 күн бұрын
Jameni,
Kazi nzuri mwanzo mmefungua vizuri ila Mganga anatembea na code za #Mwakatobe 😂😂 #zinga kama mmeliona hilo gonga like zangu nyingi sana..
Daa leo nimewahi jamani kuwa wa kum na tisa kutok Burundi mnipatie like zangu
@user-yw5hs6in2z
19 күн бұрын
Nitumie no yako ya wasap nikutafte samahan lkn
@JacksonMutinda-jw5qw
19 күн бұрын
Neda kaage izo likes,watu wa likes tuu,upuz
Baisa Acha kuenda na mwendo wa mwakatobe bwana kuna Wana wengi walicheja ya scene ya uganga kuna kama mganga mwavumba,kuna yule chidi unaeza fuata awoo samahani n fan wa Ruta gang kama nimekosea mnisamehee
@khido_tz
19 күн бұрын
Ni kweli apo kapiga kama mwakatobe bn😂
@ngulathfundikira4205
19 күн бұрын
Kweli kabisa kazingua
@agnesjohn9382
19 күн бұрын
Wala hujakosea kazingua
@chaggastar9236
18 күн бұрын
Kuiga kitu kizuri sio mbaya kwa upande wangu
@JohnJustine-no1zv
17 күн бұрын
Kaka kama ww unaweza weka naww yako uone kama itapata views Ata wa 5hapo ndio utaamini kuwa mwamba kaupiga mwingi anasitahili pongezi
Nzuri sana, mabint nguo zimewapendeza na lutha pia vazi limempndeza bila kusaha mtoto wa chief gumbwa kapendeza 🎉🎉🎉🎉
Mganga kamuiga mwakatobe mpaka anakera.
Mima pandisha kanga juu basi mchirizi huo hapo duh
Apo Kwan mganga ameharibu movie yote😢😢angeongea sautii yake aachane na ya ZINGA anamharibia 😢😢
@johnmwirigi3836
16 күн бұрын
@@GlorylukaBura 😆😆😆😆🤔
@perajiampipi4473
14 күн бұрын
@@GlorylukaBura na kaiwezea kwelii 😁
@GlorylukaBura
14 күн бұрын
@@perajiampipi4473 kawezea ila atumie tu yake maana si kote anaweza..ep2 katimia yake na movie inanoga tuu🥰
Woow nilikua nimengoja❤
Jamani leo mm wa KWANZA naomben like ZENU tafdhal jaman❤
Yani napenda movie za hivi za kijijini arafu wanajichora chora ivo Yan dah raha Sana, Luta man upo fire 🎉
Naomba kujua n msitu upi huu
Kaz nzur sana
Na mm naomba like Leo jamani nimewai nawakubari sana
Kazi safi sanaaaaaaa🎉🎉🎉...am in love with the location walai
Mamaaaa mm nikajua miguu ya ng`ombe ndo wanaokimbia kumbe binadamu naomba mnisamhe😂😂😂😂
Kama umeona kua mganga anajitahid kupita njia za mwakatobe au zinga gonga like tujuane.
Ndio shida ya wabongo Yan yuko busy anasoma comment yangu badala andike yake 🤨🤨...kaz nzur team ruta man🔥
nakukubali sana mwanangu boncena najua hii kitu itakuwa kali balaa
Wa kwanza from Kenya😘
Love from Burundi❤❤🎉🎉
Hiii ni nzurii sanaaa wametukumbuka kina mwaghona na bhughonilee😅😅😅😅😅😅 Ndagaaaaaaaaa #Boncena🎉🎉🎉🎉
Mwamba ruta man hongera kaka pambana MUNGU atusaidie utimize ndoto zako.
Na mimi kutoka south africa 🇿🇦 naombeni like zenu jameni
Leo nataka gawa like kwa kila mutu sasa sijuwi inanze na nani?
Wasafwa big up mwagona ewane ...mbeya stand up .
🤓🤣🤣luta man VP ktk kushuka mti mbona km umeanguka, kateleza ❤nimeipenda iyoo🤓🤣🤣🤩🥰
Mie nimekuja kwa mfumo huu tulio rudia kuangalia mara tatu(3) tujuane sasa APA kwa like sawa mashabiki wa Ruta man
Ruta mnyama mkali sana kisha chunga sana gumbwa ni moto wa kuotea mbali💪💪💪💪💪
Ruta Man! Nakukubali man.. kazi nzuri sanaa❤❤❤❤
Anyway hii ni kipande cha kwanza na inapendeza kuona ni very natural. It is good. Wasiwasi wangu, kwa nini wameigiza jina? TARZAN wamemaanisha nini? Kwenye jina wamechemka.
@aishaomar2287
19 күн бұрын
Wameigiza vipi? Nichanue😊
@benoseaone
19 күн бұрын
@@aishaomar2287 Tarzan ni jina la filamu ya Kihindi. Jaribu kuseard KZread utaiona.
Mko vizuri sanaaaaaaaa team ruta man 🎉🎉🎉
Huyu mganga ni kama mwaikatombe
Jamani heppy mmmh pole sana nawafatilia sana jamani
Naipenda Saaana Tangu kongo 🇨🇩🇨🇩🎉🎉❤❤
Mko smart na hizo nguo lovely kipepeo na udugu wako❤
Nikajua wanawake ndo wanaomba like kumbe hadi midume😂😂😂😂
@Mwenge-li2kr3vk8w
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@elizabethcatherine-jm8fr
19 күн бұрын
Midume ndo balaa kwa kuomba like 😂😂😂
@mtzhalisi2232
18 күн бұрын
Tofautisha Kati ya mwanaume na shoga..mashoga ndio huwa wanaomba like@@elizabethcatherine-jm8fr
@bernnoely5519
4 күн бұрын
Kitambo ila nyumba ni za bati
Munanifurahisha sana.Mubarikiwe
Nyie Wa Tz Kwa Kusema kweli mnanipa furaha kubwa Sana Kuhusu Movie zenu, Nikiwa huku Rwanda . Hongeleni Sana.
Nimependa pk boncena mwenyewe kabla sijaimaliza
Kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 shabiki sugu wa Boncena Ruta man hii kweli kali kanikumbusha unyago aisee nawakubali sana ❤❤❤
Tuachen ubinafsi mwamba kaweza kwenye hii Kaz tumpe 💯❤❤❤Mwagona🙏🙏🙏
Hii nimeipenda sana Tarzan ♥️♥️♥️💪🇰🇪🇰🇪
Ni zaidi ya maajabu brother eeeeh heshima kwako
Nakubali team ruta man
Kaz nzur sana team Boncena❤❤❤
Bayser ña boncena kwa kweli nawapenda sana mnajua kuigiza i say
Mimi wa kwaza naipenda sana tarzan luta mimi shabiki yako kutoka Bujumbura 🎉
Congratulations nafatilia from mombasa kenya🇰🇪nakubali
tuseme tu wasafwa tunashukuru kwa kuendeleza kutangaza kabira letu🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ruto man❤❤❤
Tanzania sijawai ona movie imepangiliwa kama hii the best kila kitu kimekaa sawa director apewe Maua Yake m Kwakweli❤❤❤❤❤
Kazi nzuri jamani vichakani sio kurahisi kushoot filamu .mungu awajalie
Wakwanza kutoka iringa, kamwenee vanyalukolo
@user-zz1iw9wu4h
19 күн бұрын
Kmwenee unogagee
Yes bonge moja ya series hukuenda america bure boncenw
Ongera rutaman kwa kazi nyingine mungu akuzidishie kipaji mara dufu🎉😅
Kazi nzuri, hongera wanangu
Wa kwanza naomba like zenu
Nakubali sana master movie nzuri sana ❤😂🎉😢😮😅😊
Mumetisha sana hii ndomove sas ya ukwel nimeipenda❤
😂😂leo wa kwanza kwa tarzani gonga kopa aaaapo
Waooo kitu kipya ico piga kelele kwa bocena weweee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Move nzur na inaleta hamu ya kuiangalia 🤐👋👋naomba like hapa
Mmmh Hao wenye vipara Sasa 😂😂😂❤❤❤
Nani kaona vipara kama nlivyoona mm 🙆🙆🙆
Thamthilia nzuri maudhui yake mazuri,from Kenya,Gen_z
Boncena unajua sanaa brooo
Ndio mara ya kwanza kuona mganga ana nyota tatu
Location na uhusika umechaguliwa vizuri
Waaaaaah ❤❤❤❤❤❤hiii Niko nayoo baaamto bamuuu hapa kenyaa naenjoy
Location nzuri sana❤❤❤❤
❤❤❤❤ ruta ndiyo bongo bongo movie tuache unafki
We nilike bwana iko poa
Waooooo😂😂 umetisha Ruta kwa kuwakilishia Salam wandali mwaghona❤❤❤❤ nmependa sana
Mashallah asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤
Baisa Wang kama Baisa kweny uhusika wake w uganga 💪💪💪💃💃Respect for u man