Boncena got Talent

Boncena got Talent

KIPAJI CHANGU UTAJILI WANGU
KUJITUMA NA KUAMINI MUNGU NDIYO MWANZO WA MAFANIKIAO

MY TALENT MY CARE
COMMITMENT AND TRUST IN GOD IS THE BEGINNING OF SUCCESS

contact us = +255659096471

TARZAN 《 04 》

TARZAN 《 04 》

TARZAN 《 03 》

TARZAN 《 03 》

TARZAN 《 02 》

TARZAN 《 02 》

TARZAN 《 01 》

TARZAN 《 01 》

LOVE BITE 《FINAL》

LOVE BITE 《FINAL》

LOVE BITE 《19》

LOVE BITE 《19》

LOVE BITE 《18》

LOVE BITE 《18》

LOVE BITE 《17》

LOVE BITE 《17》

LOVE BITE 《16》

LOVE BITE 《16》

LOVE BITE 《15》

LOVE BITE 《15》

LOVE BITE 《14》

LOVE BITE 《14》

LOVE BITE 《13》

LOVE BITE 《13》

LOVE BITE 《12》

LOVE BITE 《12》

LOVE BITE 《11》

LOVE BITE 《11》

LOVE BITE 《10》

LOVE BITE 《10》

LOVE BITE 《09》

LOVE BITE 《09》

LOVE BITE 《08》

LOVE BITE 《08》

LOVE BITE 《07》

LOVE BITE 《07》

LOVE BITE 《06》

LOVE BITE 《06》

LOVE BITE 《05》

LOVE BITE 《05》

LOVE BITE 《04》

LOVE BITE 《04》

LOVE BITE 《03》

LOVE BITE 《03》

LOVE BITE 《02》

LOVE BITE 《02》

LOVE BITE  《01》

LOVE BITE 《01》

RISKY |《 FULL 》

RISKY |《 FULL 》

RISKY |《 FINAL 》

RISKY |《 FINAL 》

RISKY |《 05 》

RISKY |《 05 》

RISKY |《 04 》

RISKY |《 04 》

RISKY |《 03 》

RISKY |《 03 》

Пікірлер

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque533528 минут бұрын

    Mambo ni moto EP 6

  • @ismailstar526
    @ismailstar526Сағат бұрын

    Ruta man naja huko kwa ajili ya sapnaa mwambie nampenda na pia naomba number yake

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400Сағат бұрын

    nampenda kipepeo awe mkwe wangu karibu Zanzibar kipepeo

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400Сағат бұрын

    live gani sijapaona pakuchat

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400Сағат бұрын

    huu mchezo huwa wananifurahisha bosina heppiy kipepeo huwa wana nifurahisha sana

  • @RehemaYesse
    @RehemaYesse2 сағат бұрын

    Kobelo jamniii tunataka tumuoneee

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque53352 сағат бұрын

    Tarzani ❤❤❤ep 4

  • @ElishaSamson-jg6kl
    @ElishaSamson-jg6kl2 сағат бұрын

    Vip hilo song nalipataje maan nimelikubali kinyama

  • @annaki318
    @annaki3183 сағат бұрын

    Gumbwa ni kichefuchefu jamani 😅

  • @salum8848
    @salum88483 сағат бұрын

    Mumtaaaz nimeinda hiyooooo song km nawe umekubali nipe like

  • @user-bt1vl8nu5n
    @user-bt1vl8nu5n6 сағат бұрын

    Aisha upwiru jaman na kobero wapo wap na yule mgonjwa wa ngozi

  • @WilsonKAMBALE-io6fv
    @WilsonKAMBALE-io6fv6 сағат бұрын

    Karibu enjo

  • @WilsonKAMBALE-io6fv
    @WilsonKAMBALE-io6fv6 сағат бұрын

    Gumbwa we myama

  • @WilsonKAMBALE-io6fv
    @WilsonKAMBALE-io6fv6 сағат бұрын

    Mima punguza roho mbaya

  • @WilsonKAMBALE-io6fv
    @WilsonKAMBALE-io6fv7 сағат бұрын

    Kazi njema Vasco i like

  • @E3Mgovano
    @E3Mgovano7 сағат бұрын

    Ata mm naunga mkono kwenye kuipata hii nyimbo

  • @WilsonKAMBALE-io6fv
    @WilsonKAMBALE-io6fv7 сағат бұрын

    Karibu tarzan épisode 5 hamu sana tanama yukowapi heppy

  • @amaninarwahi
    @amaninarwahi8 сағат бұрын

    Kazi njema

  • @OmanJalan-xc8nx
    @OmanJalan-xc8nx8 сағат бұрын

    Msicherewe sanaa

  • @SalumuKijupa
    @SalumuKijupa8 сағат бұрын

    Tatizo la wa Bongo movie inaanza vizuri mwisho wa siku inaisha pamema aina mwendelezo wake

  • @Marnziliye
    @Marnziliye9 сағат бұрын

    Naombeni like zangu kwa boncina

  • @RoslnacosmePita
    @RoslnacosmePita9 сағат бұрын

    Man, man😊

  • @AnastaziaRamadhan
    @AnastaziaRamadhan10 сағат бұрын

    ❤❤❤

  • @SaidaChepkemboi
    @SaidaChepkemboi10 сағат бұрын

    naomba audio ya hiyo nyimbo

  • @user-kx1fm4fc6m
    @user-kx1fm4fc6m11 сағат бұрын

    Asante kwakutuwekea nachi big up sana

  • @tonylaizer3386
    @tonylaizer338611 сағат бұрын

    Naomba tuu unibake nifrai 😅😅😅bac wapi like zake

  • @dukeonyw.3993
    @dukeonyw.399311 сағат бұрын

    pia cher pomba

  • @dukeonyw.3993
    @dukeonyw.399311 сағат бұрын

    Tarzan picher poa

  • @mosesbarofa4419
    @mosesbarofa441911 сағат бұрын

    Movie n tam manzee bt uyo traslator wa hii movie afutwe kaz😂 the conversations are not matching with the translation😢

  • @JCDMI
    @JCDMI12 сағат бұрын

    😂😂😂😂 Aee man. Mwenzenu lutakhan

  • @Kalifraofficiel
    @Kalifraofficiel13 сағат бұрын

    Kutoka Congo 🇨🇩 Jambo teem ! Na wa penda sana kabisa kabisa , Tarzan mbona hatumuone sana kwenye filamu , na wa kubali sana 🙏 Sapna na mu penda sana nita mu fata Tanzania ❤

  • @RodgyRodgy
    @RodgyRodgy13 сағат бұрын

    Inapendeza mno

  • @arikibok4735
    @arikibok473518 сағат бұрын

    Courage ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @oscarmwanawaboi4253
    @oscarmwanawaboi425318 сағат бұрын

    😂😂😂😂😂😂Rutamani unajua kuimba Mani 😂

  • @JuliusLwitiko
    @JuliusLwitiko19 сағат бұрын

    😂😂 nakubari ruta mani kaka unatisha kaka wamarira tunajua from juriusi .....umarira moja

  • @marrymathiass3974
    @marrymathiass397419 сағат бұрын

    Kila mtu anasema yeye ni wakwanza basi mimi wa mwisho nipeni like zangu

  • @UkhtyFatmah-he8vg
    @UkhtyFatmah-he8vg19 сағат бұрын

    Dah yani Movie hii inazidi kua nzuri zaidi much Love ♥️ TARZAN,Pia wew ndie Mkombozi wa Kijiji cha ISANGATI MREMBO Sapnah yupo kwenye Matatizo nenda kamuokoe bhana,asije akaolewa Na Mwana wa Chief maana anayo Tabia Chafu sn,kisha Kipepeo Mama pole jaman kupendwa hujapendwa na kubakwa Pia hujabakwa jaman 🙄.

  • @marynyota6146
    @marynyota614621 сағат бұрын

    ❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢😮😮😮😮😮😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂😂

  • @aboudkhalifa7329
    @aboudkhalifa732921 сағат бұрын

    Yaaani jamaa Fala ni huyu gumba

  • @ashaabdallah8040
    @ashaabdallah804021 сағат бұрын

    Nilipo muona bint wa chifu na kijana wa porin niliumia kihisia kwa kudhani wamekuwa wapenzi kumbe yalikuwa mawazo tu furaha yangu kuwaona sapna na kijana wa porin pamoja au we unasemaje 🤣🤣🤣

  • @alkhanmussa7090
    @alkhanmussa709021 сағат бұрын

    From 🇹🇿 ila kiukweli Tarzan ni season nzuri sana hongereni

  • @SadikiJuma-y1o
    @SadikiJuma-y1o21 сағат бұрын

    Namkubal sabna sehemu yk

  • @simonmutunga2726
    @simonmutunga272621 сағат бұрын

    Simon from Kenya ,mwambie ngumbwa aache roho ya unyama .

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf22 сағат бұрын

    😂😂😂 aty abakwe is a serious case maana unatisha nawapenda sana ❤❤❤

  • @Japhari346
    @Japhari34622 сағат бұрын

    Kwa nini mmebadilisha kijiji

  • @JohanesClofas
    @JohanesClofas22 сағат бұрын

    Kwakweli wamezinhua

  • @dishonmanyi3152
    @dishonmanyi315223 сағат бұрын

    😂😂ila kwa subtitle mnazengua kama hamjui kizungu achana nacho..😂

  • @KazunguSharif-n5r
    @KazunguSharif-n5r23 сағат бұрын

    Nikweli

  • @KazunguSharif-n5r
    @KazunguSharif-n5r23 сағат бұрын

    Nikwe hii iko sawa kabisa

  • @gakobwaadija7949
    @gakobwaadija794923 сағат бұрын

    Nampenda kpepeo nmuchangamufu nyiote tunawapenda san🇧🇮🇧🇮