LOVE BITE 《01》
Музыка
SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM; boncena_tz...
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Пікірлер: 383
KAMA UNA NIKUBARI MAN NAOMBA USHRE LOVE BITE MAN BONGE LA MOVIE MAN NAWA PENDA MASHABIKI ZANGU WOTE MAN MIMI SIYO RUTA BILA NYIE NAOMBA TUIPOKEE LOVE BITE MAN🎥
@user-gt8wb4it1d
Ай бұрын
Mbona hatumuoni rose❤??? Bwana eeeh rose namtaka nimuone, kwa sababu yéyé na kobelo wanajuwa saana
@user-gt8wb4it1d
Ай бұрын
Kobelo bamemukula demu 😂😂😂😂😭😘
@Edith-rq3mm
Ай бұрын
Kaka ukiwa unatoa Kaz nzuri na kutoa Kwa wati bila longolongo na kufikisha Kaz zako had mwisho Kwann tusikusuport
@HannaellySlangay
Ай бұрын
Shd mnachelewesha sana
@Asia-dq3rt
Ай бұрын
Ucjal man❤❤
Vizuri naona mmezingatia upande WA sauti na muda mmeongeza pongezi ila Kwa gumbwa anatufunza usiamini rafiki ju baisa ndio fisi anakula vya watu luta man pia heshima Kwa boss WA kike haionekani BT series iko vizuri ❤
@emmanueljackson-jk5fp
Ай бұрын
Love bite no kazi nzuri nimeipenda na inatufunza kwa maana inazingatia jiographia iliyopo katika jamii yetu ya kila siku katka hilo hongera sana Boncena AKA Ruta man home boy Musoma Mara welcome Ruta man to educated peoples of musoma mara
Rutaman hyo Pete naihitaji kwa Garama yoyote.. natangaz dau m.25
naomba like zangu jmn (maisha kama gwaride man) nakubali sana ruta
Kama unampenda na unamkumbuka white Maria fanya Ku like hapa mashabiki wetuu tunawapenda Sana ❤️❤️❤️
@KIBANGULABARUANI
25 күн бұрын
Vp
Umetisha kaka uigiza uhalisia wa mambo yanayoendelea💪💪
Aisee dada HAPPY kwenye hii movie nmekukubali unajua kuitendea haki nafasi yako heko kwako my dear ❤️❤️❤️
Boncena ako na upwiru,ebu mpe like APA pls
Hii inaonekana itakuwa kali🎉
Sema Nini...baisa kapendeza kwenye hii movie
Mhhhh 😝😝😝kwa tifa gani huyo tifa wetu wa kibenten alivyo mrembo si huyo pua imetanda uso mzima 😂😂😂
Nimemuona dada wa whitemalia wa kanumba
😂😂😂😂ety mwanaume hakosi Hela wakati lenyewe halina baisa unazingua
Unyama ruta man
Upwiruu tatizo...big up Luta🔥🔥🔥
Ruta tupo pamoja sana
Angesema ugwadu sio upwiru 😅😅😅😅oy ruta man
'Unaempenda ye hakupendi usiyempenda ndo ana maindi hoo jama maisha n patashika hakuna jema na itikadi m narud na robo yangu mkononi watt wakoroge uje' aliimba Man doka
Vraiment ce fantastique courage Mr boncina et kobelo
Weeeh mkali man
Utabeba mizigo yanuuuu😂😂😂😂😂😂😂 nyie wahaya au 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nafurahi sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kobelo jmn poleeee umekula Kwa macho tu
Kichupa cha 🔥🔥🔥🔥iki cyo poa
Mwanaume ana haya uyu eti maitaji yangu 😂😂😂
Ohhhh afadhali namuona mganga BAISA kiekiekiekiekiekie 🤣🤣 my favorite star...❤❤❤ Ila Mara hii yupo kistaili😂😂😂
We baisa fala kwani we mwanamke unakosaje hela 😂😂😂😂
@ArafaHassan-qv2xm
Ай бұрын
Nashangaa 😂😂😂😂
Big up,man ruta
Mbona wewe mwanaume alafu hauna helaa ilooo lione palee😂😂 ety❤❤
@sashsanta7027
3 күн бұрын
Kumbe umeonaee😂😂alaf anabweka tu
KOBERO TOZIII😂😂😂😮
Ruta man nakubali sana mtuu wangu 🔥🔥💯📷📷📷🇰🇪🇰🇪💯🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kobelo madako 😂😂😂😂😂
Hakuna mwanaume ambae hana Hera mbwa wew mbna hauna kwanza wew co mwanaume wakuchunguze!! Unaempenda nae anampnda m2 mwingine kubababake
France Gumbwa kongole sana kaka 🔥🔥
Nimependa buray anavausika
😂😂😂😂ila harmonize weeee basiiii tuuuu
big up sana bonifance
Naishiii na upwiruuu man 😅😅😅😅we bonsinaaa
Shida mnatoa move mwenderezo hakuna mna boa
Bwana upwiru😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉 dodo sheni lake hapa
Madam wa luta nkama namkumbuka vile kwenye movies kadhaa za kitambo ,,nani anamkumbuka agonge like
@user-bo3nt4ji2c
Ай бұрын
Kaigiza na kanumba wait Maria kaigiza jini
@user-bt1vl8nu5n
Ай бұрын
Wait maria na zahanati ya Kijiji
@MashaMbwana
25 күн бұрын
Unamaanisha huyu Winta
@user-bt1vl8nu5n
25 күн бұрын
@@MashaMbwana ndy Alie igiza na kanumba white maria
@user-bt1vl8nu5n
25 күн бұрын
@@MashaMbwana ndy Alie igiza na kanumba white maria
Hakuna Mwanaume asiye na hela 😅😅😅😅😅😅 Sasa Unamwombaje mwanamke pesa Pangeni Maneno Vzr
Sana ❤❤❤❤
Twende kazi mdogo wangu
Nakubali Sana
❤❤❤ hongerani Sanaa kwa kanzi nzur 🎉❤❤
Naishiii na upwiruuu man 😅😅😅😂😂😂mdam
Rafikiii yako ndooo anakutafunaaaa😅
Mwanaume gani unategemea hela kwa mwanamke😮😮
Nakupenda ruta
Na mim nataka like
Safi man
Umeuwa mani hii muvi nimeikubali
Lut ya kwang inge kuw ndef
Ni nzuri sana ila ya unyago vipi man
iko good 😊
Nakukubali sana rutamani. pia natamani sana nijiunge kwenye timu yako
IPO GOOD SANA KIUKWELI
Msarmiy na daberna man nakobero nawengen k ujumna wakna kumbwa wot kk
Kazi za getini Zina kufiti man❤❤❤
Hakika ruta man
Ongera sana luta kumuleta uyu dada kwa mara nyingine tena namukubali sana man
Ruta man , Nimeipenda hiiman.
Yaniii mwanaume unalalamikaa upewe elaaa ila harmonize 😂😂😂😂acha nichekeeee😊
Hii Kali basi ep msicheleweshe
Koberooooh
Kaz nzuri sana
Luta Mani unafanyiwa ubaya hivooo ahseee
Napenda kazi zako man big ap sana
Mbona huyu Tifa haufanani na Yule w Luta jmnn 😢
@Bibi-he6vt
10 күн бұрын
Siye tifa huyu 🤣🤣
😂😂😂mganga wewe hizo n hela unaombelea mwanadada halaf kopelo wewe😂unachekesha mke kachukuliwa anywei congrats team boncena feel loved from kenya❤️❤️
Ati ingekua ya Luta ingekua refu😹😹🥱
💚 🔥 nice like me
Koberoooooo
Semaa nini mnacherewaa sanaaaaa
Lutaaamaniiii😂😂😂
After fumbo mgeni nae kamalizika tuko love bite noma sana man
All the way from Kenya 🇰🇪 luta man fire boom #%!; boom!!!boom
Iyo pete jamani ningekua nayo
Ruta man banaaaa uko sawa
Ruta naitaka hiyo pete man
Luta man❤❤❤❤ naombeni liké zangu kutokea Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mie popote pale namwona Ruta man najua hiyo show Moja safi
Ohh KOBERO tu m'avais trop manqué mon meilleur artiste
Tumia izo nguvu za kimapenzi kula bosi pia
Gungwaaaaah
Good my sst
Sema hii nayo Kali sna.
We need part two plz
Nilkua nasubiria hii ktu kw muda,,,,one Love from kenya,,,,mwanzo tu inaonekan n moto w kuotea mbal
@ericnduwimana8246
Ай бұрын
More l❤ to you brother
@elizabethcatherine-jm8fr
Ай бұрын
Hii inaonekana n moto 🔥🔥
Ukwiru jamani 😂😂😂😂😂😂
Nakukubali sana man
Finally nilikuwa naingoja Kwa hamu Sana team Luta wapi likes zake❤❤❤
Much love from kenya
Mgaga baisa nampenda ❤
Luta man huyo mganga yupo wap
Like ❤😍💯🇨🇩🇨🇩
😮😮😮moto kk
Umetisha san gumbwa unawakilisha vyema wangoni
Kazi zuri ruta❤❤❤
Ruta man iyi moja kali sana na ipenda sana tupe sehemu ya pili araka one love from South Africa 🇿🇦🇿🇦❤❤❤
@DeodaNiyonkuru-wd3vn
Ай бұрын
Ruta unaigiza vizuri lini part2