KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Жүктеу.....
Пікірлер: 25
@user-wk2bg8zf3l4 күн бұрын
Simba nguvu moja
@user-wb5bh9hy1l3 күн бұрын
NI KWELI CHAMA HAJASHUKA KIWANGO ISPOKUWA ANACHEZA VIZURI MECHI ANAYOTAKA NA ZILE ANAZOTUMWA HUWA HUWA ANACHEZA CHINI YA KIWANGO TUNAMTAKIA KILA LA KHERI❤❤❤❤❤
@ramaMuhomba3 күн бұрын
Maalim Shabana hapo kwenye spring nimekuelewa chama mguu pandeee
@jaffjeff69124 күн бұрын
Sio kweli hakushuka kiwango kama mnavomponda bali mseme mmeshindwa demands zake
@georgegregory84143 күн бұрын
Simba hawamtaki tena chama, wanataka damu changa vyuma vinashuka
@lupakisyoanyelwisyemwakyus74823 күн бұрын
Chama inatosha msimba
@user-mg1yl2rl8s4 күн бұрын
Ni hatari zaidi kwa mjinga kutojifahamu kama ni mjinga😅😅
@lupakisyoanyelwisyemwakyus74823 күн бұрын
Chama inatosha msimbaz
@mwana-dodomamedia91112 күн бұрын
Nguvu mojs
@LOSERIANISAITOTI-g7l4 күн бұрын
hata mm nakuuga mkono
@kolosii43514 күн бұрын
Kama mlimsingizia mkude ametumika kuwaua zile tano sasa mtaongeza na huyu wa pili.
@kassidpandu866
4 күн бұрын
wasaliti woote Ndio hao Tunaachana nao wa zile 5 za Mchongo
@mwana-dodomamedia9111
2 күн бұрын
Ila bado tupo juu sana huko CAF ikishika nafasi ya 6 Afrika kuliko timu yoyote Afrika mashariki na kati
@ismailhassan52094 күн бұрын
We unasema hakushuka yeye na wasaliti wenzake walifanya nini miaka mitatu
@allyrembo67144 күн бұрын
Kama hajashuka kwango mbona makocha waliopita walikua hawampi dakika 90? Huo ni mtumba kwasasa
@allyhuyu18924 күн бұрын
Kwani chama na ocra wanatofauti gani? Simba SC wakitema wametema hakina mana kama hamliamini hili nyie uto ocra mliempokea Kwa mbwembwe Yuko wapi nae mtamtema
@jarufuyahaya33384 күн бұрын
Si mpendi hili jamaa kwa kuzungumza hovyo hovyo TU. Hivi mfano akafanya vzr huko yanga na hao wanaosajiriwa Simba wakafanya vibaya je uso wako utauweka wp. Tukubali chama mchezaji mzuri
@mwana-dodomamedia9111
2 күн бұрын
Pole kwa maumivu SIMBA NDIYO TIMU KUBWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI IKISHIKA NAFASI YA 6 AFRIKA.
@sakinasakina12864 күн бұрын
kojoeni mlale nyie vyura fc
@marcobulili43414 күн бұрын
Mmemuacha au amemaliza mkataba? Kuweni wa kweli tu, mchezaji ni kazi yake anawezacheza timu yoyote. Mkikubali kuwa chama hayupo mtafarijika sana.
@bone102
4 күн бұрын
Sasa kama Simba walitaka kumbakiza chama kwann wasubiri hadi mkataba uishe maana wangekuwa wanamuhitaji wangeongea nae tokea mwez wa kwanza hivi hii akili nyepesi inawashindaje Chama ni mchezaji mzur lakini Muda wa kubaki Simba umeisha Simba hawana kumganda mchezaji kama Yanga mnavyofanya kwa wachezaji wenu mfano mayele,fei toto na morison
@makamelila
4 күн бұрын
Big up broo Hadi Leo basi wanaimba fei toto watu walikuwa name wakashindwa name ila kumsamehe hawataki sisi wana Simba tumemsamehe chama na tunamtakia mafanikio mema ila usije ukawa kama ocra au skudu mh
@MamboMbuli
3 күн бұрын
Project ya Simba ni kubaki na wachezaji vijana ,kwa umri wa chama,ni mkubwa,miaka 33 ,,anastahili kucheza zoazoa fc wa matopeni😅😅#simba ni taasisi kubwa sana
@mwana-dodomamedia9111
2 күн бұрын
Tungemuhitaji, tungempa anachotaka na kumuongezea mkataba. Ila tumeshindwana nae na KUMUACHA
Пікірлер: 25
Simba nguvu moja
NI KWELI CHAMA HAJASHUKA KIWANGO ISPOKUWA ANACHEZA VIZURI MECHI ANAYOTAKA NA ZILE ANAZOTUMWA HUWA HUWA ANACHEZA CHINI YA KIWANGO TUNAMTAKIA KILA LA KHERI❤❤❤❤❤
Maalim Shabana hapo kwenye spring nimekuelewa chama mguu pandeee
Sio kweli hakushuka kiwango kama mnavomponda bali mseme mmeshindwa demands zake
Simba hawamtaki tena chama, wanataka damu changa vyuma vinashuka
Chama inatosha msimba
Ni hatari zaidi kwa mjinga kutojifahamu kama ni mjinga😅😅
Chama inatosha msimbaz
Nguvu mojs
hata mm nakuuga mkono
Kama mlimsingizia mkude ametumika kuwaua zile tano sasa mtaongeza na huyu wa pili.
@kassidpandu866
4 күн бұрын
wasaliti woote Ndio hao Tunaachana nao wa zile 5 za Mchongo
@mwana-dodomamedia9111
2 күн бұрын
Ila bado tupo juu sana huko CAF ikishika nafasi ya 6 Afrika kuliko timu yoyote Afrika mashariki na kati
We unasema hakushuka yeye na wasaliti wenzake walifanya nini miaka mitatu
Kama hajashuka kwango mbona makocha waliopita walikua hawampi dakika 90? Huo ni mtumba kwasasa
Kwani chama na ocra wanatofauti gani? Simba SC wakitema wametema hakina mana kama hamliamini hili nyie uto ocra mliempokea Kwa mbwembwe Yuko wapi nae mtamtema
Si mpendi hili jamaa kwa kuzungumza hovyo hovyo TU. Hivi mfano akafanya vzr huko yanga na hao wanaosajiriwa Simba wakafanya vibaya je uso wako utauweka wp. Tukubali chama mchezaji mzuri
@mwana-dodomamedia9111
2 күн бұрын
Pole kwa maumivu SIMBA NDIYO TIMU KUBWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI IKISHIKA NAFASI YA 6 AFRIKA.
kojoeni mlale nyie vyura fc
Mmemuacha au amemaliza mkataba? Kuweni wa kweli tu, mchezaji ni kazi yake anawezacheza timu yoyote. Mkikubali kuwa chama hayupo mtafarijika sana.
@bone102
4 күн бұрын
Sasa kama Simba walitaka kumbakiza chama kwann wasubiri hadi mkataba uishe maana wangekuwa wanamuhitaji wangeongea nae tokea mwez wa kwanza hivi hii akili nyepesi inawashindaje Chama ni mchezaji mzur lakini Muda wa kubaki Simba umeisha Simba hawana kumganda mchezaji kama Yanga mnavyofanya kwa wachezaji wenu mfano mayele,fei toto na morison
@makamelila
4 күн бұрын
Big up broo Hadi Leo basi wanaimba fei toto watu walikuwa name wakashindwa name ila kumsamehe hawataki sisi wana Simba tumemsamehe chama na tunamtakia mafanikio mema ila usije ukawa kama ocra au skudu mh
@MamboMbuli
3 күн бұрын
Project ya Simba ni kubaki na wachezaji vijana ,kwa umri wa chama,ni mkubwa,miaka 33 ,,anastahili kucheza zoazoa fc wa matopeni😅😅#simba ni taasisi kubwa sana
@mwana-dodomamedia9111
2 күн бұрын
Tungemuhitaji, tungempa anachotaka na kumuongezea mkataba. Ila tumeshindwana nae na KUMUACHA