SIMBA WAMKARIBISHA MRITHI WA CHAMA SIMBA/ WASALITI WAMEPOTUTESA SANA"

Спорт

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 25

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l4 күн бұрын

    Simba nguvu moja

  • @user-wb5bh9hy1l
    @user-wb5bh9hy1l3 күн бұрын

    NI KWELI CHAMA HAJASHUKA KIWANGO ISPOKUWA ANACHEZA VIZURI MECHI ANAYOTAKA NA ZILE ANAZOTUMWA HUWA HUWA ANACHEZA CHINI YA KIWANGO TUNAMTAKIA KILA LA KHERI❤❤❤❤❤

  • @ramaMuhomba
    @ramaMuhomba3 күн бұрын

    Maalim Shabana hapo kwenye spring nimekuelewa chama mguu pandeee

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff69124 күн бұрын

    Sio kweli hakushuka kiwango kama mnavomponda bali mseme mmeshindwa demands zake

  • @georgegregory8414
    @georgegregory84143 күн бұрын

    Simba hawamtaki tena chama, wanataka damu changa vyuma vinashuka

  • @lupakisyoanyelwisyemwakyus7482
    @lupakisyoanyelwisyemwakyus74823 күн бұрын

    Chama inatosha msimba

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s4 күн бұрын

    Ni hatari zaidi kwa mjinga kutojifahamu kama ni mjinga😅😅

  • @lupakisyoanyelwisyemwakyus7482
    @lupakisyoanyelwisyemwakyus74823 күн бұрын

    Chama inatosha msimbaz

  • @mwana-dodomamedia9111
    @mwana-dodomamedia91112 күн бұрын

    Nguvu mojs

  • @LOSERIANISAITOTI-g7l
    @LOSERIANISAITOTI-g7l4 күн бұрын

    hata mm nakuuga mkono

  • @kolosii4351
    @kolosii43514 күн бұрын

    Kama mlimsingizia mkude ametumika kuwaua zile tano sasa mtaongeza na huyu wa pili.

  • @kassidpandu866

    @kassidpandu866

    4 күн бұрын

    wasaliti woote Ndio hao Tunaachana nao wa zile 5 za Mchongo

  • @mwana-dodomamedia9111

    @mwana-dodomamedia9111

    2 күн бұрын

    Ila bado tupo juu sana huko CAF ikishika nafasi ya 6 Afrika kuliko timu yoyote Afrika mashariki na kati

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan52094 күн бұрын

    We unasema hakushuka yeye na wasaliti wenzake walifanya nini miaka mitatu

  • @allyrembo6714
    @allyrembo67144 күн бұрын

    Kama hajashuka kwango mbona makocha waliopita walikua hawampi dakika 90? Huo ni mtumba kwasasa

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu18924 күн бұрын

    Kwani chama na ocra wanatofauti gani? Simba SC wakitema wametema hakina mana kama hamliamini hili nyie uto ocra mliempokea Kwa mbwembwe Yuko wapi nae mtamtema

  • @jarufuyahaya3338
    @jarufuyahaya33384 күн бұрын

    Si mpendi hili jamaa kwa kuzungumza hovyo hovyo TU. Hivi mfano akafanya vzr huko yanga na hao wanaosajiriwa Simba wakafanya vibaya je uso wako utauweka wp. Tukubali chama mchezaji mzuri

  • @mwana-dodomamedia9111

    @mwana-dodomamedia9111

    2 күн бұрын

    Pole kwa maumivu SIMBA NDIYO TIMU KUBWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI IKISHIKA NAFASI YA 6 AFRIKA.

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina12864 күн бұрын

    kojoeni mlale nyie vyura fc

  • @marcobulili4341
    @marcobulili43414 күн бұрын

    Mmemuacha au amemaliza mkataba? Kuweni wa kweli tu, mchezaji ni kazi yake anawezacheza timu yoyote. Mkikubali kuwa chama hayupo mtafarijika sana.

  • @bone102

    @bone102

    4 күн бұрын

    Sasa kama Simba walitaka kumbakiza chama kwann wasubiri hadi mkataba uishe maana wangekuwa wanamuhitaji wangeongea nae tokea mwez wa kwanza hivi hii akili nyepesi inawashindaje Chama ni mchezaji mzur lakini Muda wa kubaki Simba umeisha Simba hawana kumganda mchezaji kama Yanga mnavyofanya kwa wachezaji wenu mfano mayele,fei toto na morison

  • @makamelila

    @makamelila

    4 күн бұрын

    Big up broo Hadi Leo basi wanaimba fei toto watu walikuwa name wakashindwa name ila kumsamehe hawataki sisi wana Simba tumemsamehe chama na tunamtakia mafanikio mema ila usije ukawa kama ocra au skudu mh

  • @MamboMbuli

    @MamboMbuli

    3 күн бұрын

    Project ya Simba ni kubaki na wachezaji vijana ,kwa umri wa chama,ni mkubwa,miaka 33 ,,anastahili kucheza zoazoa fc wa matopeni😅😅#simba ni taasisi kubwa sana

  • @mwana-dodomamedia9111

    @mwana-dodomamedia9111

    2 күн бұрын

    Tungemuhitaji, tungempa anachotaka na kumuongezea mkataba. Ila tumeshindwana nae na KUMUACHA

Келесі