BREAKING: FEITOTO AZUNGUMZA MAZITO NA WANASIMBA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUSAINI MKATABA MPYA..!!

Пікірлер: 22

  • @MussaSaid-j4d
    @MussaSaid-j4d4 сағат бұрын

    achaushamba ndug ataasapokuja kwani alikuopotangu simba inanza kujulikana dunian

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat192714 сағат бұрын

    Hongera Mo kwa Feisal tumefurahi sana hasa mimi nikiwa mshabiki kindaki ndaki

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe754314 сағат бұрын

    MO UNASHINDWAJE KWA FEI TOTO NA MAYEL

  • @bonifacemgaya3448
    @bonifacemgaya344814 сағат бұрын

    Nime furahi sanaa kama nikweli, fei toto kuja Simba, bado mayele !!

  • @bikasaramadhan
    @bikasaramadhan14 сағат бұрын

    nyinyi mnauhakika kama fei toto kashasain au mnatumalizia mb zetu

  • @bikasaramadhan
    @bikasaramadhan14 сағат бұрын

    nyinyi mnauhakika kama fei toto kashasain au mnatumalizia mb zetu 😢

  • @SikituKadugu
    @SikituKadugu4 сағат бұрын

    Iwe kweli maana nyie watangazaji mda mwingine mnakuwa namaneno ya kwenye kanga

  • @LisaMangara
    @LisaMangara7 сағат бұрын

    Afanye Kweri jamanii tumeteseka sanaa mh

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556716 сағат бұрын

    Kweli lakini au maneno tu. Tuletee fei huyo. Mwamba❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @bikasaramadhan
    @bikasaramadhan14 сағат бұрын

    nyinyi mnauhakika kama fei toto kashasain au mnatumalizia mb zetu 😢

  • @ZkKambi
    @ZkKambi14 сағат бұрын

    Kwa usajiri huu 2naitaka man city

  • @EliasKisunte
    @EliasKisunte14 сағат бұрын

    Tunawataka wachezaji bora sio bora mchezaj

  • @AzizaYusuphHassan-r7c
    @AzizaYusuphHassan-r7c14 сағат бұрын

    Sio kwel

  • @JockZakaria-qg8ob
    @JockZakaria-qg8ob12 сағат бұрын

    Kweli au mnamaliza tu mb

  • @JockZakaria-qg8ob
    @JockZakaria-qg8ob12 сағат бұрын

    Acha uongo

  • @FatmaTamim-j3i
    @FatmaTamim-j3i4 сағат бұрын

    😂😂😂😂😂😂tuombe mungu jmn maana tumeumia sana

  • @JamesMbagala
    @JamesMbagala4 сағат бұрын

    Naomba ukwel

  • @nyerere1259
    @nyerere125914 сағат бұрын

    K ww

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga493514 сағат бұрын

    😂

  • @bikasaramadhan
    @bikasaramadhan14 сағат бұрын

    nyinyi mnauhakika kama fei toto kashasain au mnatumalizia mb zetu

Келесі