Real Football

Real Football

Пікірлер

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f3 күн бұрын

    Hayo yamepita dilisha limetugwa mbona mwadangaya ?

  • @DeokariPaulo
    @DeokariPaulo4 күн бұрын

    Wajinga nyie

  • @RasskinongoKinongo-ig1wd
    @RasskinongoKinongo-ig1wd4 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @LabanThomas-fc4jo
    @LabanThomas-fc4jo4 күн бұрын

    Ubaya ubwela🇹🇿

  • @JigakaSamaliGola
    @JigakaSamaliGola4 күн бұрын

    Hadi Raha

  • @YussuyuHamadi
    @YussuyuHamadi4 күн бұрын

    Goli la kwanza anashinda mokwalaki

  • @alexmalima8753
    @alexmalima87534 күн бұрын

    🤛💪💪

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k5 күн бұрын

    Yani nyie wachambuzi mavi mnavumisha kila kitu

  • @SaLUSIMOSI
    @SaLUSIMOSI5 күн бұрын

    Kibu di

  • @MusaMwaja
    @MusaMwaja6 күн бұрын

    Nawaombeni sana kibu denisi asiondoke simba mtoto akinyea mkono haukatwi kakosea binadam tunaishi kwa mapungufu atanae ameerewa kosa rake hato rudia kosa kama hiro nasema kama shabiki wa simba damdamu maana kibu ni simba na simba ni kibu tuwe namoyo wa kusamehe kakosea naombeni tumpokee kwa moyo wa dhati niwatakie kazi njema kwa jina naitwa Musa mwaja asanteni

  • @RamadhanRajabu-py5ji
    @RamadhanRajabu-py5ji6 күн бұрын

    Simba wachukue hatua kali kwa kibu na wasimamizi wake

  • @abdallakassim6935
    @abdallakassim69356 күн бұрын

    Wamuachie aende asitusumbuwe vchwa vyetu

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee52236 күн бұрын

    Kwanza haje Tz na haombe Uma wa wanasimba pili alipe pesa zilizotakiwa na Simba au Aenderee na kazi Simba bila kerele. Mwisho

  • @syliviamurondoro4690
    @syliviamurondoro46907 күн бұрын

    Aje tu tunanpenda sana jibu, simba nguvu moja.

  • @user-yr2iw1er8l
    @user-yr2iw1er8l7 күн бұрын

    Msenge uyo mh naona simba uyo wamuache to far uyo

  • @jaffaralimakame1533
    @jaffaralimakame15337 күн бұрын

    WEWE KOMA WEEEE

  • @IsmailJohn-le1es
    @IsmailJohn-le1es8 күн бұрын

    Hellow

  • @RealFootballdata
    @RealFootballdata8 күн бұрын

    @@IsmailJohn-le1es vp

  • @NicholausMakoye
    @NicholausMakoye8 күн бұрын

    Aondoke TU hata kuwa na msaada msimbazi lakini asiondoke kizembe asugue bench kwanza aonje ladha

  • @baranubakenneth9029
    @baranubakenneth90298 күн бұрын

    BENCHI LIMHUSU KWA 100%

  • @NicholausMakoye
    @NicholausMakoye8 күн бұрын

    Tamaaa mbele mauti nyuma

  • @BarickMpolya
    @BarickMpolya8 күн бұрын

    Simba kongole kwen utopolo wajiandae

  • @MwitaHamismwita
    @MwitaHamismwita8 күн бұрын

    Peleka upuuuzi wako huko mpanzu alikuwa vita kwa mkopo shenz

  • @gervaskashegu1940
    @gervaskashegu19409 күн бұрын

    Wamuuze bilioni mbili

  • @yohanamwaja8444
    @yohanamwaja84449 күн бұрын

    Háta kama haya kuusu

  • @benyShitindi
    @benyShitindi9 күн бұрын

    Huo najua niuongo kibu Bado haeleweki

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb12 күн бұрын

    Hatumtaki kabisa

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o12 күн бұрын

    Wasimuachie kirahisi wampe adhabu na Kisha auzwe na sio kuvunja mkataba ili abaki kwa mchezaji wa simba

  • @NeusitaPolojesituzi
    @NeusitaPolojesituzi12 күн бұрын

    Tff wamefanya vizuri asante

  • @EdgarSamaje
    @EdgarSamaje12 күн бұрын

    Anajikuta

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat192712 күн бұрын

    Huyu hana maana kasababisha tunasodolewa na timu zingine na kufanya simba waongo

  • @kombofaraji3995
    @kombofaraji399513 күн бұрын

    Kama timu huipendi wacha matusi huo ni ushamba unawashwa na nn. .semea timu yako tuachie Simba yetu Kama ni wapimbavu ni sawa muda utaongea,tukitane ufunguzi.Inshalah,

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko440013 күн бұрын

    Timu yake ya Uholanzi itoe billioni moja na nusu wamchukue jumla.

  • @saulokahwa8194
    @saulokahwa819413 күн бұрын

    Mkandaji sasa nguvu . Moja karibu Msimbazi

  • @AmeirTz
    @AmeirTz13 күн бұрын

    078

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856113 күн бұрын

    Huyo nimwizi mkubwa na tapeli

  • @EliasaMrimbo
    @EliasaMrimbo14 күн бұрын

    Hapo mm naona ni maneno tu kibu haeleweki bana

  • @JohnKifaru-hz9ir
    @JohnKifaru-hz9ir14 күн бұрын

    Wapeni haki Yao wachezaji pia huyu kibu tamaa itamgharimu afuate taratibu za kimichezo kwani hata huko uendako utatuaibisha tu aache ushamba

  • @JohanesKulasi
    @JohanesKulasi14 күн бұрын

    Acha ushamba mbroo si sio wajinga kiasi icho eti

  • @RealFootballdata
    @RealFootballdata14 күн бұрын

    Duh

  • @mmsfuzzsba3816
    @mmsfuzzsba381614 күн бұрын

    KUIDAI SIMBA NI JAMBO MOJA NA KUKIMBIA NI JAMBO LA PILI JAMAA KAPENDA HELA NA HATOFANIKIWA

  • @mmsfuzzsba3816
    @mmsfuzzsba381614 күн бұрын

    KIBU NI MPUMBAVU NA HII INAONYESHA KIBU SIO MTANZANIA NI MKONGO MTAFUTA HELA AENDE TU NA SIMBA WAMFANYIE UBAYA UBWELA

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi459914 күн бұрын

    Sio kurejesha pesa tu yeye ni mchezaji halali wa Simba kwa miaka miwili ijayo haiweizekani atolewe bure lakini wamnunue kama Simba inavonunuwa kwa mamilioni katishika kwa kuchukuliwa Hatua ndio akajitokeza mafichoni

  • @HurumaSaringo
    @HurumaSaringo14 күн бұрын

    Naitwa huruma jonh salingo hapo sawa mwamba huyo hapo

  • @ramadhanimtanga755
    @ramadhanimtanga75515 күн бұрын

    Mambo ndo hayo nataka kuona na kusikia

  • @BenedictKayombo
    @BenedictKayombo15 күн бұрын

    Unajisikiaje kuongea uongo?

  • @RealFootballdata
    @RealFootballdata15 күн бұрын

    @@BenedictKayombo ukweli

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege69015 күн бұрын

    Sasa kibu unaposema hujapewa mkataba mpya. Unachokwenda kuvunja ni mkataba upi

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisa15 күн бұрын

    We mpumbavu

  • @RealFootballdata
    @RealFootballdata15 күн бұрын

    Olige iwe msigazi

  • @joelmichael9752
    @joelmichael975216 күн бұрын

    Hivi waandishi wengine kumbe ni mambumbu!unaposema Kibu ameongea kwa mara ya kwanza kwanini hapa hatumsikii badala yake wewe ndio unaeongea?Wewe ndio Kibu?

  • @RealFootballdata
    @RealFootballdata16 күн бұрын

    Mh

  • @KelvinJosephat-w3n
    @KelvinJosephat-w3n19 күн бұрын

    inaweza kuwa kweli

  • @SeuriMollel-im5yw
    @SeuriMollel-im5yw20 күн бұрын

    Pumbavu zenu wanasimba simba hizo pesa zenu za hongo itakuwa imeliwa na huyo magoma wenu na uongozi wa yanga itabaki kwa injinia2 na chama tayari ni wetu

  • @MolaMashaka
    @MolaMashaka24 күн бұрын

    Mbona hatumuoni akiwa miongoni mwa wachezaji na kikosi Cha simba

  • @Mayungasimba-i9j
    @Mayungasimba-i9j25 күн бұрын

    Akili huna, kwann unandika tarifa za uwongo, yan ata ww, kwann msijifunze kwa mirad ayo,