FEI TOTO AFUNGUKA - "SIWEZI KURUDISHA PESA"

Ойын-сауық

FEI TOTO AFUNGUKA - "SIWEZI KURUDISHA PESA"
Mchezaji mpya wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' amewasili visiwani Zanzibar muda mchache baada ya kusainiwa na timu ya Azam Fc ambapo amesema amekuja Zanzibar kwa mapumziko
Fei Toto ambae sasa ni mchezaji rasmi wa Timu hiyo mara baada ya kuwasili ametoa kauli juu ya utaratibu wa kurudisha fedha alizochangasha kwa watu wenye uhitaji
Amesema anaamini huo ndo utakua utaratibu mzuri juu ya fedha zilizochangishwa awali kwaajili ya kumsadia kufungua kesi CAS
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 10

  • @captainlii2351
    @captainlii2351 Жыл бұрын

    Hvi kwa akili ya kawaida ni uwezekano upi wa kurudisha pesa kwa kila alietuma? Bila ya Shaka kabisa ni ngumu that y ameamua kuzipeleka kwa wenye uhitaji Zaid kma mtu ulituma pesa kwa ajili ya kumsaidia feisal why isiwezekane pesa hzo kusaidiwa wale wenye uhitaji? Kwa hili feisal yupo sahihi kabisa hawa waanfishi na wachambuzi wetu wenye vijiba kisa fei kuondoka yanga Basi waendelee tu kuuza habari

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Kabisaa

  • @masturasudi7394

    @masturasudi7394

    Жыл бұрын

    Yuko sahii kabisa wala hana kosa lolote

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Жыл бұрын

    Tunataka pesa zetu turudishiwe

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia Жыл бұрын

    Wasafi wanapingana Sana na Fei. Hii taarifa ingekuwa chombo kingine, isingepewa headline hiyo

  • @Dadboy.

    @Dadboy.

    Жыл бұрын

    Kwel broo m nilikua nawaona wasafi wanabezi upande wa yanga icho kitawaharibia San maan watu hatupo saw waangalie clouds hawajabezi upande wowte ndo maan fei akakubali kufanya interview pale licha ya ingenia heris kwenda palepal

  • @titus_maridhia

    @titus_maridhia

    Жыл бұрын

    @@Dadboy. na Yanga wamejua ndo kituo chao hicho. kila Jambo lao wanalizungumzia pale

  • @TeophilBuilding

    @TeophilBuilding

    Жыл бұрын

    Punguza kukurupusha matako ayo nakuropoka ujinga unakalia akili unaongelea mavi

  • @TeophilBuilding

    @TeophilBuilding

    Жыл бұрын

    @@Dadboy. Kuma la mama ako hadharani usiupaishe ujinga wako kwa kuukandamiz ukwel wasaf hawan mapresenter machoko km masoud kipany ambao kabl ya kumfanyia entervieuws mchezaj mnampanga yakusema na kuikandamiz club unatombwa nn

  • @bigjizee4130

    @bigjizee4130

    Жыл бұрын

    Wewe una shida zako binafsi na wasafi, mbona hii taarifa kwa Millard Ayo imeruka, kwa hiyo Millard naye ana shida na Feisal?

Келесі