SHEIKH KUTOKA CONGO AMLIPUA MCH.NDACHA//ULINIKIMBIA KWETU NIMEKUFATA TANZANIA TUTAELEWANA

#drsulle #live #islaamic #tanzaniaprisons

Пікірлер: 44

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka26972 ай бұрын

    Mkutano WA Congo tulifuatilia kabisa wewe upanga WA radi ni mweupe kabisa unataka mwanafunzi tu sio mwalimu

  • @user-fy4op1sw2f

    @user-fy4op1sw2f

    2 ай бұрын

    Njooni wewe na ndacha😂😂😂

  • @SaimoniLion
    @SaimoniLion2 ай бұрын

    Yesu akamwambia mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haendi mbinguni kwa Mungu ila aniamini mimi Yohana 14:6

  • @wowpros5693

    @wowpros5693

    2 ай бұрын

    Yesu ndio njia, sijakataa Jee unaifuata hiyo njia ya Yesu, Yesu hajawai kujiabudu, hajawai kyingia kanisani, hajawahi kusema yeye ni Mungu. Je unamfuata Nani, haumfuati yesu. Kwa uhakika

  • @SalumuChingome

    @SalumuChingome

    2 ай бұрын

    Kwaiyo wewe saimonilio YESU mungu au Kuna mungu badala yake

  • @SaimoniLion

    @SaimoniLion

    2 ай бұрын

    @@SalumuChingome Yesu ni Mwana wa Mungu Yohana 3:36

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka26972 ай бұрын

    Hyo ni bibilia la kiarabu lazima waite mungu Allah

  • @brothermuadhwam890

    @brothermuadhwam890

    2 ай бұрын

    Akili zako sionzur sas lugha unaikataa tafsiri tafsiri ndo ileile kila lugha Iko na maan saw kiufupi wakristo ni watu wakupinga tu moto unawasubir

  • @JaneKyusa-xy9xz
    @JaneKyusa-xy9xz2 ай бұрын

    Waisilam msipo amini kuwa Yesu ndiye Bwana na mwokozi wa maisha yenu hamta ingia katika ufalme wa Mungu .

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu2 ай бұрын

    Você tá certo irmao ❤❤❤

  • @AnafBanda
    @AnafBanda2 ай бұрын

    Anasema vitabu vingi vyakale vimemtaja nabii muhamad nikitabu gan icho kiseme

  • @SaimoniLion

    @SaimoniLion

    2 ай бұрын

    Anasehemu inamuuma si bule tu kwa uongo huo

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta2 ай бұрын

    Haya hongera sana kumkabili pasta Ndacha ambaye ndiye PAULO mkufurushaji WA zama HIZO..! Matendo ya Mitume 26:9.,10.,11. 9. Kweli, mimi mwenyewe naliona ndani ya nafsi yangu kwamba yanipasa kutenda mambo mengi yaliyopingamana na jina lake Yesu Mnazareti; 10. nami nikayafanya hayo Yerusalemu; niliwafunga wengi miongoni mwa watakatifu ndani ya magereza, nikiisha kupewa amri na wakuu wa makuhani; na walipouawa nalitoa idhini yangu. 11. Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana89282 ай бұрын

    mashallah uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f2 ай бұрын

    yesu ni njia ya kwenda MTU mbiguni kila MTU asipomwamini yesu na kunkubali amuwezi kwenda mbiguni amen

  • @zulekha-jv9rn

    @zulekha-jv9rn

    2 ай бұрын

    Yesu anasema mazuri tu nyny ndio amumfati vzr,islam is the best

  • @mwesi527
    @mwesi5272 ай бұрын

    Huyo ajui kanisa ni nini asee

  • @robertmwangiotieno6183
    @robertmwangiotieno61832 ай бұрын

    Uwezani na Ndasha

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa72152 ай бұрын

    KUMBE CONGO WANAONGEA KISWAHILI KIZURI TU KAMA TANZANIA. CONCRATE CONCO

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb2 ай бұрын

    MKARIBISHE TENA CONGO.

  • @lajumaofficial521
    @lajumaofficial5212 ай бұрын

    Hamweleweki ndugu. Kati ya waislamu na wakristo wapingaji nani? Hakuna mkristo anayehangaika na mambo ya Muhammad ila waislamu wanahangaika sana na Kristio. Mara wanamkubali Yesu hapo hapo wanampunga Yesu. Kusema elimu siwaelewi,Ndacha nimemsikia si mara Moja. Anasma biblia na Quran kama ilivyo kujibu hoja. Ninyi mnaleta maneno ya kuarabu,kiswahili itolewe tafsiri na kamusi,elimu hii ni ya lugha au maneno ya Mungu? Najua mtakuwa wengi sana kwa Ndacha mmoja na mtaliwa

  • @SalumuChingome

    @SalumuChingome

    2 ай бұрын

    Jina la YESU Lina maana Gani hebu niambie wewe

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp2 ай бұрын

    Mm nnavojua walimu wa kikiristo ni Bora mkakae kitako mfunzwe kur ani vizuri lakini sio kuwenda kujisomea tafsiri juu juu alafu unakuja jadiliana alafu unatia ufahamu wako Hawaijui qur Ani atakidogo Waislamu ni wasomi wa dini zote duniani huwezi mpata rabda mweny njaaa na sio elimu na ukweli

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero64692 ай бұрын

    Toka pale mbona hukujibu hoja za ndacha kule congo Tanzania uongo huwezi kushinda ukweri

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana89282 ай бұрын

    ndacha iko pare kuwatapere wakristo ajiriye pesa uyu nimusiba mkubwa 🤔🤔🤔

  • @JaneKyusa-xy9xz
    @JaneKyusa-xy9xz2 ай бұрын

    Siku si nyingi mtaenda kuhijj mkaulize mashehe wenu wakubwa hapa dunian lile sanduku mnalo lizunguka na ndani yake mna Nini na muulize histolia kabla ya Muhammad kuutangaza uisilam babu yake nabii wenu alifanya Nini baada ya kuzaliwa kwa Muhammad

  • @msemakweli243
    @msemakweli2432 ай бұрын

    Mkutano tumefatia wa kongo bora sure anajitaidi

  • @user-sl8hf3cq4f
    @user-sl8hf3cq4f2 ай бұрын

    Huyu mwamba mtu nanusu alimgaagaza ndacha kabisa nili penda sanaaa

  • @dr.abdullahiwario2156

    @dr.abdullahiwario2156

    2 ай бұрын

    Ulimuona kwenye channel gani nimfwatilie shekhe

  • @user-sl8hf3cq4f

    @user-sl8hf3cq4f

    2 ай бұрын

    @@dr.abdullahiwario2156 biblia nuru ya ulimwengu ni chanel ya ndacha

  • @mwesi527

    @mwesi527

    2 ай бұрын

    Ujafuatilia mjadala wa kongo.huyo alikaa akapewa somo na ndacha na amekuja kuhakik tu kuhusu ukweli wa maandiko kupitia mwalmu ndachs baada ya hapo anaritad nipo nimekaa pale mtaniambia

  • @mwesi527

    @mwesi527

    2 ай бұрын

    Uongo mwengine uko wazi je? Niulize swali kwako ewe upanga wa dira ,!!!,!!;:'""π√׶¶∆{}\?

  • @Shomariamuri1

    @Shomariamuri1

    2 ай бұрын

    😂

  • @Benjathekingofficialtv
    @Benjathekingofficialtv2 ай бұрын

    Kwani huyu ndie uganga wa radi aliechakazwa kule kongo na ndacha😂😂😂 huo mdomo ukoje mbona kama majini yamekupinda mdomo 😂😂😂 ndacha atawanyoosha

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын

    Ndacha tatizo lake anakimbia mdahalo

  • @piscaskasesetv1534

    @piscaskasesetv1534

    2 ай бұрын

    Muhogo ndacha ni mwalimu wa hoja za kweli

  • @bustedislam3578
    @bustedislam35782 ай бұрын

    Huyu ni muongo kabisa. Hakuna hoja hata moja ya Ndacha aliyo ivunja ama kujibu swali. Hana elimu kabisa. Ni huruma sana kuwadanganya watu. Tulifwata mdahalo na tulishuhudiya jinsi gani uko mweupe kwelikweli

  • @ndayikengurukiyemandalene7027
    @ndayikengurukiyemandalene70272 ай бұрын

    Niulize,kwanini waislam wengi wanafanana nasula zakichawi 😒?

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n2 ай бұрын

    Panga ya radhi fake,hujabaatika bado kuwa mkristo,yesu akokarbu kuja fanya umpokee yesu,ndacha alikugaagaza kwenye uwanja na bado hujaokoka,nakuombea kwa mungu unapokuja tanzanie yesu akuonekanie ukabatizwe,njia nimoja tu ambaye niyesu,kando na yesu ni jehanamu tu

  • @bustedislam3578
    @bustedislam35782 ай бұрын

    Huyu ni muongo kabisa. Hakuna hoja hata moja ya Ndacha aliyo ivunja ama kujibu swali. Hana elimu kabisa. Ni huruma sana kuwadanganya watu. Tulifwata mdahalo na tulishuhudiya jinsi gani uko mweupe kwelikweli