SHAMBANI KWA MKULIMA WA PILIPILI HOHO MBEGU AINA YA

Mbegu hii ya pilipili hoho #Bella_F1 hakika ni mkombozi wa mkukima.
Hapa ni Masama_Sonu - Hai Kilimanjaro kwa mkulima Akasio Tesha - 0753547430 amevuna mvuno wa kwanza na matokeo ni mazuri.
🌱 Matunda ni makubwa na magumu.
🌱 Mbegu ya Bella F1 ina haisumbuliwi na changamoto ya mnyauko shambani.
🌱 Mbegu ya Bella F1 inakomaa kwa mapema wastani wa siku 60-65 inakua tayari imekomaa.
Mbegu hii inapatikana kwa bei zifuatazo
5gm Tsh 25,000/=
10gm Tsh 45,000/=
25gm Tsh 75,000/=
50gm Tsh 140,000/=
Wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba +255 747 906 694
#kilimo #tanzania #bashe #wizarayamifugonauvuvi #agriculture #guava #guavaproduction #world #matunda #bora #miche #wizarayakilimo #huseinbashe #ubunifu #vijana #maendeleo #wasafi #itv #tbc #cloudstv #dar24media #kilimochakisasa #kilimochanyanya #shambani

Пікірлер: 1

  • @boskozakalia9776
    @boskozakalia9776 Жыл бұрын

    Munapatikana wap