Faida za karafuu: Tumia vipande 5 kwa siku 3 mfululizo kama una matatizo haya!!!

Faida za karafuu mwilini
Inasaidia kutibu na kulinda Dhidi ya maradhi ya meno, Mafuta ya karafuu unadondoshea kwenye meno kutumia pamba au loweka maji
Inaimarisha mmeng’enyo wa chakula na inatibu tatizo la tumbo kujaa gasi na kujamba.
Kutibu maumivu ya mwili na meno
Inatumiwa na wanawake wanaokaribia kujifungua, kwa sababu inaongeza mjongeo wa misuli ya mfuko wa uzazi.
Kemikali ya Eugenol acetate inasaidia kunapunguza uvimbe ndani na nje ya mwili
Inatibu tatizo la tumbo kujaa gasi na kujamba
Inatibu magonjwa ya ngozi kama vile chunusi, mapunye na fangasi.
Inaimarisha kinga ya mwili
Inaimarisha mzunguko wa damu, eugenol methyl ether ndio kemikali inayohusika zaidi.
Inaimarisha afya ya ubongo na akili pamoja na kuongeza uwezo wa kukumbuka
Inazuia na kuangamiza kuzaliana kwa vimelea wa magonjwa

Пікірлер: 52

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq18 күн бұрын

    Asante sana kaka

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt18 күн бұрын

    Asante barkiwa

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan16 күн бұрын

    Ahsante karibu tena

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8mАй бұрын

    Asante sana

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed4 күн бұрын

    Maishallah, Shukrani Shukrani.

  • @KAGEMULORUTAYUGA
    @KAGEMULORUTAYUGA2 ай бұрын

    asantee sana

  • @user-mw2th3cu7t
    @user-mw2th3cu7tАй бұрын

    Asante

  • @user-ml9rk8vj2x
    @user-ml9rk8vj2x5 күн бұрын

    Asante sna

  • @NsimireMurumbi
    @NsimireMurumbi15 күн бұрын

    Nisaidie kwa kufahamu vema, kwenye chai utatia bungapi?

  • @user-ze4sc1fh6p
    @user-ze4sc1fh6p25 күн бұрын

    ❤❤❤❤ asante

  • @halimahassan4540
    @halimahassan454017 күн бұрын

    Karafu nidawa nzuri sana juya twilight ku umwa mifupa ina saidia sana

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb261019 күн бұрын

    Mashaallah tabarakaah ❤ Shukran Shukran my kaka kwanasaha nzuri Mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah ❤nakupenda kiss kiss

  • @mshaniwellness

    @mshaniwellness

    19 күн бұрын

    Hii imepenya kwa kwel... Asante sana

  • @Zosi-oz2kq
    @Zosi-oz2kq5 күн бұрын

    Samahanj dear nkitumia karafuu n mdalasini naweza kupata ball

  • @christinejohn4441
    @christinejohn4441Ай бұрын

    Mm huwa nachemsha na kunywa kama maji je ni Sawa piah???

  • @AbibaSalleh
    @AbibaSalleh26 күн бұрын

    Asant.

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @violethfesy863
    @violethfesy86317 күн бұрын

    Hi

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan700123 күн бұрын

    Na jee ukizidisha zaidi ya tembe tano ni sawa ama italeta madhara

  • @MoniqueIrakose
    @MoniqueIrakose3 күн бұрын

    Vizuli kwakweli

  • @marthajohn3123
    @marthajohn31232 ай бұрын

    ASante

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m11 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @GladnessTemba
    @GladnessTembaАй бұрын

    Je kwawale ambao hawazioni siku za hedhi je inawasaidiaje

  • @eliasdeus
    @eliasdeus16 күн бұрын

    Ili kutibu maradhi ya ngozi ni kwa kunywa au kupaka eneo husikaa??

  • @user-vo9ck2vv2w
    @user-vo9ck2vv2w24 күн бұрын

    Mimi ni na uvimbe huu ya nyinaa kwa ndani

  • @halimahamisi-l8q
    @halimahamisi-l8q6 күн бұрын

    Kwa skin disease nitatumiaje karafuu

  • @Teaching356
    @Teaching35623 күн бұрын

    Eti na inasaidia kupata mapacha.

  • @PascaliaEgesa
    @PascaliaEgesaАй бұрын

    So kwa hiyo maji unaeka majani na sukari au ni hivo too

  • @Witnessmajija
    @Witnessmajija15 күн бұрын

    Hormone imbalance unatumia kwa mda gani

  • @tuponearon7368
    @tuponearon73683 ай бұрын

    Naomba kuuliza Naweza kusaga au inatumika kwa kuchemsha tu

  • @mshaniwellness

    @mshaniwellness

    3 ай бұрын

    Vyovyote utakavyopenda inafaa

  • @user-we5sy7il8q
    @user-we5sy7il8q5 ай бұрын

    Je ninapotakuweka kwenye chai nizitwange au naomba kueleweshwa

  • @MarkHonson

    @MarkHonson

    4 ай бұрын

    Wewe hata usipo itwanga karafuu nitiba hata kama unasukar inatoa

  • @Teaching356

    @Teaching356

    23 күн бұрын

    Unaweka ivo ivo bila kutwanga si umemsikia kasema unaweka punje sijui ngapi baada ya dakika 30 ndo unakunywa mi mwenyewe imenitibu moyo afu na tangawizi ni kiboko yao inatibu magonjwa zaidi ya 40

  • @BizimanaMuhamed-yo2pq

    @BizimanaMuhamed-yo2pq

    13 күн бұрын

    Shukran

  • @Swalhatybnshemaind
    @Swalhatybnshemaind9 күн бұрын

    me meno yametoboka

  • @Halima-wy7to
    @Halima-wy7toАй бұрын

    Asate

  • @victoreli6

    @victoreli6

    14 күн бұрын

    Navipi kama sikuzako azitabiliki yani azina siku maalum

  • @bahathmuro7145
    @bahathmuro7145Ай бұрын

    Kama hujajipanga kulea au kuzaa usitumie bila kinga

  • @maulinemakungu5322

    @maulinemakungu5322

    Ай бұрын

    Ukweli kabisa

  • @fwc5552
    @fwc555225 күн бұрын

    Kama unamatatizo haya hahahaha yapi

  • @user-hd2uy6vo4y
    @user-hd2uy6vo4y24 күн бұрын

    Karafuu ni hatari imenitibu hormone imbalace thax

  • @easterdaniel4992

    @easterdaniel4992

    16 күн бұрын

    Uliitumiaje dada

  • @user-kg1wo2gl6p
    @user-kg1wo2gl6p3 ай бұрын

    Kama ni tatizo la hedhi unaiandaaje na matumizi ni yapi

  • @mshaniwellness

    @mshaniwellness

    2 ай бұрын

    Tengeneza infusion au tincture

  • @giftbonanje228
    @giftbonanje22826 күн бұрын

    Mimi nina tonsels Stone na vidonda vya koo natumiaje.

  • @emmiemmi3861

    @emmiemmi3861

    12 күн бұрын

    Vitunguu maji

  • @giftbonanje228

    @giftbonanje228

    10 күн бұрын

    @@emmiemmi3861 natumiaje

  • @pilitimothy5433
    @pilitimothy543313 күн бұрын

    Asante sana kaka

  • @HabituJoella-ww4qz
    @HabituJoella-ww4qzАй бұрын

    Asante

  • @nusaibahassan9517
    @nusaibahassan95173 күн бұрын

    Asante

  • @MarkHonson
    @MarkHonson4 ай бұрын

    Asanteni