Faida za karafuu: Tumia vipande 5 kwa siku 3 mfululizo kama una matatizo haya!!!
Faida za karafuu mwilini
Inasaidia kutibu na kulinda Dhidi ya maradhi ya meno, Mafuta ya karafuu unadondoshea kwenye meno kutumia pamba au loweka maji
Inaimarisha mmeng’enyo wa chakula na inatibu tatizo la tumbo kujaa gasi na kujamba.
Kutibu maumivu ya mwili na meno
Inatumiwa na wanawake wanaokaribia kujifungua, kwa sababu inaongeza mjongeo wa misuli ya mfuko wa uzazi.
Kemikali ya Eugenol acetate inasaidia kunapunguza uvimbe ndani na nje ya mwili
Inatibu tatizo la tumbo kujaa gasi na kujamba
Inatibu magonjwa ya ngozi kama vile chunusi, mapunye na fangasi.
Inaimarisha kinga ya mwili
Inaimarisha mzunguko wa damu, eugenol methyl ether ndio kemikali inayohusika zaidi.
Inaimarisha afya ya ubongo na akili pamoja na kuongeza uwezo wa kukumbuka
Inazuia na kuangamiza kuzaliana kwa vimelea wa magonjwa
Пікірлер: 52
Asante sana kaka
Asante barkiwa
Ahsante karibu tena
Asante sana
Maishallah, Shukrani Shukrani.
asantee sana
Asante
Asante sna
Nisaidie kwa kufahamu vema, kwenye chai utatia bungapi?
❤❤❤❤ asante
Karafu nidawa nzuri sana juya twilight ku umwa mifupa ina saidia sana
Mashaallah tabarakaah ❤ Shukran Shukran my kaka kwanasaha nzuri Mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah ❤nakupenda kiss kiss
@mshaniwellness
19 күн бұрын
Hii imepenya kwa kwel... Asante sana
Samahanj dear nkitumia karafuu n mdalasini naweza kupata ball
Mm huwa nachemsha na kunywa kama maji je ni Sawa piah???
Asant.
❤❤❤
Hi
Na jee ukizidisha zaidi ya tembe tano ni sawa ama italeta madhara
Vizuli kwakweli
ASante
❤❤❤❤
Je kwawale ambao hawazioni siku za hedhi je inawasaidiaje
Ili kutibu maradhi ya ngozi ni kwa kunywa au kupaka eneo husikaa??
Mimi ni na uvimbe huu ya nyinaa kwa ndani
Kwa skin disease nitatumiaje karafuu
Eti na inasaidia kupata mapacha.
So kwa hiyo maji unaeka majani na sukari au ni hivo too
Hormone imbalance unatumia kwa mda gani
Naomba kuuliza Naweza kusaga au inatumika kwa kuchemsha tu
@mshaniwellness
3 ай бұрын
Vyovyote utakavyopenda inafaa
Je ninapotakuweka kwenye chai nizitwange au naomba kueleweshwa
@MarkHonson
4 ай бұрын
Wewe hata usipo itwanga karafuu nitiba hata kama unasukar inatoa
@Teaching356
23 күн бұрын
Unaweka ivo ivo bila kutwanga si umemsikia kasema unaweka punje sijui ngapi baada ya dakika 30 ndo unakunywa mi mwenyewe imenitibu moyo afu na tangawizi ni kiboko yao inatibu magonjwa zaidi ya 40
@BizimanaMuhamed-yo2pq
13 күн бұрын
Shukran
me meno yametoboka
Asate
@victoreli6
14 күн бұрын
Navipi kama sikuzako azitabiliki yani azina siku maalum
Kama hujajipanga kulea au kuzaa usitumie bila kinga
@maulinemakungu5322
Ай бұрын
Ukweli kabisa
Kama unamatatizo haya hahahaha yapi
Karafuu ni hatari imenitibu hormone imbalace thax
@easterdaniel4992
16 күн бұрын
Uliitumiaje dada
Kama ni tatizo la hedhi unaiandaaje na matumizi ni yapi
@mshaniwellness
2 ай бұрын
Tengeneza infusion au tincture
Mimi nina tonsels Stone na vidonda vya koo natumiaje.
@emmiemmi3861
12 күн бұрын
Vitunguu maji
@giftbonanje228
10 күн бұрын
@@emmiemmi3861 natumiaje
Asante sana kaka
Asante
Asante
Asanteni