MAGONJWA YA PILIPILI HOHO NA JINSI YA KUDHIBITI : 02
-KILIMO Cha pilipili HOHO ni miongoni mwa KILIMO Cha mazao ya bustani.
- Changamoto kubwa la zao hili Ni magonjwa. Huweza kuleta hasara Hadi 💯% endapo tu jitihada madhubuti hazitachukuliwa kudhibiti magonjwa Aya
-Katika SoMo hili la sehemu ya 01 tutaona Ugonjwa wa
1. Batobato
2. Chile
-Magonjwa yote Aya ushambulia zao la hoho na kuleta hasara kwa wakulima
-Tujifunze kwa kina dalili za Ugonjwa na mbinu za kudhibiti magonjwa aya
Пікірлер: 48
Somo Zuri naomba no
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ok
Ahsante kwa somo hili.
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pamoja🤝🤝
Nimeipenda....darasa zuri sana
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Asante Sana kwa kuiangalia video hii. Nakutakia mafanikio Katika kilimo
Napenda sana kilimo
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
Kipi kipimo sahihi cha shimo na shimo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Sm 30 kwa sm 50 mstar kwa mistari
Sawa qq nzuri
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Karibu Sana katika kilimo
Asante Kwa somo zuri ,pia nami nimeanza kuona hizo dalili sikuwa na ufahamu zaidi kuhusu dawa za kutumia naomba msaada juu ya dawa
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Dawa apo itabidi uende dukani la pembejeo mweleze hizi dalili akupatie dawa aliyonayo maana Dawa Zipo nyingi sana. Hatutajua ni ipi anayo
Cool
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
Sawa za kutumia
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ok
Mtoege namba jamani somo zuri
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Sawa ndugu
naomba kuuliza ivi pili pil hoh inakuwa kwa md gan mpak kukomaaa
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Miez 2 kwenye kitalu na miez 3 hadi kukomaa
Dawa inayotibu huyo kimamba na huyo chule inayotokana na ukungu
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Zipo nyingi Sana ndugu apo tembelea duka LA Kilimo watakupa dawa waliyonayo
Uje ulete somo la pilipili kichaa
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ucjali Mungu ni mwema tuombeane uzima. Japo unaweza uliza ukajibiwa kwenye pilipili wahitaji kujua nini naweza kukusaidia
Magonwa mengine
@AGALUSTV
Жыл бұрын
#magonjwayakuku
Nimependa darasa naomba elimu ya pruning
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
OK
Naomba kujua dawa ya magojwa hayo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok ucjali
Ahsante lakini mkielezea ugonjwa hapo hapo tupeni na dawa kwani mnatuweka njia panda
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok shida madawa ni mengi sana kwa tunaogopa kuwachanganya watu pia kumbuka izi dawa ni kampuni za watu🙏🙏 bt tunaweza wasiliana zaidi
Je nikiona hao nzi weupe kwenye mmea naweza piga dawa ipi?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Tumia vimpira au dawa ya kuwa vuta ao nzi na kuwakusanya. Pamoja Zipo izi dawa kwa maduka ya pembejeo ndugu
Dawa za kutumia kwenye huu ugonjwa wabatobato
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Zipo nyingi mkuu ni vizuri ukaenda duka La pembejeo atakupa iliyopo
@ameirsalmini6253
5 ай бұрын
Ndo mutuambiye ss kuwa dawa za kutumia so tuende pembejeo mana waliowengi maduka ya pembejeo hawajui matumizi ya dawa ila wanajuwa majina ya dawa so mutuambiye Ili tukienda tuu tununuwe
@AGALUSTV
5 ай бұрын
OK apo tumekupata
Tunaomba mutuambie ni dawa gani tutatumia ikiwa Kuna uginjwa fulani
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok 🙏
Mbolea ngani ya kukuzia hoho inayoshauriwa
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Zote ni nzuri tu
@barakaelirabieli1697
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV hoho za rangi ya njano ni tumie dawa ngani au kirutubisho ngani nipige
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mbolea za kupandia hakuna
Ni dswa ya aina gani nzuri kupulizia?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
KUHUSU madawa naomba tuwaone wataalamu wetu wa madawa . Mimi Ni mkulima tu nami naenda kupata ushaur toka kwao dawa gani nitumie ila uwa naenda na taarifa kamili za tatizo husika ndugu