MAGONJWA YA PILIPILI HOHO NA JINSI YA KUDHIBITI : 02

-KILIMO Cha pilipili HOHO ni miongoni mwa KILIMO Cha mazao ya bustani.
- Changamoto kubwa la zao hili Ni magonjwa. Huweza kuleta hasara Hadi 💯% endapo tu jitihada madhubuti hazitachukuliwa kudhibiti magonjwa Aya
-Katika SoMo hili la sehemu ya 01 tutaona Ugonjwa wa
1. Batobato
2. Chile
-Magonjwa yote Aya ushambulia zao la hoho na kuleta hasara kwa wakulima
-Tujifunze kwa kina dalili za Ugonjwa na mbinu za kudhibiti magonjwa aya

Пікірлер: 48

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын

    Somo Zuri naomba no

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Ok

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын

    Ahsante kwa somo hili.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Pamoja🤝🤝

  • @susandadili9556
    @susandadili95563 жыл бұрын

    Nimeipenda....darasa zuri sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Asante Sana kwa kuiangalia video hii. Nakutakia mafanikio Katika kilimo

  • @eyksaz3677
    @eyksaz36773 жыл бұрын

    Napenda sana kilimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Karibu Sana ndugu

  • @sudyjuma5421
    @sudyjuma5421 Жыл бұрын

    Kipi kipimo sahihi cha shimo na shimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Sm 30 kwa sm 50 mstar kwa mistari

  • @Jiko266
    @Jiko2663 жыл бұрын

    Sawa qq nzuri

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Karibu Sana katika kilimo

  • @abellyakula5102
    @abellyakula5102 Жыл бұрын

    Asante Kwa somo zuri ,pia nami nimeanza kuona hizo dalili sikuwa na ufahamu zaidi kuhusu dawa za kutumia naomba msaada juu ya dawa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Dawa apo itabidi uende dukani la pembejeo mweleze hizi dalili akupatie dawa aliyonayo maana Dawa Zipo nyingi sana. Hatutajua ni ipi anayo

  • @francismua7825
    @francismua78253 жыл бұрын

    Cool

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    🤝🤝🤝🤝

  • @monicaoscarkaaya4104
    @monicaoscarkaaya4104 Жыл бұрын

    Sawa za kutumia

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Ok

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын

    Mtoege namba jamani somo zuri

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Sawa ndugu

  • @nicksonkihombo1926
    @nicksonkihombo19262 жыл бұрын

    naomba kuuliza ivi pili pil hoh inakuwa kwa md gan mpak kukomaaa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Miez 2 kwenye kitalu na miez 3 hadi kukomaa

  • @danielloodo
    @danielloodo3 ай бұрын

    Dawa inayotibu huyo kimamba na huyo chule inayotokana na ukungu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Zipo nyingi Sana ndugu apo tembelea duka LA Kilimo watakupa dawa waliyonayo

  • @jamiladeus2396
    @jamiladeus23963 жыл бұрын

    Uje ulete somo la pilipili kichaa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Ucjali Mungu ni mwema tuombeane uzima. Japo unaweza uliza ukajibiwa kwenye pilipili wahitaji kujua nini naweza kukusaidia

  • @tatumilima9379
    @tatumilima9379 Жыл бұрын

    Magonwa mengine

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    #magonjwayakuku

  • @witnesspeter4181
    @witnesspeter41812 жыл бұрын

    Nimependa darasa naomba elimu ya pruning

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    OK

  • @witnesspeter4181
    @witnesspeter41812 жыл бұрын

    Naomba kujua dawa ya magojwa hayo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok ucjali

  • @rizikihamza2377
    @rizikihamza23772 жыл бұрын

    Ahsante lakini mkielezea ugonjwa hapo hapo tupeni na dawa kwani mnatuweka njia panda

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok shida madawa ni mengi sana kwa tunaogopa kuwachanganya watu pia kumbuka izi dawa ni kampuni za watu🙏🙏 bt tunaweza wasiliana zaidi

  • @witnesspeter4181
    @witnesspeter41812 жыл бұрын

    Je nikiona hao nzi weupe kwenye mmea naweza piga dawa ipi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Tumia vimpira au dawa ya kuwa vuta ao nzi na kuwakusanya. Pamoja Zipo izi dawa kwa maduka ya pembejeo ndugu

  • @oscarkaaya7650
    @oscarkaaya7650 Жыл бұрын

    Dawa za kutumia kwenye huu ugonjwa wabatobato

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Zipo nyingi mkuu ni vizuri ukaenda duka La pembejeo atakupa iliyopo

  • @ameirsalmini6253

    @ameirsalmini6253

    5 ай бұрын

    Ndo mutuambiye ss kuwa dawa za kutumia so tuende pembejeo mana waliowengi maduka ya pembejeo hawajui matumizi ya dawa ila wanajuwa majina ya dawa so mutuambiye Ili tukienda tuu tununuwe

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    OK apo tumekupata

  • @bakarmakame3235
    @bakarmakame32352 жыл бұрын

    Tunaomba mutuambie ni dawa gani tutatumia ikiwa Kuna uginjwa fulani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok 🙏

  • @barakaelirabieli1697
    @barakaelirabieli16972 жыл бұрын

    Mbolea ngani ya kukuzia hoho inayoshauriwa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Zote ni nzuri tu

  • @barakaelirabieli1697

    @barakaelirabieli1697

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV hoho za rangi ya njano ni tumie dawa ngani au kirutubisho ngani nipige

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Mbolea za kupandia hakuna

  • @kisurajonas3800
    @kisurajonas38003 жыл бұрын

    Ni dswa ya aina gani nzuri kupulizia?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    KUHUSU madawa naomba tuwaone wataalamu wetu wa madawa . Mimi Ni mkulima tu nami naenda kupata ushaur toka kwao dawa gani nitumie ila uwa naenda na taarifa kamili za tatizo husika ndugu