FARM tv is one of the best Agriculture channels in Tanzania, Agriculture led by digital service providers, headquartered at 12 Mwanama St. Olorieni 23111 | Arusha Tanzania.
It was established in 2018. Our team of experts provides Quality Services in Vegetable Farming here in Tanzania and abroad, with the aim of teaching and achieving the goals of Farmers by providing Quality Services in Practical Farming.
We are a unique Team of Agricultural Experts with High Quality Professionals.
FARM tv, we are "Home of Farming" for turning it into modern Farming.
CONTACT US VIA
Website: www.farmcare.co.tz
Mail: [email protected]
Mobile: +255 688 308 804
WhatsApp: +255 688 398 804
FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS
Facebook | Instagram | X | TikTok | LinkedIn: Farmcare Comapny Limited
Пікірлер
Naomba namba zenu
☎️ 0688308804
Can you help me how to grow tomato,and send me your seed
Ok, Check me on WhatsApp at +255719880905 for more information
Good,brother I wanted to grow your tomatoes seed
Call me now please, +255688308804 and Please give me yours as well.
Kabeji hulimwa mikoa gan Tanzania
Mikoa yote yenye Baridi hufanya vizuri (Maeneo yote yenye baridi hufanya vizuri)
Hii I.melimwa mkoa gan?
Ni Mwaka huu ni hapa juzi tu ndio imemaliziwa kuvuna, ililimwa Kasulu - Mkoani Kigoma
Bei yake ikoje kwa gram 10
Tomato EBON F1, 10gm ni 125,000/=TZS. Ni wastani wa Mbegu 2700 mpaka 3000, Karibu @FARMCARE ili uweze kujipatia mbegu hii bora ya Nyanya. ☎️ 0688308804
Shilingi ngapi na inapatikana wapi
Gm50 bei gn
Call me please: +255688398804
❤❤❤❤❤
Kwa kiangazi lazima usimikia miti au
Mnapatikan wp
Sisi Tupo Arusha - Tanzania Kama Makao yetu Makuu, Ila tunafanya Kazi nchi nzima. Kwa maelekezo zaidi, wasiliana nasi kupitia 0688308804
Inapatkan wap
Tuko Arusha -Tanzania Kama Makao yetu makuu, Ila tunafanya Kazi nchi nzima. Karibu Tukuhudumie, 0688308804
Tupe namba
Kwa mawasiliano zaidi, 0688308804. Karibu.
Tekra f1 inaweza kusafirishwa mbal
Ndio, TEKLA F1 ni Nyanya ambayo yenye Ngozi ngumu, Tunda gumu lililojaa Nyama. Ni Nyanya ambayo hukaa kati ya siku 15 mpaka 23 Tokea ilipochumwa pasi na kurojeka. Kwa hyo ni Nyanya ambayo Inasafirika kwa umbali mrefu pasipo na shaka.
Muongo matunda yamwisho utadhan nyanya ndege hapo umechemsha
Mpo wapi
Tupo Arusha -Tanzania Kama Makao makuu Ila Tuko tunafanya Kazi nchi nzima. Karibu @Farmcare ☎️0688308804
Hapa kuna kauongo
what is the yield per acre
1000 up to 1400 Crates Per 1 Acre. Welcome for more communication for us ☎️ 0688308804
10g inauweza kupanda kiasi gani au inamiche mingapi naomba unisaidie
10gm za Mbegu ya Nyanya ya #TEKLA F1 inawastani wa Miche 2800 mpaka 3000. Ni ujazo ambao hutoshea kupanda shamba lenye ukubwa wa Robo Ekari. Ambayo hiyo 10gm inauzwa 102,000/=TZS.
❤❤hongera san
❤❤❤
Naomba kujua Bei ya Nutriplant fertilizer
Nipo bunda mara naipaje
Mimi mara bunda naipaje
Kwa Mkoani Mara - Bunda, naomba uweze kuwasiliana na Muwakilishi wety Mkuu, ili kuweza kupata mbegu zetu hizi Bora, Anaitwa Mr. Protace 0622326260
Which is this country
Inaondoa majini kabisa kwa muda gani
Nipo mtwara naipataje
Nipo dodoma naipataje hiyo mbegu
Je no nzuri masika ?
Je bansari vp mvua za masika inastaimili
Where are you located
Ni bei gani na napataje mbegu
Hie, how many fruits does each plant produce till end?
10 grams ni bei gan?
Nitapataje hiyodawa
waw
❤❤❤❤❤❤ hi TEKLA F1 NI MOTO
What about big rock f1
Inapatikana wapi mbegu
Wap
Mbegu ziko wap
Mbegu hizo zinapatikana wapi na shilingi ngapi
Good work my mate Boniface , keep it up.
Asante sana Mate, Karibu sana. @FARMCARE
Karibu kwenye ulimwengu wa mbegu.. Hongera sana kwa hatua hii mkuu
Naipataje
Aaa
Shukrani mdau onyesha jinsi unavyoifungia. Na video isiichukue kwa haraka.
joni genisa EiTopiA Gudi
OK,asate
Inaizweje