SALIM KIKEKE/ RUFIJI, MASHAMBA, NYUMBA ZIMEMEZWA NA MAJI/ TAZAMA UJIONEE
Ойын-сауық
#SALIMKIKEKE #RUFIJI
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 511
Tuache ushabiki hii radio ni nooooma hii itakuja kuwa the best from KENYA hongera sana KING KIBA na KING KIKEKE
@salomewandya7257
Ай бұрын
Mambo ni 🔥🔥
Nikisikia hii sauti naikumbuka BBC be blessed mzee wetu
Naikubali sana crown media
Salim ki keke is a very talented and professional journalist with a storm sound
@zaidihussein4311
2 ай бұрын
Uyo kikeke ni mwamba hii redio ma tv Yao itakua namba 1 tanzania
International level, From Mozambique
Pongezi zenu crown Media kwa tufikishia habari right on time pia polen wenzetu na mafuriko
Yaan salim kikeke nakukubali sana wallah , na huyu ndio atafanya media zote tanzania zisiskike trust me , this is not crown media but Bbc swahili
@homeandaway2811
Ай бұрын
Zisisikike? Pole ,zote zitaendelea kusikika tu kama kawaida, sema wewe utaacha kuzisikiliza.
Hapa ni nyumbani mother land naiyona mbali mno crown Allah akulinde my brother salim kikeke
@HamisAbdallah-cj2sc
2 ай бұрын
Watu bwana wanaacha kutafakari ambacho salim kikeke anakitangaza nakukionyesha hali ya rufiji watu wanasema huyu NDIYE salim kikeke namjua sasa ndio nini ??? Wezetu wemekumbwa na majanga makubwa Kama tunavyoona badala kuwaonea huruma wenzetu watu wanamsifia kikeke jamani kwani salkm kikeke anafanya maigizo???
@WahuBoth
2 ай бұрын
@@HamisAbdallah-cj2scHii ulitaka watu lie kwasaut we vp unajua kuhusu tukio ilo lime tangazwa na waandush wangap 🇹🇿🤔 ila tunakutana apa coz ni Kikeke 😏Kama uelewi ubora wake nenda TBC kwenye matukio ya wk😏
Thanks for the update,hakika hapa ninyumbani 👑👑👑
Crown is the biggest Media I love it
Salim Kikete katika ubora wa juu kabisaaaa kasoro yake moja tu kwangu yeye kuwa MNYAMA. Poleni Watanzania wenzetu
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
2 ай бұрын
Kolo yaani
@ndogoroedson199
Ай бұрын
Sasa ulitaka awe mdudu kama ww? Kwenda utopoloni huko
From 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩love bro
Kikeke what a series
They dont compromize on Camera quality is next level🙌🏾💪
Kikeke hadi raha🇨🇩🇨🇩
Kama documentary flani ivi kumbe ni taarifa ya habari.. creative nzur sana
from South Africa Asante sana kkk
BBC ilipoteza radha bora turudi huku sasa. Mtoeni Zuhura Yunus Ikulu ile sauti ake tunaihitaji CROWN, mchukueni na WAZIRI KHAMSINI
@sulleymanjimmy2214
2 ай бұрын
Watamchukua Mbunge Ishirini
@kwisa4899
Ай бұрын
Nini radio yao wote
Mwenye kazi kaludi kazini#salim kikekee G.O.A.T....My favorite presenter of all time❤
Wow Very informative, next level media 🎉🎉🎉
ALAFU UIFANANISHE ET NA MEDIA ZINGINE WEEEH THIS IS CROWN MEDIA SIO ZILE ZINGINE ZA FAJO FUJO TU HATA HAWAELEWEKI😊 HII RADHA TULIIKOSA KWA MUDA MREFU SANA #KING_WA_MEDIA_ZOTE_NI_YEEOOOOO_KIBA😂
Stay blessed Mr Salim Kikeke🖊️ Salut KING KIBA for the Goods👑 Apa ni Nyumbani kabisa ✌️ I'm ur Fan from DR C.O.N.G.O🇨🇩Lubumbashi✌️
Mungu akubariki sana kuja na wazo la kutembelea vijijini kwa kupata Habari hizi
Poleni sana mulopata athari allah awafanyie wepesi
Wa kwanza 🎉🎉leo
Duh Mwenyezi Mungu wanusuru🙏🙏🙏🙏
Crown ongera kwa kumpata mwamba kikeke,naiyona mbali Sana tena kimataifa kazi iendelee
Kama BBC hivi inakuja inakataa, one love Kikeke one love crown media
Hongera crown 👑, Hongera Salim kikeke
Hii kubwa sana crown hapa ni nyumbani
Quality hali ya juu kweli kweli big up Crown 👑 media
Jamaa anjua wazee jamani na Mimi naomba like jamani
@musicheals1545
2 ай бұрын
like wanaombaga watoto wa kike shekhe
@MussaFurniture
2 ай бұрын
Mtoto wa kiume unaomba like huo ni umama
@msakadoobongeladada-uh3sk
2 ай бұрын
@@MussaFurniture😂😂😂😂 imenidanya nicheke Kwa sauti kubwa
@MussaFurniture
2 ай бұрын
@@msakadoobongeladada-uh3sk watu wengine ni wajinga kweli eti mwanaume kabisa anaomba like
@petermbogo8661
Ай бұрын
😂😂😂😂🙌🙌@@MussaFurniture
Hapa ni nyumbani we love that Salim kikeke we love you bro
sasa huyu ndo mtangazaji sas sauti matamshi very unique ✅✅✅✅🙌🙌
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
Siyo kina mwijaku,sijui walienda chuo gani cha habari
kazi nzuri bro❤❤
Sauti Ya Mamlaka Na Yenye Kuzingatia Weledi Na Taaluma Ya Habar Safi Sana
@nzuwamkende8884
2 ай бұрын
Sio taaruma ni taaluna
@bashirymageni568
2 ай бұрын
Sio ueledi ni weledi
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Walimu mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fahadfaraj6474
2 ай бұрын
@@nzuwamkende8884 sa ndo umerekebisha nini hapo taaluna ndio nini au nawewe sio Mkende ni Makende
@martinmazengo4787
2 ай бұрын
@@nzuwamkende8884sio taaluna ni taaluma
Nice
Inawezekana habari ni yakawaida ila tatizo ni nani anayeiwasilisha??? KIKEKE BABA your a big Brand so naiona Crown kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naipenda hii Station sana
Crown 👑 🔥🔥🔥
I was waiting for this Salim kikeke leading media in tanzania❤
Mtu wamaana sana mzee baba ❤the ❤
Good Production Video Quality Sound Quality Drone Footage Yaani 🙌
Crown 👑 media yamoto saana
Duh! Nilimiss Kiswahili standard na sahihi - maake hapa tungesikia mwandishi akisema “ mafuliko, mazara, baazi “ oh Kikeke save the media.
Hapa n nyumban 🎉🎉🎉 like nying kama unamkubli kikeke,
@rayahamisi118
Ай бұрын
Uyu baba ndio mwandishi wa habari siyo wandishi wa sikuizi wa nafatilia mausiano
@salomewandya7257
Ай бұрын
Na tutarudi nyumbani ❤🇹🇿
Beautiful sounds
Napenda hii media ya king 👑 Haina umbea zaid ni habari za maana Mungu awafanyie wepec kwa kila jambo mtufikishe Mbal wa Tnz
Hii kali sana🎉🎉
Hongera Crown media Yajayo yanafurahisha❤❤🇹🇿
Yes Crown media ni no. 1
Hapa ni nyumbani 💯💯💯
Subhana Allah awafayie wepesi katika maisha yao
Mtangazaji Tanzania ni mmoja tu. ❤❤❤❤
Poleni sana wajimba zangu kina mbonde so jambo km hli inabidi mhamishie makazi milimani,nakumbuka gavm waliwahamisha wamasai kinguvu sasa nafkiri kwa hpo busara izidi,,,,misaada iongezwe,madawa na fedha,
Aseeee coverage ipo njema, camera quality top notch, visual editing top notch... Audio quality on point... Content arrangement ipo njema....
Nakupenda sana tena sana salmu kikeke
❤❤❤crown✈
❤❤❤pigeni makopa kwa kikeke na kiba
@elimringimoshi590
2 ай бұрын
❤
Hamjasoea kujiita CROWN 👌👍👍👍
Hongera sana Crown kwa na kitu cha tofauti big gup
Habari imeandaliwa kwa viwango vya kimataifa👍🏽 hongereni sana 👏🏽
SALIM KIKEKE KONGOLE SN KWA KUTUFIKISHIA HABARI ZA KINA, INSHAALLAH NAKUTAKIA MAISHA MEMA AMEEN...
Kikekeeeee na 👑 media hatari sanaaa
So far so good
Sana sauti ya mamlaka kikeke uko vzr Sana your voice is only for African 🙏🏼💪🏽🥂
Maasha Allah ,ubobora wa hali ya juu,,wala huringi kama wapiga kelele wengine
Tangazaji la dunia ndani ya Crown TV ..safi sana
CROWN ITAKUA KUBWA SANA MTAKUJA KUNIAMBIA
Umetisha
Hii media naiona mbali sana sana baadae ya miaka mitano tu
Salim Kikeke ni nembo nzuri na ya kipekee Sana kwenye tasinia ya Utangazaji. Hongera sana kwa kazi nzuri...sasa crown media hongereni
Kikeke kazi nzuri sanaa.... talanta nzuri sanaa
god bless media people live RUFIJI
Mostrar a importância da sua rádio televisão eles pensavam que vce fez a rádio para fofocar.força irmão, família King.
Home sweet home 🏡❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢
Big media 🔥 🔥
Crown mediaa ni fire
Hongera crown🎉🎉🎉🎉🎉
This is what we want to watch!. So professional.
Mwandishi mwenye weledi katika habari..... Hata habari inavutia kuisikiliza, inaeleweka, haiachi maswali mengi yasiyojibika kiuandishi.....labda yale tu yanayohtaji utekelezaji wa kiserikali au taasisi husika.... #Salimukikeke
Sisis ndio wana timu kiba kwahiyo crown media hoyee
Hii Media itafanya watu wafunge stations zao kabisa
@ramladhire
2 ай бұрын
Kabisa watajiona hawafanyi kazi
@msafirimiracle6613
2 ай бұрын
Afadhali bhana,tumechoka mambo ya familia,umbea na ushoga.💪
Waaaaw ❤
Kikeke nomaa sanaa faza unajuwaa sanaaa
Salim kikeke tuko karibu na wewe, asante sana kwa kuturudisha tulipopamiss
Hapa ni Nyumbani Safi Salim👍👑
Unajuwa sana Kikeke hadi unaboa
Jamaa anajua ase..🔥🔥🔥💪
Quality ya video na voice nzuri sana. hongera sana Crown media,,
Tunaomba tv ya crown tv iwashwe halaka ndani ya azamtv ❤
Big up sana kwenu.🙌🏽
MUNGU Baba Wa Mbinguni awasaidie ndugu zetu wa Rufiji muwe salama kwa Jina la YESU. Amina
This is big salim asante kwa kurejea kunoa taaluma 🎉
Mim shabiki WA crown 👑 tokea Mbeya grean city 🏙️
Hapa ni nyumbani crown media is the best 👍
Respect to Crown FM na Media 🫡
Mzeee unajuaa Mungu akutunzee Sanaa mwamba nikaisi BBC KUMBE UPO CROWN DAAH🤦🤦🤦😁 Anaemkubali kaka kikeke na king kiba like hapa
Hongrea Sana braza kazi Nzuri na Crown fm
Poleni sana watanzania wenzetu mung yupo nanyi #Amen