EXCLUSIVE: SALIM KIKEKE NA SABABU ZA KUICHAGUA CROWN MEDIA
Ойын-сауық
Salim Kikeke Live na Temidayo
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 491
Wengi humu mnamsifia kikeke kwa sauti kwa jinsi alivyo tulia anavyo jibu maswali huku akiwa live ila embu muangalieni temidayo alivyo tulia confidence aliyokuwa nayo sijawai msikia before sehemu yoyote but jamaa katulia anauliza maswali short and clear
@allenonesmomwebembezi6248
2 ай бұрын
Yeah Yuko vizuri sanaaa
@user-ib2uf3uk2d
2 ай бұрын
Yuko vyedi sanaaaa😂
@abassking8296
2 ай бұрын
Alikuwa anatangaza zamani
@rama1234100
2 ай бұрын
Yani 2 professionals
@jaffjeff6912
2 ай бұрын
Temidayo mkali
Sauti yenyewe inajieleza 🔥🔥🔥twende na like apa
Hakikisheni mnalike pale juuu
Nikiwa gikombaa Nairobi . Big upp❤❤ oll fan's king music and crown media
@marywanyika6924
2 ай бұрын
Chunga simu ma pick pocker ni wengi alafu usisahau kuniletea viatu
I see crown media to be the greatest media within tz and outside tz keep note
AMA KWELI SALM KIKEKE ANA SAUTI YA MAMLAKA AISEE✊
Asante sana Alikiba now tunatamba mjini
Wana crown Media tujuwane apa
Mi timu kiba atariii nawakubaliiiiiii sanaaaaa
ndio ndio 🙌🙌🙌 hii imekaa fressshhhh kinoma.... can't wait for it aisee
Sikiliza Vocal Hy 😅 Ngonga Like Kama Unakubal Sauti
Uyo jamaaa mwenye kipara kama mimi😮 udevu kama mimi namkubaliii, nafurahishwa sana na kikeke
Niko live crown toka TZ🇹🇿 KILIMANJARO 🔥🔥🔥🔥🔥🤣
@mycmeranyswai7957
2 ай бұрын
😂😂😂😂
Crown fans give me like 👍 from south africa 🇿🇦
Duh mkali sana kiutangazaji duh . Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda na kukutunza.
Hakika #HapaNiNyumbani kabisa karibu sana homeboy #Salim_Kikeke
Hapa ni nyumbani 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
These are really profesional personalities in terms of media in Tanzania heko crown media
Kwenye kazi kuna kazi.Hongera crown mnaupiga mwingi✍️
Nawafata vizuri nikiwa hapa Germany 🇩🇪
@mycmeranyswai7957
2 ай бұрын
tupeane mailing bana
Sauti ya kazi kabisa
Noma sana crown media mmetisha sana
Safi sana hapa na nyumbani tuko pamoja na kazi iendelee
Kikeke mtu wa maana kabisa
Wale tunaotaka crown izinduliwe Mwanza gonga like hapa mpaka king atuambie lini wanazindua mwanza😢
@salomewandya7257
2 ай бұрын
Tupooo
HAPA TUMEPATA BBC YA AFRICA TZ . Hapa sasa nimepata CHANNEL kutoka TZ🇨🇩🇺🇸❤️
Nakuelewa sana kikeke
Mimi na deal na camera daaah 🙌🙌 na setup ya location nzuri SANAAAAAA♥️♥️♥️♥️🙌🙌🙌
@haidhabushiri9558
2 ай бұрын
Wapo poa
Wow 👏🏿👏🏿love it. Hicho kionjo jaman❤❤
Ukimsikiliza salim kikeke utajua ni moja wa partner wa crown media
@hammytototundu9292
2 ай бұрын
Utajua wewe
@benmwakafwila9855
2 ай бұрын
Wewe kama mimi tuliosoma quba
@user-bw9nz7jo9n
2 ай бұрын
Ni kweli
@chinxk3306
2 ай бұрын
Everthng is perfect salim kikeke awe partner au awe ndo boss wa crown hyo haijalishi but hii media is another lever.
@TishaniUlanga-bj3nx
2 ай бұрын
Haswaaa,,,,anahisa zakee
Shikamoo Salim kikeke#Habari za leo crown 👑 Media
Niko live na Crown 👑 AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-ux5qg4bj1c
2 ай бұрын
Nakuona Bro😂
Hiyo Sauti ya Salim kikeke bwana daaah❤❤❤
@salomewandya7257
2 ай бұрын
Acha tu🔥🔥🔥🔥
Ki keke alikiba mungu awapemaisha malef
Mungu Mwema kuja salimu kikeke crawn fm nawaombeeni dua iwe amina
Safi Kbs Crown média
Kiukweli tangu utike BBC Mpaka leo hii nimehamia King 👑👑 kikeke na king 👑👑 KIBA yeooooooooo💪🏽🥂🙏🏼
Tunakukubali sana.kikeke
Kipindi chako Cha kwanza kitakua lini br tusikie hiyo sautinya radi ✊
CROWN 👑👑👑👑👑👑🔥🔥🔥🔥
King Kiba King Kikeke
Kikeke ni gwiji kweli kweli juu ya utangazaji🔥🔥🔥🔥
Sauti ya Kikeke imekaa kimkakati sanaa😮, 🔥🔥🔥
Moja kwa moja kutoka crown
King keke
Nilichelewa kuona hii ❤ila sauti kiswahili chake very clean Mungu ampe maisha marefu our brother kikeke❤❤❤me nampenda bwana
Nafuaya Crown 👑 toka 🇨🇩✌️ bila hata chenga moja kabisa😊😅
Brother kikeke 🎉
Hapa ni nyumbani 👑👑👑👑
Hii ya kuchukua vijana nimeipenda sana ni vizuri kuchukua watu wapya ili tupate Radha mpya
Mtu wa maana kabisa ❤❤❤
Salm kikeke Yuko vizur sana
Karibu sana
Crown tv 📺 camera 📷 🔥
👑👑👑 2 kings
Asante sana salimu kikeke kwenda crown mshauri ally kiba kuwa na kipindi malumu cha kukumbusha watanzania mahdiri na uzalendo kipindi cha siyasa
Well done
Saf familia,93.2Crown fm jiji la mawe
Safi sana
Baba utukuzwe naaiona Crown ikija vyema na ikiwa na nidham . Baba ibariki Crown FM na CROWN Media
Kikeke upo makini sana ,,, napenda the way unavyojibu upo active dahhhhh yaan mm niwe live nijibu hivyo😅😅 dahhh najijua tutakanyagana hapo utasikia kata hiyo😂😂
Crown fm
Namkubali sana huyu gwiji yeye na Charles Hillary,Mkamiti Kibayasi,Fadhili Mpunje,Pili Mwinyi.
🎉🎉🎉apewe Maya yake
Noma sana
Gwiji kama Gwiji mwenye Crown yake👑🎉
❤❤❤mtu wa maana sana Salim Kikeke❤❤❤❤
Ila sauti mmetisha sanaa
Kabisaaa
❤❤❤❤ ase niko nawe Kikeke pamoja Crown raisi King Kiba ❤❤❤❤
Kazi ianze na moto kama usajir ulivo ndo lamsingi
Hapa ni nyumbani kweli😢😢❤❤
i love this, King Kiba and King Kikeke you guys you have done it very smartly👏👏
The fastest upcoming media in Tz and outside boundaries of Tz. Great founders in Media Industry. Hoping to see more and very fascineting news globally.
Bonge la Usajili yaani Kama Ni Mchezaji Basi Ni Lionel Messi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera King Kiba
@georgemhalla8853
2 ай бұрын
Sio usajili, crown yake
@scorasticaclement6308
2 ай бұрын
@@georgemhalla8853 Yao Sio Yake Wote Wamewekeza Kijana
@rajabukipara3008
2 ай бұрын
Unaumia ukiwa wapp😂
❤ kikeke unaatari!! Nitakupa dada 😂😂❤
@user-ib2uf3uk2d
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉Nyie
Halafu msisahu kulike
Kwa kweli hapa ni nyumbani
Hapa ni Nyumbani kweli Mimi pia soon nafungua kijiwe cha kahawa hapo hapo karibu na Nyumbani
@SheikhIssaAbnau
2 ай бұрын
Wabongo muna dharau Sana Sababu Alikiba ameanzisha hii media munatamani kila kitu kiwepo .. tulieni muone huyo kikeke atafanya makubwa sana
@costardeogratias7784
2 ай бұрын
Hahahhaha nimecheka sanaa
@pachelapachella1486
2 ай бұрын
Hahahahaha
@farijalanyoni5685
2 ай бұрын
we will rally behind you, u got our back
@salomewandya7257
2 ай бұрын
Hahaha au uuze madafu hapo karibu
Ok kumbe crown media kikeke nae anahusika, nae ni Mkurugenzi, hapa sasa nimeelewa. Hongereni sana kwa wazo zuri
Hawa wote Ni Msimbazi Crown Kumenoga❤❤❤❤❤
Crown media noma saana❤❤❤.
Hii crown niyaalikiba au wote wawili
@georgemhalla8853
2 ай бұрын
Wote hao wawili
Kikeke ni mtangazaji mwenye brand kubwa kuliko mtangazaji weyote yule Tanzania na afrika kwa ujumla
Salim Kikeke ni Muhusika Sio Mwajiriwa Hapo Crown
Noma sana broo.
Mashaallah
Kutoka Zanzibar 👊
Founder of crown Media🔥kikekee
Nice voice by kikeke salim
Good voice,, confidence,,, reality, Respect,,and Great vision 💪
Mbona kama hii interview nimewahi iona inakueje live😮
@user-qk8mh1hb6o
2 ай бұрын
𝑾𝒆 𝒖𝒎𝒆 𝒐𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒑
@domicianalphonce8104
2 ай бұрын
de ja vu
Vamos crown insha'allah vamos chegar 🇲🇿🇲🇿💖
Kutoka USA 🇺🇸 Nawapata
God bless you bro
Kazi Nzuri sana ❤ #HapaNiNyumbani
Mfalme wa habari
Salim kikekeee big love ma man❤❤❤
Usikivu wa hii radio na kamera zake ni international