UCHAMBUZI WA KINA WA SPACE YA RAIS RUTO NA GEN-Z KWENYE KASRI LA KIKEKE

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 54

  • @IssaNjojo
    @IssaNjojo16 күн бұрын

    Sasaivi tumepata midia bora ya Africa

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446416 күн бұрын

    Hongera kwa kuacha kazi ughaibuni na kuja kuungana na watanzania wenzio, kuna baadhi wakifika huko hawapendi kurudi sasa unatuletea habari nzuri

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu874316 күн бұрын

    Hi ilikua majiano mazuri sana kuongea kuhusu yalio tokeya Kenya.❤🎉 Ila tunge omba kumuona rais Ruto katika Kasri la Kikeke yeye mwenyewe kwasababu tunao fuatilia Crown tuko wengi sana duniani.❤️🎉🔥👑👏

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge694316 күн бұрын

    Kipindi hiki ni kizuri Sana aisee kinaelimisha na kufanya uchambuzi mzuri

  • @zawadimsambwa4466
    @zawadimsambwa446616 күн бұрын

    Ni redio bora sana Big up

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru9159 күн бұрын

    Big up crown

  • @abuusufian6506
    @abuusufian650616 күн бұрын

    Sauti ya dhahabu ❤❤

  • @ZephaniahSekwa-fl2go
    @ZephaniahSekwa-fl2go16 күн бұрын

    Hv huuu utulivu wa hiii redio naufeel mimi tu jaman?

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k16 күн бұрын

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @khamzdady7977
    @khamzdady797716 күн бұрын

    Kazi nzur sana nimependa sana uchambuzi wenu mnajua sanaaaaa🔥🔥🔥🙌

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy956713 күн бұрын

    Naiona crown media Mbali sanaa

  • @halphanhamisi8577
    @halphanhamisi857716 күн бұрын

    Ruto Must Go

  • @eliaspius4949
    @eliaspius494916 күн бұрын

    Oya Kikeke umekuja kufanya mapinguzi kwenye utangazaji

  • @kingwattanlibz9391
    @kingwattanlibz939116 күн бұрын

    hamjui yaliyopo kenya.....hakuna alichofanya ndani ya hii miaka miwili..Anadai ameboresha sekta ya Afya wakati madaktari juzi tu waligoma miezi mitatu mtawalia,hospitali hazina dawa,,shule ndio shida....Alichobarikiwa Ruto ni kwamba anajua kuongea na uongo wake unaweza kufanya wewe uamini anazungumza ukweli

  • @edomc472
    @edomc47216 күн бұрын

    Big media in town

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m16 күн бұрын

    Asante salim

  • @victorburser1717
    @victorburser171716 күн бұрын

    Kumbe hua wanajua madudu yalipo sema wanajizima data.

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t11 күн бұрын

    Good job crown

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h16 күн бұрын

    Salim kikeke ni baba wa habari africa

  • @octavians8855
    @octavians885516 күн бұрын

    hongera kikeke

  • @CharlesClaudio-uf9nv
    @CharlesClaudio-uf9nv15 күн бұрын

    Good 👍

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz15 күн бұрын

    Wakenya washawekwa kitako watatulia 2 serekali za kiafrica ni rahisi sn kulaghai raia wao

  • @LINJEBOY
    @LINJEBOY14 күн бұрын

    Moja kat ya kipind bola n hiki crown tuko very classic kuanzia mike ni nomaa lugha tunayotumia saf wou balaaaa naona kabsa BBC imerud tz sasa

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz15 күн бұрын

    Kwa Tanzania hatuko macho sisi 2melala na hatuwezi kuamka ataa 2amshwe na nani

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt14 күн бұрын

    Watu walikuwa milioni moja online, listening to that conversation

  • @user-kf4cc2rh1k
    @user-kf4cc2rh1k13 күн бұрын

    Safi sanaa

  • @elikanawilson2966
    @elikanawilson296616 күн бұрын

    💥

  • @salvatorystephano936
    @salvatorystephano93616 күн бұрын

    Crown media #VisitMasumbwe

  • @NoelladuniaJohn
    @NoelladuniaJohn13 күн бұрын

    Wow

  • @richardkwayson7202
    @richardkwayson720216 күн бұрын

    Hii mojadala naikubali sana

  • @ZahraFarid-y5f
    @ZahraFarid-y5f16 күн бұрын

    Vipindi vipo poa ila mfanye marekebisho kwenye sauti ina twitwa yani inaumiza maskio ingekua bass jpo kidogo

  • @rajabukipara3008

    @rajabukipara3008

    15 күн бұрын

    Fhone zako MBOV tu bhana😂

  • @kassimayoubmohd6313

    @kassimayoubmohd6313

    15 күн бұрын

    😂😂😂😂😂​@@rajabukipara3008

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    15 күн бұрын

    Una2mia Teckno ww

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock956216 күн бұрын

    😂😂😂 safi sanaa

  • @user-ok5cv2ux2z
    @user-ok5cv2ux2z16 күн бұрын

    Kweri mkovizurisana mtafikambari

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga16 күн бұрын

    Kwenye Sauti bado tunaumia masikio,Twita zinaumiza masikio

  • @IbniAbbas-yz3kt

    @IbniAbbas-yz3kt

    15 күн бұрын

    Spika za cm yako ndo zinazo kuumiza maskio!badilisha cm

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice808816 күн бұрын

    Kasri là kikeke

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-0115 күн бұрын

    Good kikeke

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1016 күн бұрын

    Big up crown media

  • @abdulrahmanhassan3238
    @abdulrahmanhassan323814 күн бұрын

    Hii media ni ya kiwango cha lami

  • @user-yn7mt4mh8n
    @user-yn7mt4mh8n16 күн бұрын

    Tanzania Akuna vijana wakufanya mandanano Kama vijana wa Kenya

  • @suleimanh1826

    @suleimanh1826

    16 күн бұрын

    Vijana tupo. Kama unataka ushahidi rejea kwenye matokeo ya sensa. Ila serikali yetu inatutendea vyema sana. Ahsante kwa mama samia

  • @rajabukipara3008

    @rajabukipara3008

    15 күн бұрын

    We Fala C Ufanye Wewe na MAMAAKO Itatoaha😂

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j16 күн бұрын

    Ruto anaweza kukwepa wimbi kubwa la GEN-Z iwapo ataondoa kodi zinazopazwa sauti na wakenya wenyewe.....

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    16 күн бұрын

    issue sio kodi issue ni rushwa na matumizi mabaya ya hizo kodi.

  • @kingwattanlibz9391

    @kingwattanlibz9391

    16 күн бұрын

    Tozo na wizara zisizoleta tija na kubwa zaid KUPIGANA VITA DHIDI YA CORRUPTION ambayo ndio kiini cha haya yote

  • @4806lency

    @4806lency

    11 күн бұрын

    Issue ni corruption in the government

  • @LAMECKSHEDRACK
    @LAMECKSHEDRACK16 күн бұрын

    Dar Leo nimekaa kinyonge

  • @MudyDayo

    @MudyDayo

    16 күн бұрын

    Sàna

  • @kingkakamwasungo5023

    @kingkakamwasungo5023

    16 күн бұрын

    Unashida gan

  • @Dansolofficial

    @Dansolofficial

    16 күн бұрын

    Weekend imekaa hovyo sana

  • @LAMECKSHEDRACK

    @LAMECKSHEDRACK

    16 күн бұрын

    Hawakuwepo hewani

Келесі