UCHAMBUZI WA KINA WA SPACE YA RAIS RUTO NA GEN-Z KWENYE KASRI LA KIKEKE
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 54
Sasaivi tumepata midia bora ya Africa
Hongera kwa kuacha kazi ughaibuni na kuja kuungana na watanzania wenzio, kuna baadhi wakifika huko hawapendi kurudi sasa unatuletea habari nzuri
Hi ilikua majiano mazuri sana kuongea kuhusu yalio tokeya Kenya.❤🎉 Ila tunge omba kumuona rais Ruto katika Kasri la Kikeke yeye mwenyewe kwasababu tunao fuatilia Crown tuko wengi sana duniani.❤️🎉🔥👑👏
Kipindi hiki ni kizuri Sana aisee kinaelimisha na kufanya uchambuzi mzuri
Ni redio bora sana Big up
Big up crown
Sauti ya dhahabu ❤❤
Hv huuu utulivu wa hiii redio naufeel mimi tu jaman?
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kazi nzur sana nimependa sana uchambuzi wenu mnajua sanaaaaa🔥🔥🔥🙌
Naiona crown media Mbali sanaa
Ruto Must Go
Oya Kikeke umekuja kufanya mapinguzi kwenye utangazaji
hamjui yaliyopo kenya.....hakuna alichofanya ndani ya hii miaka miwili..Anadai ameboresha sekta ya Afya wakati madaktari juzi tu waligoma miezi mitatu mtawalia,hospitali hazina dawa,,shule ndio shida....Alichobarikiwa Ruto ni kwamba anajua kuongea na uongo wake unaweza kufanya wewe uamini anazungumza ukweli
Big media in town
Asante salim
Kumbe hua wanajua madudu yalipo sema wanajizima data.
Good job crown
Salim kikeke ni baba wa habari africa
hongera kikeke
Good 👍
Wakenya washawekwa kitako watatulia 2 serekali za kiafrica ni rahisi sn kulaghai raia wao
Moja kat ya kipind bola n hiki crown tuko very classic kuanzia mike ni nomaa lugha tunayotumia saf wou balaaaa naona kabsa BBC imerud tz sasa
Kwa Tanzania hatuko macho sisi 2melala na hatuwezi kuamka ataa 2amshwe na nani
Watu walikuwa milioni moja online, listening to that conversation
Safi sanaa
💥
Crown media #VisitMasumbwe
Wow
Hii mojadala naikubali sana
Vipindi vipo poa ila mfanye marekebisho kwenye sauti ina twitwa yani inaumiza maskio ingekua bass jpo kidogo
@rajabukipara3008
15 күн бұрын
Fhone zako MBOV tu bhana😂
@kassimayoubmohd6313
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@rajabukipara3008
@KassimAlly-xp4dz
15 күн бұрын
Una2mia Teckno ww
😂😂😂 safi sanaa
Kweri mkovizurisana mtafikambari
Kwenye Sauti bado tunaumia masikio,Twita zinaumiza masikio
@IbniAbbas-yz3kt
15 күн бұрын
Spika za cm yako ndo zinazo kuumiza maskio!badilisha cm
Kasri là kikeke
Good kikeke
Big up crown media
Hii media ni ya kiwango cha lami
Tanzania Akuna vijana wakufanya mandanano Kama vijana wa Kenya
@suleimanh1826
16 күн бұрын
Vijana tupo. Kama unataka ushahidi rejea kwenye matokeo ya sensa. Ila serikali yetu inatutendea vyema sana. Ahsante kwa mama samia
@rajabukipara3008
15 күн бұрын
We Fala C Ufanye Wewe na MAMAAKO Itatoaha😂
Ruto anaweza kukwepa wimbi kubwa la GEN-Z iwapo ataondoa kodi zinazopazwa sauti na wakenya wenyewe.....
@kwisa4899
16 күн бұрын
issue sio kodi issue ni rushwa na matumizi mabaya ya hizo kodi.
@kingwattanlibz9391
16 күн бұрын
Tozo na wizara zisizoleta tija na kubwa zaid KUPIGANA VITA DHIDI YA CORRUPTION ambayo ndio kiini cha haya yote
@4806lency
11 күн бұрын
Issue ni corruption in the government
Dar Leo nimekaa kinyonge
@MudyDayo
16 күн бұрын
Sàna
@kingkakamwasungo5023
16 күн бұрын
Unashida gan
@Dansolofficial
16 күн бұрын
Weekend imekaa hovyo sana
@LAMECKSHEDRACK
16 күн бұрын
Hawakuwepo hewani