ROMA. NIMKATOLIKI? NAFSI JITOKEZE(OFFICIAL VIDEO)diamond-alikiba-yanga-simba-hamonize-mellard ayo

Ойын-сауық

Пікірлер: 78

  • @basilmwalongo6149
    @basilmwalongo614910 ай бұрын

    Nawapongeza sana Kwa kumkumbuka mtetezi wa nyonge

  • @patrickrobert1614
    @patrickrobert161410 ай бұрын

    Jamaa unaweza nyimbo nzuri sana

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa96110 ай бұрын

    Duu sijaweza kwenda hata ofisini leo mungu wewe unaweza tusamehe na mpunzishe kwa amani JPM

  • @ismadigitalsolutions_TZ
    @ismadigitalsolutions_TZ10 ай бұрын

    Bigup sana blood jah bless youu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @danpaulo8878
    @danpaulo887810 ай бұрын

    Mungu amrudishe kwa kupitia mtu mwingine anayeweza kuwajari wananchi .

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd9 ай бұрын

    Hiii Ndio nyimbo yangu pendwa mamba Moja

  • @vitukovyasilvernamtaawake4024
    @vitukovyasilvernamtaawake402410 ай бұрын

    Sio TZ tu kila mahali noma sana... Hamna watetezi.. Jamaa wanakula hao

  • @user-xh3es4ws9w
    @user-xh3es4ws9w10 ай бұрын

    Munaelia ndio wale ambao kwenye msba mlifanya Sheree binadamu mbwana sjui lipi jema kwetu mungu mpumzishe kwa amani

  • @user-cn7rm2fz6z
    @user-cn7rm2fz6z10 ай бұрын

    Noma sna

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe51927 ай бұрын

    Haikua nahaja yaku2mia jna lam2 ungeandika lako2 mbna pia ungetrend2 Ngoma Kali san🌹🌹🌹

  • @yawepetro2049
    @yawepetro204910 ай бұрын

    Kweli nimeshaota ndoto kuwa magufuli amefufua

  • @onelovetz7935
    @onelovetz793510 ай бұрын

    Unyama mwingi song iko poa tutamukumbuka

  • @herryabely3831
    @herryabely383110 ай бұрын

    NAFSI jitokeze nice song

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali194610 ай бұрын

    Kali hiyoo

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani952210 ай бұрын

    Machozi yamenitoka!!!! Baba Magufuli

  • @Mikarmusic-eb7vy
    @Mikarmusic-eb7vy10 ай бұрын

    Ila yy kawa mnafiki km delila

  • @charlesmwamlima3923
    @charlesmwamlima3923 Жыл бұрын

    Keep it up bro

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    10 ай бұрын

    🌹🙏👉

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib5 ай бұрын

    Amazing song JMP is back

  • @mariambwilo6841
    @mariambwilo684110 ай бұрын

    Miss magu

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe926610 ай бұрын

    Alisema mtanikumbuka

  • @cantonadelegatus7670
    @cantonadelegatus76703 ай бұрын

    Nic da watuwanajua ila tu watanzania awawaoni

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely292810 ай бұрын

    Unyama sana kamanda

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df10 ай бұрын

    Wtz bd wanamaumivu kuhusu kifo chako, pumzka kwa amani mtetezi wetu.

  • @user-pw9pz5gj3s
    @user-pw9pz5gj3s6 ай бұрын

    😢😢😢 bigup3 sana

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed419010 ай бұрын

    KILICHO NILIZA NI KUMUONA MAMA ANAPIKA JIWE ILI MTOTO AMINI KUWA CHAKULA KIPO JIKON UKU MAMA AKIPIGA MAESABU KUWA MTOT ASUBIRI KISHA ATALALA CK ITAPITA ILA NAWAZA KESHO ASUBUH MAMA ATAKUWA PLAN GANI

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    10 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏👉🌹👈

  • @EdwinyMsungu-ii6hw
    @EdwinyMsungu-ii6hw10 ай бұрын

    Alijua kula na kipofu

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande773410 ай бұрын

    Mungu akuwekee maari pema peponi magu

  • @mohamedbabu533

    @mohamedbabu533

    5 ай бұрын

    Alikuwa mtetezi wa wanyonge...jitokeze

  • @IddyKawaya
    @IddyKawaya10 ай бұрын

    Big up mwamba

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    10 ай бұрын

    🌹👈

  • @sauda4505
    @sauda450510 ай бұрын

    Daah inauma sanaa

  • @josephat66
    @josephat6610 ай бұрын

    Jamni huyu mzee jmn.. Mpumzishe kwa amani au mlipe km alivyo tegemea siku akifa awe hata mfagia uwanja wa malaika huko mbiguni

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bzАй бұрын

    🔥🔥🔥the message

  • @yusuphngwele4190
    @yusuphngwele419010 ай бұрын

    Tatizo ni kukosa uzalendo na taifa letu.

  • @user-yx1gt6gc3p
    @user-yx1gt6gc3p5 ай бұрын

    Nic

  • @mussaenock8928
    @mussaenock89288 күн бұрын

    Hakika nimetoa machoz watu niwanafik sana

  • @djwizymkenya4104
    @djwizymkenya410410 ай бұрын

    Hii ngoma bro nouma

  • @luckyangela7148
    @luckyangela714810 ай бұрын

    Safi sana

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu9 ай бұрын

    Magufuli hakujua kuwa alio waamini walikuwa wafiki, mfedhuli wapenda madaraka, ona sasa wameuza nchi bila woga, wamechukua chao mapema

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it13 күн бұрын

    👏👏👏💪

  • @mariamexaverympolo4641
    @mariamexaverympolo464111 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89310 ай бұрын

    JPM hapo ndipo arpo jimarza hakujuwa kikuracho kiiii nguoni mwako

  • @user-ri5pc6es4m
    @user-ri5pc6es4m10 ай бұрын

    Umetisha kaka🔥🔥🔥

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    10 ай бұрын

    🌹👈

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Жыл бұрын

    🤲🤲🙏🏼🙏🏼😢😢😢

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd9 ай бұрын

    Jpm aka chuma aka mwamba aka pombe Kali aka Tinga tinga mtanzania mamba Moja ambae alikataa kuyumbishwa Na mabeberu

  • @mrRaji
    @mrRaji Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @mellickzedeckpeter713
    @mellickzedeckpeter71311 ай бұрын

    👏🎉

  • @user-ld4zl2sl9z
    @user-ld4zl2sl9z8 ай бұрын

    Da ni hatari ipo siku kazi ya mikono ya msanii huyu italipwa

  • @munyeradeogratias9342
    @munyeradeogratias934211 ай бұрын

    Big up

  • @tatusaid7793

    @tatusaid7793

    10 ай бұрын

    Nalia mwenzenu hii nyimbo

  • @gersonmanowa8209
    @gersonmanowa820910 ай бұрын

    Uko vzr Tatizo ni kutumia jina la m2. Kama kpaji kpo vzr, uza kazi yako kwa jina lako bro.

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    10 ай бұрын

    ❤😢😢😅😅😅

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa9619 ай бұрын

    Eeeeee mwenyezi mungu leo nimekosa amani nguvu ya kwenda ofisini sijiwezi mpunzishe kwa amani JPM tusamehe mwenyezi mungu kwa kulia usiku na mchana huku mateso yakiongezeka majibu hatuna akili zimechoka maumivu eeeeee mungu sifa na utukufu ni kwako

  • @mariamexaverympolo4641
    @mariamexaverympolo464111 ай бұрын

    Wanaokubari kimoyo moyo jamaa anaweza ila tatizo jina like hapo tujuane

  • @samirshabani-yu4xu

    @samirshabani-yu4xu

    13 күн бұрын

    Like uzipeleke wapi punguzeni umaku

  • @lamama.
    @lamama.4 күн бұрын

    Made me cried again

  • @salumumfaume-ws9he
    @salumumfaume-ws9he12 күн бұрын

    kiukweli uko vizuli saaaaaaaaana

  • @onesmokinde8854
    @onesmokinde885410 ай бұрын

    Daaa❤

  • @josephkibumu-xg1vm
    @josephkibumu-xg1vm6 күн бұрын

    Tutakukumbuka pumzka kwa aman baba wa wanyonge ila vitendo vinaish

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid44710 ай бұрын

    Uko vzr Sana 🙏🏼 song imetulia kutana na Professor J au Sugu au Roma au fidq najua watakunyooshea vzr 💪🏽✌️🙏🏼

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    10 ай бұрын

    🌹🙏

  • @christianmlilimko3923
    @christianmlilimko392310 ай бұрын

    nakubal

  • @AllySully
    @AllySullyКүн бұрын

    Waletangulia weng wazur Zaid yake wacheni kufuru.

  • @kailaniddi2984
    @kailaniddi298410 ай бұрын

    yyoooo? 💪💪💪💪

  • @EmaniJohasi-mf2bb
    @EmaniJohasi-mf2bb10 ай бұрын

    Wambie wjue

  • @user-fr2pf5eg2g
    @user-fr2pf5eg2g8 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @richardchawenda5938
    @richardchawenda593810 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108Ай бұрын

    Rip magufur

  • @innocentyusuph7762
    @innocentyusuph776210 ай бұрын

    Upewe mauwa yako mwamba

  • @shedrackjoshua834
    @shedrackjoshua83422 күн бұрын

    Jiamini ili ujipandishe sasa tunaendelea kumfollow roma na unadhani ukipata follows kwa jina la mtu ujanja na unaimba bema tu.

  • @user-pg3xn5wm8y
    @user-pg3xn5wm8y10 ай бұрын

    Safi by koni

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa9619 ай бұрын

    Hakupi sumu asiyekula nawe hakunyongi asiekujua hakurogi mtoka mbari hatengui zindiko mwenye masrahi

  • @INVISIBLE761

    @INVISIBLE761

    8 ай бұрын

    Umeandika sana wachache ndio watelewa ulichoandika

  • @user-fr2pf5eg2g
    @user-fr2pf5eg2g9 ай бұрын

    JPM

Келесі