Umeandika sana wachache ndio watelewa ulichoandika
@meryshekoloa96110 ай бұрын
Eeeeee mwenyezi mungu leo nimekosa amani nguvu ya kwenda ofisini sijiwezi mpunzishe kwa amani JPM tusamehe mwenyezi mungu kwa kulia usiku na mchana huku mateso yakiongezeka majibu hatuna akili zimechoka maumivu eeeeee mungu sifa na utukufu ni kwako
@msafiriomary89310 ай бұрын
JPM hapo ndipo arpo jimarza hakujuwa kikuracho kiiii nguoni mwako
@onesmokinde885410 ай бұрын
Daaa❤
@josephat6610 ай бұрын
Jamni huyu mzee jmn.. Mpumzishe kwa amani au mlipe km alivyo tegemea siku akifa awe hata mfagia uwanja wa malaika huko mbiguni
@meryshekoloa96110 ай бұрын
Duu sijaweza kwenda hata ofisini leo mungu wewe unaweza tusamehe na mpunzishe kwa amani JPM
Пікірлер
Magufuli alitumwa kwa wote
Nam nam big up
Suma imetisha kaka
Nice kaka
Jamaa anaweza, bonge la wimbo mkali, we ni staa tayari 🎉
Kweli jamaa anaweza
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😂😢sana mwamba
Mzee kawarundisha wote uliowatumbua
Kaza broo unaweza jipemoyo mwamba
Hongera sana Kaka mkubwa, kiukweli nimetafakari kwa kina sana,vina,mizani na maudhui ya maneno mazito uliyoimba 🎉🎉🎉
Mwanangu umetisha MUNGU wa MBINGUNI akuinue Usiache Ngoma Kali ZIWE kwako peke yako😊
Nakubali sana bonge la wimbo achana na wanaotukana
📢📢📢📢📢📢🔥🔥🔥🔥🔥
Kizazi wakuu😂😂😂😂
Magufuli atakumbukwa daima pumzika kwa amani ❤
Mwamba umetisha nyimbo kari
Sio poa ili dude aliwezi chuja
nyimbo kalizaidi kuwai kutokea tanzania we unajua kuliko roma japo haujiamini umetumia jinalake wakat unamzidi jiamin bro unajua
Nice song kaka mana kazi alifanya ila Mungu amkumbuke mana kumpata kama yeye nisawa nakurudisha Moshi uliopaa kukuleta chini
Alipokuwa haii nyie nyie ndio mliokuwa mnapinga sasa hayupo mnajidai kuwa mnamkubali Magufuli. Acheni unafiki!
Anaheshima na anajiheshimu
Waletangulia weng wazur Zaid yake wacheni kufuru.
Made me cried again
Tutakukumbuka pumzka kwa aman baba wa wanyonge ila vitendo vinaish
Hakika nimetoa machoz watu niwanafik sana
kiukweli uko vizuli saaaaaaaaana
👏👏👏💪
Jiamini ili ujipandishe sasa tunaendelea kumfollow roma na unadhani ukipata follows kwa jina la mtu ujanja na unaimba bema tu.
Rip magufur
🔥🔥🔥the message
Nic da watuwanajua ila tu watanzania awawaoni
Amazing song JMP is back
Nic
😢😢😢 bigup3 sana
Haikua nahaja yaku2mia jna lam2 ungeandika lako2 mbna pia ungetrend2 Ngoma Kali san🌹🌹🌹
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Da ni hatari ipo siku kazi ya mikono ya msanii huyu italipwa
Jpm aka chuma aka mwamba aka pombe Kali aka Tinga tinga mtanzania mamba Moja ambae alikataa kuyumbishwa Na mabeberu
Hiii Ndio nyimbo yangu pendwa mamba Moja
JPM
Magufuli hakujua kuwa alio waamini walikuwa wafiki, mfedhuli wapenda madaraka, ona sasa wameuza nchi bila woga, wamechukua chao mapema
Hakupi sumu asiyekula nawe hakunyongi asiekujua hakurogi mtoka mbari hatengui zindiko mwenye masrahi
Umeandika sana wachache ndio watelewa ulichoandika
Eeeeee mwenyezi mungu leo nimekosa amani nguvu ya kwenda ofisini sijiwezi mpunzishe kwa amani JPM tusamehe mwenyezi mungu kwa kulia usiku na mchana huku mateso yakiongezeka majibu hatuna akili zimechoka maumivu eeeeee mungu sifa na utukufu ni kwako
JPM hapo ndipo arpo jimarza hakujuwa kikuracho kiiii nguoni mwako
Daaa❤
Jamni huyu mzee jmn.. Mpumzishe kwa amani au mlipe km alivyo tegemea siku akifa awe hata mfagia uwanja wa malaika huko mbiguni
Duu sijaweza kwenda hata ofisini leo mungu wewe unaweza tusamehe na mpunzishe kwa amani JPM
Wambie wjue
Mungu akuwekee maari pema peponi magu
Alikuwa mtetezi wa wanyonge...jitokeze
Jamaa unaweza nyimbo nzuri sana