OKOA Vipaji TV Online

OKOA Vipaji TV Online

OKOA VIPAJI TV ONLINE
Nikikundi kinachojiusisha na kuinua/kutangaza vipaji mbalimbali vya sanaa.

OKOA VIPAJI TV ONLINE
Is a group which deals with empowering differents talents.

MNUNAJK BB

MNUNAJK BB

w n k mxf Output 1 new 1

w n k mxf Output 1 new 1

Пікірлер

  • @VicentSumuni-dp9pf
    @VicentSumuni-dp9pfКүн бұрын

    Magufuli alitumwa kwa wote

  • @EzraKatambi-g4b
    @EzraKatambi-g4bКүн бұрын

    Nam nam big up

  • @mengifrank8070
    @mengifrank80702 күн бұрын

    Suma imetisha kaka

  • @lucasmanyama2892
    @lucasmanyama28922 күн бұрын

    Nice kaka

  • @respiciusjohn9936
    @respiciusjohn99363 күн бұрын

    Jamaa anaweza, bonge la wimbo mkali, we ni staa tayari 🎉

  • @tazaniattractivetamthiliya2941
    @tazaniattractivetamthiliya29413 күн бұрын

    Kweli jamaa anaweza

  • @HenryNdaigaTanzania
    @HenryNdaigaTanzania3 күн бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @AlexNikola-ky2dm
    @AlexNikola-ky2dm3 күн бұрын

    😂😢sana mwamba

  • @martinkisha6307
    @martinkisha63074 күн бұрын

    Mzee kawarundisha wote uliowatumbua

  • @Musa-vv2mz
    @Musa-vv2mz5 күн бұрын

    Kaza broo unaweza jipemoyo mwamba

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis59046 күн бұрын

    Hongera sana Kaka mkubwa, kiukweli nimetafakari kwa kina sana,vina,mizani na maudhui ya maneno mazito uliyoimba 🎉🎉🎉

  • @JuliusMnkondo-fk9kv
    @JuliusMnkondo-fk9kv6 күн бұрын

    Mwanangu umetisha MUNGU wa MBINGUNI akuinue Usiache Ngoma Kali ZIWE kwako peke yako😊

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli6 күн бұрын

    Nakubali sana bonge la wimbo achana na wanaotukana

  • @HassaniRamso
    @HassaniRamso7 күн бұрын

    📢📢📢📢📢📢🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-gv6iz2wd6d
    @user-gv6iz2wd6d8 күн бұрын

    Kizazi wakuu😂😂😂😂

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41798 күн бұрын

    Magufuli atakumbukwa daima pumzika kwa amani ❤

  • @EliyaMWAIJUMBA-i1n
    @EliyaMWAIJUMBA-i1n8 күн бұрын

    Mwamba umetisha nyimbo kari

  • @michaelmwaisame2341
    @michaelmwaisame234110 күн бұрын

    Sio poa ili dude aliwezi chuja

  • @SamweliJacob-bm2ij
    @SamweliJacob-bm2ij10 күн бұрын

    nyimbo kalizaidi kuwai kutokea tanzania we unajua kuliko roma japo haujiamini umetumia jinalake wakat unamzidi jiamin bro unajua

  • @SamwelAbsalum
    @SamwelAbsalum11 күн бұрын

    Nice song kaka mana kazi alifanya ila Mungu amkumbuke mana kumpata kama yeye nisawa nakurudisha Moshi uliopaa kukuleta chini

  • @lawskuli9876
    @lawskuli987614 күн бұрын

    Alipokuwa haii nyie nyie ndio mliokuwa mnapinga sasa hayupo mnajidai kuwa mnamkubali Magufuli. Acheni unafiki!

  • @josephhaule3563
    @josephhaule356314 күн бұрын

    Anaheshima na anajiheshimu

  • @AllySully
    @AllySully16 күн бұрын

    Waletangulia weng wazur Zaid yake wacheni kufuru.

  • @lamama.
    @lamama.19 күн бұрын

    Made me cried again

  • @josephkibumu-xg1vm
    @josephkibumu-xg1vm21 күн бұрын

    Tutakukumbuka pumzka kwa aman baba wa wanyonge ila vitendo vinaish

  • @mussaenock8928
    @mussaenock892823 күн бұрын

    Hakika nimetoa machoz watu niwanafik sana

  • @salumumfaume-ws9he
    @salumumfaume-ws9he27 күн бұрын

    kiukweli uko vizuli saaaaaaaaana

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it28 күн бұрын

    👏👏👏💪

  • @shedrackjoshua834
    @shedrackjoshua834Ай бұрын

    Jiamini ili ujipandishe sasa tunaendelea kumfollow roma na unadhani ukipata follows kwa jina la mtu ujanja na unaimba bema tu.

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108Ай бұрын

    Rip magufur

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bzАй бұрын

    🔥🔥🔥the message

  • @cantonadelegatus7670
    @cantonadelegatus76703 ай бұрын

    Nic da watuwanajua ila tu watanzania awawaoni

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib5 ай бұрын

    Amazing song JMP is back

  • @user-yx1gt6gc3p
    @user-yx1gt6gc3p6 ай бұрын

    Nic

  • @user-pw9pz5gj3s
    @user-pw9pz5gj3s6 ай бұрын

    😢😢😢 bigup3 sana

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe51928 ай бұрын

    Haikua nahaja yaku2mia jna lam2 ungeandika lako2 mbna pia ungetrend2 Ngoma Kali san🌹🌹🌹

  • @user-fr2pf5eg2g
    @user-fr2pf5eg2g8 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-ld4zl2sl9z
    @user-ld4zl2sl9z9 ай бұрын

    Da ni hatari ipo siku kazi ya mikono ya msanii huyu italipwa

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd9 ай бұрын

    Jpm aka chuma aka mwamba aka pombe Kali aka Tinga tinga mtanzania mamba Moja ambae alikataa kuyumbishwa Na mabeberu

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd9 ай бұрын

    Hiii Ndio nyimbo yangu pendwa mamba Moja

  • @user-fr2pf5eg2g
    @user-fr2pf5eg2g9 ай бұрын

    JPM

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu10 ай бұрын

    Magufuli hakujua kuwa alio waamini walikuwa wafiki, mfedhuli wapenda madaraka, ona sasa wameuza nchi bila woga, wamechukua chao mapema

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa96110 ай бұрын

    Hakupi sumu asiyekula nawe hakunyongi asiekujua hakurogi mtoka mbari hatengui zindiko mwenye masrahi

  • @INVISIBLE761
    @INVISIBLE7619 ай бұрын

    Umeandika sana wachache ndio watelewa ulichoandika

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa96110 ай бұрын

    Eeeeee mwenyezi mungu leo nimekosa amani nguvu ya kwenda ofisini sijiwezi mpunzishe kwa amani JPM tusamehe mwenyezi mungu kwa kulia usiku na mchana huku mateso yakiongezeka majibu hatuna akili zimechoka maumivu eeeeee mungu sifa na utukufu ni kwako

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89310 ай бұрын

    JPM hapo ndipo arpo jimarza hakujuwa kikuracho kiiii nguoni mwako

  • @onesmokinde8854
    @onesmokinde885410 ай бұрын

    Daaa❤

  • @josephat66
    @josephat6610 ай бұрын

    Jamni huyu mzee jmn.. Mpumzishe kwa amani au mlipe km alivyo tegemea siku akifa awe hata mfagia uwanja wa malaika huko mbiguni

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa96110 ай бұрын

    Duu sijaweza kwenda hata ofisini leo mungu wewe unaweza tusamehe na mpunzishe kwa amani JPM

  • @EmaniJohasi-mf2bb
    @EmaniJohasi-mf2bb10 ай бұрын

    Wambie wjue

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande773410 ай бұрын

    Mungu akuwekee maari pema peponi magu

  • @mohamedbabu533
    @mohamedbabu5335 ай бұрын

    Alikuwa mtetezi wa wanyonge...jitokeze

  • @patrickrobert1614
    @patrickrobert161411 ай бұрын

    Jamaa unaweza nyimbo nzuri sana