Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa BLM Dr. Hussien Mwinyi akagua miradi ya ujenzi wa masoko.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussien Ali Mwinyi alitembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa masoko ya kisasa maeneo ya Chuini kwa Nyanya, Soko la Jumbi na Mwanakwerekwe.
Dr. Mwinyi Amewaagiza wakandarasi wa Masoko hayo kukamilisha Ujenzi ifikapo Mwezi Novemba ili yaweze kufunguliwa Disemba Mwaka Huu.

Пікірлер