OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR

OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR

Karibu katika kituo cha habari kwa njia ya video (KZread CHANNEL) Kinachomilikiwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Tunahakikisha habari na matukio yote ya kimaendeleo yanayohusiana na OR-TAMISEMIM yanawafikia Wananchi.

Пікірлер

  • @harithwhite589
    @harithwhite5892 сағат бұрын

    Mbona kipo kizamani zamani

  • @aishaaliothman7180
    @aishaaliothman71807 сағат бұрын

    Kwanyanya hakuna watu

  • @hamadhamad3148
    @hamadhamad314812 сағат бұрын

    Ohh mashallah km hio ingekiepo mjini dajani wallah

  • @ameali5606
    @ameali560612 күн бұрын

    Kuna haji kheir mmoja tuu dunian.... Huyu jamaa alkua anapga Kaz kwa bidii.

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z12 күн бұрын

    Poleni

  • @user-hz9he1wk6f
    @user-hz9he1wk6f13 күн бұрын

    Hongera Doctor MWINYI

  • @is-hakaame
    @is-hakaameАй бұрын

    Huyu bi memi alikua ni mwalimu wa Skuli amenisomesha ila hongera kwake bi MEMI

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6zАй бұрын

    Mhmmm poleni

  • @ameali5606
    @ameali5606Ай бұрын

    Idara maalum haitobowi kuwa na tume ya utumish... Mtu ana darasa LA 7 unadhan anatatua nn uyo zaid ya ugovi

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447Ай бұрын

    Nzuri sana

  • @user-dg4zc2un1y
    @user-dg4zc2un1yАй бұрын

    Soko zinasinzia kwa sababu wanauza vitu bei htr yaan soko kama supamaket ilo

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4rАй бұрын

    Kweli tabu

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2nАй бұрын

    Mungu awabariki sana na awaepushe watu wasiokuwa na nia njema na Serikali SMZ

  • @sadikfarhansadik6096
    @sadikfarhansadik6096Ай бұрын

    Shida mmejenga sehemu ambayo hat ao watumiaji hawajaridhika kwann msiwashauri na kuwauliza wajengewe wapi hatimayake hata watu uko sokoni wanashwindwa kwenda

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2rАй бұрын

    Mwenyezi munqu awabariki sana vionqozi wetu wote wa serikali kwa nia njema kwa wananchi wote wa zanzibar unquja na pemba

  • @musaakim2853
    @musaakim28532 ай бұрын

    Tayari mshawatengezea ullaji wengine wengine ambao huitwa [manucipal] nalitakua chavu kama choo sio muda mrefu na watanganyika mamanitilie

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30382 ай бұрын

    Hongela saana viongozi kwakutenda haki

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j2 ай бұрын

    Manispaa wanashindwa kutekeleza usafi kwenye masoko. Wakati wafanya biashara wanalipa kodi ikiwemo na suala la usafi.

  • @ameali5606
    @ameali56063 ай бұрын

    Kwan serikal za mitaa bado zpo Zanzibar ??

  • @ameali5606
    @ameali56063 ай бұрын

    Jesh na vlemba.... Wahind bwana😅😅

  • @bakaromar8979
    @bakaromar89794 ай бұрын

    Kazi nzuri

  • @khamishassan7775
    @khamishassan77754 ай бұрын

    Tunaomba. Na sisi tuajiriwe. Rasmin. Mhesimiwa. Tunaomba maan tunapata. Tabu kwny uliz

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x5 ай бұрын

    Kwa taarifa yenu waliopimwa ndotayari

  • @hamadyussuf5307
    @hamadyussuf53075 ай бұрын

    Mukisha jaza watoto wenu ndio mutatangaza kuwadanganya watu, tushawazoea

  • @bolothedone2172
    @bolothedone21725 ай бұрын

    Nimejenga taifa mika miwili 2kamili ila ajira zimetoka .vijana wa jku tumeachwa pending na wamechukuliwa vijana wa uvccm .ambao hawajui hata jeshi ni Nini uzalendo hawaujui .taratibu zakijeshi hawazijui ni raia wakawaida .tu mnamchukua kwamamaaake mnamuandikisha kwenye ajira kisa mtoto wa mkubwa...yule aloesota miaka 2 mvua jua .kapoteza muda kambini kujitoa .Leo hii serekali inamuona Bora raia wa chama ccm kuliko kijana wa jku mpiganaji ambae ameshapata mafumzo yakijeahi utimamu waakili uvumilivu na ushupavu et Leo munamuacha ...hii nchi matokea machafu yatatokea nawatakao sababisha matukio hayo niwale vijana waliojenga taifa kwa weledi Kisha ikaja ajira mukawanyima ndipo atakapoamua kufanya ujambazi nakumnasa iwe ngumu maana mafumzo yaujasiri mlishampa kitambo tu. SEREKALI HILI ANGALIENI SANA KUNA VIJANA MAKAMNINI WANASOTA NA JEMBE KWANINI? MUCHUKUE RAIA WA CHAMA CCM

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo5 ай бұрын

    Mkuu muakane wakuu wa police wanadharau vikosi vyetu vya ulinzi Zanzibar,,,,,mimi hawa police nazidi wabongo nahic kama hawajielewi,,,,, shame for them

  • @SmilingBanjo-ud6hp
    @SmilingBanjo-ud6hp5 ай бұрын

    Alafu mbona wakujenga taifa washing washaingia kambin zamani

  • @SmilingBanjo-ud6hp
    @SmilingBanjo-ud6hp5 ай бұрын

    Watu wakijiunga kwa ajili ya kujenga uchumi hawapigiwi simu private kuenda kama kikawaida wapeleke maombi Makaomakuu ya JKU apo mlifeli ndio mnaleta sababu izo miaka 4 bila kuajir

  • @khatibmako3500
    @khatibmako35005 ай бұрын

    Kama wanapima nini na wengine wameshakwenda kujenga taifa twambieni vizuri

  • @MANSURIMPENDA-vg7jo
    @MANSURIMPENDA-vg7jo5 ай бұрын

    Watu awan ajira ndo maan wanaleta uvumi hii 21 century

  • @omarjustas9152
    @omarjustas91525 ай бұрын

    😂😂😂😂😂hawajui ata kudanganya

  • @suleimanabeid4945
    @suleimanabeid49453 ай бұрын

    😅

  • @user-jp7ix6fc6y
    @user-jp7ix6fc6y5 ай бұрын

    😢

  • @MakameNdume
    @MakameNdume5 ай бұрын

    Mh mbona mutuacha njia panda apo munataka muuingize watu zenu tu wanaojenga taifa washaingia makmbin mwao tokea jumatatu ilopita

  • @mahmoudsaidy2677
    @mahmoudsaidy26775 ай бұрын

    Salute Mkuu.

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x5 ай бұрын

    Tunampelekea malalamiko wala hajali

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x5 ай бұрын

    Ayo maneno ana yasema nchani mwa ulimitu

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x5 ай бұрын

    Kumoja hakujutaja uongo zahiri

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x5 ай бұрын

    Tunguu

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x5 ай бұрын

    Muongo Sio sateni tu nakama

  • @allyog3930
    @allyog39305 ай бұрын

    Dana Dana 2

  • @lusakaone7782
    @lusakaone77825 ай бұрын

    Khaa kumbe kujenga taifa mpaka wapimwe.Sawa mkuu taarifa imefika, poleni wote kwa usumbufu

  • @user-ki2wo7us1b
    @user-ki2wo7us1b5 ай бұрын

    Nice

  • @monalisajohn-ge4mz
    @monalisajohn-ge4mz5 ай бұрын

    Huyu mzee Joseph Evarist Kimisha ni tapeli, hana uwezo wa kuendesha mradi wowote anatumia uzinduzi na picha akiwa na viongozi wa serikali kufanya udanganyifu. kampuni yake hailipi wafanyakazi na kutoa mikataba mibovu , anatumia kivuli cha serikali kudanganya watu na kujipatia pesa za serikali kiudanganyifu.

  • @alisuleimanothman3906
    @alisuleimanothman39065 ай бұрын

    Hutuba hii na maagizo haya ya mhe Waziri yanafaa kufatwa na maafisa Mipango wa sekta zote. Hongera mhe. Waziri kwa maelekezo yako kwetu.

  • @chingaboy1149
    @chingaboy11496 ай бұрын

    Ivi lini mtakuwa serious namaisha kila siku mnaongea huduma zaafya makaazi bora na elmu mbwaa nyinyi hela mnazoiba ndio sababu yaujinga mnaotufanyia kumamazenu nyote miaka 60 mnashindwa hata kuwajengea wanaowaweka kadarakani kwanguvu

  • @chingaboy1149
    @chingaboy11496 ай бұрын

    Nyinyi Tanzania mnafanya watu mikundu kweli kweli hamuoni hata aibu 😂😂😂

  • @fumugora7596
    @fumugora75967 ай бұрын

    Hongera DKT MWINYI kwa maendeleo ktkt zanzibar yetu

  • @kadhyajuma3471
    @kadhyajuma34717 ай бұрын

    Hao watoto wetu hamuwalipi mnazi mmoja mwezi 8,9,10 mmeanza kuwalipa mwezi 11 mpaka sasa

  • @is-haqhaji7977
    @is-haqhaji79777 ай бұрын

    Hongerani sana

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72957 ай бұрын

    Kwahiyo, wakaipende kazi Yao Tu, wasiipende na kazi yako?

  • @marrowog8975
    @marrowog89758 ай бұрын

    Waziri asiejus wajib wake, iga kwa yule mtumbatu .