OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR
Karibu katika kituo cha habari kwa njia ya video (KZread CHANNEL) Kinachomilikiwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Tunahakikisha habari na matukio yote ya kimaendeleo yanayohusiana na OR-TAMISEMIM yanawafikia Wananchi.
Пікірлер
Mbona kipo kizamani zamani
Kwanyanya hakuna watu
Ohh mashallah km hio ingekiepo mjini dajani wallah
Kuna haji kheir mmoja tuu dunian.... Huyu jamaa alkua anapga Kaz kwa bidii.
Poleni
Hongera Doctor MWINYI
Huyu bi memi alikua ni mwalimu wa Skuli amenisomesha ila hongera kwake bi MEMI
Mhmmm poleni
Idara maalum haitobowi kuwa na tume ya utumish... Mtu ana darasa LA 7 unadhan anatatua nn uyo zaid ya ugovi
Nzuri sana
Soko zinasinzia kwa sababu wanauza vitu bei htr yaan soko kama supamaket ilo
Kweli tabu
Mungu awabariki sana na awaepushe watu wasiokuwa na nia njema na Serikali SMZ
Shida mmejenga sehemu ambayo hat ao watumiaji hawajaridhika kwann msiwashauri na kuwauliza wajengewe wapi hatimayake hata watu uko sokoni wanashwindwa kwenda
Mwenyezi munqu awabariki sana vionqozi wetu wote wa serikali kwa nia njema kwa wananchi wote wa zanzibar unquja na pemba
Tayari mshawatengezea ullaji wengine wengine ambao huitwa [manucipal] nalitakua chavu kama choo sio muda mrefu na watanganyika mamanitilie
Hongela saana viongozi kwakutenda haki
Manispaa wanashindwa kutekeleza usafi kwenye masoko. Wakati wafanya biashara wanalipa kodi ikiwemo na suala la usafi.
Kwan serikal za mitaa bado zpo Zanzibar ??
Jesh na vlemba.... Wahind bwana😅😅
Kazi nzuri
Tunaomba. Na sisi tuajiriwe. Rasmin. Mhesimiwa. Tunaomba maan tunapata. Tabu kwny uliz
Kwa taarifa yenu waliopimwa ndotayari
Mukisha jaza watoto wenu ndio mutatangaza kuwadanganya watu, tushawazoea
Nimejenga taifa mika miwili 2kamili ila ajira zimetoka .vijana wa jku tumeachwa pending na wamechukuliwa vijana wa uvccm .ambao hawajui hata jeshi ni Nini uzalendo hawaujui .taratibu zakijeshi hawazijui ni raia wakawaida .tu mnamchukua kwamamaaake mnamuandikisha kwenye ajira kisa mtoto wa mkubwa...yule aloesota miaka 2 mvua jua .kapoteza muda kambini kujitoa .Leo hii serekali inamuona Bora raia wa chama ccm kuliko kijana wa jku mpiganaji ambae ameshapata mafumzo yakijeahi utimamu waakili uvumilivu na ushupavu et Leo munamuacha ...hii nchi matokea machafu yatatokea nawatakao sababisha matukio hayo niwale vijana waliojenga taifa kwa weledi Kisha ikaja ajira mukawanyima ndipo atakapoamua kufanya ujambazi nakumnasa iwe ngumu maana mafumzo yaujasiri mlishampa kitambo tu. SEREKALI HILI ANGALIENI SANA KUNA VIJANA MAKAMNINI WANASOTA NA JEMBE KWANINI? MUCHUKUE RAIA WA CHAMA CCM
Mkuu muakane wakuu wa police wanadharau vikosi vyetu vya ulinzi Zanzibar,,,,,mimi hawa police nazidi wabongo nahic kama hawajielewi,,,,, shame for them
Alafu mbona wakujenga taifa washing washaingia kambin zamani
Watu wakijiunga kwa ajili ya kujenga uchumi hawapigiwi simu private kuenda kama kikawaida wapeleke maombi Makaomakuu ya JKU apo mlifeli ndio mnaleta sababu izo miaka 4 bila kuajir
Kama wanapima nini na wengine wameshakwenda kujenga taifa twambieni vizuri
Watu awan ajira ndo maan wanaleta uvumi hii 21 century
😂😂😂😂😂hawajui ata kudanganya
😅
😢
Mh mbona mutuacha njia panda apo munataka muuingize watu zenu tu wanaojenga taifa washaingia makmbin mwao tokea jumatatu ilopita
Salute Mkuu.
Tunampelekea malalamiko wala hajali
Ayo maneno ana yasema nchani mwa ulimitu
Kumoja hakujutaja uongo zahiri
Tunguu
Muongo Sio sateni tu nakama
Dana Dana 2
Khaa kumbe kujenga taifa mpaka wapimwe.Sawa mkuu taarifa imefika, poleni wote kwa usumbufu
Nice
Huyu mzee Joseph Evarist Kimisha ni tapeli, hana uwezo wa kuendesha mradi wowote anatumia uzinduzi na picha akiwa na viongozi wa serikali kufanya udanganyifu. kampuni yake hailipi wafanyakazi na kutoa mikataba mibovu , anatumia kivuli cha serikali kudanganya watu na kujipatia pesa za serikali kiudanganyifu.
Hutuba hii na maagizo haya ya mhe Waziri yanafaa kufatwa na maafisa Mipango wa sekta zote. Hongera mhe. Waziri kwa maelekezo yako kwetu.
Ivi lini mtakuwa serious namaisha kila siku mnaongea huduma zaafya makaazi bora na elmu mbwaa nyinyi hela mnazoiba ndio sababu yaujinga mnaotufanyia kumamazenu nyote miaka 60 mnashindwa hata kuwajengea wanaowaweka kadarakani kwanguvu
Nyinyi Tanzania mnafanya watu mikundu kweli kweli hamuoni hata aibu 😂😂😂
Hongera DKT MWINYI kwa maendeleo ktkt zanzibar yetu
Hao watoto wetu hamuwalipi mnazi mmoja mwezi 8,9,10 mmeanza kuwalipa mwezi 11 mpaka sasa
Hongerani sana
Kwahiyo, wakaipende kazi Yao Tu, wasiipende na kazi yako?
Waziri asiejus wajib wake, iga kwa yule mtumbatu .