Ruto must apologize before Kenyans for calling us criminals 😅
@Alicemsafiri4 күн бұрын
Ruto mungu akuongoze na pia awaongoze vijana waache Vita na mungu akusaidie nchi yako iwe na amani
@elshadaiuniforms11968 күн бұрын
You pastors you are BRIBED
@adenyussuf53447 күн бұрын
A wise man senses his threat. I believe you are wise mr. president
@CasleyamadiAbdallah8 күн бұрын
Unaongea vizuri Raisi Ruto
@user-ik3fb9ic7s4 күн бұрын
I appreciate you President Ruto. Congratulate for inviting all Kenyans to sit together for the good future of Kenya. May my God strengthen you and keep you alive.
@saimonlaizer27325 күн бұрын
Wakenya jamani acheni maandamano kwani Rais wenu anataka amani Sasa Kama hamtaki amani mtasababisha nchi yenu kuwa masikini kupita mnavyo waza.
Mr president you are going to cause cheos in your country, if you looking to deal with one to another things Wil be worse
@abubkrxyz-bh32528 күн бұрын
Address the issues and solve them achana na hao vijana
@MohammedRuto8 күн бұрын
Leo utatenga ngapi
@hamisidogo63028 күн бұрын
Hao wabunge wote walipiga yes hatutaki kuwaona tena bungeni
@capitalshymes8 күн бұрын
true let us respect our kenya let us respect our president And let us repect our seif plz kenya ni yetu na itabaki kuwa yetu tushikaneni mikono tuijenge pamoja God bless kenya
@user-wh9zj7kf7h4 күн бұрын
MUNGU ingilia kati ,mungu ibariki kenya.
@worldelectro27876 күн бұрын
He is wise as leader
@JumaAllyhussein8 күн бұрын
Mbona alivyokuwa anaomba kura alisema utakuwa pamoja na masikini leo wamekuwa wabaya tena
@SabihaRajab9 күн бұрын
Huyu baba hakubahatika
@GeorgeJoram-im1ss3 күн бұрын
Umeshindwa kazi
@MohamedNoormohamed-lc4rg8 күн бұрын
Umetenge ngapi hio bunge😊😊😊😊😊😊😊😊
@naomikrause17628 күн бұрын
NDIO RUTO WASHULIKIE👏👏👏👏👏👏
@mabondolawrence18125 күн бұрын
Ruto is very wise real wise!
@teresakarugu99328 күн бұрын
Kuwashughulikia😢
@elshadaiuniforms11968 күн бұрын
You PASTORS YOU are defiling the church...REMOVE POLITICS IN CHURCH.
@user-gv8yn9lg1i6 күн бұрын
Kenya mkiweka ukabila mjue amani ndo inatoweka mazima
@SaidIssa-tq3yv8 күн бұрын
Waombe Israel wakusaidie silaha uwamalize vijana wa Kenya.❤
@Sheba4651
6 күн бұрын
Mhhh
@user-xb6tc4bb3z8 күн бұрын
Zakayo bado anakiburi ilikuwa acalm down but bado anakiburi
@SalemBafaqer9 күн бұрын
Eti breakfast nahastler wamelala njaaa
@JokhaJoko4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rosemarykirubi31678 күн бұрын
Wale vijana waliuliwa na police, onaona je Mr Ruto???
@PeterNgige-tw4ey
5 күн бұрын
Walipata mshahara
@PeterNgige-tw4ey
5 күн бұрын
Ni wezi
@user-xo4qc2hk4j7 күн бұрын
Ruto mast go
@davidc.o.gitanga34034 күн бұрын
All these will end if you leave office.
@noahpaulo38455 күн бұрын
ruto ume bip peoples power kuwa mpole waombe wananchi samahani la sivyo yatakuta ikuru hayo majamaa
@JokhaJoko4 күн бұрын
Rutonakupenda sana
@HamisMghuna-fj3vz5 күн бұрын
Kiler Ruto, mtajiju w Kenya
@user-ek6sl4px7z5 күн бұрын
Biblia inasema heshimu lila mamlaka iliyopo duniani mama hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu amwasie mwenye mamlaka anapingana na Mungu, mtapata hukumu kali Duniani na Mbinguni maana mnapingana na Mungu
Usalama na Amani ni Bora kuliko madai malalamiko maandamano na fujo.Mbaya zaidi yakiwa yana mkono wawana siasa au vibaraka wa nje
@user-xo4qc2hk4j7 күн бұрын
Umeshatutumbukiza kwa Freemason ondoka, tunataka kuingia kwa debe
@fgfvgggf699317 сағат бұрын
Kwakua bunge imechomwa ndio wataka kuongea na wakenya kama isingechomwa bunge usingesema wataka kuketi na wakenya kwenda na huko
@davidc.o.gitanga34034 күн бұрын
Hiyo waja office and all this will come to a halt.
@user-si5wk9gq1e4 күн бұрын
Toka ww mwenyewe kwa ofisi uwatafute kama ulivyo zunguka ukitafuta kura zao,, eeeh Mungu sikia kilio cha wananchi na uyaone machozi ya wanao kufiwa na watoto wao ju ya huyu mtukufu mabavu
@higahassib66148 күн бұрын
Vijana wamechoka kudanganywa na hawakutaki
@naomikrause17628 күн бұрын
SASA VIJANA MUTASHUULIKIWA
@godfreymushi69669 күн бұрын
Hhaahaa which plan ???
@higahassib6614
8 күн бұрын
Yuko na mpango kila mkutano the same word
@monicachacha4554 күн бұрын
shinda nini😂😂😂😂😂
@AminaShabani-uq9ok5 күн бұрын
Naenda huko umekuwa watu hata aibu huna
@user-om2ur5by9n9 күн бұрын
Na ww mungu atakushughulikiaa
@fgfvgggf699317 сағат бұрын
Umemwaga damu zisizo na hatia nenda kwenu
@JosephNdungu-fe8rr8 күн бұрын
We have a PLAN for them .Tuko na MPANGO.Mbure kabisa.Resign
@ShubilaKingi4 күн бұрын
Kuchoma bunge ukute napokisi wengine awamtaki
@allyhussein46255 күн бұрын
Unaleta vulungu upya hiyo achana nayo
@ClementJacob-sd8lf5 күн бұрын
Mpaka tikufundishe wumechemuka
@emanuelkidali97335 күн бұрын
Nyie viongozi wa kiafrika dawa yenu ni maandamano viongiz wa kiafrika hamjui waajiri wenu ni wananchi masiki
@digitalinvestment86478 күн бұрын
Wacha uongo
@allyhussein46255 күн бұрын
Acha nchi mlegwa ulikuwa sio wewe dam ya yakenya ulio wapoteza ndio hiyo achaia
@user-ot1ff7yq2l4 күн бұрын
Iko hvi ni kwa nini watu wafikie kufanyaa uaribifu hivo manake kuna tatizo wewe rais inatakiwa kuchambua hayo kwa umakini zaidi ishi sio kupeleka jeshi kupiga raia hapna unakoseaa ndo ule msemo kuku ni wa kwako mwenywe manatii ya niniiiii
@amirjuma93959 күн бұрын
Wakenya komaa huyu hawezi kuwadharau kiasi hicho
@femidayahaya92936 күн бұрын
Hawana adabu hata kama mnataka kusaidiwa vp sasa mtapataje msaada wakat mmeharibu bunge achen.ujinga fikilin kabla ya kutenda
@AbuuAli-nf4fb7 күн бұрын
Ulipo chukua uongozi ulikuwa ushakubaliana kufanya kazi iweje tena baada ya miaka miwili unataka kuaa chini kuongelea vitu za miaka mbili uliopita?
@edwardndege78508 күн бұрын
Kupigana na ufisadi Harambee zipiwe marufu
@danielgadiye79838 күн бұрын
Vijana wa kenya mumekosea bunge pamoja na mamlaka mliyoipa kazi mgesubiri muda ufike mfanya mnavyotaka so kuchoma bunge na uharibifu mwingine mwingi so akili
@user-db3hf6ug7u9 күн бұрын
Ruto ni umbwaaa mda wa kuongea uliisha enda sogoi you must go
@WillisAli
8 күн бұрын
Akishuka plan ni gani?
@OmarAme-hd3fd9 күн бұрын
Bora tuu ukaembali watu wamekuchoka
@masachihorticultureunitcol7115 күн бұрын
Mpaka wanachoma Bunge polisi na jeshi lilikuepo wapi. Ni uzembe WA vyombo vya usalama wa kenya
@simonmdune9066
5 күн бұрын
Kundu wako sawa
@josephjulio61124 күн бұрын
Wakala wa NATO wakala wa shetani kabisa
@MeMe-xi6tx9 күн бұрын
We enda tu
@alimau79399 күн бұрын
Zakayo ushuke tu
@ClementJacob-sd8lf5 күн бұрын
They is no religious or God in you if you was thinking about people in Kenya you couldn't go to begg in America daily wunawawunga mukono
@idrissamustafabukenya61108 күн бұрын
Utawashughilikiya kivipi? Utawawuwa one by one? Ruto ulisema you stand with Israel wakiwuwa wa Palestinians. Even you killing machine. Ruto tukupenda kumbe nawewe nimuwuwaji wa roho mbaya alafu unajifanya pastor
Пікірлер: 87
Rais bro Mungu akusaindie to
Ruto must apologize before Kenyans for calling us criminals 😅
Ruto mungu akuongoze na pia awaongoze vijana waache Vita na mungu akusaidie nchi yako iwe na amani
You pastors you are BRIBED
A wise man senses his threat. I believe you are wise mr. president
Unaongea vizuri Raisi Ruto
I appreciate you President Ruto. Congratulate for inviting all Kenyans to sit together for the good future of Kenya. May my God strengthen you and keep you alive.
Wakenya jamani acheni maandamano kwani Rais wenu anataka amani Sasa Kama hamtaki amani mtasababisha nchi yenu kuwa masikini kupita mnavyo waza.
Wew ruto mwamerika nirafiki Yako, endelea kutotoa kafara Rutu must go,kwenda
Mbn umekua mpole sanaa ruto fanya kazi
Mr president you are going to cause cheos in your country, if you looking to deal with one to another things Wil be worse
Address the issues and solve them achana na hao vijana
Leo utatenga ngapi
Hao wabunge wote walipiga yes hatutaki kuwaona tena bungeni
true let us respect our kenya let us respect our president And let us repect our seif plz kenya ni yetu na itabaki kuwa yetu tushikaneni mikono tuijenge pamoja God bless kenya
MUNGU ingilia kati ,mungu ibariki kenya.
He is wise as leader
Mbona alivyokuwa anaomba kura alisema utakuwa pamoja na masikini leo wamekuwa wabaya tena
Huyu baba hakubahatika
Umeshindwa kazi
Umetenge ngapi hio bunge😊😊😊😊😊😊😊😊
NDIO RUTO WASHULIKIE👏👏👏👏👏👏
Ruto is very wise real wise!
Kuwashughulikia😢
You PASTORS YOU are defiling the church...REMOVE POLITICS IN CHURCH.
Kenya mkiweka ukabila mjue amani ndo inatoweka mazima
Waombe Israel wakusaidie silaha uwamalize vijana wa Kenya.❤
@Sheba4651
6 күн бұрын
Mhhh
Zakayo bado anakiburi ilikuwa acalm down but bado anakiburi
Eti breakfast nahastler wamelala njaaa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wale vijana waliuliwa na police, onaona je Mr Ruto???
@PeterNgige-tw4ey
5 күн бұрын
Walipata mshahara
@PeterNgige-tw4ey
5 күн бұрын
Ni wezi
Ruto mast go
All these will end if you leave office.
ruto ume bip peoples power kuwa mpole waombe wananchi samahani la sivyo yatakuta ikuru hayo majamaa
Rutonakupenda sana
Kiler Ruto, mtajiju w Kenya
Biblia inasema heshimu lila mamlaka iliyopo duniani mama hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu amwasie mwenye mamlaka anapingana na Mungu, mtapata hukumu kali Duniani na Mbinguni maana mnapingana na Mungu
Lol 😄 huyu sikawauwa tayari na wamezikwa huyu vipi .mbona mmeuwa hao unasema vijana wenu
so unaelelea wapi
Usalama na Amani ni Bora kuliko madai malalamiko maandamano na fujo.Mbaya zaidi yakiwa yana mkono wawana siasa au vibaraka wa nje
Umeshatutumbukiza kwa Freemason ondoka, tunataka kuingia kwa debe
Kwakua bunge imechomwa ndio wataka kuongea na wakenya kama isingechomwa bunge usingesema wataka kuketi na wakenya kwenda na huko
Hiyo waja office and all this will come to a halt.
Toka ww mwenyewe kwa ofisi uwatafute kama ulivyo zunguka ukitafuta kura zao,, eeeh Mungu sikia kilio cha wananchi na uyaone machozi ya wanao kufiwa na watoto wao ju ya huyu mtukufu mabavu
Vijana wamechoka kudanganywa na hawakutaki
SASA VIJANA MUTASHUULIKIWA
Hhaahaa which plan ???
@higahassib6614
8 күн бұрын
Yuko na mpango kila mkutano the same word
shinda nini😂😂😂😂😂
Naenda huko umekuwa watu hata aibu huna
Na ww mungu atakushughulikiaa
Umemwaga damu zisizo na hatia nenda kwenu
We have a PLAN for them .Tuko na MPANGO.Mbure kabisa.Resign
Kuchoma bunge ukute napokisi wengine awamtaki
Unaleta vulungu upya hiyo achana nayo
Mpaka tikufundishe wumechemuka
Nyie viongozi wa kiafrika dawa yenu ni maandamano viongiz wa kiafrika hamjui waajiri wenu ni wananchi masiki
Wacha uongo
Acha nchi mlegwa ulikuwa sio wewe dam ya yakenya ulio wapoteza ndio hiyo achaia
Iko hvi ni kwa nini watu wafikie kufanyaa uaribifu hivo manake kuna tatizo wewe rais inatakiwa kuchambua hayo kwa umakini zaidi ishi sio kupeleka jeshi kupiga raia hapna unakoseaa ndo ule msemo kuku ni wa kwako mwenywe manatii ya niniiiii
Wakenya komaa huyu hawezi kuwadharau kiasi hicho
Hawana adabu hata kama mnataka kusaidiwa vp sasa mtapataje msaada wakat mmeharibu bunge achen.ujinga fikilin kabla ya kutenda
Ulipo chukua uongozi ulikuwa ushakubaliana kufanya kazi iweje tena baada ya miaka miwili unataka kuaa chini kuongelea vitu za miaka mbili uliopita?
Kupigana na ufisadi Harambee zipiwe marufu
Vijana wa kenya mumekosea bunge pamoja na mamlaka mliyoipa kazi mgesubiri muda ufike mfanya mnavyotaka so kuchoma bunge na uharibifu mwingine mwingi so akili
Ruto ni umbwaaa mda wa kuongea uliisha enda sogoi you must go
@WillisAli
8 күн бұрын
Akishuka plan ni gani?
Bora tuu ukaembali watu wamekuchoka
Mpaka wanachoma Bunge polisi na jeshi lilikuepo wapi. Ni uzembe WA vyombo vya usalama wa kenya
@simonmdune9066
5 күн бұрын
Kundu wako sawa
Wakala wa NATO wakala wa shetani kabisa
We enda tu
Zakayo ushuke tu
They is no religious or God in you if you was thinking about people in Kenya you couldn't go to begg in America daily wunawawunga mukono
Utawashughilikiya kivipi? Utawawuwa one by one? Ruto ulisema you stand with Israel wakiwuwa wa Palestinians. Even you killing machine. Ruto tukupenda kumbe nawewe nimuwuwaji wa roho mbaya alafu unajifanya pastor
Nachukia sauti yako shindwe shetaniiiii wewe umbwa gasia
Unaongea vizuri Raisi Ruto
Hana ata shep ya kuwa rais. Kazi yake ni ile ile ya kufuga kuku. Na akili yake ilishafanana na kuku.