Karibu Bin Nyange Media
The Official Page
Kwa burudani Mbalimbali, Simulizi, Habari na Story
Kwa mawasiliano zaidi au ushauri
Tufuatilie kwenye 👇
WhatsApp ,, +255777575421
,, + 255621678221
Instagram 👇
Bin_ Nyange_Media
Facebook 👇
Bin Nyange Media
P. O. Box - 4730
Kijangwani - Zanzibar
Emeil:👇
[email protected]
Пікірлер
Umemwaga damu zisizo na hatia nenda kwenu
Kwakua bunge imechomwa ndio wataka kuongea na wakenya kama isingechomwa bunge usingesema wataka kuketi na wakenya kwenda na huko
Mashaallah
Rais bro Mungu akusaindie to
Awazike vzr au
Wakat uhuru anaongoza nchi ruto makamu wa raisi lakini ana chama chengine ndani ya serekali ya kenya uhuru ni raisi nae anampigia kampeni babaa uku baba ana chama chake kwaiyo kenya akuna viongozi sahihi tamaa na ukabila mnawaponza wananchi wasio na hatia hutoboi na atakae kuja atoboi serikali hanaeshima
Umeshindwa kazi
I appreciate you President Ruto. Congratulate for inviting all Kenyans to sit together for the good future of Kenya. May my God strengthen you and keep you alive.
Hiyo waja office and all this will come to a halt.
All these will end if you leave office.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Rutonakupenda sana
Allah kareem Atawalinda Inshaallah
Usalama na Amani ni Bora kuliko madai malalamiko maandamano na fujo.Mbaya zaidi yakiwa yana mkono wawana siasa au vibaraka wa nje
Kumabako www RUTO MUST GO
Kwahyo wasomi wetu wa zeco Wana shindwa na elemu na huyo mpaka Leo umeme tuna towa bara
Wakala wa NATO wakala wa shetani kabisa
Ruto mungu akuongoze na pia awaongoze vijana waache Vita na mungu akusaidie nchi yako iwe na amani
Kuchoma bunge ukute napokisi wengine awamtaki
Iko hvi ni kwa nini watu wafikie kufanyaa uaribifu hivo manake kuna tatizo wewe rais inatakiwa kuchambua hayo kwa umakini zaidi ishi sio kupeleka jeshi kupiga raia hapna unakoseaa ndo ule msemo kuku ni wa kwako mwenywe manatii ya niniiiii
shinda nini😂😂😂😂😂
Toka ww mwenyewe kwa ofisi uwatafute kama ulivyo zunguka ukitafuta kura zao,, eeeh Mungu sikia kilio cha wananchi na uyaone machozi ya wanao kufiwa na watoto wao ju ya huyu mtukufu mabavu
MUNGU ingilia kati ,mungu ibariki kenya.
Ruto is very wise real wise!
Kiler Ruto, mtajiju w Kenya
ruto ume bip peoples power kuwa mpole waombe wananchi samahani la sivyo yatakuta ikuru hayo majamaa
Acha nchi mlegwa ulikuwa sio wewe dam ya yakenya ulio wapoteza ndio hiyo achaia
Unaleta vulungu upya hiyo achana nayo
Nyie viongozi wa kiafrika dawa yenu ni maandamano viongiz wa kiafrika hamjui waajiri wenu ni wananchi masiki
Mpaka tikufundishe wumechemuka
They is no religious or God in you if you was thinking about people in Kenya you couldn't go to begg in America daily wunawawunga mukono
Naenda huko umekuwa watu hata aibu huna
Mbn umekua mpole sanaa ruto fanya kazi
Ni sababu kubwa ya uporomokaj wa maadil nchini
Biblia inasema heshimu lila mamlaka iliyopo duniani mama hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu amwasie mwenye mamlaka anapingana na Mungu, mtapata hukumu kali Duniani na Mbinguni maana mnapingana na Mungu
Mpaka wanachoma Bunge polisi na jeshi lilikuepo wapi. Ni uzembe WA vyombo vya usalama wa kenya
Kundu wako sawa
Wakenya jamani acheni maandamano kwani Rais wenu anataka amani Sasa Kama hamtaki amani mtasababisha nchi yenu kuwa masikini kupita mnavyo waza.
Kenya mkiweka ukabila mjue amani ndo inatoweka mazima
Mashaallah ❤❤❤❤❤
Ttzo hizi redio zinazo jita ni za kislam ndo zinazo unafanya huu upuzi kuwatangaza hawa asante shekh wangu hawa wanaojidai kusomea niwaongo tena sana bari mzima ya maji inasomewa mara moja bdae chupa ya 500 inauzwa 3000 wanaibia watu niwizi co waongo hao wiziii
He is wise as leader
mashallah mashallah mashallah nimependa hii kauli ya rais kua tutafanya uchaguzi kwa mara ya kwanza kwa salama na amani allah aitie nguvu kauli hii.
Hawana adabu hata kama mnataka kusaidiwa vp sasa mtapataje msaada wakat mmeharibu bunge achen.ujinga fikilin kabla ya kutenda
Kweli
Ulipo chukua uongozi ulikuwa ushakubaliana kufanya kazi iweje tena baada ya miaka miwili unataka kuaa chini kuongelea vitu za miaka mbili uliopita?
Wew ruto mwamerika nirafiki Yako, endelea kutotoa kafara Rutu must go,kwenda
Umeshatutumbukiza kwa Freemason ondoka, tunataka kuingia kwa debe
ASALASAM ALEIYKUM ALLAH AMJAALIE HIJJA YAKO MAKBULI . MHESHIMIWA SAMAHANI LABDA UMEPITIKIWA NA MAMBO MUHIMU SANA KTK DINI YETU NA MUHIMU .TUWE NA TAHADHARI KWA MAKOSA HAYA TUNAYOYAFANYA .NI MAKOSA KUMPA MKONO MWANAMKE .NI MAKOSA BORA KUKAMATA KAA LA MOTO MKONONI KULIKO KUMPA MKONO MWANAMKE.
Ruto mast go
Hana ata shep ya kuwa rais. Kazi yake ni ile ile ya kufuga kuku. Na akili yake ilishafanana na kuku.