Bin Nyange Media

Bin Nyange Media

Karibu Bin Nyange Media
The Official Page
Kwa burudani Mbalimbali, Simulizi, Habari na Story
Kwa mawasiliano zaidi au ushauri
Tufuatilie kwenye 👇
WhatsApp ,, +255777575421
,, + 255621678221
Instagram 👇
Bin_ Nyange_Media
Facebook 👇
Bin Nyange Media
P. O. Box - 4730
Kijangwani - Zanzibar
Emeil:👇
[email protected]

SIO KILA TIBA ASILI YA MME NI DAWA

SIO KILA TIBA ASILI YA MME NI DAWA

SWALA YA EID AL_HAJ (EP 2)

SWALA YA EID AL_HAJ (EP 2)

Пікірлер

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf699319 сағат бұрын

    Umemwaga damu zisizo na hatia nenda kwenu

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf699319 сағат бұрын

    Kwakua bunge imechomwa ndio wataka kuongea na wakenya kama isingechomwa bunge usingesema wataka kuketi na wakenya kwenda na huko

  • @Omanbahla-f8i
    @Omanbahla-f8iКүн бұрын

    Mashaallah

  • @user-so8kx8op8g
    @user-so8kx8op8g2 күн бұрын

    Rais bro Mungu akusaindie to

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim3 күн бұрын

    Awazike vzr au

  • @khalifasaidi4181
    @khalifasaidi41813 күн бұрын

    Wakat uhuru anaongoza nchi ruto makamu wa raisi lakini ana chama chengine ndani ya serekali ya kenya uhuru ni raisi nae anampigia kampeni babaa uku baba ana chama chake kwaiyo kenya akuna viongozi sahihi tamaa na ukabila mnawaponza wananchi wasio na hatia hutoboi na atakae kuja atoboi serikali hanaeshima

  • @GeorgeJoram-im1ss
    @GeorgeJoram-im1ss3 күн бұрын

    Umeshindwa kazi

  • @user-ik3fb9ic7s
    @user-ik3fb9ic7s4 күн бұрын

    I appreciate you President Ruto. Congratulate for inviting all Kenyans to sit together for the good future of Kenya. May my God strengthen you and keep you alive.

  • @davidc.o.gitanga3403
    @davidc.o.gitanga34034 күн бұрын

    Hiyo waja office and all this will come to a halt.

  • @davidc.o.gitanga3403
    @davidc.o.gitanga34034 күн бұрын

    All these will end if you leave office.

  • @JokhaJoko
    @JokhaJoko4 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JokhaJoko
    @JokhaJoko4 күн бұрын

    Rutonakupenda sana

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah91694 күн бұрын

    Allah kareem Atawalinda Inshaallah

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v4 күн бұрын

    Usalama na Amani ni Bora kuliko madai malalamiko maandamano na fujo.Mbaya zaidi yakiwa yana mkono wawana siasa au vibaraka wa nje

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels4 күн бұрын

    Kumabako www RUTO MUST GO

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75894 күн бұрын

    Kwahyo wasomi wetu wa zeco Wana shindwa na elemu na huyo mpaka Leo umeme tuna towa bara

  • @josephjulio6112
    @josephjulio61124 күн бұрын

    Wakala wa NATO wakala wa shetani kabisa

  • @Alicemsafiri
    @Alicemsafiri4 күн бұрын

    Ruto mungu akuongoze na pia awaongoze vijana waache Vita na mungu akusaidie nchi yako iwe na amani

  • @ShubilaKingi
    @ShubilaKingi4 күн бұрын

    Kuchoma bunge ukute napokisi wengine awamtaki

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l4 күн бұрын

    Iko hvi ni kwa nini watu wafikie kufanyaa uaribifu hivo manake kuna tatizo wewe rais inatakiwa kuchambua hayo kwa umakini zaidi ishi sio kupeleka jeshi kupiga raia hapna unakoseaa ndo ule msemo kuku ni wa kwako mwenywe manatii ya niniiiii

  • @monicachacha455
    @monicachacha4554 күн бұрын

    shinda nini😂😂😂😂😂

  • @user-si5wk9gq1e
    @user-si5wk9gq1e4 күн бұрын

    Toka ww mwenyewe kwa ofisi uwatafute kama ulivyo zunguka ukitafuta kura zao,, eeeh Mungu sikia kilio cha wananchi na uyaone machozi ya wanao kufiwa na watoto wao ju ya huyu mtukufu mabavu

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h4 күн бұрын

    MUNGU ingilia kati ,mungu ibariki kenya.

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence18125 күн бұрын

    Ruto is very wise real wise!

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz5 күн бұрын

    Kiler Ruto, mtajiju w Kenya

  • @noahpaulo3845
    @noahpaulo38455 күн бұрын

    ruto ume bip peoples power kuwa mpole waombe wananchi samahani la sivyo yatakuta ikuru hayo majamaa

  • @allyhussein4625
    @allyhussein46255 күн бұрын

    Acha nchi mlegwa ulikuwa sio wewe dam ya yakenya ulio wapoteza ndio hiyo achaia

  • @allyhussein4625
    @allyhussein46255 күн бұрын

    Unaleta vulungu upya hiyo achana nayo

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali97335 күн бұрын

    Nyie viongozi wa kiafrika dawa yenu ni maandamano viongiz wa kiafrika hamjui waajiri wenu ni wananchi masiki

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf5 күн бұрын

    Mpaka tikufundishe wumechemuka

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf5 күн бұрын

    They is no religious or God in you if you was thinking about people in Kenya you couldn't go to begg in America daily wunawawunga mukono

  • @AminaShabani-uq9ok
    @AminaShabani-uq9ok5 күн бұрын

    Naenda huko umekuwa watu hata aibu huna

  • @richkaja3317
    @richkaja33175 күн бұрын

    Mbn umekua mpole sanaa ruto fanya kazi

  • @bayujuma2532
    @bayujuma25325 күн бұрын

    Ni sababu kubwa ya uporomokaj wa maadil nchini

  • @user-ek6sl4px7z
    @user-ek6sl4px7z5 күн бұрын

    Biblia inasema heshimu lila mamlaka iliyopo duniani mama hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu amwasie mwenye mamlaka anapingana na Mungu, mtapata hukumu kali Duniani na Mbinguni maana mnapingana na Mungu

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol7115 күн бұрын

    Mpaka wanachoma Bunge polisi na jeshi lilikuepo wapi. Ni uzembe WA vyombo vya usalama wa kenya

  • @simonmdune9066
    @simonmdune90665 күн бұрын

    Kundu wako sawa

  • @saimonlaizer2732
    @saimonlaizer27326 күн бұрын

    Wakenya jamani acheni maandamano kwani Rais wenu anataka amani Sasa Kama hamtaki amani mtasababisha nchi yenu kuwa masikini kupita mnavyo waza.

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i6 күн бұрын

    Kenya mkiweka ukabila mjue amani ndo inatoweka mazima

  • @YusufuRamadhan-mh8km
    @YusufuRamadhan-mh8km6 күн бұрын

    Mashaallah ❤❤❤❤❤

  • @user-dd4zk5oq3c
    @user-dd4zk5oq3c6 күн бұрын

    Ttzo hizi redio zinazo jita ni za kislam ndo zinazo unafanya huu upuzi kuwatangaza hawa asante shekh wangu hawa wanaojidai kusomea niwaongo tena sana bari mzima ya maji inasomewa mara moja bdae chupa ya 500 inauzwa 3000 wanaibia watu niwizi co waongo hao wiziii

  • @worldelectro2787
    @worldelectro27876 күн бұрын

    He is wise as leader

  • @Allybinamour
    @Allybinamour7 күн бұрын

    mashallah mashallah mashallah nimependa hii kauli ya rais kua tutafanya uchaguzi kwa mara ya kwanza kwa salama na amani allah aitie nguvu kauli hii.

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya92937 күн бұрын

    Hawana adabu hata kama mnataka kusaidiwa vp sasa mtapataje msaada wakat mmeharibu bunge achen.ujinga fikilin kabla ya kutenda

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim7 күн бұрын

    Kweli

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb7 күн бұрын

    Ulipo chukua uongozi ulikuwa ushakubaliana kufanya kazi iweje tena baada ya miaka miwili unataka kuaa chini kuongelea vitu za miaka mbili uliopita?

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4j7 күн бұрын

    Wew ruto mwamerika nirafiki Yako, endelea kutotoa kafara Rutu must go,kwenda

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4j7 күн бұрын

    Umeshatutumbukiza kwa Freemason ondoka, tunataka kuingia kwa debe

  • @ahmadgharib9886
    @ahmadgharib98867 күн бұрын

    ASALASAM ALEIYKUM ALLAH AMJAALIE HIJJA YAKO MAKBULI . MHESHIMIWA SAMAHANI LABDA UMEPITIKIWA NA MAMBO MUHIMU SANA KTK DINI YETU NA MUHIMU .TUWE NA TAHADHARI KWA MAKOSA HAYA TUNAYOYAFANYA .NI MAKOSA KUMPA MKONO MWANAMKE .NI MAKOSA BORA KUKAMATA KAA LA MOTO MKONONI KULIKO KUMPA MKONO MWANAMKE.

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4j7 күн бұрын

    Ruto mast go

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim26807 күн бұрын

    Hana ata shep ya kuwa rais. Kazi yake ni ile ile ya kufuga kuku. Na akili yake ilishafanana na kuku.