RAIS MAGUFULI APOKELEWA KIFALME MALAWI/ APIGA KISWAHILI AIRPORT
Ойын-сауық
HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA MALAWI:
Rais Magufuli amewasili nchini Malawi kwa ziara rasmi ya kiserikali ya siku 2, kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Malawi, Prof. Arthur Peter Mutharika.
Rais Magufuli akiwa na Mkewe, Mama Janeth Magufuli, wamepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Malawi, Bingu Mutharika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu Mjini Lilongwe.
Akiwa Mjini Lilongwe Rais Magufuli ataweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu ya aliyekuwa Rais wa Malawi Hayati Bingu Mutharika, kisha atafanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Mutharika, na jioni atahudhuria Dhifa ya Kitaifa aliyoandaliwa kwa heshima yake na Rais Mutharika.
Hapo kesho Rais Magufuli akiwa na mwenyeji wake Rais Mutharika atamaliza ziara yake kwa kufungua msimu wa Soko la Tumbaku na kuzungumza na wadau wa zao hilo na baadaye atarejea nchini Tanzania ambako ataanza ziara ya kikazi ya siku nane (8) katika Mkoa wa Mbeya.
Пікірлер: 250
Very Nice, Kwanza katangaza Air Tanzania na Pili Kawarusha Airbus..Proud of My President JPM, Aka, Mzee Baba, Jembe, Chumaa....
@gracemasumila7475
5 жыл бұрын
safiii sana
MashaAllah....ukiwahi na moyo safi na upendo wa kweli hakika Mungu huzidi kukuimarisha...live long life Baba wa wanyonge.
@mwenemaseko4921
5 жыл бұрын
wanyonge ni wewe na familia yako.
@onlinemateustv1925
5 жыл бұрын
@@mwenemaseko4921 kama si mnyonge basi ujuwe wewe ndio ulikuwa unawanyonga wenzio
@ernestlaiza1176
5 жыл бұрын
Mnyonge na Bibi yako
Nani Kama Magufuli, hakuna katumia AIR Bus yetu kutangaza biashara Nchini Malawi. Big up sana Rais wetu.Hapa ndo mwanzo wa ndege zetu kufanya safari za kibiashara na Malawi..Hapa Kazi Tu.
Heshima yako mkuu heshima yetu watanzania,long live Mr. President.
Mwenyezi tulindie raisi wetu mchapa kz jpm
We love you so much President Magufuli from Tz
Hii ni nuru yetu inayoangaza Africa na Dunia zima. Tumuombee azidi kuwa na afya njema na maono mapya kila iitwapo Leo . Ubarikiwe sana Rais wangu . Mungu asimame na wewe ukatukomboe sisi katika dimbwi la Umasikini na uovu , wewe ni mwamba imara ulioletwa na Dunia itambue na kutambua huduma yako
Najivunia kuwa mtanzania kwa ajili yako Mh.Maghufuli.tuko juu kweli kweli.
Mashaallah Allah amuhifadhi Rais wetu
@jumbelbrownman1295
5 жыл бұрын
Aaamin yaa rabbil aalamiin
@mussashekshunda2804
5 жыл бұрын
nc
@banshbansh2329
5 жыл бұрын
Amiin
@ridhiwaniomari7425
5 жыл бұрын
Aamiin thumma aamiin
What a luck to have such a national anthem 😘😘❤❤❤ viva Tanzania 🇹🇿🇹🇿 viva Magufuli🇹🇿❤❤
Chuma kimekanyaga Malawi 🇲🇼 🇲🇼!! Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania
Wapo wanaoteseka jamani huyu ndo raisi wetu Tanzania oyeeeeee
Bravo Magufuli - We are proud of you - All African presidents should have something to learn from you. Muheshimiwa we hail you on this soil(Africa). Mwenyezi Mungu akubariki nakukulinda kila siku. I am Malawian, ninaandika ujumbe huu kutoka Malawi
rais wetu magufuli ni kiboko anapokelewa kama rais wa marekani safi sana
Siku atahenda DRC itakua zaidi yahapo pongezi kwenu wana tz mumuhunge mkono raisi wenu
@husseinloyy1912
5 жыл бұрын
Asante ndugu yetu was congo
A Powerful President. Sure we're going to achieve. Almighty Allah Support our Hero.
ahsante mh tuakilixhe baba🇹🇿
Air Tanzania...😊proudly Tanzanian tho im in Kenya now
Ndugu zangu ki Historia Afrika Tanzania sio nchi ndogo imefanya mambo mengi sana ki Afrika
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Tanzania kwanza alafu vijimchi vya maghalibi
@adrianvandervalk6734
5 жыл бұрын
umerogwa ww ndugu maneno
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
@@adrianvandervalk6734 wewe kweri shoga unaleta ukada ukitanguliza tanzania kwanza utamuelewa magufuri ila zwazwa kasuku na mshirikina utomuelewa maneno
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Maneno Abu wewe kichwa mwanadamu anayejitambua ulimwenguni tanzania ni taifa kubwa ulimwenguni
Aliyewaona masecurity wa Tz walivyomakini gonga like tufamiane
Safi sana jpm tuwakilishe vizuri rais Wetu
Mbn watamkubali tu, hata kama walikuwa hawamtaki, heb mwangalieni, utadhani rais wa USA
Jengo la air port la Malawi ukilinganisha la dar utajua tz tumefika mbali
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
Point
@ambrosekituyi2199
5 жыл бұрын
Eti eehh... tembea uone makubwa mwanangu.
@michaeleustach8742
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀
@blessingmartin4093
5 жыл бұрын
Hapa ni Lilongwe, kilakitu kipo Blantyre ,,,, shoga wwe
@hamiduselemani2557
5 жыл бұрын
Mkundu wewe mimi sijatukana kwenye coment yangu mavi wewe kafilwe nyuma
Kipenzi cha Africa magu uko juu tunakupenda sana rais wetu upitiwe mbari na mabaya
Tanzania The Great under Great Leader
@kabweissa7929
5 жыл бұрын
Mungu tulindie,huyu,roho,yetu,
Eti ndege yetu ya Airbus imeuzwa Kenya. Je na hio ni bajaj???au tuwe wazalendo tuache uzushi .Magufuli the great
@mathiusthomas3074
5 жыл бұрын
Zipo mbili kilaza wew
@kassimrajabu7805
5 жыл бұрын
@@mathiusthomas3074 😂😂😂😂😂
@mapenzi_tz1511
5 жыл бұрын
@@mathiusthomas3074 iyo ya pili inaitwaje mm naijua Airbus na Dream liner iyo iliouzwa Kenya niipi?
@hassankurran6830
5 жыл бұрын
Kwani nani kakuambia nimoja
@nawihadj6674
5 жыл бұрын
Tatzo machoko wengi ndomnaa wakishatiwaa vidole wanaongeaa kupondaa nchi ytuu mm juz nilpasuaa mtuu kwakuipondaa serikari na mali zke
Kila nikikutazama Rais wa wanyonge nahic kutokwa mchozi, nakuombea sana bado tunakuhitaji
@nasonwilson6536
5 жыл бұрын
It's me forever duuh
Dodoma hapa kazi tu
Amry zubery nimekumind sana kumwambia magufuli choko! Bahati yako upo mbali
kama umemuoana jamaa aliekuwa anatembea mwanzoni kabisa mwa wimbo wa taifa ukiimbwa gonga like
Proud to be Tanzanian 🇹🇿
Pacha wa nyerere uyooo tunakupenda Sana baba
Unity is power
Jpm baba yetu malizia ziara hadi msumbiji na Zimbabwe na kuwapa pole ndugu zetu..... ili wabaya Wetu wajue ulitoa msaada kwa moyo wko na wtz ...mungu akupe maisha marefu
Kama umeiona Air Tanzania ikipendeza gonga like za kutosha hapa.
Taifa la kwanza kupinga unyonyaji na ubaguzi wa rangi wa makaburu KIVITENDO...Tanzania! #tanzaniakwanza
@gosbertrwezahura3645
5 жыл бұрын
Kabisaaaaaaaa
@mcorama
5 жыл бұрын
Inahusu nini hapa
@josephstephen2047
5 жыл бұрын
Akili yako imejaa matope
@blessingmartin4093
5 жыл бұрын
Akili za badhi ya sisi Wa Tanzania zinatia wasiwasi
@kebo2155
5 жыл бұрын
@@mcorama Sasa maswali ya kitoto usiyalete hapa!!! Akili Mali..
Magufuri ni rais anayeongoza taifa kubwa ulimwenguni
@katabazinelson2127
5 жыл бұрын
Mwanangu wewe ni kichwa sana..big ups🙌😂
@paulmichael6100
4 жыл бұрын
Kweli
Raha sana kuona Airbus inatua nchi za watu dah
@selemanmsuya8921
5 жыл бұрын
Kuna raha gani nawakat ameikatisha airbus shughuli zake na ndege ya rais ipo kwa nini asingetumia ile ndege ya raisi na kuiacha airbus ikiendlea kufanya kazi?????
@bantuisolele2543
5 жыл бұрын
@@selemanmsuya8921 acha chuki kwani yeye c ndo kanunua unachokasirika kipi sasa ulijua kama nchi itanunua ndege siku moja... Badilika acha fikra za chuki na uadui kama huoni jema hama nchi..
@happydaniel7485
5 жыл бұрын
Tim achana na nyumbu hao,wasiyempenda kashika hatamu na bado tutamchagua tena ili amalizie mipango mizuri iliyobaki,
Magufuli ubarikiwe. Mengi unayoyatenda ni mengi kwasababu ya nchi yako. Kama rais wa Kongo angefuata wewe, wa Kongo tungekua vizuri.
@janesuma2193
5 жыл бұрын
Claude Tambwe mtakua tu ndio ananza kazi mpeni muda
Please Dr John phombe Magufuri, please please try to teach Dr Saulos klous Chilima as our next president of Malawi to run our country like the way you run Tanzania, not the way Peter Mthalika is abusing our Malawi, you're the the greatest president in Africa, you have made your name clean within a short period of time. Thanks
Halfu ulivyokuwa wabiashara zaidi ukaamua kukanyaga na chuma la AIR BUS kutangaza fursa za biashara nchini Malawi we Noma!!!!!
Mapokezi ya ndugu zetu wa Malawi nimependa. Safii sana
hivi watanzania mlikatazwa kutangaza...?? Maana naona kila alierusha matangazo alirusha kimyakimya
Naipenda inchi yang Tanzania Tanzania ishi na mm
Aliyeona tractor airport gonga like hapa
@benjaminpallangyo4545
5 жыл бұрын
@Humphrey Shishira nimeiona kwa nyuma kule inakatiza, xjui kuna shamba uwanjani au kiwanja kibovu ndege zinakwama labda
@michaeleustach8742
5 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhhha
@danieldaniel-lb2on
4 жыл бұрын
Umetisha sana mzee baba
Hongera sana rais wetu kwa kuonyesha uzalendo wa lugha yetu kiswahili oyeeeee!
Bando limemata kabla magufuri hajashuka kwa ndege huyu aliye post sijui hajui Ku edit 😒😒
We love u our president. JPM aka bulldozer..!
@khairathussein9278
5 жыл бұрын
Woooooh
Tunakupenda sana Rais wetu mpendwa MUNGU azidi kukutangulia
JPM unairudisha heshima yetu duniani. Mungu azidi kukubariki
Air bus walisema imeuzwa. Sasa hiyo nini au wanaota gari waliotaifusha. Tuache uzushi. Hongera mheshimiwa rais umewakilisha nchi
Mungu alijua ntunae mtafufa miaka mingi ndie Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania Mh John Pombe Magafuli tuna kumbea
Ohhh eti imeuzwa Kenya!!
@benjaminpallangyo4545
5 жыл бұрын
@Enock Gray ni nan anateseka? kwan ikiuzwa si tunapokea ela iliyonunuliwa au?
Vyombo vya habari havijatutendea haki ata kidogo kwa taarifa hii,ingawa tunaona lakini haileti uzuri tulioutazamia kuuona kwa taarifa hii.
Mubaraki Tanzania
Raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe kokote uwendako
@banshbansh2329
5 жыл бұрын
Amiin
Waaaoooooh
Nakukubali sana mzee Magu.
Hongera Rais wangu
Obama wa Africa huyo lazima mapokezi yawe makubwa
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Sanaa tu baba si kiongozi mkubwa
@mapenzi_tz1511
5 жыл бұрын
kw Sasa Afrika hakana km JPM
@menejameneja.1272
5 жыл бұрын
Ulijuaje?
@Gamba177
5 жыл бұрын
Huyu ni Dikteta Uchwara tu fala.
@zeralucyntazimila6600
5 жыл бұрын
@@Gamba177 jina adabu mjinga wewe
Nimependa kitu kimoja wamalawi wanaheshima kuliko tunavyowaziya
Ndege zetu Raisi wetu
Hapa kaz tu magufuli safi piga kelele kwa magufuli ake
magufuli ninguzo ya Africa
Mkuu mheshimiwa tz ma home
I like
Pongez sanaa kwa nchi yetu
Safi sana Rais wetu kipenz
utabaki Kuwa juuu
@mbozionline
5 жыл бұрын
mkombozi wa wanyonge
Hapa kazi tu.
@albadrysadiq8884
5 жыл бұрын
Kazi ipi
Kifo chake ni hasara kubwa sana kwetu Watanzania
Yaàaaaaaani kukaa kuangalia kwote hiiii video kumbe ime Recorded kwa Techno
Hii c ndio ile nchi tulitaka tuichape?
@salhinaselemani9780
5 жыл бұрын
Muichape mchapane acha kuzalau watu
@azizshahame3689
5 жыл бұрын
Kwan uongo Dharau yann sasa
@godfreyhiza1075
5 жыл бұрын
USA na Japan pamoja na kuchapana kwenye vita ya dunia ...sasa ni maswahiba walioshibana
Nakwa mungu ajitahidi ataenda kupokelewa
@albadrysadiq8884
5 жыл бұрын
Kwa kipi
Huyu jamaa ni noma
Salute
bg up jpm wetu
EEEE MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA VYOTE MPE MAISHA MEMA RAISI WETU AMEN,,,
huyu ndo mtukufu rais nakupenda
Jaribu kwenda na Zanzibar ukatumbue mkuu hujui wale nao walikupigia kura? Au ukitumbua watavunja huo muungano.... Wee acha Tu Tz rais Wa muungano haigusi kwa chochote Zanzibar sijui kwa mini?
*_Air Tanzania_* haijawai tua Nairobi , inaogopa competition ama vipi *_Kenya Airways_* Oyeee ! *_THE PRIDE OF AFRICA_*
@josephstephen2047
5 жыл бұрын
Kwaiyo ndege amabazo hazitui hapo jomo zinaogopa compee au sio una IQ ndogo sana
Unaswahili hayo mapokezi Rais wangu
Picture hazipo. vzr One Tanzania
Malawi wanashangaa Dege letu Air Bus
@kimwenjetheboy4199
5 жыл бұрын
Sikunyengine ataenda baraka makufuli mzee atapumzika
@michaeleustach8742
5 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhhha
Bongo5 quality ya vifaa vyako ni mbovu sana nunua vifaa mpya
@jullygodwiny4058
5 жыл бұрын
Kwel kabis Yaan unaongeza mwanga kwa cm lkn bdo unatoa macho yte bado huoni vzr,ajirekebishe anunue vifAa aache ubahir
I lv you AFRICA president
Duh!
Akitoka magufuli sjui ataingia Nani na takuwa na msimamo gani
Jiwe we ni mwamba,naona Malawi imetikisika
Ni heshma kubwa kwa watanzania
Tz nchi yangu
hivi hii n ndege ya abilia au ???
TUNAKUPENDA WATANZANIA KWA KAZI NZULI RAIS WETU MH:MAGUFULI
Camera man shake more
Dues🇹🇿
Oyooo
Apokelewa kiraisi sio kifalme Sio mfalme huyo
Mbona mnatupotosha hadharani? kiswahili sijakisikia akiongea. Wambea wa kutaka views. Inaudhi.
hayo sio mapokezi ya kifalme, ni mapokezi ya mkuu yoyote wa nchi, wandishi wa habari wa bongo mna matatizo sana,
@paschalmachibula2325
3 жыл бұрын
Upo sawa kabisa
Duwa