RAIS MAGUFULI APOKELEWA KIFALME MALAWI/ APIGA KISWAHILI AIRPORT

Ойын-сауық

HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA MALAWI:
Rais Magufuli amewasili nchini Malawi kwa ziara rasmi ya kiserikali ya siku 2, kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Malawi, Prof. Arthur Peter Mutharika.
Rais Magufuli akiwa na Mkewe, Mama Janeth Magufuli, wamepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Malawi, Bingu Mutharika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu Mjini Lilongwe.
Akiwa Mjini Lilongwe Rais Magufuli ataweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu ya aliyekuwa Rais wa Malawi Hayati Bingu Mutharika, kisha atafanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Mutharika, na jioni atahudhuria Dhifa ya Kitaifa aliyoandaliwa kwa heshima yake na Rais Mutharika.
Hapo kesho Rais Magufuli akiwa na mwenyeji wake Rais Mutharika atamaliza ziara yake kwa kufungua msimu wa Soko la Tumbaku na kuzungumza na wadau wa zao hilo na baadaye atarejea nchini Tanzania ambako ataanza ziara ya kikazi ya siku nane (8) katika Mkoa wa Mbeya.

Пікірлер: 250

  • @alfredmwanguku7614
    @alfredmwanguku76145 жыл бұрын

    Very Nice, Kwanza katangaza Air Tanzania na Pili Kawarusha Airbus..Proud of My President JPM, Aka, Mzee Baba, Jembe, Chumaa....

  • @gracemasumila7475

    @gracemasumila7475

    5 жыл бұрын

    safiii sana

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire94765 жыл бұрын

    MashaAllah....ukiwahi na moyo safi na upendo wa kweli hakika Mungu huzidi kukuimarisha...live long life Baba wa wanyonge.

  • @mwenemaseko4921

    @mwenemaseko4921

    5 жыл бұрын

    wanyonge ni wewe na familia yako.

  • @onlinemateustv1925

    @onlinemateustv1925

    5 жыл бұрын

    @@mwenemaseko4921 kama si mnyonge basi ujuwe wewe ndio ulikuwa unawanyonga wenzio

  • @ernestlaiza1176

    @ernestlaiza1176

    5 жыл бұрын

    Mnyonge na Bibi yako

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia41405 жыл бұрын

    Nani Kama Magufuli, hakuna katumia AIR Bus yetu kutangaza biashara Nchini Malawi. Big up sana Rais wetu.Hapa ndo mwanzo wa ndege zetu kufanya safari za kibiashara na Malawi..Hapa Kazi Tu.

  • @hamoudabdallah1789
    @hamoudabdallah17895 жыл бұрын

    Heshima yako mkuu heshima yetu watanzania,long live Mr. President.

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus95995 жыл бұрын

    Mwenyezi tulindie raisi wetu mchapa kz jpm

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv19255 жыл бұрын

    We love you so much President Magufuli from Tz

  • @niccokisinini1039
    @niccokisinini10395 жыл бұрын

    Hii ni nuru yetu inayoangaza Africa na Dunia zima. Tumuombee azidi kuwa na afya njema na maono mapya kila iitwapo Leo . Ubarikiwe sana Rais wangu . Mungu asimame na wewe ukatukomboe sisi katika dimbwi la Umasikini na uovu , wewe ni mwamba imara ulioletwa na Dunia itambue na kutambua huduma yako

  • @fruitfulmpanduji.6732
    @fruitfulmpanduji.67325 жыл бұрын

    Najivunia kuwa mtanzania kwa ajili yako Mh.Maghufuli.tuko juu kweli kweli.

  • @mariyammariyam971
    @mariyammariyam9715 жыл бұрын

    Mashaallah Allah amuhifadhi Rais wetu

  • @jumbelbrownman1295

    @jumbelbrownman1295

    5 жыл бұрын

    Aaamin yaa rabbil aalamiin

  • @mussashekshunda2804

    @mussashekshunda2804

    5 жыл бұрын

    nc

  • @banshbansh2329

    @banshbansh2329

    5 жыл бұрын

    Amiin

  • @ridhiwaniomari7425

    @ridhiwaniomari7425

    5 жыл бұрын

    Aamiin thumma aamiin

  • @SAM_163
    @SAM_1634 жыл бұрын

    What a luck to have such a national anthem 😘😘❤❤❤ viva Tanzania 🇹🇿🇹🇿 viva Magufuli🇹🇿❤❤

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka93015 жыл бұрын

    Chuma kimekanyaga Malawi 🇲🇼 🇲🇼!! Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tanzania

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath43305 жыл бұрын

    Wapo wanaoteseka jamani huyu ndo raisi wetu Tanzania oyeeeeee

  • @jonathankalua7929
    @jonathankalua79295 жыл бұрын

    Bravo Magufuli - We are proud of you - All African presidents should have something to learn from you. Muheshimiwa we hail you on this soil(Africa). Mwenyezi Mungu akubariki nakukulinda kila siku. I am Malawian, ninaandika ujumbe huu kutoka Malawi

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe20565 жыл бұрын

    rais wetu magufuli ni kiboko anapokelewa kama rais wa marekani safi sana

  • @welongojacksonweljacxe5245
    @welongojacksonweljacxe52455 жыл бұрын

    Siku atahenda DRC itakua zaidi yahapo pongezi kwenu wana tz mumuhunge mkono raisi wenu

  • @husseinloyy1912

    @husseinloyy1912

    5 жыл бұрын

    Asante ndugu yetu was congo

  • @hemedhemed9246
    @hemedhemed92465 жыл бұрын

    A Powerful President. Sure we're going to achieve. Almighty Allah Support our Hero.

  • @makalasaigoni2275
    @makalasaigoni22755 жыл бұрын

    ahsante mh tuakilixhe baba🇹🇿

  • @hopewangechi2039
    @hopewangechi20395 жыл бұрын

    Air Tanzania...😊proudly Tanzanian tho im in Kenya now

  • @mannabu9333
    @mannabu93335 жыл бұрын

    Ndugu zangu ki Historia Afrika Tanzania sio nchi ndogo imefanya mambo mengi sana ki Afrika

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Tanzania kwanza alafu vijimchi vya maghalibi

  • @adrianvandervalk6734

    @adrianvandervalk6734

    5 жыл бұрын

    umerogwa ww ndugu maneno

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    @@adrianvandervalk6734 wewe kweri shoga unaleta ukada ukitanguliza tanzania kwanza utamuelewa magufuri ila zwazwa kasuku na mshirikina utomuelewa maneno

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Maneno Abu wewe kichwa mwanadamu anayejitambua ulimwenguni tanzania ni taifa kubwa ulimwenguni

  • @laeutusmwombeki6057
    @laeutusmwombeki60575 жыл бұрын

    Aliyewaona masecurity wa Tz walivyomakini gonga like tufamiane

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga30195 жыл бұрын

    Safi sana jpm tuwakilishe vizuri rais Wetu

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew83095 жыл бұрын

    Mbn watamkubali tu, hata kama walikuwa hawamtaki, heb mwangalieni, utadhani rais wa USA

  • @hamiduselemani2557
    @hamiduselemani25575 жыл бұрын

    Jengo la air port la Malawi ukilinganisha la dar utajua tz tumefika mbali

  • @beatricekamengekamenge5543

    @beatricekamengekamenge5543

    5 жыл бұрын

    Point

  • @ambrosekituyi2199

    @ambrosekituyi2199

    5 жыл бұрын

    Eti eehh... tembea uone makubwa mwanangu.

  • @michaeleustach8742

    @michaeleustach8742

    5 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀

  • @blessingmartin4093

    @blessingmartin4093

    5 жыл бұрын

    Hapa ni Lilongwe, kilakitu kipo Blantyre ,,,, shoga wwe

  • @hamiduselemani2557

    @hamiduselemani2557

    5 жыл бұрын

    Mkundu wewe mimi sijatukana kwenye coment yangu mavi wewe kafilwe nyuma

  • @muharamseleman1976
    @muharamseleman19765 жыл бұрын

    Kipenzi cha Africa magu uko juu tunakupenda sana rais wetu upitiwe mbari na mabaya

  • @prof.innozittotz5958
    @prof.innozittotz59585 жыл бұрын

    Tanzania The Great under Great Leader

  • @kabweissa7929

    @kabweissa7929

    5 жыл бұрын

    Mungu tulindie,huyu,roho,yetu,

  • @juvenalibrahim2929
    @juvenalibrahim29295 жыл бұрын

    Eti ndege yetu ya Airbus imeuzwa Kenya. Je na hio ni bajaj???au tuwe wazalendo tuache uzushi .Magufuli the great

  • @mathiusthomas3074

    @mathiusthomas3074

    5 жыл бұрын

    Zipo mbili kilaza wew

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    5 жыл бұрын

    @@mathiusthomas3074 😂😂😂😂😂

  • @mapenzi_tz1511

    @mapenzi_tz1511

    5 жыл бұрын

    @@mathiusthomas3074 iyo ya pili inaitwaje mm naijua Airbus na Dream liner iyo iliouzwa Kenya niipi?

  • @hassankurran6830

    @hassankurran6830

    5 жыл бұрын

    Kwani nani kakuambia nimoja

  • @nawihadj6674

    @nawihadj6674

    5 жыл бұрын

    Tatzo machoko wengi ndomnaa wakishatiwaa vidole wanaongeaa kupondaa nchi ytuu mm juz nilpasuaa mtuu kwakuipondaa serikari na mali zke

  • @gg-fq4mf
    @gg-fq4mf5 жыл бұрын

    Kila nikikutazama Rais wa wanyonge nahic kutokwa mchozi, nakuombea sana bado tunakuhitaji

  • @nasonwilson6536

    @nasonwilson6536

    5 жыл бұрын

    It's me forever duuh

  • @barakampali9321
    @barakampali93215 жыл бұрын

    Dodoma hapa kazi tu

  • @ronybernard9191
    @ronybernard91915 жыл бұрын

    Amry zubery nimekumind sana kumwambia magufuli choko! Bahati yako upo mbali

  • @kalimbeabdala3860
    @kalimbeabdala38605 жыл бұрын

    kama umemuoana jamaa aliekuwa anatembea mwanzoni kabisa mwa wimbo wa taifa ukiimbwa gonga like

  • @josephshango6287
    @josephshango62875 жыл бұрын

    Proud to be Tanzanian 🇹🇿

  • @erastoernest5334
    @erastoernest53345 жыл бұрын

    Pacha wa nyerere uyooo tunakupenda Sana baba

  • @nasonwilson6536
    @nasonwilson65365 жыл бұрын

    Unity is power

  • @husseinloyy1912
    @husseinloyy19125 жыл бұрын

    Jpm baba yetu malizia ziara hadi msumbiji na Zimbabwe na kuwapa pole ndugu zetu..... ili wabaya Wetu wajue ulitoa msaada kwa moyo wko na wtz ...mungu akupe maisha marefu

  • @ramrashid7859
    @ramrashid78595 жыл бұрын

    Kama umeiona Air Tanzania ikipendeza gonga like za kutosha hapa.

  • @jumbelbrownman1295
    @jumbelbrownman12955 жыл бұрын

    Taifa la kwanza kupinga unyonyaji na ubaguzi wa rangi wa makaburu KIVITENDO...Tanzania! #tanzaniakwanza

  • @gosbertrwezahura3645

    @gosbertrwezahura3645

    5 жыл бұрын

    Kabisaaaaaaaa

  • @mcorama

    @mcorama

    5 жыл бұрын

    Inahusu nini hapa

  • @josephstephen2047

    @josephstephen2047

    5 жыл бұрын

    Akili yako imejaa matope

  • @blessingmartin4093

    @blessingmartin4093

    5 жыл бұрын

    Akili za badhi ya sisi Wa Tanzania zinatia wasiwasi

  • @kebo2155

    @kebo2155

    5 жыл бұрын

    @@mcorama Sasa maswali ya kitoto usiyalete hapa!!! Akili Mali..

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61775 жыл бұрын

    Magufuri ni rais anayeongoza taifa kubwa ulimwenguni

  • @katabazinelson2127

    @katabazinelson2127

    5 жыл бұрын

    Mwanangu wewe ni kichwa sana..big ups🙌😂

  • @paulmichael6100

    @paulmichael6100

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru99085 жыл бұрын

    Raha sana kuona Airbus inatua nchi za watu dah

  • @selemanmsuya8921

    @selemanmsuya8921

    5 жыл бұрын

    Kuna raha gani nawakat ameikatisha airbus shughuli zake na ndege ya rais ipo kwa nini asingetumia ile ndege ya raisi na kuiacha airbus ikiendlea kufanya kazi?????

  • @bantuisolele2543

    @bantuisolele2543

    5 жыл бұрын

    @@selemanmsuya8921 acha chuki kwani yeye c ndo kanunua unachokasirika kipi sasa ulijua kama nchi itanunua ndege siku moja... Badilika acha fikra za chuki na uadui kama huoni jema hama nchi..

  • @happydaniel7485

    @happydaniel7485

    5 жыл бұрын

    Tim achana na nyumbu hao,wasiyempenda kashika hatamu na bado tutamchagua tena ili amalizie mipango mizuri iliyobaki,

  • @claudetambwe6674
    @claudetambwe66745 жыл бұрын

    Magufuli ubarikiwe. Mengi unayoyatenda ni mengi kwasababu ya nchi yako. Kama rais wa Kongo angefuata wewe, wa Kongo tungekua vizuri.

  • @janesuma2193

    @janesuma2193

    5 жыл бұрын

    Claude Tambwe mtakua tu ndio ananza kazi mpeni muda

  • @dinganinedsontchongwe610
    @dinganinedsontchongwe6105 жыл бұрын

    Please Dr John phombe Magufuri, please please try to teach Dr Saulos klous Chilima as our next president of Malawi to run our country like the way you run Tanzania, not the way Peter Mthalika is abusing our Malawi, you're the the greatest president in Africa, you have made your name clean within a short period of time. Thanks

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian62095 жыл бұрын

    Halfu ulivyokuwa wabiashara zaidi ukaamua kukanyaga na chuma la AIR BUS kutangaza fursa za biashara nchini Malawi we Noma!!!!!

  • @lizety199
    @lizety1995 жыл бұрын

    Mapokezi ya ndugu zetu wa Malawi nimependa. Safii sana

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor41605 жыл бұрын

    hivi watanzania mlikatazwa kutangaza...?? Maana naona kila alierusha matangazo alirusha kimyakimya

  • @malynarda2682
    @malynarda26825 жыл бұрын

    Naipenda inchi yang Tanzania Tanzania ishi na mm

  • @humphreyshishira7665
    @humphreyshishira76655 жыл бұрын

    Aliyeona tractor airport gonga like hapa

  • @benjaminpallangyo4545

    @benjaminpallangyo4545

    5 жыл бұрын

    @Humphrey Shishira nimeiona kwa nyuma kule inakatiza, xjui kuna shamba uwanjani au kiwanja kibovu ndege zinakwama labda

  • @michaeleustach8742

    @michaeleustach8742

    5 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhhhha

  • @danieldaniel-lb2on

    @danieldaniel-lb2on

    4 жыл бұрын

    Umetisha sana mzee baba

  • @mhangwalimbu4325
    @mhangwalimbu43255 жыл бұрын

    Hongera sana rais wetu kwa kuonyesha uzalendo wa lugha yetu kiswahili oyeeeee!

  • @stanleyjacob6744
    @stanleyjacob67445 жыл бұрын

    Bando limemata kabla magufuri hajashuka kwa ndege huyu aliye post sijui hajui Ku edit 😒😒

  • @yonamwakanyamale5023
    @yonamwakanyamale50235 жыл бұрын

    We love u our president. JPM aka bulldozer..!

  • @khairathussein9278

    @khairathussein9278

    5 жыл бұрын

    Woooooh

  • @joramchubwa4805
    @joramchubwa48055 жыл бұрын

    Tunakupenda sana Rais wetu mpendwa MUNGU azidi kukutangulia

  • @jerrykikuli3700
    @jerrykikuli37005 жыл бұрын

    JPM unairudisha heshima yetu duniani. Mungu azidi kukubariki

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede39525 жыл бұрын

    Air bus walisema imeuzwa. Sasa hiyo nini au wanaota gari waliotaifusha. Tuache uzushi. Hongera mheshimiwa rais umewakilisha nchi

  • @bensonassenga3109
    @bensonassenga31095 жыл бұрын

    Mungu alijua ntunae mtafufa miaka mingi ndie Rais wa Jamhuri ya mungano wa Tanzania Mh John Pombe Magafuli tuna kumbea

  • @enockgray1410
    @enockgray14105 жыл бұрын

    Ohhh eti imeuzwa Kenya!!

  • @benjaminpallangyo4545

    @benjaminpallangyo4545

    5 жыл бұрын

    @Enock Gray ni nan anateseka? kwan ikiuzwa si tunapokea ela iliyonunuliwa au?

  • @timothmhangwa4329
    @timothmhangwa43295 жыл бұрын

    Vyombo vya habari havijatutendea haki ata kidogo kwa taarifa hii,ingawa tunaona lakini haileti uzuri tulioutazamia kuuona kwa taarifa hii.

  • @bakaringoda9956
    @bakaringoda99563 жыл бұрын

    Mubaraki Tanzania

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe kokote uwendako

  • @banshbansh2329

    @banshbansh2329

    5 жыл бұрын

    Amiin

  • @banshbansh2329
    @banshbansh23295 жыл бұрын

    Waaaoooooh

  • @rashidalshaidhani765
    @rashidalshaidhani7655 жыл бұрын

    Nakukubali sana mzee Magu.

  • @elizambilinyi2880
    @elizambilinyi28804 жыл бұрын

    Hongera Rais wangu

  • @michaelphilemon2374
    @michaelphilemon23745 жыл бұрын

    Obama wa Africa huyo lazima mapokezi yawe makubwa

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Sanaa tu baba si kiongozi mkubwa

  • @mapenzi_tz1511

    @mapenzi_tz1511

    5 жыл бұрын

    kw Sasa Afrika hakana km JPM

  • @menejameneja.1272

    @menejameneja.1272

    5 жыл бұрын

    Ulijuaje?

  • @Gamba177

    @Gamba177

    5 жыл бұрын

    Huyu ni Dikteta Uchwara tu fala.

  • @zeralucyntazimila6600

    @zeralucyntazimila6600

    5 жыл бұрын

    @@Gamba177 jina adabu mjinga wewe

  • @anitakalua2309
    @anitakalua23095 жыл бұрын

    Nimependa kitu kimoja wamalawi wanaheshima kuliko tunavyowaziya

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71515 жыл бұрын

    Ndege zetu Raisi wetu

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko70014 жыл бұрын

    Hapa kaz tu magufuli safi piga kelele kwa magufuli ake

  • @jonfredyaverino3863
    @jonfredyaverino38635 жыл бұрын

    magufuli ninguzo ya Africa

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala73325 жыл бұрын

    Mkuu mheshimiwa tz ma home

  • @robertmagary3697
    @robertmagary36975 жыл бұрын

    I like

  • @jrstories5062
    @jrstories50625 жыл бұрын

    Pongez sanaa kwa nchi yetu

  • @rutakihama7599
    @rutakihama75995 жыл бұрын

    Safi sana Rais wetu kipenz

  • @mbozionline
    @mbozionline5 жыл бұрын

    utabaki Kuwa juuu

  • @mbozionline

    @mbozionline

    5 жыл бұрын

    mkombozi wa wanyonge

  • @patrickfanuel3920
    @patrickfanuel39205 жыл бұрын

    Hapa kazi tu.

  • @albadrysadiq8884

    @albadrysadiq8884

    5 жыл бұрын

    Kazi ipi

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato Жыл бұрын

    Kifo chake ni hasara kubwa sana kwetu Watanzania

  • @nyamtigaibrahim530
    @nyamtigaibrahim5303 жыл бұрын

    Yaàaaaaaani kukaa kuangalia kwote hiiii video kumbe ime Recorded kwa Techno

  • @alexchungu8823
    @alexchungu88235 жыл бұрын

    Hii c ndio ile nchi tulitaka tuichape?

  • @salhinaselemani9780

    @salhinaselemani9780

    5 жыл бұрын

    Muichape mchapane acha kuzalau watu

  • @azizshahame3689

    @azizshahame3689

    5 жыл бұрын

    Kwan uongo Dharau yann sasa

  • @godfreyhiza1075

    @godfreyhiza1075

    5 жыл бұрын

    USA na Japan pamoja na kuchapana kwenye vita ya dunia ...sasa ni maswahiba walioshibana

  • @uthaiminjuma1439
    @uthaiminjuma14395 жыл бұрын

    Nakwa mungu ajitahidi ataenda kupokelewa

  • @albadrysadiq8884

    @albadrysadiq8884

    5 жыл бұрын

    Kwa kipi

  • @danielphares3089
    @danielphares30895 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni noma

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania8725 жыл бұрын

    Salute

  • @allsoddaudi5178
    @allsoddaudi51785 жыл бұрын

    bg up jpm wetu

  • @shadybadojulius2634
    @shadybadojulius26345 жыл бұрын

    EEEE MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA VYOTE MPE MAISHA MEMA RAISI WETU AMEN,,,

  • @shilebuyo5857
    @shilebuyo58575 жыл бұрын

    huyu ndo mtukufu rais nakupenda

  • @abdulsaid1015
    @abdulsaid10155 жыл бұрын

    Jaribu kwenda na Zanzibar ukatumbue mkuu hujui wale nao walikupigia kura? Au ukitumbua watavunja huo muungano.... Wee acha Tu Tz rais Wa muungano haigusi kwa chochote Zanzibar sijui kwa mini?

  • @samburuonlinetv
    @samburuonlinetv5 жыл бұрын

    *_Air Tanzania_* haijawai tua Nairobi , inaogopa competition ama vipi *_Kenya Airways_* Oyeee ! *_THE PRIDE OF AFRICA_*

  • @josephstephen2047

    @josephstephen2047

    5 жыл бұрын

    Kwaiyo ndege amabazo hazitui hapo jomo zinaogopa compee au sio una IQ ndogo sana

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego44085 жыл бұрын

    Unaswahili hayo mapokezi Rais wangu

  • @burtonlwenje1851
    @burtonlwenje18515 жыл бұрын

    Picture hazipo. vzr One Tanzania

  • @faustinenyambere183
    @faustinenyambere1835 жыл бұрын

    Malawi wanashangaa Dege letu Air Bus

  • @kimwenjetheboy4199

    @kimwenjetheboy4199

    5 жыл бұрын

    Sikunyengine ataenda baraka makufuli mzee atapumzika

  • @michaeleustach8742

    @michaeleustach8742

    5 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhhhhha

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt28615 жыл бұрын

    Bongo5 quality ya vifaa vyako ni mbovu sana nunua vifaa mpya

  • @jullygodwiny4058

    @jullygodwiny4058

    5 жыл бұрын

    Kwel kabis Yaan unaongeza mwanga kwa cm lkn bdo unatoa macho yte bado huoni vzr,ajirekebishe anunue vifAa aache ubahir

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian62095 жыл бұрын

    I lv you AFRICA president

  • @mossesraphael1073
    @mossesraphael10735 жыл бұрын

    Duh!

  • @sethsindamka8465
    @sethsindamka84655 жыл бұрын

    Akitoka magufuli sjui ataingia Nani na takuwa na msimamo gani

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli36505 жыл бұрын

    Jiwe we ni mwamba,naona Malawi imetikisika

  • @hajijuma4160
    @hajijuma41605 жыл бұрын

    Ni heshma kubwa kwa watanzania

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa84135 жыл бұрын

    Tz nchi yangu

  • @drdioclespr6722
    @drdioclespr67225 жыл бұрын

    hivi hii n ndege ya abilia au ???

  • @frankngilangwa4518
    @frankngilangwa45185 жыл бұрын

    TUNAKUPENDA WATANZANIA KWA KAZI NZULI RAIS WETU MH:MAGUFULI

  • @abdilahijuma2852
    @abdilahijuma28525 жыл бұрын

    Camera man shake more

  • @bakaringoda9956
    @bakaringoda99563 жыл бұрын

    Dues🇹🇿

  • @johnpaulmaronsaho7968
    @johnpaulmaronsaho79685 жыл бұрын

    Oyooo

  • @siyamanda7073
    @siyamanda70735 жыл бұрын

    Apokelewa kiraisi sio kifalme Sio mfalme huyo

  • @ambrosekituyi2199
    @ambrosekituyi21995 жыл бұрын

    Mbona mnatupotosha hadharani? kiswahili sijakisikia akiongea. Wambea wa kutaka views. Inaudhi.

  • @lucasdismas4314
    @lucasdismas43145 жыл бұрын

    hayo sio mapokezi ya kifalme, ni mapokezi ya mkuu yoyote wa nchi, wandishi wa habari wa bongo mna matatizo sana,

  • @paschalmachibula2325

    @paschalmachibula2325

    3 жыл бұрын

    Upo sawa kabisa

  • @bakaringoda9956
    @bakaringoda99563 жыл бұрын

    Duwa

Келесі