KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI, NAMIBIA NA ZIMBABWE

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI ,NAMIBIA NA ZIMBABWE MEI 2019

Пікірлер: 34

  • @henrickchambilo4806
    @henrickchambilo48065 жыл бұрын

    Best president in world

  • @josephsureeliajosephmion9997
    @josephsureeliajosephmion9997 Жыл бұрын

    RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus37645 жыл бұрын

    Safi sana rais wetu

  • @abcswahilii3322
    @abcswahilii33225 жыл бұрын

    Rais bora kabisa afrika...

  • @emmanuelmasito
    @emmanuelmasito5 жыл бұрын

    Ahsante sana Ikulu kwa hii.

  • @masagapaul5039
    @masagapaul50395 жыл бұрын

    Rais wa Africa. Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana5 жыл бұрын

    Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.

  • @ababuumwana5102
    @ababuumwana51025 жыл бұрын

    Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40

  • @audifasmassera1289

    @audifasmassera1289

    5 жыл бұрын

    Kabisa kabisa, umenena vyema.

  • @thamu3133
    @thamu31335 жыл бұрын

    Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana

  • @grediuce7039
    @grediuce70395 жыл бұрын

    Ahsante sana Rais wetu

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar49055 жыл бұрын

    Safii magu upo vyema mkuu

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @peterniboye3462
    @peterniboye34625 жыл бұрын

    We are proud with our President...

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana31295 жыл бұрын

    Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania

  • @lomnyakijohn8672
    @lomnyakijohn86725 жыл бұрын

    Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele

  • @freddymello3227
    @freddymello32275 жыл бұрын

    Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 ай бұрын

    Mashaalah

  • @romeoromeo4125
    @romeoromeo41255 жыл бұрын

    Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!

  • @henricokanogu2223
    @henricokanogu22235 жыл бұрын

    Magufuli Oyeeeeee

  • @tituskidava2169
    @tituskidava21695 жыл бұрын

    🤝

  • @mokhimji
    @mokhimji5 жыл бұрын

    1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha

  • @kadirdhulfiqaar7820
    @kadirdhulfiqaar78209 ай бұрын

    😢😢Endelea kupumzika kwa amani

  • @geneouscravery3428
    @geneouscravery3428 Жыл бұрын

    Ok

  • @flowinkilangira1545
    @flowinkilangira15455 жыл бұрын

    😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???

  • @erickpascal2249
    @erickpascal22495 жыл бұрын

    Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !

  • @audifasmassera1289

    @audifasmassera1289

    5 жыл бұрын

    Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.

  • @erickpascal2249

    @erickpascal2249

    5 жыл бұрын

    @@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE

  • @davidelliot3267
    @davidelliot32675 жыл бұрын

    my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥

  • @audifasmassera1289

    @audifasmassera1289

    5 жыл бұрын

    Kabisa kabisa mkuu.

  • @samuelndalahwa3423
    @samuelndalahwa34235 жыл бұрын

    Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli

  • @anthonymaganjo1646

    @anthonymaganjo1646

    5 жыл бұрын

    The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee

  • @audifasmassera1289

    @audifasmassera1289

    5 жыл бұрын

    @@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?

  • @audifasmassera1289

    @audifasmassera1289

    5 жыл бұрын

    @@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.

Келесі