KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI, NAMIBIA NA ZIMBABWE
KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI ,NAMIBIA NA ZIMBABWE MEI 2019
Жүктеу.....
Пікірлер: 34
@henrickchambilo48065 жыл бұрын
Best president in world
@josephsureeliajosephmion9997 Жыл бұрын
RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.
@wailesdeus37645 жыл бұрын
Safi sana rais wetu
@abcswahilii33225 жыл бұрын
Rais bora kabisa afrika...
@emmanuelmasito5 жыл бұрын
Ahsante sana Ikulu kwa hii.
@masagapaul50395 жыл бұрын
Rais wa Africa. Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC
@SuperKibwana5 жыл бұрын
Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.
@ababuumwana51025 жыл бұрын
Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
Kabisa kabisa, umenena vyema.
@thamu31335 жыл бұрын
Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana
@grediuce70395 жыл бұрын
Ahsante sana Rais wetu
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Safii magu upo vyema mkuu
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@peterniboye34625 жыл бұрын
We are proud with our President...
@mswanawamswana31295 жыл бұрын
Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania
@lomnyakijohn86725 жыл бұрын
Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele
@freddymello32275 жыл бұрын
Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!
@yusufuheri65243 ай бұрын
Mashaalah
@romeoromeo41255 жыл бұрын
Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!
@henricokanogu22235 жыл бұрын
Magufuli Oyeeeeee
@tituskidava21695 жыл бұрын
🤝
@mokhimji5 жыл бұрын
1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha
@kadirdhulfiqaar78209 ай бұрын
😢😢Endelea kupumzika kwa amani
@geneouscravery3428 Жыл бұрын
Ok
@flowinkilangira15455 жыл бұрын
😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???
@erickpascal22495 жыл бұрын
Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.
@erickpascal2249
5 жыл бұрын
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
@davidelliot32675 жыл бұрын
my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
Kabisa kabisa mkuu.
@samuelndalahwa34235 жыл бұрын
Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli
@anthonymaganjo1646
5 жыл бұрын
The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
@@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
@@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.
Пікірлер: 34
Best president in world
RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.
Safi sana rais wetu
Rais bora kabisa afrika...
Ahsante sana Ikulu kwa hii.
Rais wa Africa. Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC
Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.
Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
Kabisa kabisa, umenena vyema.
Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana
Ahsante sana Rais wetu
Safii magu upo vyema mkuu
Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
We are proud with our President...
Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania
Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele
Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!
Mashaalah
Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!
Magufuli Oyeeeeee
🤝
1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha
😢😢Endelea kupumzika kwa amani
Ok
😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???
Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.
@erickpascal2249
5 жыл бұрын
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
Kabisa kabisa mkuu.
Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli
@anthonymaganjo1646
5 жыл бұрын
The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
@@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?
@audifasmassera1289
5 жыл бұрын
@@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.