PRAISE TV: KWAYA YA VIUMBE VYOTE DOCUMENTARY PART 1
Kanisa la Kwaya ya Viumbe vyote Bara bara ya 13 ulyankulu lilianza kwaka 1973 na nyimbo zote zilitungwa chini ya Mtunzi PETER.N. MAYUNGU ambae pia ni mwenye kiti wa kwaya hiyo pamoja na Msaidizi kwake kipindi hicho ajulikanae kwa jina EDMOND. H KOSANI ambae kwa sasa ni mwalimu kwaya hii ni maarufu kwa nyimbo kama SAMSONI NA DELILAH, KATIKA VIUMBE VYOTE, WAKATI WA NUHU na zingine nyingi
NB. TAFADHALI DROPE KOMENT YAKO NA UTUKUMBUSHE ULIKUWA WAPI KIPINDI HICHO ...UBARIKIWE SANA
Пікірлер: 31
Haleluya Mungu awabariki Sana,hizi nyimbo zilikuwa nguvu ya Mungu Sana.kwaya zingune waige mfano wa kwaya hii.shetani saizi amedanganya kwaya nyingi Sana kujilemba ili wawe na muonekano mzuri kwakweli ameteka ulimwengu wote na ndiyo maana nyimbo zao NI nzuri lakini hazina nguvu ya Mungu ili kuokoa.mwili unatufanya tuchanganikiwe ili tupendeze lakini ukweli unatoa uwepo wa Mungu katika huduma zetu.Mungu atuhurumie
Ninyi ni baraka saaana.Mungu awainulie Nuru za uso wake na kuwafadhili. Amina
Mungu wetu awabariki tuna wapenda sana!.
Waooh…niliwahi kusikia taarifa za uongo kwamba wengi walikufa katika ajali ya MV Bukoba…nimefurahi kusikia kwamba bado wanachapa injili..Mungu awatunze
Mimi nawapendasana sana
MUNGU awabariki Sana
Furahishwa sana na histotia hio mungu amewapa maono mpaka sasa hizo nyimbo zinapendwa sana
Tunakumbuka kweli.
Amen 🙏
Ndio uyundi alimba asante
Mungu awabariki sana viumbe vyote mimi niliwasikiliza 2020 lakini ni za kubariki mimi nimkenya jameni natamani nimuone picha dada aliyesolo ayubu
Mungu azidi kuwabariki ndugu zetu. Nilianza kuwafuatilia nikiwa mtoto tangu1993,walipokuwa wakirejea waliokuwa nanyi, nawaombeeni mwisho mzuri ili mrithi ufalme wa mbinguni. Ila ningependa kuomba kama ikiwezekana,mtungeni wimbo kwa sasa utolewe na utufikie tuonje baraka zile za kipindi hicho.
Mungu awabariki sana nimesikia hizo nyimbo kutoka mwaka 1985 tukipata radio mwaka huo
Mungu azidi kuwabariki sana watumishi wake. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa jangwani.. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa ukimbizini.. wote wenu mlikuwa wakimbizi kutoka Burundi mkiokoka mauwaji ya ukabila. Wengi wenu mlikuwa watoto yatima kwasababu wazazi wenu walikuwa wameuwawa na Serikali ya watusi ilikuwa ikiongozwa na Michombelo.. Hamkupenda kuwa wakimbizi.. lakini pamoja na hio mlimutumikia Mungu dunia yote ikabarikiwa na habali njema zenu.. Nyimbo zenu zinanibariki sana lakini zinanifanya nitoe machozi nikisikia historia yenu..
@mercyetago4020
2 ай бұрын
Wow. Sikujua ina historian Kali hivi
Kwaya hii ilijenga watu wengi
Yaani wale wangali hai tunawaombeni tafadhali tuimbieni wimbo,japo mmoja tu kwenye mtindo ule ule, tunayo kiu ya baraka za enzi zenu.
Nakosa lakusema Hakika
Ninamshukuru Mungu kwa sababu ya kazi njema mlioifanya, nilisikikza nyimbo hizi katika karibiana na mwaka wa 1992- 93 wakati nilikua namalizia masomo yangu ya shule ya upili. niliweza kumuelewa Mungu na zaidi nikaokoka. Mungu wetu apewe sifa, ' Kila kiumbe na kimsifu Bwana".
@praisetvmedia7313
6 жыл бұрын
shalom shalom tunashukuru sana ANNE MWANGI kwa feedback tumefurahi kusikia hivyo ubarikiwe sanaa
@bartensmunguyunayninapenda5693
5 жыл бұрын
mungu awa baliki kwakweri hawa wababa wemhisitolia vizuli. jambo lakufunza kwahawa watumishi wamedu kwamda mlefu mno wakiwa pamoja dw! mungu awabaliki wato waimbajiwa.kwaya hiyo.
Nakumbuka Kwaya hiyo ya Barabara 13...nanyi mkicheza guitar kwa ustadi. Naomba mtoe wimbo mmoja mkiwakutanisha waimbaji wa kipindi hicho
Mungu awabariki nami nigelipenda siku moja nifi hapo,mimi ni mu congo hizo nyimbo zina baraka naupoko kweli
Amen Mungu awabariki sana
tuoneshe barabara 13, fasi wanaishi na nyumba zao moja kwa moja na majina yao
Mu barikiwe saaaaaaana ndugu yangu katika Yesu kristo, mume tu bariki saaaaaaana kwa nyimbo zenu ,Naomba number yenu please
Katika viumbe muliimba mwaka yupi?
Munitumiye nambari yenu ya simu
Ni jambo la kufurahisha na kumshukuru Mungu sana, wengi wameishatangulia, wengine wamkua sana, lakini nyinyi bado mko pamoja, mkiangalia kazi kubwa mliyoifanikisha. Hizi nyimbo zina Nguvu ya ajabu sana.
Tunakumbuka kweli.
Tunakumbuka kweli.