Haleluya Mungu awabariki Sana,hizi nyimbo zilikuwa nguvu ya Mungu Sana.kwaya zingune waige mfano wa kwaya hii.shetani saizi amedanganya kwaya nyingi Sana kujilemba ili wawe na muonekano mzuri kwakweli ameteka ulimwengu wote na ndiyo maana nyimbo zao NI nzuri lakini hazina nguvu ya Mungu ili kuokoa.mwili unatufanya tuchanganikiwe ili tupendeze lakini ukweli unatoa uwepo wa Mungu katika huduma zetu.Mungu atuhurumie
@nestorysanga393827 күн бұрын
Ninyi ni baraka saaana.Mungu awainulie Nuru za uso wake na kuwafadhili. Amina
@JacklinejuliasShirima-ss2oqАй бұрын
Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 We love you man of God
@JacklinejuliasShirima-ss2oqАй бұрын
Welcome again sir. We love you forever ❤❤❤❤❤
@user-yp7gh2ve2mАй бұрын
Nakosa lakusema Hakika
@user-yp7gh2ve2mАй бұрын
Mimi nawapendasana sana
@user-yp7gh2ve2mАй бұрын
Ndio uyundi alimba asante
@mercyetago40202 ай бұрын
Kwaya hii ilijenga watu wengi
@KinyanzaJeanclude3 ай бұрын
Tunakumbuka kweli.
@KinyanzaJeanclude3 ай бұрын
Tunakumbuka kweli.
@KinyanzaJeanclude3 ай бұрын
Tunakumbuka kweli.
@KinyanzaJeanclude3 ай бұрын
Mungu wetu awabariki tuna wapenda sana!.
@user-mf9tu4yu3p3 ай бұрын
MUNGU awabariki Sana
@user-eo1hk9yi5p4 ай бұрын
Be blessed prof Mwenisongole R.I.P
@milebaornelie22934 ай бұрын
Apocalypse 19🔥🔥🔥💡💡
@milebaornelie22934 ай бұрын
🔥💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡
@milebaornelie22935 ай бұрын
Vous êtes le sel de la terre et la lumière du monde 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mattieu 5:13-14
Mungu azidi kuwabariki sana watumishi wake. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa jangwani.. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa ukimbizini.. wote wenu mlikuwa wakimbizi kutoka Burundi mkiokoka mauwaji ya ukabila. Wengi wenu mlikuwa watoto yatima kwasababu wazazi wenu walikuwa wameuwawa na Serikali ya watusi ilikuwa ikiongozwa na Michombelo.. Hamkupenda kuwa wakimbizi.. lakini pamoja na hio mlimutumikia Mungu dunia yote ikabarikiwa na habali njema zenu.. Nyimbo zenu zinanibariki sana lakini zinanifanya nitoe machozi nikisikia historia yenu..
@mercyetago40202 ай бұрын
Wow. Sikujua ina historian Kali hivi
@salarose59807 ай бұрын
Furahishwa sana na histotia hio mungu amewapa maono mpaka sasa hizo nyimbo zinapendwa sana
@user-sv6js8xt5w7 ай бұрын
Mungu awabariki sana viumbe vyote mimi niliwasikiliza 2020 lakini ni za kubariki mimi nimkenya jameni natamani nimuone picha dada aliyesolo ayubu
@alembeasukulu984910 ай бұрын
Munitumiye nambari yenu ya simu
@marthakimia407510 ай бұрын
Where is D.O.Z?
@gabrielmoses6860 Жыл бұрын
Obligada Pricila
@user-xe8sy9de6v Жыл бұрын
Amém 🙏🏾🙌🏽🙌🏽🫶🏼
@silvesterkiokomuyaule8659 Жыл бұрын
Katika viumbe muliimba mwaka yupi?
@onedibonufeli1538 Жыл бұрын
Yaani wale wangali hai tunawaombeni tafadhali tuimbieni wimbo,japo mmoja tu kwenye mtindo ule ule, tunayo kiu ya baraka za enzi zenu.
@onedibonufeli1538 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki ndugu zetu. Nilianza kuwafuatilia nikiwa mtoto tangu1993,walipokuwa wakirejea waliokuwa nanyi, nawaombeeni mwisho mzuri ili mrithi ufalme wa mbinguni. Ila ningependa kuomba kama ikiwezekana,mtungeni wimbo kwa sasa utolewe na utufikie tuonje baraka zile za kipindi hicho.
@kennethwafula1060 Жыл бұрын
Nakumbuka Kwaya hiyo ya Barabara 13...nanyi mkicheza guitar kwa ustadi. Naomba mtoe wimbo mmoja mkiwakutanisha waimbaji wa kipindi hicho
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
Amen 🙏
@fredgrapher9838 Жыл бұрын
Waooh…niliwahi kusikia taarifa za uongo kwamba wengi walikufa katika ajali ya MV Bukoba…nimefurahi kusikia kwamba bado wanachapa injili..Mungu awatunze
@godfreymuasya2869 Жыл бұрын
Maono yaliyo Kwa hajili ya Mungu kutukuka, yeye yeye Mungu uyapokea ili apate kuyafanyia kazi Kwa njia ya kuyapalilia ili yadhihirika kiuasilia, Mtazamo wako tu niwa aina ya muona maono kirohoni. Hebu Munguu akutangulie na akuongoze ufike Katika Jina la Yesu
@dadatumaini7423 Жыл бұрын
Nakumix sana dada 😭😭😭😭
@siporajemes773 Жыл бұрын
Mungu akutetee jmn da!
@siporajemes773 Жыл бұрын
Mungu awasaidie sana nijini linakula watoto
@johnwanjala4311 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana nimesikia hizo nyimbo kutoka mwaka 1985 tukipata radio mwaka huo
@isaacklaurian769 Жыл бұрын
R i p kaka Alfred 😢dah
@sesiliasalleko2013 Жыл бұрын
R.I.P bro
@gracetriza64412 жыл бұрын
Amen Amen my prophet
@murhabazigift67692 жыл бұрын
Mungu awabariki nami nigelipenda siku moja nifi hapo,mimi ni mu congo hizo nyimbo zina baraka naupoko kweli
@leonidafatson8822 жыл бұрын
Poleni sana ,Mungu atafanya kwenu watumishi wa Mungu endeleeni kumtumikia
@magaretkamau7382 жыл бұрын
Huu wimbo umeniinua na kunibariki sana. Mungu akubariki sana.
@delvinadamford98432 жыл бұрын
Imani ya baba yetu ibrahimu iwe ndani yetu sote
@andrewmagwila16022 жыл бұрын
Poleni sana wajina nimesikiliza ushuhuda huu hakika Mungu ana watu wake mmevipiga vita vzr vya Imani mwendo mmeukaza Imani mmeilinda hakika Mungu hatawaacha atawabariki watoto wengi na mtafurahi kbs jipeni moyo mkuu
@glorytwanga16112 жыл бұрын
Pole sana kaka MUNGU ATAKUBARIKI
@lizabethboniface28332 жыл бұрын
Mlinoga sana wapendwa
@octavinamgulunde51832 жыл бұрын
poleni sana
@georgesfortune76462 жыл бұрын
Amen.thank.you
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
Pole sana baba Patrick ulioa kahaba ndo ulilikosea
Пікірлер
Askofu, nabarikiwa sana!!
Haleluya Mungu awabariki Sana,hizi nyimbo zilikuwa nguvu ya Mungu Sana.kwaya zingune waige mfano wa kwaya hii.shetani saizi amedanganya kwaya nyingi Sana kujilemba ili wawe na muonekano mzuri kwakweli ameteka ulimwengu wote na ndiyo maana nyimbo zao NI nzuri lakini hazina nguvu ya Mungu ili kuokoa.mwili unatufanya tuchanganikiwe ili tupendeze lakini ukweli unatoa uwepo wa Mungu katika huduma zetu.Mungu atuhurumie
Ninyi ni baraka saaana.Mungu awainulie Nuru za uso wake na kuwafadhili. Amina
Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 We love you man of God
Welcome again sir. We love you forever ❤❤❤❤❤
Nakosa lakusema Hakika
Mimi nawapendasana sana
Ndio uyundi alimba asante
Kwaya hii ilijenga watu wengi
Tunakumbuka kweli.
Tunakumbuka kweli.
Tunakumbuka kweli.
Mungu wetu awabariki tuna wapenda sana!.
MUNGU awabariki Sana
Be blessed prof Mwenisongole R.I.P
Apocalypse 19🔥🔥🔥💡💡
🔥💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡
Vous êtes le sel de la terre et la lumière du monde 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mattieu 5:13-14
💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu azidi kuwabariki sana watumishi wake. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa jangwani.. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa ukimbizini.. wote wenu mlikuwa wakimbizi kutoka Burundi mkiokoka mauwaji ya ukabila. Wengi wenu mlikuwa watoto yatima kwasababu wazazi wenu walikuwa wameuwawa na Serikali ya watusi ilikuwa ikiongozwa na Michombelo.. Hamkupenda kuwa wakimbizi.. lakini pamoja na hio mlimutumikia Mungu dunia yote ikabarikiwa na habali njema zenu.. Nyimbo zenu zinanibariki sana lakini zinanifanya nitoe machozi nikisikia historia yenu..
Wow. Sikujua ina historian Kali hivi
Furahishwa sana na histotia hio mungu amewapa maono mpaka sasa hizo nyimbo zinapendwa sana
Mungu awabariki sana viumbe vyote mimi niliwasikiliza 2020 lakini ni za kubariki mimi nimkenya jameni natamani nimuone picha dada aliyesolo ayubu
Munitumiye nambari yenu ya simu
Where is D.O.Z?
Obligada Pricila
Amém 🙏🏾🙌🏽🙌🏽🫶🏼
Katika viumbe muliimba mwaka yupi?
Yaani wale wangali hai tunawaombeni tafadhali tuimbieni wimbo,japo mmoja tu kwenye mtindo ule ule, tunayo kiu ya baraka za enzi zenu.
Mungu azidi kuwabariki ndugu zetu. Nilianza kuwafuatilia nikiwa mtoto tangu1993,walipokuwa wakirejea waliokuwa nanyi, nawaombeeni mwisho mzuri ili mrithi ufalme wa mbinguni. Ila ningependa kuomba kama ikiwezekana,mtungeni wimbo kwa sasa utolewe na utufikie tuonje baraka zile za kipindi hicho.
Nakumbuka Kwaya hiyo ya Barabara 13...nanyi mkicheza guitar kwa ustadi. Naomba mtoe wimbo mmoja mkiwakutanisha waimbaji wa kipindi hicho
Amen 🙏
Waooh…niliwahi kusikia taarifa za uongo kwamba wengi walikufa katika ajali ya MV Bukoba…nimefurahi kusikia kwamba bado wanachapa injili..Mungu awatunze
Maono yaliyo Kwa hajili ya Mungu kutukuka, yeye yeye Mungu uyapokea ili apate kuyafanyia kazi Kwa njia ya kuyapalilia ili yadhihirika kiuasilia, Mtazamo wako tu niwa aina ya muona maono kirohoni. Hebu Munguu akutangulie na akuongoze ufike Katika Jina la Yesu
Nakumix sana dada 😭😭😭😭
Mungu akutetee jmn da!
Mungu awasaidie sana nijini linakula watoto
Mungu awabariki sana nimesikia hizo nyimbo kutoka mwaka 1985 tukipata radio mwaka huo
R i p kaka Alfred 😢dah
R.I.P bro
Amen Amen my prophet
Mungu awabariki nami nigelipenda siku moja nifi hapo,mimi ni mu congo hizo nyimbo zina baraka naupoko kweli
Poleni sana ,Mungu atafanya kwenu watumishi wa Mungu endeleeni kumtumikia
Huu wimbo umeniinua na kunibariki sana. Mungu akubariki sana.
Imani ya baba yetu ibrahimu iwe ndani yetu sote
Poleni sana wajina nimesikiliza ushuhuda huu hakika Mungu ana watu wake mmevipiga vita vzr vya Imani mwendo mmeukaza Imani mmeilinda hakika Mungu hatawaacha atawabariki watoto wengi na mtafurahi kbs jipeni moyo mkuu
Pole sana kaka MUNGU ATAKUBARIKI
Mlinoga sana wapendwa
poleni sana
Amen.thank.you
Pole sana baba Patrick ulioa kahaba ndo ulilikosea