PRAISE TV MEDIA

PRAISE TV MEDIA

Praise TV is a gospel network television

BELLA KOMBO  AKIPERFOME  LIVE

BELLA KOMBO AKIPERFOME LIVE

STEVE CROWN IN TANZANIA

STEVE CROWN IN TANZANIA

Пікірлер

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza10752 күн бұрын

    Askofu, nabarikiwa sana!!

  • @MnanilaMrsmnanila
    @MnanilaMrsmnanila24 күн бұрын

    Haleluya Mungu awabariki Sana,hizi nyimbo zilikuwa nguvu ya Mungu Sana.kwaya zingune waige mfano wa kwaya hii.shetani saizi amedanganya kwaya nyingi Sana kujilemba ili wawe na muonekano mzuri kwakweli ameteka ulimwengu wote na ndiyo maana nyimbo zao NI nzuri lakini hazina nguvu ya Mungu ili kuokoa.mwili unatufanya tuchanganikiwe ili tupendeze lakini ukweli unatoa uwepo wa Mungu katika huduma zetu.Mungu atuhurumie

  • @nestorysanga3938
    @nestorysanga393827 күн бұрын

    Ninyi ni baraka saaana.Mungu awainulie Nuru za uso wake na kuwafadhili. Amina

  • @JacklinejuliasShirima-ss2oq
    @JacklinejuliasShirima-ss2oqАй бұрын

    Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 We love you man of God

  • @JacklinejuliasShirima-ss2oq
    @JacklinejuliasShirima-ss2oqАй бұрын

    Welcome again sir. We love you forever ❤❤❤❤❤

  • @user-yp7gh2ve2m
    @user-yp7gh2ve2mАй бұрын

    Nakosa lakusema Hakika

  • @user-yp7gh2ve2m
    @user-yp7gh2ve2mАй бұрын

    Mimi nawapendasana sana

  • @user-yp7gh2ve2m
    @user-yp7gh2ve2mАй бұрын

    Ndio uyundi alimba asante

  • @mercyetago4020
    @mercyetago40202 ай бұрын

    Kwaya hii ilijenga watu wengi

  • @KinyanzaJeanclude
    @KinyanzaJeanclude3 ай бұрын

    Tunakumbuka kweli.

  • @KinyanzaJeanclude
    @KinyanzaJeanclude3 ай бұрын

    Tunakumbuka kweli.

  • @KinyanzaJeanclude
    @KinyanzaJeanclude3 ай бұрын

    Tunakumbuka kweli.

  • @KinyanzaJeanclude
    @KinyanzaJeanclude3 ай бұрын

    Mungu wetu awabariki tuna wapenda sana!.

  • @user-mf9tu4yu3p
    @user-mf9tu4yu3p3 ай бұрын

    MUNGU awabariki Sana

  • @user-eo1hk9yi5p
    @user-eo1hk9yi5p4 ай бұрын

    Be blessed prof Mwenisongole R.I.P

  • @milebaornelie2293
    @milebaornelie22934 ай бұрын

    Apocalypse 19🔥🔥🔥💡💡

  • @milebaornelie2293
    @milebaornelie22934 ай бұрын

    🔥💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡

  • @milebaornelie2293
    @milebaornelie22935 ай бұрын

    Vous êtes le sel de la terre et la lumière du monde 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mattieu 5:13-14

  • @milebaornelie2293
    @milebaornelie22935 ай бұрын

    💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💡🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @TonyBradley2012
    @TonyBradley20125 ай бұрын

    Mungu azidi kuwabariki sana watumishi wake. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa jangwani.. Mlifanya kazi ya Mungu mkiwa ukimbizini.. wote wenu mlikuwa wakimbizi kutoka Burundi mkiokoka mauwaji ya ukabila. Wengi wenu mlikuwa watoto yatima kwasababu wazazi wenu walikuwa wameuwawa na Serikali ya watusi ilikuwa ikiongozwa na Michombelo.. Hamkupenda kuwa wakimbizi.. lakini pamoja na hio mlimutumikia Mungu dunia yote ikabarikiwa na habali njema zenu.. Nyimbo zenu zinanibariki sana lakini zinanifanya nitoe machozi nikisikia historia yenu..

  • @mercyetago4020
    @mercyetago40202 ай бұрын

    Wow. Sikujua ina historian Kali hivi

  • @salarose5980
    @salarose59807 ай бұрын

    Furahishwa sana na histotia hio mungu amewapa maono mpaka sasa hizo nyimbo zinapendwa sana

  • @user-sv6js8xt5w
    @user-sv6js8xt5w7 ай бұрын

    Mungu awabariki sana viumbe vyote mimi niliwasikiliza 2020 lakini ni za kubariki mimi nimkenya jameni natamani nimuone picha dada aliyesolo ayubu

  • @alembeasukulu9849
    @alembeasukulu984910 ай бұрын

    Munitumiye nambari yenu ya simu

  • @marthakimia4075
    @marthakimia407510 ай бұрын

    Where is D.O.Z?

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Жыл бұрын

    Obligada Pricila

  • @user-xe8sy9de6v
    @user-xe8sy9de6v Жыл бұрын

    Amém 🙏🏾🙌🏽🙌🏽🫶🏼

  • @silvesterkiokomuyaule8659
    @silvesterkiokomuyaule8659 Жыл бұрын

    Katika viumbe muliimba mwaka yupi?

  • @onedibonufeli1538
    @onedibonufeli1538 Жыл бұрын

    Yaani wale wangali hai tunawaombeni tafadhali tuimbieni wimbo,japo mmoja tu kwenye mtindo ule ule, tunayo kiu ya baraka za enzi zenu.

  • @onedibonufeli1538
    @onedibonufeli1538 Жыл бұрын

    Mungu azidi kuwabariki ndugu zetu. Nilianza kuwafuatilia nikiwa mtoto tangu1993,walipokuwa wakirejea waliokuwa nanyi, nawaombeeni mwisho mzuri ili mrithi ufalme wa mbinguni. Ila ningependa kuomba kama ikiwezekana,mtungeni wimbo kwa sasa utolewe na utufikie tuonje baraka zile za kipindi hicho.

  • @kennethwafula1060
    @kennethwafula1060 Жыл бұрын

    Nakumbuka Kwaya hiyo ya Barabara 13...nanyi mkicheza guitar kwa ustadi. Naomba mtoe wimbo mmoja mkiwakutanisha waimbaji wa kipindi hicho

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @fredgrapher9838
    @fredgrapher9838 Жыл бұрын

    Waooh…niliwahi kusikia taarifa za uongo kwamba wengi walikufa katika ajali ya MV Bukoba…nimefurahi kusikia kwamba bado wanachapa injili..Mungu awatunze

  • @godfreymuasya2869
    @godfreymuasya2869 Жыл бұрын

    Maono yaliyo Kwa hajili ya Mungu kutukuka, yeye yeye Mungu uyapokea ili apate kuyafanyia kazi Kwa njia ya kuyapalilia ili yadhihirika kiuasilia, Mtazamo wako tu niwa aina ya muona maono kirohoni. Hebu Munguu akutangulie na akuongoze ufike Katika Jina la Yesu

  • @dadatumaini7423
    @dadatumaini7423 Жыл бұрын

    Nakumix sana dada 😭😭😭😭

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 Жыл бұрын

    Mungu akutetee jmn da!

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 Жыл бұрын

    Mungu awasaidie sana nijini linakula watoto

  • @johnwanjala4311
    @johnwanjala4311 Жыл бұрын

    Mungu awabariki sana nimesikia hizo nyimbo kutoka mwaka 1985 tukipata radio mwaka huo

  • @isaacklaurian769
    @isaacklaurian769 Жыл бұрын

    R i p kaka Alfred 😢dah

  • @sesiliasalleko2013
    @sesiliasalleko2013 Жыл бұрын

    R.I.P bro

  • @gracetriza6441
    @gracetriza64412 жыл бұрын

    Amen Amen my prophet

  • @murhabazigift6769
    @murhabazigift67692 жыл бұрын

    Mungu awabariki nami nigelipenda siku moja nifi hapo,mimi ni mu congo hizo nyimbo zina baraka naupoko kweli

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson8822 жыл бұрын

    Poleni sana ,Mungu atafanya kwenu watumishi wa Mungu endeleeni kumtumikia

  • @magaretkamau738
    @magaretkamau7382 жыл бұрын

    Huu wimbo umeniinua na kunibariki sana. Mungu akubariki sana.

  • @delvinadamford9843
    @delvinadamford98432 жыл бұрын

    Imani ya baba yetu ibrahimu iwe ndani yetu sote

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila16022 жыл бұрын

    Poleni sana wajina nimesikiliza ushuhuda huu hakika Mungu ana watu wake mmevipiga vita vzr vya Imani mwendo mmeukaza Imani mmeilinda hakika Mungu hatawaacha atawabariki watoto wengi na mtafurahi kbs jipeni moyo mkuu

  • @glorytwanga1611
    @glorytwanga16112 жыл бұрын

    Pole sana kaka MUNGU ATAKUBARIKI

  • @lizabethboniface2833
    @lizabethboniface28332 жыл бұрын

    Mlinoga sana wapendwa

  • @octavinamgulunde5183
    @octavinamgulunde51832 жыл бұрын

    poleni sana

  • @georgesfortune7646
    @georgesfortune76462 жыл бұрын

    Amen.thank.you

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62532 жыл бұрын

    Pole sana baba Patrick ulioa kahaba ndo ulilikosea