HISTORIA: Uamsho wa 'AZUSA 1906' USA ndio chanzo Upentekoste Tanganyika 1932 Tazengwa @Pastor_Six

Akiwa jijini Dodoma kwa huduma October 17-21 2018 Pastor wetu Sixberth azungumzia kwa kifupi Historia ya Uamsho wa 'AZUSA' ulioleta Upentekoste hapa kwetu Tanganyika mwaka 1932 pale wilayani Nzega katika mkoa wa Tabora eneo linaloitwa Tazengwa

Пікірлер: 1

  • @godfreycharles7539
    @godfreycharles75392 жыл бұрын

    Napenda Sana hiyo

Келесі