PONDA ISSA PONDA,,,KUPIGANIA HAKI ZA WAISLAMU (B)

/ akasha.daawah

Пікірлер: 132

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын

    Ponda mimi nakukubali jpo ni mkristo lakini nakuomba usijumlishe wakristo wote mhukumu yule mhusika mwenyewe binafsi

  • @yussfobacarbacar4535
    @yussfobacarbacar45354 жыл бұрын

    Wallah nashukuru kuwa muisilamu pamoja na waisilamu wenzangu wallah nafurih sana

  • @user-tr5wb8pt2y
    @user-tr5wb8pt2y4 ай бұрын

    ALLAH Guide and protect MUSLIMS ALL OVER THE WORLD 🌍🌎 THANKS SHEKH ❤❤❤

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg5 жыл бұрын

    Nimefurahi sana kuona ndugu zangu waislamu wamekusanyika pamoja Alhamdulillah, Allah awalipe kheri nyote mulio hudhuria

  • @binbaya923
    @binbaya9234 жыл бұрын

    Allah atawalipa na kuwakomboa kutoka katika mikono ya makafiri. Allah atawalipa🇹🇿🇦🇷 Ramadhani Mubarak

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59293 жыл бұрын

    JazzakaAllah nimefurahia msimamo wako

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid3853 жыл бұрын

    Shekhe ponda Allah akujalie kila la heri uutete uislam Hadi mwisho wa maisha yako inshallah pia Allah amlaze mahali pema peponi shekhe ilunga amiiina

  • @husseinomary4466
    @husseinomary44665 жыл бұрын

    Natamani kukutana na sheikh ponda pepon inshaallah

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Aammin

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Msimamo ulikushinda

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Kumbe ndio maneno yako hayo Mashaa Allah MMungu tunakuombea maghfira na sote YAARABIY

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Bakwata sio kwa Waislam kwa ccm hao Allah awasahilie hao the so called Baraza La Waislam hawana ukweli ndio maana hatupati kitu Magufuli mnafiki khasa hawatupendi kabisa Waislam lakini tunajitia kimbele kimbele tu wenzetu kwa njaaa zao akina Samia Suluhu na wenzako hama a maana mmekaa kama maboya na hayo mamboya pia yana manufaa kuliko nyie mnaokubali kuburuzwa wa Zanzibar nyie mko kimnya Mashekh wetu wako ndani hata kunyanyuwa sauti kwa njaa zenu kina Samia kwa MMungu mtakwenda kuulizwa mbele ya haki tumche MMungu Hamadi Masauni waziri mdogo wako utafute majawabo ya kujibu Waislam wenzetu wanateswa segerea mwaka wa ngapi uchungizi gana mbwa wakubwa nyie mbwa pia wanaafadhali kuliko nyie kwa vitendo vyenu mpaka tunakufananisheni na wanyama bila kutaka kwa kumuogopa mbwa mwenzenu Magufuli

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Pepo haipatikani kwa kupigania katiba ya kidunia na tume huru ambavyo yeye ni vitu anavyovipigania,,,,,,kwahiyo utaona we mwenyewe nafasi yake huyo unayemtaka kwa Mungu!!

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka69715 жыл бұрын

    Subhaana llah wabihamdu

  • @muddyally799
    @muddyally7993 жыл бұрын

    Mungu atakulinda inshaalah na atakuhifadhi sheikh Ponda.

  • @mwalimkaidi2151
    @mwalimkaidi21513 жыл бұрын

    Sheikh ponda Allah akuhifadhi

  • @sadih5333
    @sadih53335 жыл бұрын

    Hii ni hutba ya kukumgukwa, mash Allah

  • @munaseif9769
    @munaseif97696 жыл бұрын

    ponda utayakuta matunda yako kwa allah unaenda na kovo siku ya kiama allah akisema tuonesheni mambo mulio yafanya katika uwislam mtume anatoka meno mawili ya mbele na maswahaba viongo awana na wew unatoka na kovu nilipgwa kwa ajili ya uwislamu pole sana maumivu ya leo ndio laha ya kesho inshaalla

  • @tatukinyogoli9001
    @tatukinyogoli90016 жыл бұрын

    Allah akupe nguvu inshaAllah

  • @loolaa1783
    @loolaa17834 жыл бұрын

    Uislamu rahaa saaana unaeza jikuta unapona hata mawazo ukikaa kusikiliza maneno ya mungu

  • @kobelomatunda9849
    @kobelomatunda98496 жыл бұрын

    shekhe ponda Allah akupe uhai mrefu

  • @bintsalimalbimany9373

    @bintsalimalbimany9373

    6 жыл бұрын

    Kobelo Matunda Ammin yarab umri wa sah na afia

  • @omarikessy2339
    @omarikessy23398 жыл бұрын

    Allah Akbar,atimaye sheikh ponda yu huru

  • @nasmakhamisgeneral964

    @nasmakhamisgeneral964

    7 жыл бұрын

    Omari Kessy naomba Yusuf mm nife shahid halinikiwa nautetea din ya kisilam insha Allah

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero73245 жыл бұрын

    Poleni sana Maustadh na waislam wote Tanzania Subhanallah ,wallah imeniuma sana

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Ahsant sana dear hiyo ndo hali halic ya tz. Na dunia nzima kwa waislaamu. Tuna dhulumiwa mno.

  • @ashajuma9659
    @ashajuma96596 жыл бұрын

    nakupenda kwa ajili ya Allah shekh Ponda mpaka basi

  • @yusufbayuuyusufbayuu7267

    @yusufbayuuyusufbayuu7267

    4 жыл бұрын

    ASHA JUMA ok

  • @footballrus8073
    @footballrus80735 жыл бұрын

    ponda mpaka lini mtaonewa simameni muwe kitu kimoja muandamane mudai haki yenu mnaogopa nini msiwe wanfiki kwa mola wetu tumlani shetani tusimame kwa ajili ya mola wetu musijidanganye maisha ya dunia si lolote hochote ni ya kupita tu muislamu wakweli hawezi kuipenda dunia hata dakika moja huangaliya ahera yake kwa kutenda mema na hawi mnafiki

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90142 жыл бұрын

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @joharihuseni2834
    @joharihuseni28346 жыл бұрын

    asalam ghaleykum waraha matullahi wabarakatu shekhe ponda allah akupe umri mrefu na akuzindishie tawfiq allah atakuongoza fiy dunia wali akhera in shaa allah laiti waislam tungekuwa na moyo km shekhe ponda nazani kwa uwezo wa allah wallahi tungepata haki zetu uislam unaporomoka kwa sababu hakuna ushirikiano shekhe ponda wallahi allah atakulipa ujira wako in shaa allah.

  • @idrisamohammedi2375

    @idrisamohammedi2375

    4 жыл бұрын

    Nshallah Allah akufanyie wepesi shkh Wang

  • @kaimuulongo953
    @kaimuulongo9533 жыл бұрын

    Shee ponda upo sahh

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha13444 жыл бұрын

    Naam kabisa huo ndio ukweli

  • @hajimjakajecha9274
    @hajimjakajecha92745 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @rahmaabrahaman1849
    @rahmaabrahaman18497 жыл бұрын

    subhanaallah

  • @user-ly4eo8qx4m
    @user-ly4eo8qx4m6 жыл бұрын

    allwahu akbaru

  • @doctormbaruku8081
    @doctormbaruku80815 жыл бұрын

    Subhana nllah

  • @kallahassan4896
    @kallahassan48966 жыл бұрын

    msikatetamaa waislam munguatawalipa

  • @abuukinje6241
    @abuukinje62415 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @azizahasani4614
    @azizahasani46146 жыл бұрын

    ALLAH AQBAR

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama60995 жыл бұрын

    Yani inauma sana

  • @user-nt5cw9mz9t
    @user-nt5cw9mz9t7 жыл бұрын

    ASALAM ALYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH NDUNGU ZANGU KTK WAISLAMU TUSHIKAMANE NA TUPENDANE KWAAJILI YA ALLAH ALLAH AWALINDE MESHEKH WETU NA AWALINDE WAUMINI WOTE WA KIISLAMU

  • @mwafrikabarz4507

    @mwafrikabarz4507

    7 жыл бұрын

    waleiykum salaam, warahamatullah wabaraatu, NDG waislam, nawahusiene ninyi pamoja,nakuihusia nafsi yangu ktk jambo la her la kumcha mwenyezi mungu S.A.W, TIzama somalia, ile ni jihad, kwanini sisi tuendelee kunyanyaswa na makafir, tuamkeni INATUITA JIHAD, bora tufe tukiwa MASHAHEEED kama mashekh wetu, Abou rodo,gologosi,makaburi, samir ,ote hao toka mombasa,.

  • @basharahamtzhalisi6871

    @basharahamtzhalisi6871

    5 жыл бұрын

    Aaaamin

  • @khalfanhamisi4218

    @khalfanhamisi4218

    5 жыл бұрын

    aslmalkm ndugu waislam? kweli kaka tena kwa imani safi kabsa inshaallah Allah hatulinde na hawapatie nguvu Mansheikh wetu !!!......

  • @hassandeuj2517
    @hassandeuj25175 жыл бұрын

    Ww ndie kiongozi wetu tunakuskiliza ww tu kwa kuongozwa na qur-an usimuogope binadam mwenzio tuongoze kwa mujibu wa maelekezo ya qur-an tumekata tamaa hasa vijana tumebaki kuvuta bangi na unga tu ktk hii nchi hakuna kinachofanyika cha faida labda ubaguzi kuonekana wngine wana haki na wengine ni wakuja laa-ilaha-illah-llah muhammada rrasulu llah kufa ni lazma tusiogope waislam muhim ni kufika kwa Allah akiwa ameturidhia

  • @situmaisaidi7448
    @situmaisaidi74484 жыл бұрын

    Vizuri sana

  • @birdmanhussein2182
    @birdmanhussein21826 жыл бұрын

    Allah akulipe kwamu simamo wako

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын

    Tungekuwa na mashekhe Kama Hawa ndani ya bakwata waislam tungekua mbali Sana.

  • @rajabkisebengo9406

    @rajabkisebengo9406

    3 жыл бұрын

    Ingekua safi sana ndg yangu ila kitu ambacho hakiwezekani kaka maana iyo bakwata imewekwa na watu binafsi sio waislam wenyewe

  • @bennymochiwa4800

    @bennymochiwa4800

    3 жыл бұрын

    bakwata ni ccm

  • @naftalydeogratius3342
    @naftalydeogratius33426 жыл бұрын

    sawaaaa

  • @salhaayoubalmas7127
    @salhaayoubalmas71276 жыл бұрын

    Allaah Akbaar

  • @kulwamwakagali24

    @kulwamwakagali24

    5 жыл бұрын

    naomba nitafute

  • @isakaabuu8714

    @isakaabuu8714

    5 жыл бұрын

    Salha Ayoub Almas k

  • @sirajnyaranga6503
    @sirajnyaranga65034 жыл бұрын

    Ajaab

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi56675 жыл бұрын

    Mungu mwenye kulipa waja ni mmojatu atamlipa kila binadamu alitendalo

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Shekhe ponda kweli unatuamsha waislamu. Mengi hatuyajui baba. الله akulinde shekhe.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf4 жыл бұрын

    Taqbiri Allah Akbar.

  • @khamissalum9285
    @khamissalum92854 жыл бұрын

    Muko sawa tatzo Lipumba hafaii

  • @samsamyoo3689
    @samsamyoo36897 жыл бұрын

    ameeeeeeeeen Muslim united

  • @kaimuulongo953
    @kaimuulongo9533 жыл бұрын

    Nalo neno apo umesema kwer kuw bakwat imeundwa na selikali kwasbb ingekuw haijaundwa na selikal bac tusingepangiwa uwongozi

  • @ARFIddy
    @ARFIddy7 жыл бұрын

    inshaa. llah

  • @omarmdehelwa5782

    @omarmdehelwa5782

    7 жыл бұрын

    Mambo vip

  • @ismailmjesh6550

    @ismailmjesh6550

    6 жыл бұрын

    A.R.F. Iddy we mtt upooo

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33323 жыл бұрын

    Duuh sheekh ponda

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 Жыл бұрын

    Tupo pamoja k

  • @danmunesh6233
    @danmunesh62336 жыл бұрын

    nakupeda shekh

  • @khamisshaaban4599
    @khamisshaaban45993 жыл бұрын

    kwa bakwata lazima wachemshe mana wanaogopa kukosa tonge

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali245 жыл бұрын

    Uwepo wa Lipumba ndo Kinyaa kilipoanzia.

  • @salumrashid4127
    @salumrashid41275 жыл бұрын

    Alhamdul llah

  • @shahanganje4159

    @shahanganje4159

    4 жыл бұрын

    Mashallah

  • @jacksondaud4957
    @jacksondaud49573 жыл бұрын

    Sema kweli uwe huru

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana56014 жыл бұрын

    Watatutesa ila Allah ameshaaidi tutafulahi InshaAllah peponi

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85627 жыл бұрын

    Daa

  • @mwadinimwadini4068
    @mwadinimwadini40683 жыл бұрын

    Hili Lipumbavuu Hajui Hata Akisemacho. Astaghafirullah Na Wewe Lipumbavuu Urudi Kwa Allah Usiwe Mnafiki Wa Matendo Yako Habbithiy Wee

  • @mshamsan4338

    @mshamsan4338

    3 жыл бұрын

    Yan wewe ndio kenge mavi wewe kwahyo wewe unafuraha cio kwa kilichotokea mkundu wewe mavi

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo71633 жыл бұрын

    huye ndiye shehe na wale waliyokuwepo jela na ndiyo maana wanapata tabu kila kukicha hawana raha ya maisha yao sababu wanaisimamiya haki siyo bakwata duuuu

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha13444 жыл бұрын

    Maskini Prof Lipumba ungekuwa hujakubali kutumia kivuruga CUF tizama ulivyokuwa mkweli unavyogaa jitizame ulivyo sasa khasara kuwa umekuwa Propesa

  • @birdmanhussein2182
    @birdmanhussein21826 жыл бұрын

    Naku penda sana ponda Allah azidikukulipa

  • @hassanmohdallyally9552
    @hassanmohdallyally95527 жыл бұрын

    yaan mmemletaa lipumbaa mmeharibuu kabisaa unafiki hautakiwi katika uislam cuf inafitinika kwasababu yake huyoo mungu atuongozee na amuongozee kiongozi

  • @kfastak

    @kfastak

    7 жыл бұрын

    Hassan Mohd Ally Ally hyo ilikuwa kabla ya hayo unayo ya zungumza

  • @fafi9092
    @fafi90928 жыл бұрын

    Masha allah

  • @mikidadibonifacsiwa4666
    @mikidadibonifacsiwa46665 жыл бұрын

    Haiwzekani kupata haki za waislamu katka democracy ambayo ni dini ya kikafiri eti urais au ubunge huo ni ukafiri jamani tumwogopeni allah turudi kwenye dini yake

  • @ssp2110
    @ssp21107 жыл бұрын

    good luck

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar12714 жыл бұрын

    mwamsikiliza mnafiq huyu lipumba hafai ata kuingia msikitini mshenzi huyu

  • @babarahmababarahma60

    @babarahmababarahma60

    3 жыл бұрын

    Lipumba sio mnafiki Lipumba ni mwanasiasa

  • @saadsalum3253
    @saadsalum32535 жыл бұрын

    Inalilah waina ilahim Rajghun Allah anawaona wanaofanya hivyo

  • @hawarajabuinalilahwainaila1895

    @hawarajabuinalilahwainaila1895

    4 жыл бұрын

    Allah akulipe kila lakher

  • @khamissalum9285
    @khamissalum92854 жыл бұрын

    Kumbe uyu pumba uyu nayeye ccm

  • @zenahamoodzaya6858
    @zenahamoodzaya68587 жыл бұрын

    Mmh inasikitisha sana wallahi,,, Allah Kareem

  • @hamidmussa838

    @hamidmussa838

    5 жыл бұрын

    Mlikua Mnamtaka Maalim seif sharif.

  • @abubakarially6706
    @abubakarially67067 жыл бұрын

    msimamo ndokila kitu nidhamu yauoga haitakiwi

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Waislaamu viongozi kama hawa 2waombee sana duaa. Ndo kioo chetu, nahawa wanao piga vita wiislamu wanaanza kwao. Ya الله tuhifadhie viongozi hawa na uwalinde na kila shari. Inshaa allah kuna cku dola ya kiislamu itasimama dunianzima.

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34293 жыл бұрын

    Bingwa wa unafiki uChumi aujUa wapi mBwa huyo

  • @khamisshaaban4599
    @khamisshaaban45993 жыл бұрын

    bakwata hawawezi kutetea haki za waislam

  • @vitalismmasy2308
    @vitalismmasy23083 жыл бұрын

    Hii ni moja ya hotuba iliojaa uchochezi sana.

  • @bennymochiwa4800

    @bennymochiwa4800

    3 жыл бұрын

    usitulete u ziziemu wako humu peleka lumumba kwa mazombi wenzako

  • @watakaniitaje1215

    @watakaniitaje1215

    3 жыл бұрын

    Kwa hiyo wasisimamie haki maana aliloliongea ponda yote ya kweli na yanatokea na wanafungwa kila uchwao

  • @mryplus
    @mryplus7 жыл бұрын

    kuna jamaa nimemuona 53:54 ana feelings sana,kama anaaka kulia flani hivi...

  • @user-xc8wn3fb4z

    @user-xc8wn3fb4z

    6 жыл бұрын

    Allah Aqbar mungu akupe maisha marefu sheik ponda

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga15662 жыл бұрын

    HAKI HUINUA TAIFA

  • @ziadaomeri6058
    @ziadaomeri60583 жыл бұрын

    Nani ww ndio unakil ya kuongoza ichi

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    Lipumba hpo aliongea km mtu

  • @mryplus
    @mryplus7 жыл бұрын

    adui yetu mkubwa ni KNOWLEDGE,Mungu atusaidie tuyaelewe haya maisha tuweke mambo ya udini na ushabiki pembeni...

  • @allyambawala4367

    @allyambawala4367

    5 жыл бұрын

    BARAKA SANGA hiyo knowledge yakuweka dini pembeni ninolejigani hiyo Kama sioupuuzi naushenzi?

  • @basharahamtzhalisi6871

    @basharahamtzhalisi6871

    5 жыл бұрын

    BARAKA SANGA, wewe una knowledge gani hiyo yenye uwezo wa kuiweka dini pembeni. Watu wnapoitafuta haki kwa Ikhlaswi huwa wanaonekana wapuuzi kwa walioificha haki hiyo. Lazima tuitafute haki haijalishi tutaonekanaje mbele ya wanaojifanya wasomi na huku wnakiuka haki za wengine kwa kukumbatia ukafiri na dhuluma.

  • @azizawadh5973
    @azizawadh59733 жыл бұрын

    Anapingwa na walevi

  • @frankanold9803
    @frankanold98035 жыл бұрын

    Maalim ponda mzee wa kuandamana

  • @birdmanhussein2182
    @birdmanhussein21826 жыл бұрын

    Roho INA uma

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama60995 жыл бұрын

    Ndio matunda ya kukaa chini ya kanisa huko

  • @mikidadibonifacsiwa4666

    @mikidadibonifacsiwa4666

    5 жыл бұрын

    BAKARI KALAMA 👍

  • @janiaoma7093
    @janiaoma70932 жыл бұрын

    Huyo ponda kazi yake ni fujatu kwao Burundi kakimbia Kuja tanzania tumemstiri tumempa raiya Sasa fujo anayo faya kushida mtanzani a lakini makosa wanavyo yafaya serekali watanzania hawanufaki na raslimali ya nchi kila siku namba inaogezeka Kwa jili ya majirani

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino34615 жыл бұрын

    Mlikuwa mnauwawa kwasababu ya vurugu zenu

  • @fafi9092
    @fafi90928 жыл бұрын

    Roho inauma sana

  • @mikidadibonifacsiwa4666

    @mikidadibonifacsiwa4666

    5 жыл бұрын

    Fafi 90 Kwanini?

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf59385 жыл бұрын

    waislamu mnaogopa nn , jela zimejazwa waislamu , kikwete amejaza hizo jela kabla ya kuondoka , wakristo sasa ndo magaidi duniani , lipumba ni kibaraka wa magufuli

  • @mikidadibonifacsiwa4666

    @mikidadibonifacsiwa4666

    5 жыл бұрын

    Samater Yussuf 👍

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar12715 жыл бұрын

    na huyu mnafiki naye yupo katika kundi la waislam?Allah amuangamize mshenzi huyu lipumba

  • @mikidadibonifacsiwa4666

    @mikidadibonifacsiwa4666

    5 жыл бұрын

    suleiman bakar no ila mungu amuongoze kakta njia ilionyooka

  • @faustinmushi6451
    @faustinmushi64516 жыл бұрын

    Huyu asema ripumba ni mtaalamu wa uchumi. Inasikitisha sana.

  • @yahyadenny4102

    @yahyadenny4102

    5 жыл бұрын

    Aww asiyejua mambo usimwambie japo.

  • @yahyadenny4102

    @yahyadenny4102

    5 жыл бұрын

    hivi unaweza kuchanganya nyama halal ya ng'ombe na mchezo kidogo wa nguruwe?(CUF&CHADEMA).mchezo= mchuzi.

  • @rashidikufinyu4050
    @rashidikufinyu40507 жыл бұрын

    inshalla

  • @kulwaomary9235

    @kulwaomary9235

    5 жыл бұрын

    Dunia imebadilika ukiwa msema kweli unakuwa adui wa watu tumuombe Mungu sana waislamu Mungu adhihirishe ukweli atuondolee mabavu ya makaisari katika Dini yetu ya Kiislamu na Duniani kote tusitumiwe na wanasiasa tukaharibu Uislamu wetu

  • @jacquelinemabula2519
    @jacquelinemabula25197 жыл бұрын

    yu huru duniani si mbinguni

  • @ericalexandre2166

    @ericalexandre2166

    4 жыл бұрын

    Ndugu kuingia peponi ao kutokuingia inatokana na matendo ya mtu

  • @kidukomoshi9657
    @kidukomoshi96574 жыл бұрын

    Kafiri mzazi wako...huwezi kumuita mtoto Kafir

  • @azizahasani4614
    @azizahasani46146 жыл бұрын

    ALLAH AQBAR

  • @suleimansalimali7251
    @suleimansalimali72515 жыл бұрын

    Lipumba kiukweli umetuudhi sana sote waislam unasisitiza msimamo kumbe ww huna hata chembe ya msimamo unajua unafiki maana yake

  • @mikidadibonifacsiwa4666

    @mikidadibonifacsiwa4666

    5 жыл бұрын

    Suleiman Salim Ali 👍

Келесі