PHILA NDWANDWE: Binti Aliyechagua Kufa Kuliko Kumtumikia KABURU Afrika Kusini!
PHILA NDWANDWE: Binti Aliyechagua Kufa Kuliko Kumtumikia KABURU Afrika Kusini!
Phila Ndwandwe alijitoa kupigana na makaburu wakamtoa roho! Kwanza walimkamata halafu wakamvua nguo zote, wakamtembeza juu ya makaa ya moto, wakamkata matiti, wakamtoboa macho kama Samson.
Phila, pamoja na umri mdogo aliokuwa nao, hakukubali kuona mwenyeji akiishi kwa kuzengea maisha nyumbani kwake huku wageni wakila na kusaza.
#PHILANDWANDWE
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDy www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here:
goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 233
Kama una kubali sauti ya uyu jama,ya utangazaji like apa.
@evamwakaleja6964
5 жыл бұрын
Sauti yako baba umebarikiwa
@shadrackkanyingi3982
5 жыл бұрын
tena nizuri kupidukia.mimi ni kanyingi kutoka nairobi kenya
Duuu We Brother Unasimulia kihisia ni Kama Nashuhudia, Keep it up
Brother una sauti nzuri ya utangazaji na unajua jinsi ya kusimulia, unapaswa kua katika kituo cha Radio
@alexis.7427
5 жыл бұрын
Yuko poa sana
@canatz4583
5 жыл бұрын
yec
@mdbclaasctz1023
5 жыл бұрын
Kabisa
@jamilasaid1764
4 жыл бұрын
Kabisa
Brother your the Great....your Voice so Amazing.
Kaka omba kipindi TBC haya mavitu ni somo tosha la history uko vizuri sana
@hamisimihambo24
5 жыл бұрын
Kabsa aombe
@hermanstephenntabahungu5310
5 жыл бұрын
Hawatakubali mana watavitafsiri kama uchochezi na ubaguzi hivyo kupoteza baadhi ya investors
@hermanstephenntabahungu5310
5 жыл бұрын
Historia anazotoa mainvestors hawazipendi.
Huyu mtangazanji ako juu sana....big support from Nairobi/Kenya
Kk please unge fanya utafiti ujua historia ya wazigua walifikaji Somalia/Marekani 👏👏👏👏
@shabanimhina7078
5 жыл бұрын
Wazigua
Msimulizi upo vzuri sana kaka.....
@sumaiyyasulemani8124
5 жыл бұрын
Hayo yakubeba kuni kichawani mtoto mgongoni mimba kiplstik chamaji mkononi mulikuwa mwatuonea wanaume jamani
I really love how you work to give the information... Congratulations...
nimekubari Sana wewe siyo kiogozi ira sitori zako zinapigania ukobozi good Sana
Stori nzuri salamu kutoka 🇰🇪
Acha nikupe ongera zako upo vzr kaka
Hisitoria zako huwa zinauma san ewe mwenyez MUNGU zidi kurisimamia vyema taifa retu ewe mwenyez MUNGU mkuu
wah historia poa kazi safi sana
Uovu ulio Fanywa nawazungu unatisha sana naupo uovu mwingi sana ambao hausemwi unafunikwa funikwa2
R.I.P fighter...!
Safi...nangoja Yahya jammeh Abdel Nasser
Nakubali sauti yako sana, inanivutia kufuatilia visa tofauti kutoka Global Online Tv 💪💪
Simulizi zako bro, noma sana. Mungu akubariki aisei.
Me nakuelewa sana bro Anania,kweli unafanya unacho kiweza KEEP IT UP BIG
@petersamson3725
5 жыл бұрын
starton engineering
@boniphace.mark.2033
5 жыл бұрын
You're amazing brother, I love my Africa full of History of the heroes who fought for us to be free from the nails of these white butterflies. It will be better if you do something like a collection of these histories of the African continent Heroes. Much thanks brother. God bless you indeed.
jama yani nakukubali sana mzeeeeeee
Kazi poa kak...
Uko vizuri sana
Kila Mara upo vizuri
OK vizuri sana kaka god bless you
uko vizur Sana
Wanaopikia kuniii wananipata,nimekupata fresh boss
Bro...uko talented big up!!
Nimejifunza mengi sana mungu akubariki sana ntakuombea sana ili mapenzi ya mungu yatimie
BILA shaka Wewe utakua mrithi wa Joseph masome mana kiukweli uko vizuri
Tafta Kipindi kwenye television bro.. Lov u sana
Tupe historia ya JOMO KENYATTA
Wazungu nimashetati lakini sijuwi kwa nini sikuizi mfrica akimuona mzungu anakuwa kama anamuona mungu bala hii plz funguweni macho nduguzangu usiwa trust hawawatu never
@monicahovda5890
5 жыл бұрын
Sio binadam wote wazuri. Na sio wote wabaya. Wazuri na wabaya wote wapo humo humo
@jp1780
5 жыл бұрын
Monica Hovda acha uboya bro! Kuja ulaya ujionee mwenyewe gisi wanatutesa sisi wa africa wakiji Africa ndo wanakuwaga wanajifanya kama wamaika wanafki hao mashetani
@mohammedmkomi9087
5 жыл бұрын
Ushasema Wazungu ni mashetani sasa shetani anakwepeka vip?
@zakyahya4645
5 жыл бұрын
@@mohammedmkomi9087 apo xx
@salmaalimusa547
4 жыл бұрын
@@jp1780 mabaguzi hatari
Mmmh kaka Denis imepita lakini kama leo maneno yako yanasisimua. Ubarikiwe sana
@mpagazedenis8395
5 жыл бұрын
Amina
Ongeza story zaid za kutujenga waafrica
Asante Sana Kwa hii historia tupe ya Afrika Kenya
msimuliaji namuelewa sana huyu jamaa ananivutia uko vizur jems
Dah nakukubli sana shida unachelewa sana brother
unatafsili kwa hisia poa sana daaa maisha malefu nakutakia
Nani kaikubali sauti iliyotumika pale Mandela alipoanguka chini puuu👏👏👏👏👏 PIGUP MR.ANANIAS EDGA.👍
Good story teller ever..#kp it up bro
Ha ha ha ha eti wanaopikia kuni wananipata, hata mimi nimekupata maana nimepitia hayo, by the way wewe stori zako nazipenda sana maana unasimulia kwa hisia zote pia sauti ya kiume Mashallah nakupenda japo sikujui.Mungu akufikishe unapopataka Ameen. R.I.p Phila mwanamke jasiri muongoza njia, Mungu akulaze mahali pema peponi uliipigania nchi yako.
@mugadimon3563
5 жыл бұрын
Hawa ndio wanawake mahasla sio
Nchi yetu haina Uhuru huo bro. w. henderea kuruxha vipindi vyako kweny chanell yako hii huxijaribu kutangaza kweny chombo chochote cha habari
uko juu sana unatafsili poa
ananiaz na Denis mpagaze nawakubali sana
sio poa mzeee
Doh Leo tunaubeza Uhuru Wa mataifa yetu
dahh!! bro upo fresh sana aisee nafuatilia sana stori zako
hawa watu wazungu ni wanyama tena mashetan sana kazizao kuvamia tuu OVYO
Duh we noma
bro top up
We kaka Una sauti ya kumtoa nyoka pangoni jamanii jamaniii🙌😊😊
@njilejrmchenya5209
5 жыл бұрын
Hahahahahaha
dah jamaa unavyoelezea yan kama vile naona huo mtiti ulivyokua
Kaka upo vizuri
Aiseei mwandishi ana kiswahili sanifu. Tunakaribia kuandika historia yetu,tia bidii kaka
Nakuelewa sana mkubwa
Good
Sasa ww mtangazaji jibu langu utanijibu lini mbon unanikaushia afu nakufatia kinoma
Hawa ni katika watu watakaosimama katika viunga vya peponi ya ummul qiyama. Allah ampe pepo yake. Amin!
Brother unajua hadi unakera..big up
io saut daa... we unajua bro...
Love you brother
Me ni mfualiaji wa hizi story but zinachukua mda tunasubiri sana
Kaka upo poa.👌🏽👍🏼🙌🏽 Shukran
@hopejonson1060
5 жыл бұрын
Uko vizuri kaka
nakukubari kaka tupo yariyo jificha
Ilike your channel.Iam try to learn from you
Nakukubali sna kaka unajuakusimulia 2nakuelewa
Sauti yako inaendana na makala kama hizi. Uko vizuri sana
@veilakimei8677
5 жыл бұрын
Hongera sn kaka Mungu akupe haja ya moyo wako,,, unatufunza Sana my bro
uko vizuri sana kaka, napenda sauti yako
Daaaah inaumaaa
mbona ile ya maraisi wa marekani waliouawa madarakani hatujaiona
sauti zuri
Uko Juu zaidi wako wapi watu kama hawa Dunia Hii Lumumba Nkuruma Phila na wengineo au unyanyasaji umekwishaa???
Nimependa tusimulie na vingine
Mzungu sie aisee
I like it..... Big up
@enosjames4789
4 жыл бұрын
Good
Brother unajua kusimulia big up
Wat a nice name anananias edika....
Wow 👌
Kaka Mungu akujaalie Uhai Mrefu. Manake nahisi Wazungu wanaweza kukutafuta hata Wewe. Nimesoma Darasa la Saba tuu. Lkn unanifaya nijihisi kama Msomi ninaye elekea Kuboboa Mafalsafa. AHSANTE sn.
@globaltv_online
5 жыл бұрын
Amina
Big up mtangazaji kwa saut nzuri
Big up denis100%%
Brother wewe ni noma sana ongeza
Kaka unajua jinsi ya kuelezea jambo na mtu akaelewa nini unazungumzia hakika afrika tumetoka mabali kweli wachache waumie ili wengine waje kunufaika na AFRIKA kazi nzuri ila fupi kaka
Kweli sauti yako ni poa sana hongera
Ni Ajabu na kwa mwanamke kuwa jasir kiasi hicho Mungu amsamehe dhambi zake
Big up teacher tunakuelewa
Kaka uko vizuri sana inabdi Uombe kipindi TBC, CLOUDS au channel yeyote ile
Una sauti mzur sana bro na una kipaji cha kusimulia story,
Tunainjoy sana asee
Makaburu mbwa tuu ndio maana miye siwapendi hata kidogo shenzi tuu maskini phila
Mm nakukubal sanaaa!
Msimulizi uko vizuri kabisa na mwandaaji wa makala hizi mnajitahidi kutuletea viti vilivyojificha
Ongera sana kaka kwan Tanzania aijawai kufanya mazur au mabaya pindi cha ukoroni??
Uko vzr kaka
Uko vzr
R.I.P.Phila!!!
We noma broo pmj na mpagaze
Story nzuri na mtangzi mwenye sauti ya pekee ama nini arifu umeuwa kinyama nafunga comment from r chuga arusha
Big up bro
@pendomarco7161
5 жыл бұрын
nzuri