PHILA NDWANDWE: Binti Aliyechagua Kufa Kuliko Kumtumikia KABURU Afrika Kusini!

PHILA NDWANDWE: Binti Aliyechagua Kufa Kuliko Kumtumikia KABURU Afrika Kusini!
Phila Ndwandwe alijitoa kupigana na makaburu wakamtoa roho! Kwanza walimkamata halafu wakamvua nguo zote, wakamtembeza juu ya makaa ya moto, wakamkata matiti, wakamtoboa macho kama Samson.
Phila, pamoja na umri mdogo aliokuwa nao, hakukubali kuona mwenyeji akiishi kwa kuzengea maisha nyumbani kwake huku wageni wakila na kusaza.
#PHILANDWANDWE
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDy www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here:
goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 233

  • @ndalushabani2859
    @ndalushabani28595 жыл бұрын

    Kama una kubali sauti ya uyu jama,ya utangazaji like apa.

  • @evamwakaleja6964

    @evamwakaleja6964

    5 жыл бұрын

    Sauti yako baba umebarikiwa

  • @shadrackkanyingi3982

    @shadrackkanyingi3982

    5 жыл бұрын

    tena nizuri kupidukia.mimi ni kanyingi kutoka nairobi kenya

  • @abelbenedicto5392
    @abelbenedicto53925 жыл бұрын

    Duuu We Brother Unasimulia kihisia ni Kama Nashuhudia, Keep it up

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv11675 жыл бұрын

    Brother una sauti nzuri ya utangazaji na unajua jinsi ya kusimulia, unapaswa kua katika kituo cha Radio

  • @alexis.7427

    @alexis.7427

    5 жыл бұрын

    Yuko poa sana

  • @canatz4583

    @canatz4583

    5 жыл бұрын

    yec

  • @mdbclaasctz1023

    @mdbclaasctz1023

    5 жыл бұрын

    Kabisa

  • @jamilasaid1764

    @jamilasaid1764

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire94765 жыл бұрын

    Brother your the Great....your Voice so Amazing.

  • @tintz3157
    @tintz31575 жыл бұрын

    Kaka omba kipindi TBC haya mavitu ni somo tosha la history uko vizuri sana

  • @hamisimihambo24

    @hamisimihambo24

    5 жыл бұрын

    Kabsa aombe

  • @hermanstephenntabahungu5310

    @hermanstephenntabahungu5310

    5 жыл бұрын

    Hawatakubali mana watavitafsiri kama uchochezi na ubaguzi hivyo kupoteza baadhi ya investors

  • @hermanstephenntabahungu5310

    @hermanstephenntabahungu5310

    5 жыл бұрын

    Historia anazotoa mainvestors hawazipendi.

  • @djatm1319
    @djatm13195 жыл бұрын

    Huyu mtangazanji ako juu sana....big support from Nairobi/Kenya

  • @poahmanpoahman5042
    @poahmanpoahman50425 жыл бұрын

    Kk please unge fanya utafiti ujua historia ya wazigua walifikaji Somalia/Marekani 👏👏👏👏

  • @shabanimhina7078

    @shabanimhina7078

    5 жыл бұрын

    Wazigua

  • @sultanvdeo4996
    @sultanvdeo49965 жыл бұрын

    Msimulizi upo vzuri sana kaka.....

  • @sumaiyyasulemani8124

    @sumaiyyasulemani8124

    5 жыл бұрын

    Hayo yakubeba kuni kichawani mtoto mgongoni mimba kiplstik chamaji mkononi mulikuwa mwatuonea wanaume jamani

  • @odarimwanawaodari4609
    @odarimwanawaodari46095 жыл бұрын

    I really love how you work to give the information... Congratulations...

  • @gasparmpangaa8329
    @gasparmpangaa83295 жыл бұрын

    nimekubari Sana wewe siyo kiogozi ira sitori zako zinapigania ukobozi good Sana

  • @rudboy8459
    @rudboy84595 жыл бұрын

    Stori nzuri salamu kutoka 🇰🇪

  • @jamespetro9954
    @jamespetro99545 жыл бұрын

    Acha nikupe ongera zako upo vzr kaka

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Hisitoria zako huwa zinauma san ewe mwenyez MUNGU zidi kurisimamia vyema taifa retu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau82345 жыл бұрын

    wah historia poa kazi safi sana

  • @jeffchelsea3035
    @jeffchelsea30355 жыл бұрын

    Uovu ulio Fanywa nawazungu unatisha sana naupo uovu mwingi sana ambao hausemwi unafunikwa funikwa2

  • @hansvangela6349
    @hansvangela63495 жыл бұрын

    R.I.P fighter...!

  • @joewambugu2397
    @joewambugu23975 жыл бұрын

    Safi...nangoja Yahya jammeh Abdel Nasser

  • @sadikisalumu7965
    @sadikisalumu79654 жыл бұрын

    Nakubali sauti yako sana, inanivutia kufuatilia visa tofauti kutoka Global Online Tv 💪💪

  • @siryahesabu3710
    @siryahesabu37105 жыл бұрын

    Simulizi zako bro, noma sana. Mungu akubariki aisei.

  • @startonengineerings8924
    @startonengineerings89245 жыл бұрын

    Me nakuelewa sana bro Anania,kweli unafanya unacho kiweza KEEP IT UP BIG

  • @petersamson3725

    @petersamson3725

    5 жыл бұрын

    starton engineering

  • @boniphace.mark.2033

    @boniphace.mark.2033

    5 жыл бұрын

    You're amazing brother, I love my Africa full of History of the heroes who fought for us to be free from the nails of these white butterflies. It will be better if you do something like a collection of these histories of the African continent Heroes. Much thanks brother. God bless you indeed.

  • @Amissimubelel
    @Amissimubelel5 жыл бұрын

    jama yani nakukubali sana mzeeeeeee

  • @stanfordmassawe7888
    @stanfordmassawe78885 жыл бұрын

    Kazi poa kak...

  • @hamadisaidiy598
    @hamadisaidiy5985 жыл бұрын

    Uko vizuri sana

  • @farajagoodluck7557
    @farajagoodluck75575 жыл бұрын

    Kila Mara upo vizuri

  • @elizabethejohn8127
    @elizabethejohn81274 жыл бұрын

    OK vizuri sana kaka god bless you

  • @jofreymsomba4652
    @jofreymsomba46525 жыл бұрын

    uko vizur Sana

  • @DIweni
    @DIweni5 жыл бұрын

    Wanaopikia kuniii wananipata,nimekupata fresh boss

  • @robertkirua1228
    @robertkirua12285 жыл бұрын

    Bro...uko talented big up!!

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65244 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi sana mungu akubariki sana ntakuombea sana ili mapenzi ya mungu yatimie

  • @hussenimlimati9592
    @hussenimlimati95925 жыл бұрын

    BILA shaka Wewe utakua mrithi wa Joseph masome mana kiukweli uko vizuri

  • @francolazaro8646
    @francolazaro86465 жыл бұрын

    Tafta Kipindi kwenye television bro.. Lov u sana

  • @brownmakaveli545
    @brownmakaveli5455 жыл бұрын

    Tupe historia ya JOMO KENYATTA

  • @jp1780
    @jp17805 жыл бұрын

    Wazungu nimashetati lakini sijuwi kwa nini sikuizi mfrica akimuona mzungu anakuwa kama anamuona mungu bala hii plz funguweni macho nduguzangu usiwa trust hawawatu never

  • @monicahovda5890

    @monicahovda5890

    5 жыл бұрын

    Sio binadam wote wazuri. Na sio wote wabaya. Wazuri na wabaya wote wapo humo humo

  • @jp1780

    @jp1780

    5 жыл бұрын

    Monica Hovda acha uboya bro! Kuja ulaya ujionee mwenyewe gisi wanatutesa sisi wa africa wakiji Africa ndo wanakuwaga wanajifanya kama wamaika wanafki hao mashetani

  • @mohammedmkomi9087

    @mohammedmkomi9087

    5 жыл бұрын

    Ushasema Wazungu ni mashetani sasa shetani anakwepeka vip?

  • @zakyahya4645

    @zakyahya4645

    5 жыл бұрын

    @@mohammedmkomi9087 apo xx

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    4 жыл бұрын

    @@jp1780 mabaguzi hatari

  • @romanambelle6356
    @romanambelle63565 жыл бұрын

    Mmmh kaka Denis imepita lakini kama leo maneno yako yanasisimua. Ubarikiwe sana

  • @mpagazedenis8395

    @mpagazedenis8395

    5 жыл бұрын

    Amina

  • @enockyohana6856
    @enockyohana68565 жыл бұрын

    Ongeza story zaid za kutujenga waafrica

  • @penanahome5191
    @penanahome51915 жыл бұрын

    Asante Sana Kwa hii historia tupe ya Afrika Kenya

  • @famysalum2740
    @famysalum27405 жыл бұрын

    msimuliaji namuelewa sana huyu jamaa ananivutia uko vizur jems

  • @meshackmgunda8789
    @meshackmgunda87895 жыл бұрын

    Dah nakukubli sana shida unachelewa sana brother

  • @selemankelvin3279
    @selemankelvin32795 жыл бұрын

    unatafsili kwa hisia poa sana daaa maisha malefu nakutakia

  • @hermanstephenntabahungu5310
    @hermanstephenntabahungu53105 жыл бұрын

    Nani kaikubali sauti iliyotumika pale Mandela alipoanguka chini puuu👏👏👏👏👏 PIGUP MR.ANANIAS EDGA.👍

  • @jonathanmayenga5791
    @jonathanmayenga57915 жыл бұрын

    Good story teller ever..#kp it up bro

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын

    Ha ha ha ha eti wanaopikia kuni wananipata, hata mimi nimekupata maana nimepitia hayo, by the way wewe stori zako nazipenda sana maana unasimulia kwa hisia zote pia sauti ya kiume Mashallah nakupenda japo sikujui.Mungu akufikishe unapopataka Ameen. R.I.p Phila mwanamke jasiri muongoza njia, Mungu akulaze mahali pema peponi uliipigania nchi yako.

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    5 жыл бұрын

    Hawa ndio wanawake mahasla sio

  • @eliaelias8226
    @eliaelias82265 жыл бұрын

    Nchi yetu haina Uhuru huo bro. w. henderea kuruxha vipindi vyako kweny chanell yako hii huxijaribu kutangaza kweny chombo chochote cha habari

  • @selemankelvin3279
    @selemankelvin32795 жыл бұрын

    uko juu sana unatafsili poa

  • @mmbagaamos2334
    @mmbagaamos23345 жыл бұрын

    ananiaz na Denis mpagaze nawakubali sana

  • @uwesulj8468
    @uwesulj84684 жыл бұрын

    sio poa mzeee

  • @brownjumbe9
    @brownjumbe95 жыл бұрын

    Doh Leo tunaubeza Uhuru Wa mataifa yetu

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv37925 жыл бұрын

    dahh!! bro upo fresh sana aisee nafuatilia sana stori zako

  • @user-sq8pq1xj7m
    @user-sq8pq1xj7m2 жыл бұрын

    hawa watu wazungu ni wanyama tena mashetan sana kazizao kuvamia tuu OVYO

  • @petrochengula9480
    @petrochengula94805 жыл бұрын

    Duh we noma

  • @swabryabdulaziz8453
    @swabryabdulaziz84534 жыл бұрын

    bro top up

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor65775 жыл бұрын

    We kaka Una sauti ya kumtoa nyoka pangoni jamanii jamaniii🙌😊😊

  • @njilejrmchenya5209

    @njilejrmchenya5209

    5 жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @justinwakudat6792
    @justinwakudat67925 жыл бұрын

    dah jamaa unavyoelezea yan kama vile naona huo mtiti ulivyokua

  • @sidewapemboga8560
    @sidewapemboga85605 жыл бұрын

    Kaka upo vizuri

  • @charleswasike3800
    @charleswasike38004 жыл бұрын

    Aiseei mwandishi ana kiswahili sanifu. Tunakaribia kuandika historia yetu,tia bidii kaka

  • @bennympatanishi8341
    @bennympatanishi83415 жыл бұрын

    Nakuelewa sana mkubwa

  • @msendowvlter2239
    @msendowvlter22395 жыл бұрын

    Good

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni28475 жыл бұрын

    Sasa ww mtangazaji jibu langu utanijibu lini mbon unanikaushia afu nakufatia kinoma

  • @blackpanther4825
    @blackpanther48255 жыл бұрын

    Hawa ni katika watu watakaosimama katika viunga vya peponi ya ummul qiyama. Allah ampe pepo yake. Amin!

  • @marcocharles448
    @marcocharles4485 жыл бұрын

    Brother unajua hadi unakera..big up

  • @zakariamaria9397
    @zakariamaria93975 жыл бұрын

    io saut daa... we unajua bro...

  • @thegreattx
    @thegreattx5 жыл бұрын

    Love you brother

  • @jamalshaha4512
    @jamalshaha45125 жыл бұрын

    Me ni mfualiaji wa hizi story but zinachukua mda tunasubiri sana

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    Kaka upo poa.👌🏽👍🏼🙌🏽 Shukran

  • @hopejonson1060

    @hopejonson1060

    5 жыл бұрын

    Uko vizuri kaka

  • @alphoncenicholaus6013
    @alphoncenicholaus60135 жыл бұрын

    nakukubari kaka tupo yariyo jificha

  • @mwananzengotv6718
    @mwananzengotv67185 жыл бұрын

    Ilike your channel.Iam try to learn from you

  • @reynoldmbowe5824
    @reynoldmbowe58245 жыл бұрын

    Nakukubali sna kaka unajuakusimulia 2nakuelewa

  • @saidmohamed470
    @saidmohamed4705 жыл бұрын

    Sauti yako inaendana na makala kama hizi. Uko vizuri sana

  • @veilakimei8677

    @veilakimei8677

    5 жыл бұрын

    Hongera sn kaka Mungu akupe haja ya moyo wako,,, unatufunza Sana my bro

  • @denismugendi1034
    @denismugendi10345 жыл бұрын

    uko vizuri sana kaka, napenda sauti yako

  • @maezadam5492
    @maezadam54925 жыл бұрын

    Daaaah inaumaaa

  • @josephgeorge4032
    @josephgeorge40325 жыл бұрын

    mbona ile ya maraisi wa marekani waliouawa madarakani hatujaiona

  • @birgthambida7191
    @birgthambida71915 жыл бұрын

    sauti zuri

  • @simontamba1285
    @simontamba12855 жыл бұрын

    Uko Juu zaidi wako wapi watu kama hawa Dunia Hii Lumumba Nkuruma Phila na wengineo au unyanyasaji umekwishaa???

  • @faidaongala8654
    @faidaongala86545 жыл бұрын

    Nimependa tusimulie na vingine

  • @donaldjuma3128
    @donaldjuma31285 жыл бұрын

    Mzungu sie aisee

  • @AlanaJoseph
    @AlanaJoseph5 жыл бұрын

    I like it..... Big up

  • @enosjames4789

    @enosjames4789

    4 жыл бұрын

    Good

  • @nangwalejuma322
    @nangwalejuma3225 жыл бұрын

    Brother unajua kusimulia big up

  • @mrefumedia8681
    @mrefumedia86815 жыл бұрын

    Wat a nice name anananias edika....

  • @doramwanyika5826
    @doramwanyika58265 жыл бұрын

    Wow 👌

  • @alexanderjustinkonga6447
    @alexanderjustinkonga64475 жыл бұрын

    Kaka Mungu akujaalie Uhai Mrefu. Manake nahisi Wazungu wanaweza kukutafuta hata Wewe. Nimesoma Darasa la Saba tuu. Lkn unanifaya nijihisi kama Msomi ninaye elekea Kuboboa Mafalsafa. AHSANTE sn.

  • @globaltv_online

    @globaltv_online

    5 жыл бұрын

    Amina

  • @marrypatrick3276
    @marrypatrick32765 жыл бұрын

    Big up mtangazaji kwa saut nzuri

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo94965 жыл бұрын

    Big up denis100%%

  • @imaniruben6835
    @imaniruben68355 жыл бұрын

    Brother wewe ni noma sana ongeza

  • @kabidorajab26
    @kabidorajab265 жыл бұрын

    Kaka unajua jinsi ya kuelezea jambo na mtu akaelewa nini unazungumzia hakika afrika tumetoka mabali kweli wachache waumie ili wengine waje kunufaika na AFRIKA kazi nzuri ila fupi kaka

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22345 жыл бұрын

    Kweli sauti yako ni poa sana hongera

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn26915 жыл бұрын

    Ni Ajabu na kwa mwanamke kuwa jasir kiasi hicho Mungu amsamehe dhambi zake

  • @johnkomba4421
    @johnkomba44215 жыл бұрын

    Big up teacher tunakuelewa

  • @masungadutta3823
    @masungadutta38235 жыл бұрын

    Kaka uko vizuri sana inabdi Uombe kipindi TBC, CLOUDS au channel yeyote ile

  • @isihakasabihi1869
    @isihakasabihi18695 жыл бұрын

    Una sauti mzur sana bro na una kipaji cha kusimulia story,

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl5 жыл бұрын

    Tunainjoy sana asee

  • @khadijabalolwa1976
    @khadijabalolwa19765 жыл бұрын

    Makaburu mbwa tuu ndio maana miye siwapendi hata kidogo shenzi tuu maskini phila

  • @zakiakhalid212
    @zakiakhalid2125 жыл бұрын

    Mm nakukubal sanaaa!

  • @tuntumemedia2046
    @tuntumemedia20465 жыл бұрын

    Msimulizi uko vizuri kabisa na mwandaaji wa makala hizi mnajitahidi kutuletea viti vilivyojificha

  • @hemedmgomi4450
    @hemedmgomi44505 жыл бұрын

    Ongera sana kaka kwan Tanzania aijawai kufanya mazur au mabaya pindi cha ukoroni??

  • @xidepeace2442
    @xidepeace24424 жыл бұрын

    Uko vzr kaka

  • @ianmtengo3273
    @ianmtengo32734 жыл бұрын

    Uko vzr

  • @petermabura6151
    @petermabura61515 жыл бұрын

    R.I.P.Phila!!!

  • @kekemagori4732
    @kekemagori47325 жыл бұрын

    We noma broo pmj na mpagaze

  • @hasyno9805
    @hasyno98055 жыл бұрын

    Story nzuri na mtangzi mwenye sauti ya pekee ama nini arifu umeuwa kinyama nafunga comment from r chuga arusha

  • @khamisshee4706
    @khamisshee47065 жыл бұрын

    Big up bro

  • @pendomarco7161

    @pendomarco7161

    5 жыл бұрын

    nzuri

Келесі